Рет қаралды 14,366
Usitarajie mambo mazuri tu, hata mambo mabaya yatakufika. watakaokutendea ubaya huo ni ndugu wa karibu na wewe, kama neno la Mungu lisemavyo katika "mika 7:6c "adui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake mwenyewe" mathayo 10:36 " na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.
hivyo huna sababu ya kurudi nyuma.... SONGA MBELE TU.