ATM mashine haiwezi kuondoka lazima ipambaniwe nan anautaka ufukara wakat chanzo cha mapato iko apo
@ZUWENADELLOW3 ай бұрын
😂😂😂🎉🎉🎉uwii.
@wangagirl35083 ай бұрын
Jealous Is real😂😂😂😂😂😂😂😂
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
Hiyo sio jealous ni tamaa ya mali
@wangagirl35083 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811 😀😀😀davido hangeoa hata huyu Sophia hangesumbua 😀😀😀😀😀 ni wivu tooo
@wangagirl35083 ай бұрын
@@rumdeesonsoa1811 hiyo harusi ndio imemchoma sana
@Divinelinna3 ай бұрын
Kaona mwanamke mwenzake kaolewa kaumia 🤣🤣siku zote alikuwa wapi khaa
@mtzhalisi22323 ай бұрын
Ni wivu tu!
@anneedward36733 ай бұрын
Hawa wanawake wanakuwaga na wivu tu hawana lote hivi mtu anakupa kila kitu kwa ajili ya mtoto lakini huridhiki
@mtzhalisi22323 ай бұрын
@@anneedward3673 yan non sense... Ndio Mana jamaa aliona Bora aweke ndani chioma tu... Kavumilia mengi
@winfridapeter94553 ай бұрын
Hii kesi ipo muda kabla ya ndoa ya hawa wawili, ni huyu msemaji wetu ndo alichelewa kutuhabarisha hili tukio
@mtzhalisi22323 ай бұрын
@@winfridapeter9455 Ila win kwani ndoa huwa inakuwaga ya Ghafla? Alikuwa anajua kuanzia maandalizi ya ndoa yana Anza? May be kama alishtaki miezi minne nyuma.
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
Sio wivu ni tamaa za mali
@happymrema74873 ай бұрын
Yan ni mpuuz inskataa kununuliwa nyumba je devid akifa gafla utachuma wap
@sharifabahar99053 ай бұрын
Acha tuhuone move
@sund25533 ай бұрын
Penz likiisha mnageuka kuwa maadui ila huyu mam nae anatak asifanye kaz aishi kupitia mtoto
@farahali60413 ай бұрын
Kweli
@JanetAhmad-v3h3 ай бұрын
kwa kweli si razima
@ZUWENADELLOW3 ай бұрын
😂😂😂
@JeannetteManirambona-o6m3 ай бұрын
Wivu uyo
@jacquelinerayamu31873 ай бұрын
Kumchimba mtt tu Jamani na kumtia nuksi
@YumnaBurhan-q6h3 ай бұрын
Kuachana sio vita leeni tu mtoto kwa pamoja
@farahali60413 ай бұрын
yani unataka mtoto mfanye kama kitega uchumi kaa huna haya ww😊
@wangagirl35083 ай бұрын
😂😂😂😂fear women
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
Hao ndio wanawake
@teddygabriel56623 ай бұрын
Ila watoto wanahitaj matunzo meng Ni gharama jamn usiombe yakukute
@rumdeesonsoa18113 ай бұрын
@@teddygabriel5662 Hizo gharama zinatakiwa ziwe shared sio baba pekee yake ndio atoe.