KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 13
@abelimaganga4173 ай бұрын
Naamin mwanasimba yeyote Leo amefurahi kama anaipenda Simba
@MasterNicodemus-yw8tq3 ай бұрын
Chama alikuwa mchezaji mzuri lakni kwa sasa simba hii itakuwa bora zaidi ya wakati alipokuwa cama
@anithawidambe75433 ай бұрын
Viongozi wamefanya maamuzi sahihi kumwacha Chama
@AmiryHamza-gs8pp3 ай бұрын
Nikweli mzee simba ni kubwa barani Africka chama mda wake umeisha kwa simba ngoja aangalie uko otopolo nyuma mwiko
@PetroNombo-ne9kq3 ай бұрын
😮😮
@augustingodwin97583 ай бұрын
Chama sio Bora sana, kama angekuwa Bora sana na mkataba umemishia Simba kama angekuwa na Nia nae asingekubali atoke, chama ameshachemka litamkuta kama lililomtokea RS Berkane
@eunho95293 ай бұрын
Katika vitu vyote uongozi wa Simba sc umeufanya ndani ya misimu mitatu iliyopita na kunifurahisha ni KUACHANA NA CHAMA.
@MajidMajid-ll8mf3 ай бұрын
Chama ameenda kulipwa fadhila kwa usaliti wake
@ushiwamarandu74333 ай бұрын
KWA KWEL HUYU MZEE hajielewi kabisaaa...!
@milikimbembela86703 ай бұрын
Wewe ndo unakaza fuvu
@ushiwamarandu74333 ай бұрын
@@milikimbembela8670 sasa mtaona kitu atakachowaonesha huyo CHAMA....!