mh acha nianze upya kuangalia hd nione maana umenfanya ncheke kwa saiti😂😂😂😂
@djanfarmoulay68658 күн бұрын
Nauza mafuwa Kwa bei nafuu😢😢 tena ni Yale makalii😢😢 Ila naitaji mnunuzi mwenye uhakika 😢 4:50
@marthasonia50058 күн бұрын
Nice 🔥
@nganshiog31805 күн бұрын
wew mshangz mm nimeshakuelewa
@VENOM-nf6dr11 күн бұрын
Icho kinguo cha ndan cha juvic toka 2023 😂😂😂😂
@Stafamuigizaji12 күн бұрын
Daaaah''' Leo Yangu ni macho tu
@SalimOmary-q9n4 күн бұрын
Siwema chombo bwana
@juliusjkalela916411 күн бұрын
Pole sana siwema
@jacobclavery153211 күн бұрын
Mrs right kafrah kabisa kutoka moyoni❤️🔥
@KulimushiMihigoКүн бұрын
Yani mnani furaisha😅😅😅
@IzkiOamn8 күн бұрын
Mwenyw nilijua jux😂😂
@KebyeraHappy8 күн бұрын
Zuwena uko vizuri
@Stafamuigizaji12 күн бұрын
Mjitaidi caméra iwe kwa recho sana😂😂 jamani tuombeane nifike hapo pia😂
@SaidyAthumani-c1m3 күн бұрын
😂😂😂😂
@KlugarNguvila11 күн бұрын
iLike it
@Aishakidevu4 күн бұрын
Jux
@allyselemani785Күн бұрын
Akili nyingi kama movie za james bond
@ReyzDon8 күн бұрын
Doctor kaongea point Sana
@ShabanBenjamin-j2g5 күн бұрын
Msela wangu juvic kulikoni tena kutafta mademu uko😂😂😂
@manongadancers588612 күн бұрын
Aiseee mpenzi ni balaaa
@AhadiMkuyu-jo1rt5 күн бұрын
Yani wanadharau Et bishoo yani mabinti wengine ni mapepo aisee
@aika302411 күн бұрын
Hivi vidada havijielewi😏🙄 Siwema kapata alichokuwa anakipanda😅 acha aondokee😂
@ZephaniaCharles-g8u17 сағат бұрын
Hawajamaaa wamefanana mpakalaha
@Mahene-w1l9 күн бұрын
Ila Angechagua siwema tu
@JamesProffesoe5 күн бұрын
Mmmmm kumbe dunian tuko wawili wawil mm nikadhan jux
@ClantLameck-u6e4 күн бұрын
Hatar anafanana na juma jux
@HusnaBinti-o5c8 күн бұрын
Duuu wanafanan san na jux😮😮😮😮😮😮
@charlesgeorge28559 күн бұрын
Ila amygal unamsakama mtu sanaa
@ShamsaLeba5 күн бұрын
😂😂😂uyu jovi kweli kakuwa mtoto wa kondo sekondari
@jacquesmuhongya53685 күн бұрын
Kekekek😂😂 zuwena hawa muoni kabisa hata mimi na shangaa
@HamadBashir-bs5wo4 күн бұрын
Mchunguzaji wa maisha sio mke😂
@AshuraGeorge-s4m4 күн бұрын
Amefanana na mond
@PhilimonPaul8 күн бұрын
Huyo jaamaa nikama jux
@NeyNkwabi-p3b2 сағат бұрын
Mchezo mbaya huu jaman unakataliqa live
@barakamoses15352 күн бұрын
Namuelew san siwema ni bint mrembo san
@Nyerere-fq9ls8 күн бұрын
Hata mm nilijua ni siwema daaaaaa
@Ellybeny5 күн бұрын
Hv kweli wanaenda kuwa na mahusiano??
@christinachemka34168 күн бұрын
Jaman zuwena😂
@nisherlastborn88413 күн бұрын
Kwani zuwena au bas
@RosemaryMasanja8 күн бұрын
Mii nilijua atatoka siwemaa
@abbygeorge83948 күн бұрын
Garab akikushika mkono tu bac unaachwa hahah😂😂😂😂😂
@jacobrohit49889 күн бұрын
Unavyo kataa wengina divyo umektaliwa😂😂😂
@MerryKivafi6 күн бұрын
❤😂
@Ladyzeal-y4m9 күн бұрын
Kwaiyo huyu si jux😮
@ashurakodd15899 күн бұрын
Wewe siyo ndugu kweli
@EvaSanga-k6x8 күн бұрын
Nani ameona zuwena kanguo kamechanika🤣🤣
@LeylaSaria9 күн бұрын
Sema jux kbsa jamn 😂mpk kutabasam
@MariamObote9 күн бұрын
Ivi zuena unashida gan lakin😂😂😂😂😂
@HalimaKapela10 күн бұрын
Uyo Rachel anavyo jishauwa
@AminaYusuph-f4f2 сағат бұрын
Jmn kwan ukimjua m2 nd umseme km hv
@DullyTz-z4w11 күн бұрын
Hiv kushirik Mr right. Kuna vigezo au yoyote anashiriki
@LucyPaschal-p1t9 күн бұрын
Jux uyu kabsa jmn
@davidmsangi39646 күн бұрын
meno ya recho ni kama mla mirungii twende mbele turudi nyuma
@dariusshukuru849011 күн бұрын
Kipindi hiki kwangu kina nifundisha kbs,na wakati navutiwa ili siku Moja ni we Mr Right kutoka Drcongo Lubumbashi
@magrethpaul58445 күн бұрын
Niko Tayali
@dariusshukuru84905 күн бұрын
@magrethpaul5844 tayari kufanya nini??
@ThadieIsisa8 күн бұрын
Kafanana na jux au kakakee?
@MaryKawamala7 күн бұрын
Sema wanawake wa hapo hawako siliasi wanatania so wajilekebishe
@AminaLuhumba7 күн бұрын
Mbona kama tishert ya zuwena imechanika😂😂😂😂 kwenye kwapa
@Riffahhussein7 күн бұрын
Sio tshirt ni top😅
@AminaLuhumba4 күн бұрын
@Riffahhussein eeeh hiyo hiyo
@Riffahhussein4 күн бұрын
@@AminaLuhumba 😂
@SwaibaRashidi-us7ux5 күн бұрын
Hawa wanaume vp zuwena hawamuoni
@isunga196412 күн бұрын
😂😂😂😂😂jamani wekeni na wakati wa mashangazi tuje
@LeylaSaria9 күн бұрын
😂😂😂😂😂unaruhusiwa mbn Kwan hapo huwaon😂
@AngelPatrick-h6t6 күн бұрын
😂😂😂umenifurahisha my dear
@hassanbilaly-cq1xe12 күн бұрын
Jmn hiki kipindi huwa nakipenda mno ❤️
@alfanmwenda8589Күн бұрын
Diamond kachukua nyota ya zuwena kama alivyochukua ya lavalava
@constancioMaurício12 күн бұрын
Daah Léo himezidi
@tzbrowntz10 күн бұрын
Nipeni vigezo vya kufika hapo
@RizoIbrahimovich-z4f12 күн бұрын
Mbona kama nmemuona zuwena 😂😂 nayeye anatafuta mr right duh kipindi cha umalaya sana
@isunga196412 күн бұрын
😂😂😂😂ndoo yeye
@davidpeter239811 күн бұрын
Amigal hajui kuhoji km ugomvi aisee
@julianamuga38911 күн бұрын
Huyu ammy km ta....hi....ra ye kuweza mxiuh
@CharityImaculate12 күн бұрын
Sophia?😢
@gastoenock30206 күн бұрын
Abdul ni kama Ronaldo tuu uwanjani yeye anatumia miguu yote miwili..
@davidmsangi39646 күн бұрын
shakira sema ukwli hujawai kuvuta shisha??
@lawrenciamkolwe79611 күн бұрын
Zuuuuuui
@MankaVodacom8 күн бұрын
huyu si yule anatembeza korosho jaman mbona shisha tena au kadanganya
@nessasment.17278 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@frida-oi6kw8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 ety korosho
@HawaJumanne-uy4eu7 күн бұрын
Wewe umemfaninisha na yule anayetembeza korosho kkoo siyo yule mkono wake mmoja mbovu😅😂
@MariamIbrahim-h7p8 күн бұрын
Shakira IMO sahihi
@asteriaslaa54828 күн бұрын
Umepata mtu unayeendana nayè mwali... Siyo unakuwa na mtu ukicheka wigi la mama yake anakukasirikia badala mcheke wote😂😂😂😂😂😂
@joymamwanga503611 күн бұрын
Nilijua tuu kabeba shangingii ila uyo alovaa orange alikuwa wife material. Ila uyo alombeba ni wife of benefits 😂😂😂 atapigwa na vitu vizito mana anapeleka mbwa mawindonii
@lawrenciamkolwe79611 күн бұрын
Duu mdada akitoka hapa asirudi tena kuludi ni umalaya to
@EvaemmanuelMondea11 күн бұрын
Mbon hawafanan jamn atoe miwani
@dariusshukuru849011 күн бұрын
Byashara haramu kwani... Madada hawataki masiyara kweli Nafikiri Shakira ana haki ya kuwa namu simamo huwo
@AminaYusuph-f4f2 сағат бұрын
Jmn km unamjua m2 nd umseme km hv kwl
@JacksonMn12 күн бұрын
Huyu suena anatafuta nini tena huku
@DianaElia-o5p11 күн бұрын
@@JacksonMn mh nikajua macho yangu kumbe naww umeonaa ee