Mungu ni moja aliye kwa Bibilia pekeee na mwanawe ni Yesu kristo bila krito huwezi kumjua Mungu .
@ramazubery26413 жыл бұрын
😂😂😂mungu anamtoto duh kwastaili hii kutakua na mjomba wake mungu😂😂😂.acha kuipashida akiliyako mungu ni mmoja.
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Allah amuongoze katika njia iliyonyoka sazingine kamaliza
@benardsiyumwe55713 жыл бұрын
Big up sanaaa I like it.
@sofialinus82413 жыл бұрын
Mungu tusaidie dini inatutenganisha......tunapenda na kuheshimu dini kuliko ku-kupenda Mungu wetu😢🙏🙏🙏
@TM.Sullusi3 жыл бұрын
🙏, nimekuelewa
@sofialinus82413 жыл бұрын
@@TM.Sullusi 🙏, Asante
@naimazuber54333 жыл бұрын
INNA DIINA NG'INDA LLAH L ISLAAM
@mohammedsururu40473 жыл бұрын
Swadaqta
@BigZhumbe3 жыл бұрын
"lakum diinukum waliyadin" Allah anamwambia Muhammad aseme
@ibrahimaziz71583 жыл бұрын
Motoni
@ramseyhusseinkhamis82583 жыл бұрын
Lakini mariyamu si mama wa Mungu ni mama wa yesu tu!
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@khanifayusuf89483 жыл бұрын
Kabisa....mungu Hana mama....hakuzaa wala kuzaliwa
@Farajahelene230313 жыл бұрын
steve he is funny
@idyjumanne97963 жыл бұрын
Bdo imani yke haiko sawa
@nooor11203 жыл бұрын
Haiko sawa kwasababu kasema mpk dini ya mabuda anaabudu yeye kwakati wao mabuda wanaabudu moto, ng'ombe, jua
@dorsandollah33843 жыл бұрын
Yesu hachanganywi kabisa na imani na dini zingine
@totodavis19493 жыл бұрын
Hakika
@rashidubruhani89813 жыл бұрын
Ata Allah achanganywi wala afananishwi na chochote wala lolote
@JOHN16verse333 жыл бұрын
@@rashidubruhani8981 wakristu wana Mungu wao na Waislamu wana wa kwao... Unatakiwa ujue which one is the most high creator of heaven and earth...
@ramazubery26413 жыл бұрын
Mm nauliza akifa atazikwaje?
@silasboniface78403 жыл бұрын
Vip
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Hataree sana 😃😃😃😃
@BigZhumbe3 жыл бұрын
Kwani Ibrahim alikua na dini gani koz dini zote tatu kuu za duniani zinalink back to him. 1. Christianity ✝️ 2. Islam ☪️ 3. Jewish ✡
@abdallahdataguy3 жыл бұрын
Muslim
@erickmislakuba41363 жыл бұрын
Huyu mtu wa Freemason hana imani ya Mungu
@manuelamahwera60903 жыл бұрын
don't judge so you don't be judged.
@ngokaomary51233 жыл бұрын
Wachaa kubisha huyu nimfuasi wa Dajjal kicho mmoja ..utawajua kwa matendo yao
@oscarmarwa91413 жыл бұрын
Amini unachokiamin kitakupa furaha cku zote
@luganoessom14643 жыл бұрын
Muongo hizo picha zinazo muonyesha amevaa kanzu alikuwa Dubai kupromote kampuni linalo husika na tour Yani kupeleka watalii Dubai pamoja na hotel ambazo wanashirikiana nazo kuwapatia huduma za bei nafuu wageni, Mimi nimeshuhudia live hii show so msidanganye watu,ukiangalia channel kama Discovery au fine living show zake utaziona .🙂
@isacksaimon45323 жыл бұрын
Sasa kafungaje ndoa wakati ana dini 2
@rorotv48723 жыл бұрын
Hafai
@nasmaabdul32453 жыл бұрын
Dini ya haki ni uislamu
@obbymwakasoke98423 жыл бұрын
ndivyo ulivyokaririshwa na waarabu sikushangai ona jina lako tu ni la kukopikutoka kwa waarabu
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@obbymwakasoke9842 yako unafata wazungu
@nasmaabdul32453 жыл бұрын
@@obbymwakasoke9842 siku laumu kumbe wa mbeya hahahaa
@assanemussa22123 жыл бұрын
Mashallah
@pesangwasalim52583 жыл бұрын
Huyo sio muislam,anadini yake anayoiamini
@rangesteven61003 жыл бұрын
Abudhab waislam wanavyoishi na kupendana na wakristo
@jonathanfrancis23853 жыл бұрын
Hii sio inavyosema kwenye WIKIPEDIA habari hazifanani na personal life yake kwenye wikipedia
@ابوأزهدالليثي3 жыл бұрын
Bado anabaki Kichekesho tu , hajajua anachokifanya
@hafidhothman45883 жыл бұрын
Hahahahhaa
@michaelsamson96633 жыл бұрын
Utajili mzuli sana ila uwe wa halali minlichkua dawa za utajili nliteseka sana
@sitiabubakar28923 жыл бұрын
Pole
@michaelsamson96633 жыл бұрын
Jama yangu nlipewa mashalt magum sana
@sitiabubakar28923 жыл бұрын
Fanya kazi uzima ndio utajiri wa kidunia
@gasperjohnson33883 жыл бұрын
Tupo wengi Steve harvey
@hamudsuad41933 жыл бұрын
katika uislam hakuna ujinga huo
@seifmohamedseif94673 жыл бұрын
Km ni kweli bas hana anacho fanya ana twanga maji kwenye kinu
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Ni mkristo ni mchungaji
@khamisrubea50833 жыл бұрын
Iko siku ataiona haki iko wp tumwachie aitafute kwanza
@luganoessom14643 жыл бұрын
Waongo bwana hiyo ni tv show alikuwa anatangaza kampuni linalo peleka watalii Dubai kutoka ulaya na marekani.sio kweli wanachosema
@BigZhumbe3 жыл бұрын
Wanajivuruga hawa
@ireneassey7533 жыл бұрын
Yeye ni mkristo izo zingine ni matangazo ya niaxharaaa
@nooor11203 жыл бұрын
Kwani dini ni biashara?
@ireneassey7533 жыл бұрын
ahmed ujui kumbe
@modysultan61703 жыл бұрын
hilo nalo neno kwani uislam haumkubali mtu wa hivyo bila shaka atakua upande huo huo wenu
@nicelyrutakyamilwa43883 жыл бұрын
@@modysultan6170 mmmmh kwan walio upande wenu na wanafanya maovu huwaoni.....cpendi ninyi watu mnaudini Sana af mnatuona wakristo hatufai dah
@lizzybahati98333 жыл бұрын
Duniani tutaona mengi sana
@nooor11203 жыл бұрын
Hii ni kwa kizungu Mosque of Mary mother of jesus Kweli upo Abudhabi huu mskiti ..na kwa kiarabu ni Masjid Issa um Maryam Kwa kiswahili ni Msikiti wa Issa au yesu mtoto wa Maryam. Hakuna tatizo kwasababu kwa kiislam Issa pia ni mtume alotajwa ktk quraan kati ya wale mitume wakubwa wanne nao ni 1 Dawood 2 Mussa 3 Issa 4 na wa mwisho ni Mhammad.
@sofialinus82413 жыл бұрын
Weeeee shindwa na ulegee YESU sio Isa Kwasababu Isa hakusurubiwa wala hakufa na kufufuka Nakama YESU NI Isa ...... Basi qn: Ni kitabu cha uongo kwasababu kimekanusha kusurubiwa,kufa na kufufuka Kama YESU NI Isa, na qn Ni kitabu cha Mungu..... Mimi sofia NIFE kwasababu nitakua nimekufuru.
@imash04tv203 жыл бұрын
@@sofialinus8241 uliza wàtu wenye elimu ikiwa hujui mama tatizo inavyoonyesha elimu yako au niseme kichwa chako hakina elimu kabisa ya dini jifunze Kwanza usiongee tu
@sofialinus82413 жыл бұрын
@@imash04tv20 Ntauliza vp wenye elimu ya dini hali aliye-wapa maneno watunzi wa qn hakujua........ Wala .........🤣🤣🤣🤣🤣
@imash04tv203 жыл бұрын
@@sofialinus8241 unajua hueleweki unachoongea hem ongea ufahamike ww mwenyeo sijui kama unajifahamu
@sofialinus82413 жыл бұрын
@@imash04tv20 🤣🤣🤣🤣🤣 watoto wa mama mdogo wabishi kweli kama Nini.....Ba-mkubwa Ismail shikamoo
@mohamedturanardan88713 жыл бұрын
Baina ya haki na batil ni batil. Baina ya Uislam na ukafiri ni ukafiri. Baina ya Uislam na ukristo ni ukristo
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
Uyo angali mupotevi tu dini ni moja uisilamu sahihi ametzmbikiza uyo yupp naigiza tu comedi
@BigZhumbe3 жыл бұрын
Dini nyingine zimetoka wapi?
@MohammedAli-up6cu3 жыл бұрын
INAONEKANA AJITAHIDI KUITAFUTA HAKI,NA INSHAA ALWAH,IPO SIKU ALWAH ATAMUONGOZA.
@ramazubery26413 жыл бұрын
Nawe inabidi urudi au uanze madrasa sio alwa ni Allah.
@ruuh51493 жыл бұрын
@@ramazubery2641 umenifanya nimecheka ucku wt huu jmn 😂😂😂😂😂😂😂😂
@ramazubery26413 жыл бұрын
@@ruuh5149 😂😂 kweli unajua nashukuru kuzaliwa muisilamu maana tunauelewa mkubwa sana wenzetu hubeba Imani bila akili ndio utakuta viroja kamaivi😂.
@brokenigga28423 жыл бұрын
@@ramazubery2641 hii dharau umeleta hapo daah!
@mbwanakiting71803 жыл бұрын
Sasa kuswali Mara moja ndiyo anaabudu dini mbili...hovyo
@itNeza3 жыл бұрын
Huyu ni Mimi ( ila tafauti nikuwa Kuna saa Vyote Sivikubali ). 😍
@emmaventuresafaris1103 жыл бұрын
Huu ni uongoo mkubwa kwa nn mnadanganya watu huu ni uongo hyu jamaa ni mkristo
@trophainamagogwa99913 жыл бұрын
Tena ni mchungaji
@elijahm.muthini3 жыл бұрын
Anaabudu msikiti lakini huku kwingine anaabudu yesu christu ila sio kanisa ama ukristu
@malikeyndotopopote3 жыл бұрын
Miyayusho
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
Wacha uwongo mtangazaj hyo pcha alipga akiwa Dubai
@kingwilliam18073 жыл бұрын
Mtangazaji hovyo kweli
@robsonwisdom15223 жыл бұрын
Huwezi kuwatumikia mabwana wawili never
@yohanesfelix75343 жыл бұрын
Wakristo na waislam Mungu wao ni mmoja.Unavyosema kutumikia mabwana wawili unamanisha nn?
@mahamudaideed69223 жыл бұрын
@@yohanesfelix7534 ni tofauti mungu wenu ana mtoto na wetu hana, na yesu wenu aliuwawa na wetu hakuwawa na pia mna masanamu na sisi hatuna
@@mahamudaideed6922 Kwan minimesema Kuna mungu wengi au vip mbona unajibu usicho ulizwa ww
@mahamudaideed69223 жыл бұрын
@@robsonwisdom1522 wewe ndio hujaelewa nachomaanisha Mungu wetu sio mmoja na hizo ndio tofauti ya mungu wetu na wenu pamoja na yesu wetu na wenu tungekuwa na Mungu mmoja hatungekuwa na imani tofauti... Mungu wetu hana mtoto na wenu ana mtoto tutakuwaje sawa
@تاتوجمعه3 жыл бұрын
Ipo siku hilo jina kafir mtaenda kujibu kwa mwenyez mungu kuwa ita wenzenu makafir mfyuuu😏😏🙄
@yusrashabani29833 жыл бұрын
Hakuna cha kujibu imeandikwa kwenye vitabu makafiri Kwaiyo waache kusoma kisa kuwafurahisha ili iweje, itabiti mjikaze tu ilo ni mpaka kiama
@تاتوجمعه3 жыл бұрын
Watufuraishe kitu gani mfuraishe muumba wako matendo yako😂
@muhidinali81803 жыл бұрын
Tata kasomekwanza ndio utowehukumu unachokipinga Allah mwenyewe ndie aliewata jinahilo
@mrjagenmuuz57043 жыл бұрын
Hata wewe ukıacha swala tutakuıta kafırı
@bigbossmanbossman69463 жыл бұрын
Huyu ni mkristo mnafik mkubwa
@micamathew25953 жыл бұрын
Acha tu, usimhukumu huyu mtu.
@shariffakassim19253 жыл бұрын
Pengine ni muislam kiimani but anajivalisha uso wa kiikristo anaogopa yakamfikabkm yaliyomfika Mike jackson
@mohamedabdalla25483 жыл бұрын
Anatia usanii wake mwenye imani
@ustadhsalimonlinetv.18073 жыл бұрын
Hilo neno na Marry Jisus umetafsiri vibaya hakuna neno mama wa mungu hapo
@jonasmasinde7603 жыл бұрын
Huyu jamaa ni rafiki yangu tunaimani sawa
@nooor11203 жыл бұрын
Hhhhh kumbe? Imani ya njia panda hio
@msangiramadhan19113 жыл бұрын
Dini ya Haki ni moja tuuu
@davallamchambe52753 жыл бұрын
Ni uislamu tu
@gaudenciamsrikale9563 жыл бұрын
Upendo
@bigbossmanbossman69463 жыл бұрын
@@davallamchambe5275 swadakta
@jumamohamedi50443 жыл бұрын
Mwenye haki nimungu tu Mana yeye ndiye anayehukumu mabo ya dini ni Imani kwahiyo imano ya mwenzako usihukumu maana nawewe utahukumiwa kwamaana nawewehujui hatimayako
@shalomkind45753 жыл бұрын
Hahaha wenye kuishi na majini wanajijua .jehanam yangoja .TUBU !
@nooor11203 жыл бұрын
Imani yake haiko sawa kwsababu huwezi kushika vitu viwili kwa pamoja huwezi kujiamini hivo. Hususan mtangazaji kasema mpk dini ya mabudist anaenda kufanya ibada kwakati mabuda wanaabudu moto,jua, ng'ombe sasa ni akili hizo?
@BigZhumbe3 жыл бұрын
Imani zote mbili ni za ki Abrahamic
@lavieestbelle32633 жыл бұрын
Katika uislama hakuna uraia pacha uwiii Steve amua kuwa mnyama au ndege usikae kama popo
@ilynpayne74913 жыл бұрын
Dini zote zina nafasi yake kwetu bimadam hakuna dini ilio juu ya nyingine
@abdualawi9093 жыл бұрын
Mnafik ni mtu hatar hana iman
@youngyayoo28053 жыл бұрын
Tutafuteni hela manze,utaskia mtu akisema,yote ni ya dunia itapita,mbona hipiti kwako
@kaimuulongo95903 жыл бұрын
akuna kitu kam iko Ana lolote uyo sema anazingua tu
@sawdaasawdaa79033 жыл бұрын
😂😂 apo cuma kimepinda eti anaamini dini mbili sasa vitu viwili hivyo lazima pako moja kweli
@nooor11203 жыл бұрын
Ndio hapo
@saidimwanyiro51473 жыл бұрын
Huyo mchambuzi na baadhi yenu mnavahatisha tu ukweli kuhus Hiyo video
@emmaventuresafaris1103 жыл бұрын
Picha unayo iona alipiga akiwa Dubai na alilipwa kuitanzangaza Dubai acheni kupotosha uma
@@oxygen9603 Hawezi kuabudia dini mbili kwa pamoja ashike moja na nyingine achane nayo na vile vile huyu kibaraka wa illuminat
@ShSh-my8cw3 жыл бұрын
@@davallamchambe5275 hyo pcha alipga akiwa Dubai
@davallamchambe52753 жыл бұрын
@@ShSh-my8cw sawa kupigwa picha kwake dubai sina shida nayo shida ipo hivi kwanini atumikie dini mbili na asichague moja kutokana sijawai kumuona Askofu akitoka kanisani na kwenda msikitini au akitoka msikitini na kwenda kanisani au kiongozi wa kiislamu atoke msikitini alafu aende kanisani labda awe amebadili dini kama vile katoka kwenye uislamu kaenda kwenye ukristo au katoka kwenye ukristo akaenda kwenye uislamu akawa uko ndipo alipo amini ila sio uende msikitini au uende kanisani hiyo aileti maana
@ireneassey7533 жыл бұрын
Kwani kafiri ninani??? Tuanzie hapo au ww uliumbw na mungu yupi na uyo kafiri aliumbw na mungu yupi