Kwa speech hii… Nimegundua Steve hafai kuwa msemaji wa wana Muziki.
@esombommambelwa68092 жыл бұрын
MWANA FA ni lengend wa🎶 na pale ajaenda kama mbunge ,, steven unaropoka ovyo mambo ya vyama vinausiana nini na mziki, rudilia ngoma ya FA Mutazidi kuongea aliotowa 18/05/2009 ndio utajua kama jamaa ni Genius
@officallymbonde92572 жыл бұрын
ngoma inaitwaje mkuu
@esombommambelwa68092 жыл бұрын
Msiache kuongea
@rajabdibwa64152 жыл бұрын
Usilazimishe Steve muungwana akivuliwa nguo huchutama. Achia ngazi kistaarabu
@silverman69302 жыл бұрын
This guy spoke so eloquently… and I’m sure he can do a great job 👏 🇬🇧
@sonnyr18992 жыл бұрын
Nahisi anapigwa vita kwa kuwa hana kipato kikubwa ila hata mimi naona huyu jama wakimpa nafasi anaweza fanya kitu.
@javanwatson66752 жыл бұрын
nope.. he's reading from the paper
@silverman69302 жыл бұрын
@@javanwatson6675 nothing wrong with that
@bhaleeali84592 жыл бұрын
daah STEVE AKE anaongea sana yani huyu ni mwanasiasa 100%
@nicolenabintu25092 жыл бұрын
Yani nime liheshimu leo li tivu ake shikamo ♥️👌
@kwisa48992 жыл бұрын
Steve kaupiga mwingi sana watu watamwelewa baadae sana FQ akili nyingi sana 👍
@pichunakichuna21112 жыл бұрын
Steve is the right man definitely, Huyu ndio msemaji sikachoka kumsikiliza 🔥🔥🔥👋👋👋❤️❤️
@kitarafrankee48512 жыл бұрын
Kaka hujui kitu wee kaa kimya kwa usemaji gani alokuwanao
@silverman69302 жыл бұрын
He’s definitely msemaji Huyu jamaa … he deserves the Job 🇬🇧
@pichunakichuna21112 жыл бұрын
He is not on pay list is doing it for free
@silverman69302 жыл бұрын
@@pichunakichuna2111 true it’s like a charitable work
@benjaminjulius80212 жыл бұрын
Mziki hauitaji siasa ila naona mwamba anapita kwenye siasa.
@christercheru83282 жыл бұрын
Hongera Sir Nyerere . Toka Kenya
@benjaminkangolo20172 жыл бұрын
Mimi kama mimi shabiki wa bongo flavor nime mchaguwa steve
@juliusone53482 жыл бұрын
Mchague tu aje akuongoze nyumbani kwako
@timochazze98452 жыл бұрын
Ugali ni mbaya sana kweli njaa ni noma sana
@DurahRich2 жыл бұрын
Sawa kaka Steve, umesema toka mwanzo ulikua huutaki huo usemaji baada ya ushawishi mkubwa ndo umekubali na ni sawa msemaji wa mziki hasemi yake bali anatumwa na bodi, sawa msemaji hana mshahara, lakini hao unaoenda kuwasemea HAWAKUTAKI kiungwana ungerudisha moyo wa kua msemaji uache wao wafanya mchakato wowote ule kumpata msemaji wao ili kuepusha matatizo, mfano vitu mbele vikiwa vinafeli watasema tuliwambia steve hatufai hata kama the cause-roots sio wewe, ko kama mpenda maendeleo kwa sanaa hii achia kiti kuna ulazima gani na unanifaika na nini kwenye hicho kiti??? Jishushe tu mzee
@rockyvlogs22142 жыл бұрын
FA hakuongea kama mbunge aliongea kama mwana mziki wa Hiphop
@erickzephania10302 жыл бұрын
Watanzania mnaelewa maana ya msemaji..? Au mnajua msemaji anaongea yanayotoka kichwani kwake..!?
@delphinkakudji2 жыл бұрын
This one right here 🙌🏾 good question
@mikidadiyusuph85352 жыл бұрын
Sasa kama hulipwi wanakuhalibiaje ugari wako tivu?
@mwanahawarajabu18372 жыл бұрын
Akupendae nan we
@silverman69302 жыл бұрын
And I can see this helping this dude getting elected by the president very soon … she is watching 😃
@wardw30222 жыл бұрын
Wewe Steve kumbe siwe muungwana kabisa muungwana akivuliwa nguo huchutama hasimami wima akaonyesha uchi wake nakushangaa mie
@allymachejo29962 жыл бұрын
Make apo ngoja kwanz nicheke 😂😂😂 atak kung'atuka
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
😀😀😀
@messaabbas7392 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣vichekesho aki but it's bongo,, always on funny,,poleni lakin uyu Steve hakustahili kabis kwa mtazamo tu I don't know why,, 😃😃😃😃
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Ugali si mchezo 😀😀😀😀 Eti sing'atuki, anaongea sana mpaka anapoteza point 🤔
@rsautoservice9842 жыл бұрын
Steve tano TENA...
@dullahyunusu30722 жыл бұрын
Imagine huyu ni mtu ambae baadhi ya viongozi huwa wanatamani apate nafasi flani ya uongozi hapa anabwabwaja tu Hana hoja zaidi ya kufoka mbama mwana fa na wakazi wamepinga kwa hoja na sio kwa makelele Kama haya anayopiga hapa.
@christinenibampa26752 жыл бұрын
tivu ake ameupirwa nyingi, Big brain tivu
@abdullmajengo96902 жыл бұрын
Kama hamna masilahi mbona unang'ang'ania sasa
@scholamodestus93862 жыл бұрын
Kanaongea haka dah ndio mana wanakadharau
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Steve tano tenaaaaaaa🤣🤣🤣🤣
@joshmangi2 жыл бұрын
Haya ni matokeo ya WaTZ kupenda mzaha sana, kila jambo limekaa kimchongo tu.
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA2 жыл бұрын
I agree
@mwanahawarajabu18372 жыл бұрын
Tatizo huna content
@imanimtumbi96702 жыл бұрын
Kwenye hii Steve umekidhalikisha Chama cha Mapinduzi
@dullahyunusu30722 жыл бұрын
Kitendo Cha kung'ang'ania tu imeonesha dhahiri hupaswi kuwa kwenye nafasi hii
@giftdumaboi90182 жыл бұрын
Sasa mbona unaleta siasa kwenye muziki?
@timochazze98452 жыл бұрын
Udashi wake 🤣🤣🤣🤣🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@irakoze52682 жыл бұрын
Aca kusema sana kama vile uko unahubiri wamekukataa sasa kaka wapishe tu 😂😂😂😂 n najuwa roho inakuuma san🤣🤣😂😂
@mussahancy65912 жыл бұрын
Wewe unaondoka wewe huwezi kuwa msemaji wa mchongo,wewe nenda kwenye bongo movie
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
Personal attack za nini? Hii sio siasa mzee baba Toka,hapa hakuna msemaji
@robertmisako94432 жыл бұрын
Asa wewe ndugu STEVE ni msanii umeimba nyimbo zipi ziko wapi,kwanin usinge enda ukawasemea watu wa movie? Achana na mziki wewe hawakutaki
@khadijambuya7942 жыл бұрын
Me mwenyewe sikuelewi toka bhaana 😂😂
@raphaelmramba45732 жыл бұрын
Kwani mshahara wamekuandalia kias Gani mpaka iwe hivi kama vipi puuza achana nayo maana " SHIRIKISHO NDO WANGEONGEA ZAIDI KULIKO WEWE KUONGEREA KWA NGUVU "
@shedracksteven31832 жыл бұрын
Apo ngoja nicheke kwanza maana Steve ni wa hovyo Sana'a 😂😂😂😂😁😁😁😁😂😂
@suntzu89592 жыл бұрын
Siasa kwenye muziki
@nasseralhabsi41212 жыл бұрын
Mitano tena teve akeee🤣🤣🤣🤣🤣
@mwanahawarajabu18372 жыл бұрын
Kama ulikataa naleo hutakiwi ondoka acha kujikomba bwana we we
@abdallahally13092 жыл бұрын
Mm nauliza jamani kwani apo Pana pesa kwa mwez bey gani mbona wanatoleana macho jamani lakin stive yupo full pakege chuki ya nn
@BETConlineTVTZ2 жыл бұрын
WATANZANIA WENZANGU TUMUUNGE MKONO STEVE SABABU ANAO UWEZO WA KUWAFIKIA WATATUZI WA MATATIZO YA SANAA NAMAANISHA MAMLAKA HUSIKA. HUYU ANAUWEZO WA KUKAA NA VIONGOZI WOTE NCHINI SABABU ANAJUA KUJISHUSHA. LET US FOCUS UPON HIS STRENGTH.
@ireneisack66712 жыл бұрын
Hawezi hawezi
@kambugarakim48402 жыл бұрын
Kwel nafasi inamfaaaa
@aishaally48312 жыл бұрын
Anafaa sana namkubali stivu
@abubakarjabir31322 жыл бұрын
Hapo tuu anamuigiza nyerere kwanza 😁😁, Anaigiza tuu
@frankyohana2082 жыл бұрын
Kuongoza kundi la watu ambao hawakuhitaji ni kazi sana" we steave haunakazi nyingine ya kufanya...???
@EliahParpulisEvalyneMkulati2 жыл бұрын
Kweli nafasi imempata msemaji 😂😂😂 #AhsanteSNSKwaKutusogezeaHabari!!
@saidahj25432 жыл бұрын
Watakuelewa tu Steve..give them time
@swazi-bmzwabusarawysd80832 жыл бұрын
Napitisha mwana SNS USA 🇺🇸 Dayton OH
@denisimaliyaweni91832 жыл бұрын
Hakuna kung'atuka mzee huo ni ugari
@happynjukiz64952 жыл бұрын
Atatoka Tu kwani atalipwa na nani
@jumambaraka9882 жыл бұрын
Utakiwi wacha stori
@rsautoservice9842 жыл бұрын
Steve is right what is saying course is creating is on word or massege to the people or artists..is a messenger
@happynjukiz64952 жыл бұрын
Atoke tu
@mzeekara23702 жыл бұрын
Acha kulazimisha uwe wew promo zote zanani acha fitna zako
@mwanahawarajabu18372 жыл бұрын
Sifa ndio huna bwana
@allyrasi35152 жыл бұрын
Hii nchi inawatu wa ajabu Sana hakiri ndogo inalazimisha kuiongoza hakiri kubwa , unaongea ugoro tupu
@fatumasaidi25922 жыл бұрын
Yani na vile kifupi bc dah
@mr.lawimagupa39142 жыл бұрын
Mbona hakuna sauti?!
@jcrackcrack16692 жыл бұрын
Inaitwa uongozi wa kihuni huu,twalazimishwa kuongozwa na mtu ambae Hana ufahamu na mziki
@yasminoluoch1692 жыл бұрын
Ila anasema ukweli mbona hamtaki kukubali
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG2 жыл бұрын
Nani alikua analijua Shirikisho
@josephgregory98432 жыл бұрын
We unataka kupeleka sias kwenye muziki ondoka tu hawakutaki
@aminmohammed42492 жыл бұрын
Hapo anatumia sauti yake ya nyerere😁😁😁kasenge maji haka kajamaa
@johnmwasilu70872 жыл бұрын
Steve hutakiwi na wasanii utakuwaje msemaji wao? Fanya kazi nyingine
@mwanahawarajabu18372 жыл бұрын
Ondoka bwana huna content
@quridequku86062 жыл бұрын
😂😂😂
@salimhassan33692 жыл бұрын
Waliaribu kuleta Uteam kama awapendani wenyewe kwa wenyewe wasanii 😂🤣😅
@fulgensirukula39222 жыл бұрын
Uteam ki-vipi hapo...?!
@salimhassan33692 жыл бұрын
@@fulgensirukula3922 Waona ni Nani anaeza pewa aka kosa kusemwa kutoka kwa Msanii yoyote,Bro music wa Bongo una vigisu mbya Sana kwa ugonjwa walio utengeneza wasanii wenyewe kujigawanya...
@dusabenyirasenga50572 жыл бұрын
Mbona una somaaa??😂😂😂
@JimmySirya2 жыл бұрын
Si ndo msemaje 😂😂😂😂😂😂
@mussahancy65912 жыл бұрын
Bongo flavour,ndio kiongozi wa wasanii wote ina 85% ya mziki woote wewe toka,huna sifa
@evelynmonica10192 жыл бұрын
Kiiii nimechekaa yaaan anajikutaa nyerereeeee 😂
@Zenny892 жыл бұрын
Huu ndo ujinga ambao wanamziki walikuwa hawataki..mziki kuwa Siasa.. Pua Pua zake
@dushudofficialnurudin97532 жыл бұрын
🤣🤣 kweli pua zake
@joshmangi2 жыл бұрын
Wanamziki wengi wanapenda hizo, CCM wanawatumia mda wote.
@denicegabriel66162 жыл бұрын
Sawa mzee tetea ugali wako🤣🤣🤣🤣
@giftdumaboi90182 жыл бұрын
😂😂😂😂ndio hawakutaki sasa
@husseinmdwangi89662 жыл бұрын
STIVE TAMBA KISAWASAWA HAO WASHAJICHANGANYA WENYEWE NA IKIWEZEKANA KILA BAADA YA MASAA 48 ITISHA WAANDISHI WA HABARI
@nassirmohamed84922 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@ramaabuu76252 жыл бұрын
steve apo usingatuke mpaka waje natingatiga
@famaqmaujanja2 жыл бұрын
Siasa Na muziki n vitu V2 tofaut Huyu jamaa anazingua hajui kitu kuhus mziki hana hoja za kimsingi znazoendana na wadhifa alopewa Pengine angeangaliziwa nafasi nyingine ya kuchekesha au afanye comedy
@othmankarigo13202 жыл бұрын
Its better aongelee kuhusu iyo industry na sio kumjadili mtu, then kam kiongoz ajarib ktumia lugha inayoendan na kiongoz na sio lugha za ajabu its not perfect at all. Any way he is deserv to be, apart from creteria.
Unasema wanaleta vyama sawa tuseme akina ney wa mitago wanaeleta vyama na mwana f a nae vp
@ilovejesus93032 жыл бұрын
Mbona Steve nyerere anaongea POINTS jamani? Kwanini watu wanamchukia huyu kaka toka zamani? Hakubaliki ila ana nondo sana kichwani. Ana sifa za uongozi
@wakatiwaapolineapoline55082 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@coolzeddy_official92162 жыл бұрын
😀😀
@rockyvlogs22142 жыл бұрын
Siku akijua kwanini amapiano imegonga mpaka hapa atajiudhuru
@fatmaawesu69282 жыл бұрын
😁😁😁😁😆😆😆😆😆😆
@subraissiaka64402 жыл бұрын
Anajikuta msemaji 🤣🤣🤣
@abdallahally13092 жыл бұрын
Sema stive mwaga cheche wakuache bule ww Usha chakuguliwa kinacho wachoma wao nn mbona chuki kwaz a unaweza broooo kuongea unajua una kemistri ya kutosha unapenwa na kusikilizwa Sasa wao achana nao fanya Kaz achana nao usitoke
@herikaniugu2 жыл бұрын
Ubaya wasanii wananjaa sana, wanashindwa kutumia umaarufu wao kuwekeza kwenye biashara. Wanategemea serikali.
@razaqueadamo24362 жыл бұрын
Steve nyerere upo vizur kwa kutetea ugali lkn haufai kabisaa
@rogerioathumani90842 жыл бұрын
Yani wewe wala hukupaswa kuwajibu kwasababu wewe nimchekeshaji na unataka kujipendekeza kwenye vyama vyawatu moja kwa moja inaonyesha wewe unatumika na wanao kutumia wenyewe washaishiwa hawasikiki
@msowamhokole77142 жыл бұрын
Stiv uko poa usiachie kitu ichi
@muubaytz47542 жыл бұрын
The man is right
@marymonjemghalu93622 жыл бұрын
Sure
@delphinkakudji2 жыл бұрын
For real 🙌🏾
@lilianambokile77952 жыл бұрын
Unaleta comedy mbele ya userious
@franklinassey66002 жыл бұрын
Huyo mwana fa mbona na ye hakupita kura za maoni ila magufuli alimbemba
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
Hii sio siasa
@franklinassey66002 жыл бұрын
@@tumlakimwaitumule sa ndo umejibu nn apo🤣🤣
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
@@franklinassey6600 Na huwezi elewa kamwe
@emmadominic96012 жыл бұрын
MwanaFA,ameshasahau kama ubunge wake niwa mchongo,wala kura za maoni hakupita.Hahahahahahaaaa
@tumlakimwaitumule2 жыл бұрын
@@emmadominic9601 kwaiyo kisa FA alipita kimchongo ndio Steve nae kweny Muzik tukubali Angie kimchongo? Alafu hii siasa inatokea wapi?
@benjaminkangolo20172 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 tanzania nawa omba mnipe uraiya please jamani maana sijaona inchi yenye drama na utam kama tanzania
@samtelah75782 жыл бұрын
Huyu jamaa busara hana kabisa ni zero
@mweusiasili83452 жыл бұрын
Wacha siasa izo huna unachoongea cha maana hapa humpigi mtu pesa🤣
@afreecastzaxie2 жыл бұрын
Politics as usual
@Chemba672 жыл бұрын
PUMBA TUPU
@dinnarandrew19822 жыл бұрын
Mpk dakika hii nadhani wameona na kukubali wewe unafaa kuwa msemaji wao !!!kuongea unaongea kaka🤣