No video

Steven Mukwala Usajili Simba Cheki uwezo wake Wakufunga_ Mukwala skills

  Рет қаралды 250,886

NeogTv

NeogTv

Күн бұрын

Steven Mukwala Usajili Simba Cheki uwezo wake Wakufunga
#stevenMukwala
#usajiliSimba
#mukwala

Пікірлер: 43
@malcomg1004
@malcomg1004 Ай бұрын
Hapa sasa naanza kumuelewa Mo,safi sana
@selestiniasenga
@selestiniasenga Ай бұрын
Mukwala ni mchezaji mzuri ,atawafunga yanga mabao yakutosha yanga wajipange.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Ай бұрын
Mo Boss wetu hawa wakiludi toka Misri wasomowe dua nzito. Wenzetu wa upande wa pili Uchawi upo. Ila sisi siku zote hatutaki kuamini kuwa uchawi upo.Wacheza wanakuwaaga hawana tatizo. Tatizo uchawi tu. Ninaiombea sana timu yangu simba iwe inapata ushindi wa kishindo siku zote.❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏👍👍👍👍
@hajikalangwa6876
@hajikalangwa6876 Ай бұрын
Upo sahihi
@RosePetro-ck8pt
@RosePetro-ck8pt Ай бұрын
Hahaha,maneno yamfungwaji wa goli tano
@mkombevuai7161
@mkombevuai7161 Ай бұрын
Hamna akili mnaowasifia wachezaji wakat timu wanalocheza nalo hamlijui ubovu wake😂😂
@jumakidunda78
@jumakidunda78 Ай бұрын
Nawajuza tu style yake y kushangilia anaruka kavu,,,, style hiyo ya kushangilia wachezaji wanafunga sana
@RamadhaniDuruduru-y3p
@RamadhaniDuruduru-y3p Ай бұрын
Ngoja tuone Stivin Mukwala
@IBRAHIMU-z2u
@IBRAHIMU-z2u Ай бұрын
mukwala ni shida
@oscarvumbama
@oscarvumbama Ай бұрын
Hapana jamaa Yuko vizuri
@aminattai2676
@aminattai2676 Ай бұрын
Misumari ni mingi kwenye ligi yeti,yaani ushirikina,angalia ata Ile Simba mbovu msimu uliopita tulikua yunafungwa ovyo ovyo hapa kwenye ligi lakini timu Ile Ile inapokwenda nje inacheza tafauti kabisa,yanga wanaamini ushirikina sana ata mayele aliliweka wazi jambo ilo
@igihamanuel1
@igihamanuel1 Ай бұрын
hakuna hicho kitu ww. Sasa hivi ligi yetu imebadilika imekuwa nguma sana. Wachezaji top wa Afrika wengi wanachezea kwetu ukienda hata tabora United, Mashujaa n.k unawakuta tofauti na zamani. Achana na mawazo mgando ya kujifariji!
@albertlambert2810
@albertlambert2810 Ай бұрын
Mi najua . Mnao kejeli viwango vya wachezaji wa Simba sio shabiki wa Simba..ni wanafiki
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 28 күн бұрын
Hao Ni wa upande wa pili
@user-gy3wo2ez4d
@user-gy3wo2ez4d Ай бұрын
Kuna jamaa namba nane nimemuona anajua sana uyo alitoa asist tungemchukua pia sa tunamleta peke😂 nan anamlisha ss
@ernestkamata2555
@ernestkamata2555 Ай бұрын
Simba bado hatujawajua inaweza kuwa timu bora sana au ikawa hamna kitu ni viziri kusubiri ligi ndo tutajua mbichi na mbivu
@SteveAvelinBuretter
@SteveAvelinBuretter Ай бұрын
Nimtuuu✊✊
@MartinGregory-uu1ub
@MartinGregory-uu1ub Ай бұрын
Jamaa anajua
@kelvinmikida
@kelvinmikida Ай бұрын
wachezaji wanaokuja simba ni wazuri ila wakishacheza na yanga tu, ubovu unaanza kuonekana🤓🤓🤓maana kipicho sa sahihi kwa vilabu za nje na ndani ya tanzania ni kucheza na yanga
@fj8317
@fj8317 Ай бұрын
Akili yako IPO matakoni
@muksinimbaruku1233
@muksinimbaruku1233 Ай бұрын
Nikajuwa unataka kusema yanga wachawi
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Ай бұрын
Mbele ya Bacca, Job, Kwasi na Boka, halafu wanalindwa Aucho, kazi atakuwa nayo, aje tu😂
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl Ай бұрын
Kweli Uto umeanza kutetemeka....yaani umeitaja safu yako yoooote ya Ulinzi kumkaba .😅😅😅 😅😅😅
@songorosongoro9927
@songorosongoro9927 Ай бұрын
Mm nakuambia kuweni makin hao waking job mtakuja kwakataaa
@ZachariaCharles-xk2uf
@ZachariaCharles-xk2uf Ай бұрын
Ubovu unatokea wap Mzee
@chrismedah2133
@chrismedah2133 Ай бұрын
Wewe ndio huna akili maana hata mpira hujawahi kucheza
@danielimalaki
@danielimalaki Ай бұрын
Daaaa
@user-gk7pz4re6h
@user-gk7pz4re6h Ай бұрын
Hatari
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
MBONA HILO GOLI HATA MIMI MSHABIKI NAFUNGA! TUACHE KUWASIFIA SANA WACHEZAJI TUSUBILI LIGI IANZE NDIPO WACHEZE NASI TUTAONA KWA MACHO YETU
@BenAman-cm5kx
@BenAman-cm5kx Ай бұрын
Nenda kafunge hilo goli😂😂😂
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA Ай бұрын
@@BenAman-cm5kx NIMEISHAFUNGA .
@neemajoseph4345
@neemajoseph4345 Ай бұрын
😃😃
@sharafisaidi7999
@sharafisaidi7999 Ай бұрын
Mnajipima kwa vibonde tafuten timu kubwa
@vicentbunzal7342
@vicentbunzal7342 28 күн бұрын
Njoo hata wewe tujipimie kwako uuone huo mziki
@iddybora1876
@iddybora1876 Ай бұрын
Eti job baca chura tuu
@iddybora1876
@iddybora1876 Ай бұрын
Uyo kibaca chura tuu
@SHIJAJITIJA
@SHIJAJITIJA Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@IbrahimWinjoness
@IbrahimWinjoness Ай бұрын
Wanafl nnyi sio wanadomba ninyi
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Ай бұрын
MKWALA MZURI ALIKOKUWA LAKINI KWA SIMBA ATAFELI KWA SABABU SIMBA HAWANA UVUMILIVU MCHEZAJI AKIFANYA MAKOSA.
@FranceMwanilyela
@FranceMwanilyela Ай бұрын
Simba mpya hyo aludi uchebe basi
@AshirafuRajabu-uz4bt
@AshirafuRajabu-uz4bt Ай бұрын
Lazima 5 zirudi
@LucasHaile-dy9kd
@LucasHaile-dy9kd Ай бұрын
Sahau, labda ziongezeke
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН
Yum 😋 cotton candy 🍭
00:18
Nadir Show
Рет қаралды 7 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,1 МЛН
Ronaldinho Gaucho Goals That SHOCKED The World
7:01
iLance7i
Рет қаралды 8 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 13 МЛН