This song"FREEDOM"Has Been Produced By Daxo Challi (MJ RECORDS) From Tanzania And Written By SUGU 'The Video Was Directed By Hanscana from Wanene Films.
Пікірлер: 193
@tulisanga2023 Жыл бұрын
Kweli ww sugu MB zangu Kila siku kwako...
@hardt3258 жыл бұрын
We don't wanna be rich, we just wanna be successful 🙌🏾
@brandstar36408 жыл бұрын
Daaa
@sponsor78828 жыл бұрын
this is what we call good music
@Quisto3173 жыл бұрын
All time hiphop.Certified.
@noelmatemba18083 жыл бұрын
Keeping the good music alive
@Gemjvisualmedia8 жыл бұрын
Nice hit from @DirectorHanscana ipo poa lakini mstari wa We don't wanna be rich,we wanna be successful! imesimama
@mathewphilip13748 жыл бұрын
The LEGEND is giving us what we have been missing kwa kipindi ndefu! Sugu will always stand no matter what, watakuja na kupotea. He got identity & Brand. A City salute!
@kijokombao53457 жыл бұрын
sugu bhana amezingua kwenye hii ngoma bhana sio kwa kumfanyia hivyo Mr blue duh Mr blue kaza mwanangu
@barakadaudi36842 жыл бұрын
Napenda mstari ulisema wengine wanataka freedom ya kula ngum siwez kuwalaum
@hezronngulwa92508 жыл бұрын
video kali sana mheshmiwa umetsha.
@dolumwamuyenu22454 жыл бұрын
Rais wa mbeya big up
@godwinkileo7702 Жыл бұрын
Bora nishuke chini, kwa mama ntilie anijazie nifanye kweli eeebwana😂❤
@emmanueljudas45224 жыл бұрын
Wapo wanaotaka freedom yakula ndumu na siwezi kuwalaumu
@REVOLUTIONARYLYRICS5 ай бұрын
Freedom
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Bonge la mzinga kitonga na mbunge hakuuawa
@opodoppo59245 жыл бұрын
Brother achana na siasa endelea zako na muzic kama wamshauri kama mm 2019 gonga like kidogo
@Iam_caripol4 жыл бұрын
sAWA BUT UMRI UNAMRUHUSU SIASA, MZIKI PIA VIJANA CHIPUKIZI WAJIJENGE
@colindavies62684 жыл бұрын
Sugu...i want a Colabo na YUU Big Legend Broo
@bahatisollo96415 жыл бұрын
Wimbo huu naupenda sana
@divtv32263 жыл бұрын
Freedom Nakubali mbunge wangu daima... Kama inamkubali sugu gusa like!
@pascalnjovu51748 жыл бұрын
Kokaja kununuuuuuuu the green city
@zicomoses79748 жыл бұрын
well done Mr. MP
@onionpeeling58225 жыл бұрын
Big up ..wapeleke peleke mjengoni kk.. heard you make me think like what if Pac was a president - ????!!
@paulsantana3638 жыл бұрын
mh mheshimiwa sugu kweli umeishiwa mpaka umemuibia Mr bluu ngoma yake, sema namshauli Mr bluu akusamehe bure kwasababu umeishiwa, ila umekosea kwa sababu hukumtaarifu bluu.
@kaijagefrank38927 жыл бұрын
Paul Santana tatizo umaskini unakusumbua
@abrahammasalla8 жыл бұрын
Big up MP border2border.
@oscarjoseph39098 жыл бұрын
Mbeya city
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Aje hapa khaligraf aone jinsi bongo hip hop artists walivyo matajili
@fazsb8 жыл бұрын
amazing sana
@davidlearn33018 жыл бұрын
@Sugu, All the way from Cleveland, Ohio 🔥🙌 Tulisepa kitambo kwenda Nga'mbo...tunajimix kijanja na tukirudi tunazidi kua wajanja!! " Im paying the cost i'll be the next boss"
@coms26408 жыл бұрын
+David learn I am in homie, keep it up
@ubaludomgulunde58273 жыл бұрын
Hustle homie!
@jayckizle5 жыл бұрын
Who's watching this in 2019. If you don't know me, just don't talk about me.
@ignaskaruhaweAquaculturist8 жыл бұрын
Mr II ukubwa dawa
@dachngoka32898 жыл бұрын
bluee acha kuzingua kama ulishindwa lipia beet broo kachomoka nalo kuwa mpolee
@richardcastro23868 жыл бұрын
mama hemmed mwanao nimetoka mbali najenga mpka hotel? Best line
@eliudkumwenda61224 жыл бұрын
Yes boss
@mharamimohamed88878 жыл бұрын
haya brother tumekuelewa ila malizana na mdogo wako bhana ana lalama hauja mtendea haki.
@cosmaskamwela49213 жыл бұрын
Mbeya moja
@yafangunda45245 жыл бұрын
Kama umemwona Roma gonga like hapa
@soipei33594 жыл бұрын
Yeah Up
@jamalhussein34638 жыл бұрын
Salute...from keko
@TheJosephsbm8 жыл бұрын
Big song
@thedextazlab8 жыл бұрын
Nice video. Nice song. But I like the original better, Blue's version. 😈
@happyfiverickaldo46625 жыл бұрын
Oyoooooo
@PITA11158 жыл бұрын
We dnt wnna b rich,we wnn b succsd coz we pay de coxt to be de Boss
@shevashenco34514 жыл бұрын
Hm sweet hm
@stangebo1778 жыл бұрын
Kama kweli umeiiba nyimbo umezingua
@JohnChale-rg8ic Жыл бұрын
Huyo alioibiwa mbona haikusikika kama hii!? HUYU kiboko kitambo😁😁
@jamesmaganga10554 жыл бұрын
MVP
@coms26408 жыл бұрын
We need good music like this, goes on with beat like crazy, I feel the hit. Suguuuu #Musicnotarguments
@shanisshow18648 жыл бұрын
watu wanachonga sana blue kaibiwa kaibiwa idea ya nani? siyastudio acheni ushabiki wainafki sunngu neda baba -mara blue kafuni wapi kafunika ye mwenyewe kapewa idea alafu anadaii wimbo wake
@geraldswai54923 жыл бұрын
2021 year
@malijanidaddy30488 жыл бұрын
muombe msamaha mr blue utapoteza mashabiki
@herikaniugu8 жыл бұрын
Acha muziki
@charlesphiloteus76608 жыл бұрын
ngoma kali
@clementmaingu88738 жыл бұрын
Blue's version is dope!!!!!!mh.umekaza ila blue n kiboko
@lusajo8 жыл бұрын
Real hustlers...walikua wajanja na bado ni wajanja... Congrats Mr. II aka SUGU for nice song and video...keep inspiring us and the youth! Lesson: u can live ur dream, just do not give up, keep on strugglin'..
@RamazaniMulongeca8 жыл бұрын
hahaha.. .whay kind inspiration are u talking about..?? still and robing someone's song??? is inspiration??? come on.. I hope #BASATA will have to deal with this....!!!
@kagusaandre8 жыл бұрын
+Ramazani Mulongeca PRODUCER AMBAYE NDO MMILIKI HALALI WA BEAT ACCORDING TO COPYRIGHT LAW ALIIGAWA .... NA WOTE HAKULIPIA .... YUKO SAHIHI KUFANYA ALICHOKIFANYA ..... SEMA WASANII WAWE SMART KABLA YA KUROPOKA
@lusajo8 жыл бұрын
+Ramazani Mulongeca inspiration kwa kupambana kutoka enzi za kuitwa mhuni na mpaka kuwa mheshimiwa bungeni, kuhusu kuiba ngoma ya Mr. Blue jamaa pamoja na studio wote wamezingua but hii haiharibu maana ya kuwa jamaa ni hustler
@lusajo8 жыл бұрын
+Kagusa Andre unapompa kitu maana yake kuna haki umempa tayari kulingana na mlivyokubaliana, kumpa msanii biti bure haina maana unaweza fanya vyovyote unavyotaka..unless ulishaga mwambia kuwa utabaki na exclussive right na akakubali (kitu ambacho pia hakiwezekani)...kimsingi wasanii na studio pia zijifunze kufanya kazi zao kwa maandishi (kisheria) kuepuka mitafaruku kama hii
@RamazaniMulongeca8 жыл бұрын
Lusajo Mwakasege APO NIMEKUELEWA ZAIDI KAKA.. #ONE_LOVE
@ElibarikiKilewo8 жыл бұрын
Najenga Mpaka Hotel.. . Hahaa.. . Na Siwezi Kuwalaumu.. . #Sugu
@michaelmallya56228 жыл бұрын
"Good artists copy, Great artists steal", Well done Sugu #Legend You're the Best!! #SuperHit Malizana na Mr. Blue Umeitendea haki hii nyimbo.
@dabasoprimaryschool37425 жыл бұрын
BLUE HANA CHAKE HAPA HUYU DEM KAVESHA CHORUS KAMALIZA BEAT WOTE WALIPEWA BURE TATIZO NINI?
@tifaaabduli64334 жыл бұрын
Michael Mallya haha
@Ivannovann8 жыл бұрын
Wow am speechless this is epic freedom u nailed it 100% en 10
@grationandrew74118 жыл бұрын
asante waheshimiwa kwa nyimbo nzuri, Mungu awabariki
@ukweli255Ай бұрын
One Love Sugu..Get well Soon and stay strong brother 20 AUGUST 2024
@fazeelshomary87438 жыл бұрын
Ngoma kali, demu kasimama, but solve issue ya hii ngoma na blue
@edmundmuhumba95858 жыл бұрын
Not fair brother, Bayser ameumia sana em malizana nae sio fresh kabisa we mtu mkubwa now...
@EmmanuelPonera-ie6kj Жыл бұрын
Child Benz
@burtonsatshop20618 жыл бұрын
Tabia ni kama Ngozi alisema Mrisho Mpoto,kumbe wizi bado upo ulimuibia Jarrafai MKe wake Shyrose leo umemuibia Mr Blue nyimbo,wanaMbeya kuweni macho na nyie.
@louisboukere23233 жыл бұрын
Mentor 🙌🏾🔥🔥
@peterphilips2708 жыл бұрын
sugu ni sugu hao wanafiki wakae kimya hapa ni freedom bonge la pini
@albertchuwa90558 жыл бұрын
byser umemzingua kwann,umetoa verses humu
@ahmeddola46488 жыл бұрын
The Legend is BACK na Master J kwenye machine!
@RamazaniMulongeca8 жыл бұрын
nakwambia bana ata #Professor_Jay duuh ngoma kali
@shavelikindamba45398 жыл бұрын
Unatoa lini ngoma Balozi????flow zako hatari bado tunazihitaji BongoFlavani
@amanam27358 жыл бұрын
+Dola Ahmed Tunakusubiri Balozi!!!!
@kalinjonjodaxclusive86368 жыл бұрын
+Dola Ahmed Ndugu hata wewe !!!!! mchizi kazingua aliyosema blue yuko sawa hata kama beat hakuilipia ..... c kila tunachomiliki tumenunua ukishatoa na kumpa mtu c chako tena
@dullymmhIloveitdully8 жыл бұрын
We can wait you Ahmed
@georgecharles59888 жыл бұрын
Nenda kajenge Hotel tu braza mziki unahitaji Talent!!!! :)
@saimmabula34428 жыл бұрын
Video kali bhna SUGU umehustle sana had kufika hapo leo
@hurumantasamaye72965 жыл бұрын
freedom
@luisjackmosses11228 жыл бұрын
Big big up brother for real"you paid the cost to be da boss" we don't want to be reach,we just want to be successful.... #ArushaNative
@taratara53508 жыл бұрын
+Luisjack Mosses kaka
@danfordj72648 жыл бұрын
Byser kalalamika mlalanikiwa hajajibu anyone hapa anaweza kuwa tatizo. By the way namkubali sugu namkubali byser na niliikubali audio. Natumai watasolve itatoka video part 2 .iko vizuri Big up bro
@geraldsanzala81193 жыл бұрын
Kuna ka snitch ktoka ifakara nakaona kwa video sijui hata kama kanajua nn maana ya hip hop
@fredreckmwakalinga34756 жыл бұрын
ngoma kali bro hongera
@marcochali24828 жыл бұрын
GREAT
@luncage26088 жыл бұрын
kumbe na ww mh ni mwizi
@4bbless5165 жыл бұрын
Bruh yo fk up ths track was Mr Blue song man why yo fk like that No good sound ! Yo have to say Sorry don’t be shy Mwabiye tu ulikoseya Mr Blue 4life
@mzeeadam91753 жыл бұрын
Love u bro! You the real definition of hustler!
@Lwenge558 жыл бұрын
Angemuacha Byser ingekuwa hit song....lakini imepoteza ladha kwa umafia alioufanya. Get down and resolve it bro !!!!!!!
@josephmlelwa31753 жыл бұрын
Napenda kuwa mtu flan in game am joseph mlelwa ,clinician napenda kufanya kitu.can u help nimekuja u'r fun since deiwaka
@josephmlelwa31753 жыл бұрын
Nikiwahi kukuona FM studio
@emmanuelasheri70378 жыл бұрын
Kitu ka io,
@zerochanneltanzania37974 жыл бұрын
Namkubali sana sugu.
@marcochali24828 жыл бұрын
GREAT SONG
@media-rs6lo8 жыл бұрын
GREEEN CITY BOY IN DA HOUSE
@ubaludomgulunde58273 жыл бұрын
Mbeya
@shalisanga68928 жыл бұрын
mwenyewe najikubal najenga mpaka hotel hahaha
@theemergencyoftownbyluwi18734 жыл бұрын
Hatari Sana hii kitu tulijikata kitaa kwenda nga'mbo kwenda kusaka bingo kwani bongo Mambo hayakuwa Mambo tulikomaa kiwanja tukajimix kijanja hatukuvuta cocaine za ya ganja
@hezronmwampulo43388 жыл бұрын
Ngoma kali hatari
@gitu4me8 жыл бұрын
#MJRECORD ACHENI NJAA
@mnzavachris54238 жыл бұрын
hahahahahaha ahsanteh
@taratara53508 жыл бұрын
click www.d-mike.com kupata hii story ya kutolewa kwa verse ya Byser
@mgenione96968 жыл бұрын
hatari sana Ngoma ya maana
@stephanocharles97308 жыл бұрын
ipo gud sana
@hemedigharibu39068 жыл бұрын
Ngoma ilikuwa bomba kinoumahhh ila dah umeizolotesha@mheshimiwa BYSER. @@ simba kamiss hapo........
@mrramadhanimsangi70736 жыл бұрын
muheshimiwa upload na album zote ulizowah kutoa upate views na pia ibak kumbukumbu maana hardcopy siku hiz hazipatikan