SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"

  Рет қаралды 465,418

Global TV  Online

Global TV Online

6 жыл бұрын

Subscribe / uwazi
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, amemshukuru spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kuwahakikishia wabunge wote kuwa kwa sasa wanapohudhuria vikao vya Bunge mjini Dodoma watakuwa salama, halitatokea tukio kama lililomtokea Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, ambaye alipigwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa nyumbani kwake Mjini Dodoma.
Aidha Mh Sugu ameliomba Bunge hilo kuwahakikishia usalama hata wanapokuwa maeneo mengine mbalimbali ya nchi.
"Kwa sababu ni uwazi dunia yote inajua wabunge wote wa upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama, sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo siyo salama, 'So Please Don't Shut Me', natoa ushauri, mawazo, maoni yangu kwa serikali, tubishane kwa hoja na siyo Bullet.
Subscribe / uwazi1 FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 335
@bensonfrank643
@bensonfrank643 6 жыл бұрын
MH. SUGU KILA AKIONGEA ANAONGEA POINT 💪✊ MUNGU AKUWEKE SANA BRO.
@abdallahdataguy
@abdallahdataguy 6 жыл бұрын
umeona eh. Yaani kihuni kihuni flani lakini full point mwanzo mwisho
@denisexpchannel3684
@denisexpchannel3684 6 жыл бұрын
benson frank √√√√
@donboscolunguya2936
@donboscolunguya2936 Жыл бұрын
Huyu jamaa aliongea point sana na sasa hii speech yake leo ndio inareflect ukweli Big up sugu
@lastpage488
@lastpage488 5 жыл бұрын
"Kutofautiana mawazo na mitazamo ni utamaduni wa watu wanaofikiri na walioelimika" Prof. Joseph Mbele
@antarysuleiman5338
@antarysuleiman5338 6 жыл бұрын
Kusoma san sio kwamba utakua muelewa sana 😂 kuna walio jielewa tangu tumboni yani wakishushwa duniani utapenda ......SUGU BABA UPO VIZURI SANA
@emmanuelsilungu446
@emmanuelsilungu446 6 жыл бұрын
mbeya city president much respect president
@nicodemocharles5566
@nicodemocharles5566 5 жыл бұрын
respect sugu
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 6 жыл бұрын
Big up Sugu keep on moving with genuine reasons n fact #BeBlessedEver
@kitangacharles5818
@kitangacharles5818 6 жыл бұрын
waeleweshe maana wanajua c hatujui
@jumacostantine8003
@jumacostantine8003 6 жыл бұрын
nimekuelewa Sana sugu Asante kwa kutuwakilisha
@essaumtawa2344
@essaumtawa2344 5 жыл бұрын
Juma Costantine
@geraldstanslaus6471
@geraldstanslaus6471 4 ай бұрын
2024 and still the best speech ever
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 6 жыл бұрын
Hahahaha daah aisee Sugu kanifurahisha sana, nothing serious lakini ujumbe umefika. Mwalimu mzuri ni yule anayeburudisha darasa akili haichoki uelewa unakua juu word by word ni rahisi kukumbuka huwezi sahau.Big up Sugu
@ilumbukibi4169
@ilumbukibi4169 6 жыл бұрын
Dah!We haumo bwana!
@morathraphael6287
@morathraphael6287 6 жыл бұрын
Sugu hivohivo wakuelewa atakuelewa mbona musukuma walasaba na anaeleweka
@emanueljtluway1265
@emanueljtluway1265 6 жыл бұрын
joji georige kwa kweli huynoma
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 жыл бұрын
joji georige true
@fabianvenance2891
@fabianvenance2891 6 жыл бұрын
Twende kazi sugu
@festomeshack8581
@festomeshack8581 6 жыл бұрын
Massage delivered mh. Sugu
@samwellaizarsamwellaizar5839
@samwellaizarsamwellaizar5839 4 жыл бұрын
Asantee baba.
@chapamtukironge2375
@chapamtukironge2375 6 жыл бұрын
yo sugu damn you killed it 😀😀😀😀!
@vicentigiboregibore1007
@vicentigiboregibore1007 5 жыл бұрын
chadema wooote nivichwaaa kwanza niwasomi napoint wanazjua kwahiyo tunajivunia hilo
@ramambongo4069
@ramambongo4069 6 жыл бұрын
Kamanda sugu uko vizuri wapasue mimacho imewatoka haamini kama ni ww sugu wachane kaka wanamuogopa sana
@scarletscarlet5363
@scarletscarlet5363 6 жыл бұрын
Nimekukubali mbunge wangu I sarut you
@mfedeful
@mfedeful 6 жыл бұрын
Salehe Yassin ni salute sio sarut...
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 жыл бұрын
@@mfedeful hahahahahaha
@danieljoseph6309
@danieljoseph6309 6 жыл бұрын
This is the way to send message across 😂😂😂😂😂😂😂
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 жыл бұрын
daneil joseph yeah
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 4 жыл бұрын
Barable of seed1🤣🤣
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 жыл бұрын
Dah Brother you are real Genius
@nasserkomba6231
@nasserkomba6231 6 жыл бұрын
True say Mr Sugu.
@rasnchimbi
@rasnchimbi 6 жыл бұрын
Kweli kabisa yote yanayofunguliwa Leo yalianzishwa Na kikwete
@edsonmosha7418
@edsonmosha7418 6 жыл бұрын
Big up broo
@SHPI156
@SHPI156 6 жыл бұрын
"UNALETA JANGWA,,,.. KARATASI NYIIIINGI""
@isackpaulo7946
@isackpaulo7946 6 жыл бұрын
oooh my god
@siwemaalphoncy2452
@siwemaalphoncy2452 4 жыл бұрын
Salute sugu
@lucasabunuas4662
@lucasabunuas4662 6 жыл бұрын
Sugu ndio mbunge wetu anaekuja kupambana nae kwenye jimbo lake mby city atapunguza wingi wa kura zake tu but ushindi uko palepale.
@aboubakarkaseko8670
@aboubakarkaseko8670 6 жыл бұрын
Nimekuelewa bro,ujumbe umefika hivyo2 hakuna namna.
@mbumbulicomedians3286
@mbumbulicomedians3286 6 жыл бұрын
point
@petermwanyondo6459
@petermwanyondo6459 6 жыл бұрын
umekomaa vizuri mkuu
@fauziaharuna6397
@fauziaharuna6397 4 жыл бұрын
Mbilinyi ni fire mungu azidikukulinde
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 6 жыл бұрын
kweli sugu umeongea
@christophersypriano7824
@christophersypriano7824 6 жыл бұрын
big up sugu
@abhambomihambo6754
@abhambomihambo6754 5 жыл бұрын
Safi sana MP Sugu!
@nurunswebe4203
@nurunswebe4203 4 жыл бұрын
sugu big up bro your the best member of parliament respect to you up coming president of tanzania
@mbarakaathumani3035
@mbarakaathumani3035 Жыл бұрын
Speach nzuri
@evanslugoya1232
@evanslugoya1232 6 жыл бұрын
mjinga mjinga hawez kumuelewa sugu timamu pekee ndoatamuelewa
@zaudatmakula3454
@zaudatmakula3454 6 жыл бұрын
Evans Lugoya kabisaaaa
@subiradalabu6616
@subiradalabu6616 5 жыл бұрын
Evans Lugoya ..umeonaeeee..
@e-mzambuli6647
@e-mzambuli6647 2 жыл бұрын
Big up
@shabbymakapane3212
@shabbymakapane3212 6 жыл бұрын
Huyu jamaa Dah
@bungapaul5221
@bungapaul5221 3 жыл бұрын
Respect bro
@victorjames3730
@victorjames3730 4 жыл бұрын
Mbunge wangu huyu nampenda sana,
@mselematiku2318
@mselematiku2318 6 жыл бұрын
safi sana sugu una akili sana
@richardmanyelezi5826
@richardmanyelezi5826 6 жыл бұрын
nimekubali sungu
@amonsanga6209
@amonsanga6209 6 жыл бұрын
dah ebwana nimeielewa sana hii speech
@marcusdonald1472
@marcusdonald1472 6 жыл бұрын
Big up brother
@oscaromary7437
@oscaromary7437 6 жыл бұрын
good
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 3 ай бұрын
Binafs nawaomba selikali yangu jimbo la mbeya mjini ligawanywe maana sugu ni muhim sana kurd bungeni
@renaldakamugishazeramulake940
@renaldakamugishazeramulake940 6 жыл бұрын
Kweli NDALICHAKO maelezo yake hayakuwa n.a. mantiki. Sigu bwana umenivunja mbavu.n
@rosemarysempombe8559
@rosemarysempombe8559 6 жыл бұрын
Akili za huyu mheshimiwa anazijua mwenyewe
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 6 жыл бұрын
kweli sugu umeongea maana kula MTU siku hz ni kambale kila SKU tunasikia mapya
@salmaibrahim9585
@salmaibrahim9585 4 жыл бұрын
BP sana mh.sugu tuchape kazi
@seifmohamedseif9467
@seifmohamedseif9467 3 жыл бұрын
We miss this 😂😂
@babytee4901
@babytee4901 6 жыл бұрын
nakuelewaga sana mheshimiwa sugu.......
@amirmotors9735
@amirmotors9735 6 жыл бұрын
nice ones
@MWIHAVAGF
@MWIHAVAGF 6 жыл бұрын
hahahaha @BIGup Mh.sugu
@bertineddyne610
@bertineddyne610 6 жыл бұрын
You so funny!
@samwelimwinyi9327
@samwelimwinyi9327 6 жыл бұрын
Mipango bila taratibu ni VURUGU ucseme co mipango! Nafurahiaga uongeaj wako tu Mh.
@mosamossile9113
@mosamossile9113 4 жыл бұрын
Mashindwa kwenda Butihama kwa baba wa Taifa, Mtawezaje kwenda Chato
@user-qw5ft8xc1e
@user-qw5ft8xc1e 6 ай бұрын
Sugu fundi sana jamaa
@mselematiku2318
@mselematiku2318 6 жыл бұрын
ahaaaa ahaaa anamaliza miti yetu hao mpe makavu bwana sugu
@johnnillan3990
@johnnillan3990 4 жыл бұрын
Ongera xana sugu unapoint nzuri xana
@godblesskyangala3785
@godblesskyangala3785 6 жыл бұрын
Smart politician
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 4 ай бұрын
👍✌️👊.
@victormaimu3748
@victormaimu3748 4 жыл бұрын
2020 bado nacheki
@fredrickmsomba4123
@fredrickmsomba4123 6 жыл бұрын
APPRICIATE NYINGI KWAKO SUGU
@husseinseif9856
@husseinseif9856 6 жыл бұрын
Viva sugu
@adsonjoseph8933
@adsonjoseph8933 3 жыл бұрын
Mr ll 2 proud
@ericgeorge7405
@ericgeorge7405 6 жыл бұрын
🙌motto chini
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 4 жыл бұрын
Fact fact fact sugu
@flaviankiria435
@flaviankiria435 6 жыл бұрын
Waambie babaaa
@georgembilinyi2824
@georgembilinyi2824 4 жыл бұрын
Mbeya city......up
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 6 жыл бұрын
hahhahaahhhahaaahaaajjjjjaaajj eti mnaleta jangwaaa,, hahahahaha sugu Nouma
@mbogomagembe6318
@mbogomagembe6318 6 жыл бұрын
huyu mbuge bana kweli msanii anachomekeza ukweli
@ernestomaphie1475
@ernestomaphie1475 5 жыл бұрын
Suguuuu
@henrygwalema8508
@henrygwalema8508 6 жыл бұрын
Hamjibu kwa hoja mnasubiri tukoke nje mtufanyie pyuu pyuu Pyuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 6 жыл бұрын
misifaaaaa
@wilbertcharles9129
@wilbertcharles9129 6 жыл бұрын
nakuonaa
@elishamwaya4074
@elishamwaya4074 6 жыл бұрын
Hahahahaha! mbaazi huk zinaitwa haujaulamba maana hazina bei kabisa yaani ukiomba unapewa bure tu,
@musocar408
@musocar408 6 жыл бұрын
ELISHA MWAYA mmmmhhhh
@aronadam5093
@aronadam5093 2 жыл бұрын
Yote yaliyo kuwa yanaongewa na wapinzani yana timia sasa
@onionpeeling5822
@onionpeeling5822 5 жыл бұрын
🤣🤣 stand up comedian with sense in it..
@lawrencebundala5769
@lawrencebundala5769 6 жыл бұрын
Eti anamaliza miti tu, Dah! Ama kweli kazi ipo.
@furahajonas839
@furahajonas839 6 жыл бұрын
kweli sugu sasa umebadilika unachangia fresh
@athumaniomary1245
@athumaniomary1245 5 жыл бұрын
sugu we need you 2020 to be our president
@joycejohn7754
@joycejohn7754 6 жыл бұрын
Ujumbe umefika
@rutashubanyuma4546
@rutashubanyuma4546 6 жыл бұрын
Ni dont shoot me sio shut jamani global vp??
@iddabed1522
@iddabed1522 6 жыл бұрын
Hahaaaahaaa aiseee nimecheka
@hassanmakweto4012
@hassanmakweto4012 4 жыл бұрын
ET unamaliza miti, unaleta jangwa # sugu we noma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@brownmshan2629
@brownmshan2629 6 жыл бұрын
Huyo ndio sugu moto chini!!
@notabenemwakamala7590
@notabenemwakamala7590 6 жыл бұрын
Mh Sugu huwa unazungumza mazuri daima jitihada ya kuzuia radi naziona we jipange kwa yote
@omalisaidi3245
@omalisaidi3245 5 жыл бұрын
nikweli kabisa
@danielmatya373
@danielmatya373 Жыл бұрын
Daaah Sugu z still Sugu jamaa kanyooka kama chuma
@fadhilimgohamwelu1891
@fadhilimgohamwelu1891 6 жыл бұрын
Duh kweli wapinzani wa tanzania ni chenga leo unamsifu kikwete ikiwa ndiyo mlikuwa mnamtukana hovyo hovyo azarani
@paulmalula8714
@paulmalula8714 6 жыл бұрын
hawa ndo wabunge tunaowahitaji katika bunge letu
@rajabummamba8019
@rajabummamba8019 4 жыл бұрын
Hahahaha.nipenda
@daudhenry913
@daudhenry913 6 жыл бұрын
Huyu ni Lecture
@user-oy8de5jm2j
@user-oy8de5jm2j 8 ай бұрын
Sungu.arudi Mbungen
@pauloalufayo6145
@pauloalufayo6145 6 жыл бұрын
Kweli tundu lisu wapo wengi ila tundu lisu yuko bungeni haleluya upinzani roho wa bwana yu juu yenu atawalinda kweli
@HelakridiWella
@HelakridiWella 2 ай бұрын
2024🎉🎉🎉🎉🎉
@mwakinhosantos6307
@mwakinhosantos6307 4 жыл бұрын
Maelezo mengii.....anamaliza miti tu huyu analeta jangwa
@kundyarajabkundya9235
@kundyarajabkundya9235 6 жыл бұрын
dont shoot not dont shut....be smart
@ericstephenm.844
@ericstephenm.844 6 жыл бұрын
Kundya Rajab Kundya True!.... DON'T SHOOT ME!!!..
@princekasheku8741
@princekasheku8741 6 жыл бұрын
Kundya Rajab Kundya 😂😂😂🤣🤣😂🤣
@wingavangaga1778
@wingavangaga1778 4 жыл бұрын
H
@albertjames6845
@albertjames6845 Жыл бұрын
Wewe ndo hujuwi, “don’t shut me” usinyamazishe/usinzime. Usikariri kuwa alitaka kusema usiniuwe. English is so diverse shida ni wewe unaekariri badala ya kuelewa.
@marychallo843
@marychallo843 5 жыл бұрын
Ahaha karatas nying unaleta jangwa😀😀
@hamisbennjaphet400
@hamisbennjaphet400 6 жыл бұрын
Waambie hao Mr ll
@isackmwaluko7564
@isackmwaluko7564 6 жыл бұрын
kwa nini watanzania ni wepesi wa kuunga mkono wanasiasa wa mlengo wa kushoto hata kama ataongea visivyo..!!!!? wanunuzi wa kunde na mbaazi walikuwa brazil vs canada na kwasasa wanalima wenyewe tena kuzidi tz..hawanunui tena..sasa..anayepandisha bei ni nani!!!!abilia wote wakinunua magari ya kutembelea mabasi yanakosa wateja..mtaailaum serikali.??wabongo bwana!!!mtamuelewa tu jpm.
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 6 жыл бұрын
Hahahahahahhahaha,karatasi nyingiiiii hahahahahahahah,maelezo meeengiiii
@mosamossile9113
@mosamossile9113 5 жыл бұрын
Piu piu
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 жыл бұрын
hahahaha nimecheka sanaa jmn kila nikimsikiliza huyu jamaa nacheka sanaaa !! Aah we usijali we haupo!!!!!HAHAAAAAA unaleta jangwa unamalizia miti HAHAAAAAA
@anthonymgogo2651
@anthonymgogo2651 6 жыл бұрын
Ukweli mtupu!
MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
11:46
Global TV Online
Рет қаралды 749 М.
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 85 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
Sugu Amvaa Bashite, Ataka Ashtakiwe, Awaponda Bongo Muvi
11:55
Global TV Online
Рет қаралды 134 М.
HECHE BUNGENI: "Mtaua Sana, Waambieni Watanzania Ukweli"
10:40
Global TV Online
Рет қаралды 463 М.
"UMEPATA UBUNGE TU, UKAMUACHA MUMEO, TULIA NIKUPASHE WEWE" - MBUNGE KEISSY
6:07
MBOWE- "WANAOKOSOA SERIKALI WANASTAHILI KUFA! HATUTAJENGA NCHI KWA BUNDUKI"
14:01
"Tusinunue Ndege Kama Tunanunua Machungwa" - JOHN HECHE
4:51
Global TV Online
Рет қаралды 278 М.
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 572 М.
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 17 М.