KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE 0625466848 AU 0753393036
Пікірлер: 28
@jennet64842 ай бұрын
Alf zai na suzy mbona vitu viwili tofaut..zai anahadithia ya uswaz kwao kwa kutufurahisha na maneno yake ndio yanayotuburudisha..suzy anaongea anachamba kinachofanya muwapambanishe ni kwamba wote wa uswazi..lakin ni watu tofauti
@FatumaMuya2 ай бұрын
👍👍❤
@prezgal88692 ай бұрын
Wako tofauti kabisa,suzy ni wa michambo ila zai ni wa story za vichekesho mtaani kwao
@jennet64842 ай бұрын
@@prezgal8869 kabisa sijui wnapambanishwa vip😃
@joycekalago5326 күн бұрын
Sasa hili lenye sura na rangi kama tope la maporomoko ya mlima Hanang ndio la kufananisha na Zai wetu wa toka enzi khaaaa hebu mtupishege