NASHAURI TU Achaneni na ayo mambo ya kutafutiana makosa ya kimatamshi, na kiusomaji, Rudini ktk Mambo MUHIMU ya Uhizbi na UJADIDA tulikuwa tunapata faida za kutosha, tulikuwa tunafunguka kiufahamu ipi haqqi na ipi Baatwil (Kwa wale wenye kutaka haqqi)
@maulidimuhaniАй бұрын
Nadhani hujaiona video aliyo ituma Shekh Muhammad bachu asubuhi ya Leo, kama ungeiona usingeendelea na maneno Yako ya KUTAFUTA makosa ya kimatamshi ya kibinaadamu, maana Kwa Namna hii hakuna mwanadamu KTK duniauyetu hii ya sasa ukitoa WALEE MA'ASUUMIINA , Hakuna anayeweza kuongea 100% bila ya kuchapia hata kama unaongea lugha uliyozaliwa NAYO mfano, sisi wa Tz, tunachapia sana TU ktk kuongea hata kiswahili chetu, hivyo, HATA WEWE ABUU RUDUUD tumeona matapishi Yako meeengiii TU ktk clip aliyoituma asubuhi , hivyo acha kutunpmia ayo maneno Yako ya JAHIL (MJINGA, Hana Elimu kabisa) maana mukitumia hayo maneno ya MJINGA WOOOTEEE MUTAKUWA WAJINGA WATUPU ISIPOKUWA WALEE walio Kwa kimya TU bila ya kuongea.
@maulidimuhaniАй бұрын
Nadhani hujaiona video aliyo ituma Shekh Muhammad bachu asubuhi ya Leo, kama ungeiona usingeendelea na maneno Yako ya KUTAFUTA makosa ya kimatamshi ya kibinaadamu, maana Kwa Namna hii hakuna mwanadamu KTK duniauyetu hii ya sasa ukitoa WALEE MA'ASUUMIINA , Hakuna anayeweza kuongea 100% bila ya kuchapia hata kama unaongea lugha uliyozaliwa NAYO mfano, sisi wa Tz, tunachapia sana TU ktk kuongea hata kiswahili chetu, hivyo, HATA WEWE ABUU RUDUUD tumeona matapishi Yako meeengiii TU ktk clip aliyoituma asubuhi , hivyo acha kutunpmia ayo maneno Yako ya JAHIL (MJINGA, Hana Elimu kabisa) maana mukitumia hayo maneno ya MJINGA WOOOTEEE MUTAKUWA WAJINGA WATUPU ISIPOKUWA WALEE walio Kaa kimya TU bila ya kuongea chochote.