Nipo apa baada ya kusikiliza nyimbo ya mond unachezaje dah 🇹🇿🇹🇿
@mdathirhassan21875 ай бұрын
Matona utatona matone kesho na hakuna wa kukusaidia
@libanpac-cg8mn Жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana ❤
@honsaidibinsharifsharifsai80272 жыл бұрын
if your in east AFRICA and you dont know the sweetness of swahili language sorry for you. laugha safi sana tarabu muruwa kabisa much love from Kampala lalalalalala
@mauricezeida98722 жыл бұрын
We're west Africa we love this song but we don't understand it
@theglobalsociallibertyexpr61502 жыл бұрын
🌹Oooh Mungu wangu; Hii ni Fasihi asilia ya Kiafrika "Lugha ya Kiswahili" ni lugha inayoenea kutoka nchi za Afrika Mashariki hadi juu ya Afrika Kaskazini🌹Oooh my God; This is pure original african Literature "Swahili Language" it is a spreading language from East African Countries to upper North Africa 🌹
@zuhuraimran36593 жыл бұрын
Nan yupo huu mwaka 2020
@Asa-nr3ip Жыл бұрын
2023 still rocking
@hamisiramadhan24537 жыл бұрын
Utakumbukwa saana pamoja na nyimbo zako marehemu isaah
@walaalajofficial62697 жыл бұрын
ahmed caagane papa wetu wa mpani
@nzikumvaissa91962 жыл бұрын
I am Issa from Rwanda I love Talaab of Matoma so much
@msafirinuru5701 Жыл бұрын
Mzee issa naye yupo sana💪💪💪🇰🇪🇰🇪💯💯💯.napenda zake pia!!..
@salimmabele60922 жыл бұрын
Wonderful music, by the way that bassist rocks bigtime
@msafirinuru5701 Жыл бұрын
Inshallah kesho ni siku.mzi let...kenyan man loves,tz taarabu...
@daniellaaidal22334 жыл бұрын
2020 I'm still watching ❤
@alfredmutua56173 жыл бұрын
Halwa,,tutazidi kumkumbuka babu issa,,, sizaona mtunzi zaidi yako, Rip
@mofasazorilazo34523 жыл бұрын
2021 😂🇰🇪🇰🇪🏃🏾
@MafuluJulius-qh7ex Жыл бұрын
Hata tokea Kama wewe mungu akulehem
@mgenishaban79662 жыл бұрын
Manshaallah mzee wetu ulikuwa ukifikisha ujumbe sasa
@kassimjuma87135 жыл бұрын
Nataka kuwambia ambao. hamkuepo enzi hizo. Popote palipo kuwa naharusi. bila nyimbo Hii harusi hakuna.
@zetaali1265 жыл бұрын
ushasema kaka
@hamisiadamu30944 жыл бұрын
Ali
@manish-fp1fb4 жыл бұрын
Enzi hizo spika ni zile za dizaini ya kawa.
@aminaabdiabdi71123 жыл бұрын
😂😂😂🙌
@heyumi23403 жыл бұрын
Za kitambo nzuri
@athmanbakari99923 жыл бұрын
Much love from Kenya ❤ tamu sana never gets old!
@yosefr50162 жыл бұрын
Tamu Sana
@yosefr50162 жыл бұрын
Tamu Sana
@wahidawahida66755 жыл бұрын
Dahhh nakumbuka kwetu tanga jamani😭nilikuwa mdogo sana ila mama angu alikua akiimba sana izi taarab.natamn nataman niyaone macho yako👌👌
@fadhwah5555 жыл бұрын
Na kwel akija akikutokaaa usije kuliaaa nae.....
@Sophia_amelowa3 жыл бұрын
Tupo pamoja 2021
@sablinitanzania22153 жыл бұрын
Tupo kabisa
@ahmedhahmedh96434 жыл бұрын
Maa shaw Allah taraab za Zaman Zina maneno kuntu
@Mooncake_tz4 жыл бұрын
Nyimbo pambe sana. Maneno mazuri.
@karemboally77562 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤2024 burudani umetuachia mzee wetu Allah azidi kukurehemu na akupe kauli thabiti
@onlinemovie85805 жыл бұрын
Daahh whoo watching this 2019-20
@khamisjuma90544 жыл бұрын
Allhwa akup kaul dhabit mzee wety
@salwasuleiman35254 жыл бұрын
Me
@selemanpawa80094 жыл бұрын
01/08/2020.. And its goog music..
@HJ-wf2vi4 жыл бұрын
Watoto km wakina Idrisa Sultan hawawezi kumuelewa Mzee Issa Matona hasa kwenye MAVAZI watabaki kuchekacheka tu.
@paulinacherement25343 жыл бұрын
Old is gold mashallah ALLAH barik.
@user-zk4bg2jb1m6 ай бұрын
Wimbo mtamu sana
@wafulaalex22915 ай бұрын
2024 hands up wen listening 🎧 to Issa Matona guys
@user-he4fl7md2z5 жыл бұрын
Old iz gold innalillahi waina illahi rojuin matonya
babu wetu wa pwani; kweli madafu ni tamu lakini lillilo ndani ni ladha zaidi
@missmoha28543 жыл бұрын
Old is always gold ❤️still listening in 2020
@habiba00227 жыл бұрын
pumnzika kwaamani mnzee wetu issa matona
@hawatognolasuleiman78326 жыл бұрын
Habiba 00 ni hawa. Wa kiebeni
@hosearwechungura53915 жыл бұрын
Mungu akupumzishe pakustahilipo mzee wetu
@RichardKihwero-cw2ni6 ай бұрын
Nyimbo zenye Mafunzo ndani ya Nyoyo za Wenye Hekima zao. Raha kwatu kusikiliza Jamani. Mbona kazi ipo. Kupata Phd Siyo kazi. Kazi kubwa Phd kuigeuza Pesa .
@saidmasoud45505 жыл бұрын
Allah ampe kauli thaabit Maneno mazito akiwepo unaona Wa nini akiondoka Maneno mdomoni na kusingizia watoto wanapatashida
@akaramasinga85705 жыл бұрын
MashaaAllah, MashaaAllah, MashaaAllah wajina
@allysalim35344 жыл бұрын
Usiutie mapengo msomeno wangu
@rashid.mwenyezimunguakurin29685 жыл бұрын
mwenyezi mungu akurehem mzee wetu
@makamemjeda29382 жыл бұрын
Allah akujalie kheri
@kouratidicloneali9466 Жыл бұрын
Ta Laoukana tsissi elewa piya makalema za rongolwa bé mhimbo Washi hâlé wu stawi swafi. Salama wa rangu chissiwa ya shi maore.
@lukresiajullie41916 жыл бұрын
Sina shaka sina mapenzi ni kazi yako💋💋
@rehemahare Жыл бұрын
2023 bado tupo kwa sana pumzika kwa aman mzee ngoma tamu sana
@Macho_kwa_msela5 жыл бұрын
the tape nostalgia is strong on this one...
@eddymasasimd88362 жыл бұрын
2022 is still sweet♥
@aminaramadhan46823 жыл бұрын
Sauti yako itabaki hakuna kama wewe mungu akulaze mahali pema peponi
@azzaalmaamry766 жыл бұрын
MaashaaAllah maneno kuntu mungu akulaze mahari pema
@zulachama10675 жыл бұрын
Umetuachia kumbukumbu ya sauti yako umetutangulia mbele za haki nasi tuko nyuma yako,mola hailaze nafsi yako mahala pema peponi.
@barakayusufu27067 жыл бұрын
Baabu Matona roho yako ilale mahala pema peponi
@hilmiothman36536 жыл бұрын
Baraka Yusufu uko fast
@alicewanjohi22956 жыл бұрын
May ur soul Rest In Peace
@jamilahomary28396 жыл бұрын
innalillah wainailayh rajun
@neemaruttaiwa62025 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele mzee Issa Matonya
@ibrahimdzuya59077 жыл бұрын
old is gold..... fantastic and romantic song.
@abdijaku40215 жыл бұрын
ibrahim dzuya you 👉
@peternjenga68252 жыл бұрын
I just love this song. Sad to learn mzee is not alive