Wanaosikiliza hii nyimbo 2024 gonga like tukisonga
@hafidhame64335 ай бұрын
Daah hizo ndio nyimbo za kusikiliza 2024
@anonymoussaid59863 ай бұрын
Anayeskiliza 2024 🎉
@JumaAlly-fb5pc3 ай бұрын
Anayaeangalia kimasomaso 2024 like hapa👌
@masoudsigali45232 жыл бұрын
Tangu 1997 mpaka sasa 2022 naisikiliza huu wimbo hakika old iz gold......R.i.p waliotutangulia kwa Allah
@willfredychazz28453 жыл бұрын
Hizi ndonyimbo sasa za kuelimisha sio zile moyoyo anae kubar nyimbo za mzee wetu issa tuonane hapa dore juu hpo tujuane
@ummusalmaan90632 жыл бұрын
Allahuma aghfirlahu warhamhu waskinhu FIL jannah
@ndolasaid63234 жыл бұрын
Anayesikiliza mwaka 2020 anyooshe mkono juuu
@saumsuleiman97944 жыл бұрын
☝️
@mgayarashidi344 жыл бұрын
Mani anasikiliza nyimbo za ISA matona minipo tanga nawewe taja ulipo kamaunasikiliza nauumpenzi wataarabu zazamani
@hadijahamisi37094 жыл бұрын
Npooo
@Hesbonful4 жыл бұрын
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa KZbin. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
@mrismail54374 жыл бұрын
🙋♂️
@faridaramadhan25093 жыл бұрын
2021 tujuae tunaosikiliza huu wimbo mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi ulijua kutunga nyimbo zenye mafundisho issa matona rip
@faridaramadhani85882 жыл бұрын
Mwajina
@christinamoland9743 Жыл бұрын
Mwanga wamilele humuangaziye ee bwana mungu wamajeshi
@ahmadothuman1902 жыл бұрын
Siku ukija tena kusikiliza kimasomaso achia like yako
@SophiaBalagomwa-hx9gb Жыл бұрын
😂
@ibrahimmohd4337 Жыл бұрын
2023
@user-mo7lq5zd4d9 ай бұрын
Tuko pamoja
@shuweikhasalim42117 ай бұрын
2023
@FatmaNgumbewe6 ай бұрын
❤❤❤❤❤😂
@asyaateteatete61794 жыл бұрын
2020 nani askia wimbo uyu? Congo nipo
@johnkahekwa89623 жыл бұрын
Nami Niko Bukavu/ Congo. Naendeleya kumpenda Mzee Issa kabisa.
@shariffaabdalla21704 жыл бұрын
Maaso maso mwanangu asimuone jicho la hasid mwanangu lisimuonee🥰🥰🥰naipenda had bass ii nyimbo tokea mdogo naisikia maharusin had namie nimeolewa nimeimbiwa 🥰♥️
@halimamshami32795 жыл бұрын
This will forever be "THE BEST"wedding song. ..rabbii amrehemuuu
@Ambagaye Жыл бұрын
On top of its strong wedding message, I like its poetry! Superb poetry indeed. Issa Matona sang over 16 poetic verses very smoothly.
@chegewainaina8038 Жыл бұрын
Wimbo mtamu huu, nani ausikiza mwaka 2023. Radha kama ya jana..
@yumbamatipa2702 Жыл бұрын
Nipo hapa April 21, 2023
@hawarajab Жыл бұрын
Nipo hapa omani Raha km zote 25 ,4,2023😅
@umubabarirwafarida82812 ай бұрын
Oo@@hawarajab
@Hesbonful4 жыл бұрын
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa KZbin. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
@jafaripaje53665 жыл бұрын
The song reminds me those days in Primary School coming back home from school for lunch and then you find Mom is starting prepare lunch while singing this song, you want to rush back to school before luch was over for fear of being punished......But she insist you....subiri kwanza ule mwanangu. Nakuombea kila la heri mama.
@zahorsuleiman56795 жыл бұрын
c
@halimatossa70654 жыл бұрын
Ha ha ha ha duh ni mm kabisa
@jafaripaje53664 жыл бұрын
@@halimatossa7065 Hahahahaha mama huyo
@rajabuibrahim88114 жыл бұрын
Praise to all mothers in the words
@neemammbaga3434 жыл бұрын
Jmon thats mothers love 💕
@fatimanzota14408 жыл бұрын
Masha allah ujumbe mzuri si ishi hamu kuisikiliza hii nyimbo inanikumbusha harusi ya dada yangu mpendwa mungu awalaze mahari pema peponi.
@ziadayasiniziadayasini99787 жыл бұрын
Isa matona mungu akuondo shekhe adhabu ya kabru hii nyimbo haishi fasheni big up kwako
@mariamissa87618 жыл бұрын
R.I.P maashaallah ulikuwa na ujumbe mzuri sanaaa hii nyimbo naiona mpya kila ninapoickiza
@khaniphaayubu61744 жыл бұрын
Mariam Issa dah kwakweli Yani nikisikiliza mpaka nalia yani
@maryamabdallah71744 жыл бұрын
Good morning everyone
@aishaomar8305 Жыл бұрын
2023 and this song still lit🔥 i remember listening to it at weddings when young till played on my wedding. Mashaallah haichoshi
@ibrahimaboker90864 жыл бұрын
Wana Pangani bado mpoo kumbukeni enzi zetu tinga tinga na juhudi 1970 malindi na mitaa juu raha tupu.
@yusuphamiri57584 жыл бұрын
Inalillah wainalillah rajaun
@Jumasaidi-iv8cj7 күн бұрын
Pangani home maeneo ya boza
@ramahuwezjua97435 жыл бұрын
mashallah babayet issa matona Allah akufanyie wepesi
@TheFamilesso7 жыл бұрын
This is and will always be the classic East African wedding song
@yasinmakandalau44147 жыл бұрын
That's true
@myreennao94347 жыл бұрын
TheFamilesso thats true
@jumamgangaibrahimunguguru60665 жыл бұрын
mzee alikua moto si mchezo
@halimamasare68385 жыл бұрын
Absolutely 👌
@Hesbonful4 жыл бұрын
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa KZbin. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
@kibwanajuma63706 жыл бұрын
ALLAH amrehemu mzee ISSA MATONA
@AminaAmina-cl9fe Жыл бұрын
Can't wait for my mum to request it to be played during my wedding while dancing with her InshaAllah
@farhiyawarsame9697 Жыл бұрын
insha Allah
@AminaAmina-cl9fe Жыл бұрын
@@farhiyawarsame9697 thanks darling
@aboubakarmsangi692 Жыл бұрын
Insha Allah..
@zeynabgeorges Жыл бұрын
Inshallah 🙏
@artisthusnatalal3099 Жыл бұрын
Usikose kunialika 😅
@sirderanym79864 жыл бұрын
Can't wait for this to be played on my wedding.....
@saeedsalim10904 жыл бұрын
when is ur wedding
@mohamedobura86152 жыл бұрын
Insha Allah
@stn48732 жыл бұрын
All the Best Ukhty...
@Jumasaidi-iv8cj7 күн бұрын
😢😢😢 hii nyimbo imenitoa machoz nafunga ndoa hali ya kuwa nishamzika mama eeeh allah nakuomba mpunguzie mama yangu azabu na kaburi na umeweke mahali pema pepon
@mohdmussa77498 жыл бұрын
He was one of his kind. R.I.P Issa Matona, Bi Kidude, Sitti Bint Saad, Omar Kopa and all the great Zanzibar voices
@raymondtuli15186 жыл бұрын
Mohd Mussa nice comment!
@jamilajabu29026 жыл бұрын
mungu awapumzishe salama
@zianaally94125 жыл бұрын
kiboko uyo mtu mungu ampe wepesi kaburini
@bahatia66265 жыл бұрын
Mohd Ni?ssan
@Hesbonful4 жыл бұрын
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa KZbin. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
@issaali13212 жыл бұрын
Allah amsamehe makosa yake. Alikuwa legend. Alikuwa akija kwa jirani nyumba ya pili Magomeni Zanzibar. Mzee alikuwa hodari sana. Hakuna marejeo yetu sote ni kwa Allah. Mashairi yake yalikuwa ya kipekee.
@johnmapunda996 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amuweke mahali pema Mzee Issa Matona, alikuwa ana uwezo wa ajabu wa kuimba. Mashairi yake ni kama mwalimu vile anafundisha!
@Rahma-it4jj4 жыл бұрын
Yani daaah
@saidimhina46325 жыл бұрын
Gooood long time sana nipo kijj kimoja kinaitwa mandera korogwe tanga 1987
@amanichelangwa70914 жыл бұрын
Kweli we muhenga Hongera sana
@pillykenedy21405 жыл бұрын
Nyimbo za uyu baba mashaAlaah!,huchoki kusikiliza mungu akupunguzie adhab ya kabri
@Hesbonful4 жыл бұрын
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa KZbin. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
@aminamahmoud87845 жыл бұрын
Smash the like below if u r still listening to this 2019 jun# mwacha mila ni mtumwa.....Mombasa city
@nambuacassandramlaki35163 жыл бұрын
Huu wimbo jamani. Ni mzuri.Huyu jamaa alikuwa na kipaji
@adinaniibrahim447Ай бұрын
sana
@ramadhanmseba46899 жыл бұрын
Daima tuta kukumbuka, daima tutakuenzi, mungu akulaze mahali pema peponi Amiiiiin"""
@omaryahmed79144 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulaze mahari pema pepon aaaaamina
@zainabualhinai39347 жыл бұрын
jamani isa matonya mungu amleem alikuwa na nyimbo msuli sana
@KarimMarango8 жыл бұрын
Asante sana for this - Tanzania - I miss you so much!!!!
@nambuacassandramlaki35163 жыл бұрын
Its year 2021 bado nasikiliza huu wimbo.😭😭 Rest in Peace Issa Motana
@hamisimuna1252 жыл бұрын
September 2021 bado ni mtamu
@miragejuma15602 жыл бұрын
Obrigado pela músicas Bwana issa
@ahmedhassanadam72483 жыл бұрын
Mm ni kijana wa zama za kileo lkn marafki zangu hunicheka nikiskiza na kuenjoy hizi zilizopendwa...Old is Gold...Zina message hizi nyimbo
@hadijasaidy25985 жыл бұрын
allah amuweka mahali pema popeni awapunguzi adhabu ya karibu waliotutangulia mbele ya haki.....🙏🙏🙏🙏
@sabrinathequeen46282 жыл бұрын
Nikiolewa nataka niweke huu Wimbo… kwasbabu ndio aloekewa mama angu alivyoolewa😔❤️
@itsdemidy5439 Жыл бұрын
njoo tuoane mwakani
@MfaumeBaruti-jw6yy6 ай бұрын
Kwahiyo Unataka Kushindana Na Mama Yako
@hamisiramadhan24537 жыл бұрын
Allah aiweke roho yake mahali pema peponi.
@mariamk14887 жыл бұрын
AMEEN
@hassanimfaume72756 жыл бұрын
Mariam K
@bimoza29746 жыл бұрын
Bi moza
@subirajohn7282 жыл бұрын
Amina!
@namisara68597 жыл бұрын
wavuvi warudi mbio, na vyombo vimegongana..kuna papa usingizi jitahadharini vijana..papa limetoa penzi mawimbi linatawanya,..vidagaa na mikizi leo mtaliwa mnaona...ati aje apaaah! 😃
@nzaumusyoka7 жыл бұрын
hicho kiswahili huwa kinanipagawisha aisee
@halimamohammedy92475 жыл бұрын
Mashaallah
@hassanabdalla27414 жыл бұрын
@@nzaumusyoka hiyo ndio ladha na hazina ya lugha ya Kisw kimejaa vionjo na nahau za kuvutia
@niyahdelajungle37176 жыл бұрын
😮😮😮😮 I'm from the Comoros Island and this song is always played on wedding celebrations 🤔 #Swahili #Bantu
@fauziahashim10995 жыл бұрын
Niyah DELAJUNGLE HV
@fauziahashim10995 жыл бұрын
Niyah DELAJUNGLE
@wendomagalla63614 жыл бұрын
That nice to hear
@othmanabdallah35034 жыл бұрын
Nice song
@johnhima94543 жыл бұрын
You're so beautiful Niyah
@kingwigo29614 жыл бұрын
🎹👏👏kimasomaso hii ngoma ilifana saana kwa kiba wedding in 254 mc
@stephenwambugu39775 жыл бұрын
2019 June. Haishi fasheni. From dubai
@halimamohammedy92475 жыл бұрын
Aswaaa
@fatmax87105 жыл бұрын
@@halimamohammedy9247 nikweli yaani kila unataka niisikilize
@sophiaoman99574 жыл бұрын
Yani inanikosha vilivyo haswaa
@kondeisiaka77363 жыл бұрын
Isihaka Konde From Tanzania izondio zetu kipindi hichoo
@jasminishafii54782 жыл бұрын
🥰👌💯
@babuushilla343511 жыл бұрын
Beautiful Tanzania,we will always remember our Hero and Legend Issa Matona.R.I.P Mzee
@aishaelias9866 жыл бұрын
Babuu Shilla mimi mkenya nimeolewa na mzungu na hii nyimbo ndio ilichezwa. Sikujua kama kafa jamani 😣😣😭😭
@syksyk72955 жыл бұрын
Inna lilah wa ina lilah rajuin mble yk nyuma yetu
@syksyk72955 жыл бұрын
Ardh inatubeba weng jaaman ivy pnd tutapotembea juu ya ardh tutembee kw heshma n unynyekev kbw
@nzaumusyoka9 жыл бұрын
Ngoma yenye ladha sio vitu ivi ivi. Hongera
@allyjaphary81082 жыл бұрын
I'm listening to this in 2022 n maybe inshaallah i wish to play this in my wedding someday in the future
@stn48732 жыл бұрын
In Shaa Allah.
@muddyaforeal11455 жыл бұрын
Wako Wapi Manyakanga Wanaocheza Mkinda Wakataze Wari Wao Wasiniombe Kwainda Mara Nipe Mara Nipe Vingine Vitawashinda Eti Aje Hapa.
@natepam44862 жыл бұрын
1989 harusi ya mjombangu,,asante Issa hajatokea mwny ana nyimbo tamu km zako,Allah akuweke pema
@abdulhamidkificho57684 жыл бұрын
Old is gold taarab Zanzibar Vya kale ni dhahabu,,Viva Zanzibar Our be loved Marhoum Issa Matona Our be loved Zanzibar taarab
@mcback4384Ай бұрын
Ni mtanganyika kutoka Tanga sio zanzibar
@majaller6951 Жыл бұрын
2022 we still here,Issa was a legend, may he keep on Resting In Peace.
@sakinaabd58989 жыл бұрын
Verry nice hongera ya kiiasili thank's kwa wale wotutilia na Mungu amrehemu babu aloitunga Ishallah amlaze pema peponi Amin
@maryamsalim87033 жыл бұрын
Mashoga wakija sema nao dirishani🤣
@edwardngosha156010 ай бұрын
😂😂ndio Wata muiba mume
@nurumwamboga8115 Жыл бұрын
R.I.p kwa hakika nyimbo za huyu mzee zilikua nzury....na kuelimisha🥰nazipenda sana nyimbo zake
@beautylight9875 жыл бұрын
2019 bado IPO kilelen janaa firdaus iwe pepo yako amiin
@shaythabdul27174 жыл бұрын
Firdaus kwa kuimba jmn
@Hesbonful4 жыл бұрын
Tafadhali, naomba, yeyote yule awezaye kutuandikia maneno ya wimbo huu, ayachapishe mtandaoni hapa KZbin. Kwani hekima iliyo ndani yake ni ya thamani sana na adimu. Asante sana, tena sena. RIP Mzee Isa Matono.
@MussaKingu2554 ай бұрын
2024 twende sambamba na mzee wetu issa matona
@mauajohn9495 жыл бұрын
2019 naangalia pumzika kwa amani baba🙏
@ronarona22006 жыл бұрын
Hii nyimbo inanikumbusha mbali sana,marehemu baba yangu. ..
@capramlacky81523 жыл бұрын
Tutauona mpambanoooo leo 2020...continue to rest in peace
@janathyjuma87064 жыл бұрын
Allah akupe mwanga kabrin ......naakupunguziee adhb xa kbrii...........old ix gold ..ixaa nkupenda mnoo
@tatujumamaro36073 жыл бұрын
I remember my late mother when I was young...
@HusnaMuhammed-yx8nl4 ай бұрын
Nyimbo nzuri 2024
@halimamajaliwa54043 жыл бұрын
Penda sana kimasomaso jamanii issa matona mungu akuepushie azabu za kaburii🙏🙏🙏
@mwajumasalehe18568 жыл бұрын
old is gold! R.i.p issa matona
@khadijaissaeddd63347 жыл бұрын
Allah akulaze pema aliko laza walotangulia in shaallah
@JosephDesideri10 жыл бұрын
Daima Utakumbukwa Mzee wetu Issa Matona. RIP
@habibaswalha99125 жыл бұрын
Masomaso eeeh 2019 may he RiP mzee
@Rahma-it4jj4 жыл бұрын
Mungu akupunguzie adhabu za kaburii😭😭
@bashiramissi425010 жыл бұрын
Marehemu issa matona allah akurehemu akupunguzie azabu za kaburini na akuweke mahala pema.
@rashidijulius65117 жыл бұрын
ALLAH Ampe jannah amiin
@mwanahalimamwachili96796 жыл бұрын
rashidi julius Aamiin.
@Nims6436 жыл бұрын
rashidi julius Ameen
@iddrashid42625 жыл бұрын
rashidi julius mzeemajuto
@Rahmamatengo61145 жыл бұрын
Amiin
@bazilycharles8883 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana haichoshi kusikiliza
@azzaalmaamry765 жыл бұрын
Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi yaarab awarehem wote waliotangulia mbele ya haki
@greatone54925 жыл бұрын
We are egyptians loves your voice
@othmanabdallah35034 жыл бұрын
Good good
@mamuuwaomary12443 жыл бұрын
Manshallah. Mzee wetu kwa mafundisho🙏🙏
@saudaabdallah84685 жыл бұрын
Nautaka wimbo huu katika harusi yangu in shaa Allah
@shabirhassan63865 жыл бұрын
Me na ww
@shekallagheally90384 жыл бұрын
Wacha ww
@jafaripaje53664 жыл бұрын
Unae mchumba? Sema In Sha Allah
@maryammct39674 жыл бұрын
Ishallah habithi
@asmaafamau83074 жыл бұрын
Inshaallah mngu akupe mume mwenye kheri nawe
@haullahtwahir702610 жыл бұрын
wasanii wa zamani walikuwa wakijtahd kuandaaa nymbo zao kwa makini sana..
@kingwigo29614 жыл бұрын
Kweli kabisa
@oman11oman595 жыл бұрын
Waoh mzee wangu mungu akulaze mahali pema peponi amen amen
@patrickmbogo78057 жыл бұрын
kitambo sana s/m mpaka sasa wimbo huu naupenda
@babat52723 жыл бұрын
safar yetu. nimoja mungu akupunguzie. Adhabu ya kabur babu yetu issa matona mshaul wetu
@hafidhame85655 жыл бұрын
Mw/akusamehe makosa yko, hii ni kali sana 2019/06/27
@mwanawetumwagora62836 жыл бұрын
Mungu akulaze mahalapema peponi shekhe issa matona.
@user-yv8zw5lm9g10 ай бұрын
Nazipenda sana nyimbo zahuyu mzee ❤❤❤
@milova755210 жыл бұрын
dah yani wimbo wamaana maneno mazima matupu good znz beg up.never day
@lucykemuma33244 жыл бұрын
Nyimbo zilokwenda shule Twende nalo!
@ashamwandu37814 жыл бұрын
Naipenda nyimbi zote za issa matonya pumzika kwa amani baba.
@hawaabdallahsaid92205 жыл бұрын
Mola akulaze pema maneno kuntu mafunzo kwa maharusi mashaallah
@mamitojuma70607 жыл бұрын
ooo my god RIP issa matona innalilah wainnailayh rajighna .and this is my beautiful country Tanzania bar and Zanzibar .
@mymy_myriammgomri63039 ай бұрын
Cette chanson, ma grand-mère (paix à son âme) l’aimait beaucoup et ça me fait plaisir de la réécouter en 2023🥰❤❤