Taarab Music of Zanzibar by Sabah Salum: Tanzania (Full HD Official Video)
Пікірлер: 664
@DijyK3 ай бұрын
Here in 2024 , so many lessons in this beautiful song .. reminds me of my nyanya , my mum , aunties and my childhood 💐
@abdallahamadi9380 Жыл бұрын
Still the best taarab song. 2023 still hitting 💗
@ummukhadiya7192 Жыл бұрын
Lol
@maimunashabaan Жыл бұрын
Yap !
@Queen-zillah17 ай бұрын
We here until now old is GOLD
@aishajamadakilahama41486 жыл бұрын
🎶🎶🎶🎤🎤 Jeuri ya nini wewe?? Hukujiumba umeumbwa.... Umezidi wewe?? Kiburi chako ni bure... Mlango wa Mungu uko wazi.... Riziki napata mimi.... Nina ruzukiwa mimi.... Mungu amenistiri 🎶🎶🎶 🎤🎤
@afrogooner1689 Жыл бұрын
Taarab safi kabisa pongezi 2023 ya ngaa!...
@momadealiissufoibramugy1823 Жыл бұрын
Mimi. Nafurahia ua music n Sabah Salum , MUSSUMBIGE, NAMPULA PROVINCE, MEMBA DISTRITO.
@rahmakassim95 Жыл бұрын
2022 who else is stil listening??? Hivi hii nyimbo nimeiskia tangu nakua lakini sasaivi ndio yaniingia
@momosaid6193 Жыл бұрын
Kabsa maneno sahv ndio yananiingia pia nymbo nmeskia zaman sana lkn utasema imetoka jana nzur maashaallah maneno mazr melody nzur
@hamissaabdallah478 Жыл бұрын
Na Mimi pia wallah ❤️❤️❤️❤️
@mwisakihaji37829 ай бұрын
I still listen and watching this Old taarabu 2023 eastcost music 🎶 it's so amazing
@mammylightnureen40493 жыл бұрын
Napenda hii nyimbo sanaaaa☺ Rizik hutoi wewe mja usitakabali💃
@reinaldagerodi15254 жыл бұрын
Wanaosikiliza wimbo huu 2020 gonga like
@zainabubakari3723 жыл бұрын
jamani tupeane like kama bd tunaupenda huu wimbo
@sabringwal30793 жыл бұрын
👍👍
@nasricholo4793 Жыл бұрын
2023 Its Just Nearby And Still She My Fav Taarab Singer & Song Writer Of All The Time ..!! Sabaha Salum Muchacho ❤
@eddiekivuvani40485 жыл бұрын
This song reminds me of my late wife who died five years ago, she would dance it in all weddings singing her heart out, beutiful song with meaningful words.
@abrablack4 жыл бұрын
Pole sana kaka
@bhindasheshe5894 жыл бұрын
Sorry ndugu
@walusunguzimba77394 жыл бұрын
Sorry ngugu mhsrip
@lailahasan22004 жыл бұрын
Pole Sana
@kalekyebangi84784 жыл бұрын
Pole sana
@sakinaabd58987 жыл бұрын
nilififika nyumbani Dar es Salaam mwaka 2016 but nilikua na masikitiko sana kwani nikakuta msiba wa bibi shakila mungu amrehemu amlaze pema peponi yeye na wote waliotutangulia Amine sikua na muda mwingi huko but never mind ishallah tutawatembelea tena dada zetu wapenzi
@husseinomary44664 жыл бұрын
Ukimsikiliza Sabah salum, nenda kamsikilize nasma hamisi kidogo, Rudi umsikilize mwanahawa Ally, tulia kwa Khadija kopa, Kisha Anza safar kuelekea kwa issa matona, utakubaliana na Mimi kua Hawa ndio wenye taarab yao wengine watafute tu hela taarab zilikua hizi hakuna jasho Wala kujambajamba hovyo,,,, mashaallah mliitendea haki taarab
@ramadhanisakalani83724 жыл бұрын
Hahahaha hahaha wacha kabisa
@sikudhanimohammad76924 жыл бұрын
Hussein Omary afua Suleiman umemsahau
@josephwahome48364 жыл бұрын
Mwanaidi Shaban
@walidmanek66964 жыл бұрын
Hussein Omary mzee yusuf pia ako ndani
@husseinomary44663 жыл бұрын
@@walidmanek6696 zile za mwanzo mwanzo
@festinapaschal90102 жыл бұрын
Mashallah Sabah Calm, collected and composed...the massage though👌. The song got life in it decades and decades😍
@khadijaabubakar3293 Жыл бұрын
Wapi kelele ya Sabah Salim mob love from Mombasa 💛❤️💛💚💙❤️💚💛💙
@ogetoj62452 жыл бұрын
Sabah Salum ana sauti ya kutoa nyoka pangoni. Hutupatia tumaini kwa maisha hata kama binadamu hukazia usi , wenzao. Mashaallah!!Dr. Ogeto International
@dastonamichaels185410 ай бұрын
Reminds me of our neighbors weddings back in the 2000s likoni Mombasa😊
@puritychegero523 жыл бұрын
Mombasa mpo gonga like kama uko present
@sisi111223 жыл бұрын
Kongowea kwenye Bi. Chegero!
@jumanzige96442 жыл бұрын
husikii tusi mwanzo wa wimbo mpk mwisho, anakupa ushauri na kukuonya ili ujue nafasi yako km mwanadamu, halafu anakwambia hana wasiwasi madam yuko hai mungu yu pamoja nae. Sasa sikiliza nyimbo za sikuhizi , ujumbe wa ngonongono tuuu... nyambafu kbs. congrats MAMA YETU SABAH SALUM
@lupozijuma27324 жыл бұрын
2019 nampenda sabaha anajua kuimba vizur sana gonga like na ww unaamin hlo
@salehcharles96102 жыл бұрын
Kweli
@wondersmotivation55435 жыл бұрын
Hakika taarab ina wenyewe,,, sauti mlipewa na mkaitumiya kwa nidhamu,,,hongera,,,
@user-yo1do6ny5g Жыл бұрын
Love the song to the moon and back. True human nature depicted in the lyrics, and advise accorded to humanity. Wenye maskio na wasikiye.
@sakinaabd58989 жыл бұрын
Taji hulivui hili lisha pasi,sijipe uchungu choyo hakifai, na chuki binafsi wewe mlimwengu, ukiufunga wa kwako mlango,juwa wa Mungu ukowazi saddddakta bibi Sabah unajipa kazi hutoiondosha kudra ya Mungu, haya huyawezi wajihangaisha yawache majungu sote tunakadiriwa na Mungu hatujitoshi na kitu
@mohammedalisalma82956 жыл бұрын
Sakina ABD mkhhh
@rashidikindindindi36325 жыл бұрын
Yaani najiskia raha mpaka BC Mrs rashid mie kwa huu wimbo
@rashfakarim26033 жыл бұрын
Nashukuru mungu nasikiliza nikiwa ndani ya Oman 2020
@user-xi1pi4zr3b4 жыл бұрын
Kama umekumbuka ujana wako kwa kusikiliza hii ngoma tujuane hapa kwa like...ntarudi 2021😀
mama yangu nyimbo yako hiyo kila nikiisikiliza nafurahii sana, mashairi mazuri
@hamidauhuru8137 жыл бұрын
Mashallah,sichoki kusikiliza huu wimbo #usijipe ujabari kuvaa joho la Mungu,joho la Mwenyezi Mungu mja likufae wapi!?.
@ashamgayaamana46824 жыл бұрын
Joho lamwenyez mungu mja likufae wapi penda Sana jisong hilii safe mama sabahaaa
@halimamohamed19383 жыл бұрын
Mashala
@amanistephano52063 жыл бұрын
Mashaallah
@muwongezainudin97924 жыл бұрын
The best female artist of the decade
@nyabisemaro20956 жыл бұрын
yaani hawa wasanii walikuwa imara sana nawapenda sana hili ndio kundi bora la mziki wa Taarabu
@AdamAdam-nx5re4 жыл бұрын
Kwel aiseee
@viviankagekha574 жыл бұрын
Who's watching this in2020?
@samwelimoshi56144 жыл бұрын
@@viviankagekha57 I here
@nyabisemaro88853 жыл бұрын
Sio wa leo Mara kundi hili Mara lile hawa walidumu Sana East Africa Melody Taarabu Miaka Mingi
@binrashid86713 жыл бұрын
@@viviankagekha57 mpaka 2021
@Suedyne7 ай бұрын
I love this taarab Love from 🇰🇪 2:30
@hikmakassim16645 күн бұрын
2024,Ahsante sana Swabah .Nakupenda sana.
@faanouman20834 жыл бұрын
Absolutely sio watu wote wabaya, your voice very soothing Mashaallah, ukinibaguwa wewe hanitupi mola wangu 👍
@faithmuthoni59415 жыл бұрын
Yaaani hii nyimbo ni favourite yangu bt sikuwa najua imeibwa na nani wala yaitwaje...nipataaabu..mbaki leo nime type riziki hutoe wewe ndio nikaipata ....am enjoying it.......
@mamking51384 жыл бұрын
Nampenda huyuu acha tu imenigusa hi nyimbo
@RioIpo3 жыл бұрын
Aaah basi itakuwa hufatilii taarab sister
@RioIpo3 жыл бұрын
Ooh kumbe you reppin +254 ndio mana
@joynya12463 жыл бұрын
Iko juu ☝️🎼💃🏾
@ikoneeregae92708 жыл бұрын
Tufanyaje ulimwengu husiokuwa na haya. taji hunifuwi nilishafaa.bahati ya mwenzio husionee wivu. ujumbe hai Kweli Hii. mashallah mama Saba.
@zainamangare3154 жыл бұрын
safi sana
@gumatohuka88274 жыл бұрын
Amin:; Mungu dada,. Nami niko na wewe,,. Nikikunja. Tanzania,. Naomba mwenyenzi mungu nikukute,. Amin.
@yassinwill Жыл бұрын
This song bird sang such a nice song , lyrically and content basics . I love it .
@kiraithentaugu78913 жыл бұрын
2021 chapa likes jameni 🔥🔥🔥
@mwanahalimamwachili96797 жыл бұрын
Masha Allah maneno mazito na matamu Asante bi swabaha.
@rahimaally64714 жыл бұрын
Kwa mola illah najua sikosi nna langu fungu, taji hunivui Hili lishapasi sijipe uchungu choyo hakifai na chuki binafsi 😍😍😍😍
@rukksanaaziz57065 жыл бұрын
Allah akutunze bibie maneno kuntu mashallah mashallah waambie wabaya wasio na hayaa wala awajui vibaya....
@user-ld5md7du5n7 ай бұрын
Taarab hii taamu saanaa..
@zawadikundavi8793 Жыл бұрын
Wimbo nzuri Sana Mama Atoae ni Kahari Kwa matamu na machungu Usije ufahari Kuvaa joho la Mungu
@sakinaabd58989 жыл бұрын
wonderful Sabah you are so beautiful na unayoyaimba ni poa
@AMIR_MANGISI5 жыл бұрын
Ni bure chako kiburiiiiiii.... safi sana Swabaha....enzi zileeeee
@mathewmghanga37053 жыл бұрын
As pertains my comments on her is that :Nyimbo hino hunidara moyo vyema na vizuri sanaaaa , actually she unleashed her God given potential (talent) well.....I look behind for her inspiration to unleash my God given talent in another area. Kudos Mama......
@mamujuma34733 жыл бұрын
2020 tupo pamoja??
@ashamwandu37814 жыл бұрын
Haya ndiyo maradhi yangu wallah napenda taarabu sana.hasa bendi ya mama huyu.
@salimmohamed3668 Жыл бұрын
Swabah salum nyimbo inanikumbusha mbali Those beautiful old days Maharusini utaskia sana nyimbo hizi zikichezwa
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Ukiufunga Wa Kwako Mlango, Juwa Wa Mungu Uwazi,Asante Maneno Yako Sawa.
@gloriabambiye23104 жыл бұрын
Who's still listening in 2020? Naipenda
@jkjohn8674 жыл бұрын
Npoo
@upendomaseta3274 жыл бұрын
Nipo hapa
@fahadswaleh13834 жыл бұрын
Tupo....swaba salum number one
@hotnewsentertainmenttv88175 жыл бұрын
2019 gonga like
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Hot News&entertainment TV kumbe nawe unaitizama kwasas
Naami pia naamini humu duniani wabaya si wote...wapo wenye watanistiri
@hawatognolasuleiman78326 жыл бұрын
Ciao nikisikiza. Hizi tarabù na miss home .yarabi Mola nipe. 💪💋.
@faridikondo36699 ай бұрын
2023 hapa bado tunakula good Music alive
@mathewmghanga37053 жыл бұрын
Waaaaaa, what a great voice n soul, me thinks she has left footprints in human souls n hearts. Probably she has passed a button to her daughter???????
@salhamrishoaish92923 жыл бұрын
🙌💪👌mwafurani hii yakuhuuusu 🙈wanzibar tujuaane2020
@RioIpo3 жыл бұрын
Ndio sisi hahahaha wera weraaa
@gracelugonda43475 ай бұрын
Mama nazipenda sana nyimbo zako ❤
@rosemaryonyango31732 жыл бұрын
I don't know how I ended up here but I'm glad
@ottoeric39156 жыл бұрын
Joho la mwenyezi mungu mja likufae wapi? ...deep dont assume a role only God can do
@sakinaabd58987 жыл бұрын
madhali nihai sina wasi wasi kwa riziki yangu kwa mola illahi nina langu fungu, taji hunivui hili lishapassi ewe mlimwengu ukiufunga wa kwako mlango juwa wa Mungu uwazi, nalijua wazi lilokukondesha ni bahati yangu, hayo huyawezi wajihangaisha yawache majungu, sote wakukadiriwa na mungu hatujitoshi kwa kitu, saddddakta bi sabah lovely usijipe ujabari kuvaa joho la mungu atowae ni kahari kwa matamu na machungu haufai ujeuri ewe kiumbe mwenzangu tuendako nishubiri mwana ndani letu fungu, joho la mwenyezi mungu mja likufae wapi heko ndugu mtanzania maneno ni saddaqta
@aloyce12376 жыл бұрын
Maashaalaw
@ahmedzuberi66736 жыл бұрын
Sakina ABD ahsan ahsan maashallah
@khadijaalnaamani14355 жыл бұрын
msabah
@shamimidi27735 жыл бұрын
ukweli kabisa
@mwanamisimuna60195 жыл бұрын
Sakina ABD w
@azizamzalendo80465 жыл бұрын
Mashaallah kwatu roho yangu nisikilizapo nyimbo zako, tuendapo ni shubiri mwanandani letu fungu"
@gladysnmusaug44986 жыл бұрын
Sauti nyororo dadangu nawapendeza pia.
@japhetymabele2144 жыл бұрын
TAARAB, font parties de mes véritables chansons, courage et bonne réalisation.
@sakinaabd58989 жыл бұрын
Tena mashallah ukinisusia wewe sichituki moyo wangu, hasama mimi na wewe siokusudio langu ukinibagua wewe hanitupi mola wangu
@gladnessminja82056 жыл бұрын
joho la mwenyezi mungu mja likufae wapiiiiiiiiiii! kachambe
haufai ujeuri ewe kiumbe mwenzangu jokho la M Mungu likufae wapi Mashaallah maneno yote sadakta bi Sabahi
@jumasalumu97417 жыл бұрын
Dada upo juu maneno yako hakika wanao kusema vibaya hao ni majinuni
@utajijua3 жыл бұрын
July 2020 🌹
@abdulhamidkificho57684 жыл бұрын
Atoae ni Kahari kwa matamu na machungu kwa matamu na machungu Usijipe ujabari kuvaa joho la Mungu kuvaa joho la Mungu
@emmanuelsimpamba62362 жыл бұрын
When I'm listening this songs remind me Homeland
@edwinmonda1117 Жыл бұрын
Kenya 2022 hoyee💪
@fatumaababy12815 жыл бұрын
2019 napata nkiwa Qatar
@sakinaabd58989 жыл бұрын
Usijipe ujabari kuvaa joho la Mungu, haufai ujeuri ewe kiumbe mwenzangu,tuendako ni shubiri,mwana ndani letu fungu, Joho la mwanyezimungu,mja likufae wapi?
@mujibumickidadi93765 жыл бұрын
Sakina ABD umekaelewa hako kamstari kama mimi
@mansonongoto7773 Жыл бұрын
Heading to 2023 with the same tune 😘😋
@williamsagala7081 Жыл бұрын
East Africa melody: homa laa Jiji nyimbo zenu zitadumu,,,🎼🎼🎼
@zamzamjumah31798 жыл бұрын
Ujumbe mzuri,mashaalah bi mkubwa
@khaylatmwinyi86754 жыл бұрын
Kazi na ibada
@jamilasalimvilog67522 жыл бұрын
Mashallah so sweety old iz gold🥰🥰🥰❣
@user-wj7uw7wu1h10 ай бұрын
Kabisa hii song najipenda mlango wa Mungu uwazi kweli kabisa
@jamesgerald23 жыл бұрын
Ukinisusia wewe sishituki moyo wangu haha2021 gonga like hapa kama tulionekanaga hatufai kwa ex wetu n sasa hvi wao ndo hawafai jaman mlango wa Mungu
@wildembrace64605 жыл бұрын
2019 USA nipo!!! Mutamaliza mizungu mwaka huu!!!
@bhindasheshe5894 жыл бұрын
2020 January 12 the song still banging on my ears...
@halimasaidmtawarahanayumba79494 жыл бұрын
Yani Ww upo vzr
@bhindasheshe5894 жыл бұрын
@@halimasaidmtawarahanayumba7949 inanikumbusha mambo mengi sana hii nyimbo..yaani we acha tu
@princessramihakim38284 жыл бұрын
Yani ili nikindi la imara💕💕
@abdulswamadibrahim23612 жыл бұрын
We need this kind of music 🎶🎵
@yasminmusa77372 жыл бұрын
@@halimasaidmtawarahanayumba7949 v
@sharifaali76545 жыл бұрын
Inshaallah mungu aendelee kunistiri narizikizangu zahalali
@rosemaryonyango31732 жыл бұрын
Composed sober and elegant. Greetings from 254 county 032. My all time beb
@God.sDaughter2 жыл бұрын
The main artist, she’s very gorgeous. Very gorgeous.
@twahabuiddy96124 жыл бұрын
Desember 2019 gonga like
@user-eo1hq7py1o3 ай бұрын
hyu mama nkabila gan nmrembo sanaaaaaaàaa
@aishazuberi98712 жыл бұрын
Ukinibagua wewe hanitupi mola wangu,2021🥰👌
@aminaabdallah36444 жыл бұрын
2019 oyooyo kabisa 🔥🔥🔥😍❤❤❤
@aishamusa68064 жыл бұрын
Nyimbo zazamani nitamu nzuri hata ngoma zake mashaallah sauti yako
@user-ph2lc2ip6w7 ай бұрын
I feel so good listening to Savana Salum songs
@flaviadeluce9099Ай бұрын
Sabah Salum
@saydbarakismailiya15155 жыл бұрын
06/01/2019 bado nyimbo inaishi tena ninzuri kwa afya yako
@fatimaadandidadida38785 жыл бұрын
kweli kabisa riziki utoi wewe anaye toa riziki Allah alhamdullilah..binadamu mambo yao kombo
Nami,. Namependa,;. Music; ,. Yako,. Dada;,. Niko mbali ama uko mbali yeye,'!. Walakini nitakuja,. Tanzania na utaniibia:;. Mungu mwenyenzi atupe imani.,. Thanks.
@abubakarmnyongea30546 жыл бұрын
Mashaallah jazaqallah kheir Madame
@mukrimpanga34325 жыл бұрын
Ukinisusiya wewe sishituk moyo wangu
@mukrimpanga34325 жыл бұрын
Nakukubal Sabah salum huna mbaya
@Echo-bv5gr3 жыл бұрын
Mashallah dada tarabu hi imenibamba sana unasauti nzuri sana Allah akujazie heri insha'allah
@shumycamp29277 жыл бұрын
mashallah hii nyimbo haichuji 2016 july bado nasikiliza😘😘
@youngmesenbadmankiller23845 жыл бұрын
juma baloo
@shamtealhajj59585 жыл бұрын
shumy camp 2018
@AMIR_MANGISI5 жыл бұрын
2018 August na bado tunakwenda nayo.
@misskivuyo47014 жыл бұрын
31st may Corona year tuko nayo live😂😂#2020
@maryammct39674 жыл бұрын
Safi sana dada yetu❤❤❤❤❤
@fatmabakhari81584 жыл бұрын
Mama staarabu nakupenda bure.old is gold.
@arafatmbitha56024 жыл бұрын
Ukinibagua ww hanitupi mola wangu,Kama ww ni m,baya na wema wko tele