Tamko la JWTZ Juu ya Wanajeshi 14 Waliouawa Congo DR

  Рет қаралды 159,301

Global TV  Online

Global TV Online

6 жыл бұрын

Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania limesema kikundi chake cha ulinzi na usalama kilichopo DRC kwaajili ya kutekeleza jukumu la ulinzi na amani kilivamiwa na Waasi waliojilikana kuwa ni ADF na kusababisha mauaji kwa wanajeshi 14.
Amesema kwamba tukio hilo lilitokea katika eneo la kambi iliyopo daraja kwenye mto Simulike barabara ya kutokea Oicha kwenda Kamango mpakani mwa nchi ya Uganda Kaskazini Mashariki ya wilaya ya Beni Jimbo la Kivu Kaskazini.
Akithibitisha mauaji hayo muwakilishi wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania (CDF) Luteni Jenerali James Mwakibolwa amesema shambulio hilo lakuvamiwa lilizusha mapigano baina ya kikundi hicho na kile cha waasi na yalidumu kwa takribani masaa kumi na tatu (13) na kusababisha vifo vya askari wa Tanzania 14 na wengine 44 kujeruhiwa na askari wawili bado hawajulikani walipo ambapo jitihada zaidi za kuwatafuta zinaendelea.
Amesema shambulizi la tarehe 7 kuamkia tarehe 8 Desemba lilikua baya zaidi kuwahi kuitokea tangu vikosi hivyo vianze kushiriki ulinzi wa amani nchini DRC mwaka 2011 kwakua limeleta madhara makubwa, hata hivyo kikundi hicho ambacho bado kipo huko kinauwezo mkubwa wa kutekeleza majukumu husika kwa uhodari wa hali ya juu ,ushupavu, weledi mkubwa na umahiri stahiki.
Kwa niaba ya mkuu wa majeshi Luteni Jenerali Mwakibolwa amewathibitishia watanzania kuwa tukio hilo halitawavunja moyo na kamwe Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania halitatetereka kupeperusha bendera yake ndani na nje ya nchi kwani tukio hilo limewaongezea nguvu, ari ,ushupavu na uhodari zaidi katika kutekeleza majukumu yake.
Aidha amesema nchi pia iko salama na itaendelea kuwa salama na yeyote ambaye anataka kuwajaribu atashughulikiwa ipasavyo kwani historia ya jeshi inadhihirisha uwezo thabiti.
Kuhusu taratibu za kusafirisha miili ya marehemu kuirejesha nchini zinafanyika chini ya utaratibu wa Serikali na umoja wa mataifa na JWTZ na serikali wanaendelea kuchukua hatua stahiki kufuatia tukio hilo ikiwemo kufanya uchunguzi katika eneo husika sambamba na kuangalia taratibu za kuwajulisha familia za wafiwa zimekamilika na ndio maana hawakuweza kutoa taarifa hizo bila kuwaweka sawa familia za mashujaa hao.
Kwa umoja wa watanzania amewataka kuwaombea dua roho za mashujaa hao zipumzike mahali pema peponi kwa amani na majeruhi wote wapone haraka iwezekanavyo ili warejee kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa ulinzi wa taifa na dunia nzima.

Пікірлер: 114
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 Ай бұрын
Mungu azipokee roho za makamanda wetu, Amen.
@brightmpanda211
@brightmpanda211 6 жыл бұрын
Jamani kwann tupoteze ndugu zetu waludi wote hatutaki kumalizwa namba hii sawa niuchujaa lakini hawafanyii kwawenyewe ni majonzi kwa inchi yetu mungu azilaze roho zamarehemu pema peponi
@rukiaabdallah92
@rukiaabdallah92 6 жыл бұрын
Kukosea lazima kuongea maana wanajeshi walioko huko mipakan ndo tunao wategemea 💃Allah azipumzishe roho za marehem 😢👏
@selincharles3383
@selincharles3383 6 жыл бұрын
mapigano yalikuwa makali Sana.. Mungu awapokee na roho zao mahali pema Peponi.amina
@assimmhamed1851
@assimmhamed1851 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu awalaze pahala pema amiin mashujaa wetu
@jumamwengwa4309
@jumamwengwa4309 6 жыл бұрын
R. I. P, ndugu zangu. Mungu nakuomba uwapokee ndugu zangu kwa upendo wako na kwa aman yako ktk ridhaa yako. Inshaallah. TANZANIA NGUVU MOJA.
@privatestudiotz
@privatestudiotz 6 жыл бұрын
Mungu alito na Mungu ametwaa Jina la Bwana Libarikiwe Amen.
@godfreyleka5839
@godfreyleka5839 6 жыл бұрын
ni Leteni jenerali sio meja jenerali,. fuatilieni vizur alama Za vyeo,. Wana habari
@tambwealmasi7510
@tambwealmasi7510 6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania pamoja na vyombo vya usalama
@wcbwanatishakiranikirudiab2349
@wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 жыл бұрын
Mashujaa wetu mungu awapokee na mungu awaponyeshe jeshi retu riko imara poreni wakuu
@mtoshugilbert5540
@mtoshugilbert5540 6 жыл бұрын
majeruh bhana siyo marehem
@veronicamagesa1752
@veronicamagesa1752 3 ай бұрын
Jaman mbona nguvu kazi zetu wanajeshi wetu wanateketea uko congo? Nchi yenyew haitak aman leo wanaili kesho lile kama mashekwani tu 😭😭inauma sn iseee 😭😭😭😭😭😭
@mathalusako4108
@mathalusako4108 6 жыл бұрын
Mungu aliye muumba wa vyote na mwamuz wayote kwa namna ya pekee naomba umtume roho wako Mt. Akawafariji wafiwa wote.
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 6 жыл бұрын
Innalilah Wainnalilah rajiun, Allah warehem waliotangulia Ameen👏
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Ndio mitihani bhana! Poleni sana.
@user-jq9km2tm2h
@user-jq9km2tm2h 5 ай бұрын
Jameni laiti Nyerere angali Jua hayo ayatendayo Suluhu? Ange jutia sanaaaaa!
@michaelshayo2747
@michaelshayo2747 6 жыл бұрын
mungu ibariki tanzania mungi libariki jeshi letu amina
@dimokcee8403
@dimokcee8403 6 жыл бұрын
Huyo Ni luteni generali sio meja jenerali
@gracemanyori7273
@gracemanyori7273 6 жыл бұрын
Mungu azilaze pema roho za marehemu amina
@abdurazakijuma2857
@abdurazakijuma2857 3 жыл бұрын
Awalaze Mahal pema pepon amen
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 6 жыл бұрын
daa inasikitisha saaan polen wote mloondekewa na wapendwa wenu mungu ibariki Tz lakin watoen huko jaman
@eliudedwin3424
@eliudedwin3424 6 жыл бұрын
kuzaliwa ni siku moja na kufa ni siku moja poleni sana familia Kwa kupoteza na taifa ila Pongezi Kwa jeshi kuthibitishia Uma kuwa jeshi ndo limeimalika zaidi
@fabianikapesa1157
@fabianikapesa1157 6 жыл бұрын
sawa kaka mwakibolwa nimekuelewa naomba amani itawale kwani mdogo wangu yuko huko
@user-gr7jk4vc7f
@user-gr7jk4vc7f 5 ай бұрын
Hhhh mtalia sana kwa hivi wamekufa mamia wameuliwa na m23
@halawsmalimi7287
@halawsmalimi7287 6 жыл бұрын
single soldier attack under enemy fire ni noma sana poleni wapiganaji we2 mungu awatangulie
@richardnyamahanga4159
@richardnyamahanga4159 6 жыл бұрын
Poleni sana Jeshi la Wananchi la Tz, Mungu awapumzishe mahala pema mashujaa wetu, na awaponye majeruhi wote ili wawe na afya njema na warejee katika majukumu yao ya kudumisha amani. Ila Mnadhim mkuu hapo mwisho sijamuelewa, anasema na marehem wetu wapote haraka na weendelee na kazi. Marehem wanaweza kupona kweli?
@mctidohondoa1652
@mctidohondoa1652 6 жыл бұрын
Richard Nyamahanga na wewe umesema wapote ulimi hauna mfupa
@husseinmuhammad9067
@husseinmuhammad9067 6 жыл бұрын
Mungu awape subra ndugu na jamaa waloondokewa na wapendwa wao.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 6 жыл бұрын
Plse serikali watunzieni wazee na wake zao waliowaacha uhai wao wote na muwasomeshee watoto wao pia. Isie km baada ya kupewa kiunua mgongo baadae bac.
@MWilly-xu1ki
@MWilly-xu1ki 6 жыл бұрын
Aksanteni Tanzania kwa kujitolea kutulinda sisi wakongo tuna waheshimu
@stn4873
@stn4873 5 ай бұрын
Saa 13 chuma zinalia tu daah sio poa
@cliffsalija4692
@cliffsalija4692 6 ай бұрын
Mwakibolwa.. tanzania
@shukurkatembo2807
@shukurkatembo2807 3 жыл бұрын
Ni Lt. Gen siyo Maj. Gen
@monamackey569
@monamackey569 6 жыл бұрын
et naomba kuuliza. iv uko congo wanaofanya matukio ni wanajesh pia. maana nshawah kuona kuna kipind iv wanajesh wanauwa watu then wanawatupa kwenye uwo mto wa mamba
@user-jq9km2tm2h
@user-jq9km2tm2h 5 ай бұрын
Mnatafuta dhahabu , alimasi, Uranium lakini jueni kwamba mtavilipa Kwa damu ya watanzania!!! Je mbona munahivyo vyote kwenu? Simurudie kwenu!
@geofreymaghali183
@geofreymaghali183 6 жыл бұрын
Poleni jeshi la wananchi wa Tanzania, Amiri jeshi mkuu na Watanzania Kwa ujumla. Lakini tuna maswali: hao waasi wanafadhiriwa nani? Nini malengo yao? Kijografia wanatokea wapi ktk DR Congo? Shughuli zao kiuchumi ni zipi? Wanapata wapi silaha na chakula? Mungu tusaidie kuifanya Africa kuwa sehemu salama ya kuishi na kupiga hatua kimaendeleo
@davidnicholas8772
@davidnicholas8772 6 жыл бұрын
jamani kaka zetu na dada zetu warudi nyumbani poleni familia za wanajeshi hawa
@masandaretv898
@masandaretv898 6 жыл бұрын
Aisee inauma
@salehsaleh1305
@salehsaleh1305 6 жыл бұрын
Kwanin waasi hawaoneshwi wanapokufa wao
@petermwanyondo6459
@petermwanyondo6459 6 жыл бұрын
duu wanaume kazi poleni xana
@mariamlameckelifuraha5114
@mariamlameckelifuraha5114 6 жыл бұрын
Mungu fariji familia zao
@jumamakuri9176
@jumamakuri9176 6 жыл бұрын
Askari wetu hawajazoea kukabiliana na waasi ila wamezoea kupambana na wananchi wanaoandamana tena wasio na silaha. Ni vema kuwaandaa askari vijana wetu kabla ya kuingia katika uwanja wa mapambano, vinginevyo watkwisha wote . Tutaambulia makaburi. Ndiyo maana askari waliouawa ni Watanzania japo kulikuwa na askari toka nchi mbalimbali. God bless Tanzania. Amen.
@robsonalen2649
@robsonalen2649 2 жыл бұрын
Usiongee ujinga uwo kijna una unacho kijuwa kakimya
@idrissasaidy-bs1cw
@idrissasaidy-bs1cw 3 ай бұрын
tutafika tu kwenye lengo
@benimagaya7966
@benimagaya7966 6 жыл бұрын
Pole Sana 😭😭R.I.P
@iviejustified8109
@iviejustified8109 6 жыл бұрын
Rest Easy Fallen Heroes!
@billebaraka6534
@billebaraka6534 6 жыл бұрын
Ni luteni general siyo meja muwe making mnapoandika
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 5 ай бұрын
Damu ya mtanzania haipotei bure
@radhiasalum833
@radhiasalum833 6 жыл бұрын
inauma jamani bora waliobaki warudi
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 6 жыл бұрын
Muwafate wote watoke huko si kwao.
@khamisjuma7616
@khamisjuma7616 6 жыл бұрын
Jamani kamanda hakutuambia hayo mapigano wamekufa waasi wangapi ?
@ebenezerurioh9610
@ebenezerurioh9610 6 жыл бұрын
r.i..p solder
@sebastiansalamba8236
@sebastiansalamba8236 6 жыл бұрын
Wapigeni tu hao waasi mnawalea wa nini piga
@mponjolimwakasege782
@mponjolimwakasege782 6 жыл бұрын
Poleni Sana wapi ganajiwetu
@athanaskameja6128
@athanaskameja6128 6 жыл бұрын
waje home haraka
@salehsaleh1305
@salehsaleh1305 6 жыл бұрын
uchunguzi ufanyike na kujua uwezo wa silaha za waasi na wanajeshi wetu ikitokea pana uzembe uwajibikaji uchukue nafasi yake kwa pande yeyote
@asiakheir3846
@asiakheir3846 6 жыл бұрын
Bado mna waachatuu huko.mungu ibarikiTanzania.
@user-wc9zg6hk5s
@user-wc9zg6hk5s 6 жыл бұрын
Hapana Amani gani unaenda kulinda inchi ya jirani wenyewe awana Amani kwenye Inchi yao warudisheni Ndgu zetu hari yanini Ndgu zetu kila cku wanahuliwa inje ya inch i inauma sana hata kama warudi walide Amani hapa nyumbani
@mavoajunior7163
@mavoajunior7163 6 жыл бұрын
RIP Makamanda wetu.
@mahmadougronkjaer8316
@mahmadougronkjaer8316 6 жыл бұрын
ETI MAREHEMU WETU WAPONE HARAKA IWEZEKANAVYO ..haupo serious kamanda
@kassimramadhani5378
@kassimramadhani5378 6 жыл бұрын
Kiukweli inasikitisha sana aisee daaah bora ndugu yangu hakurudishwa tena huko, sasa na huyo mkuu anasema marehem wapone duuh ni kuchanganyikiwa ama kama yeye kapagawa hivi sasa walioko kule wako katika hali gani
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 6 жыл бұрын
Kassim Ramadhani amen
@mariammwambungu3174
@mariammwambungu3174 6 жыл бұрын
RIP 😭😭😭😭😭😭😭😭
@fatmaalliy3547
@fatmaalliy3547 6 жыл бұрын
Yeyote atakayetaka kutujaribu atashughulikiwa ipasavyo
@ibrahimpius893
@ibrahimpius893 6 жыл бұрын
R.I.P
@suzyfrednand983
@suzyfrednand983 6 жыл бұрын
mi naona Tanzania ni nchi yenye aman kwa nn tunajipendekeza kwenye mataifa ambayo wao wenyewe wameshindwa kulinda amani yao
@emmysam7938
@emmysam7938 11 ай бұрын
Kwa kweli
@elisianajohn5655
@elisianajohn5655 6 жыл бұрын
dah
@simonmlowe2675
@simonmlowe2675 6 жыл бұрын
RIP
@diwanilemomo3117
@diwanilemomo3117 6 жыл бұрын
rudisheni majeshi yetu wate kila nchi ibebe msalaba wake
@deodatuspolla8272
@deodatuspolla8272 6 жыл бұрын
rip mungu awabrk família YA marehemu wawe na Subra ktk kipind hik kigumu?
@frenkjoseph3948
@frenkjoseph3948 6 жыл бұрын
ndo jeshi hiyo,poleni ndugu zangu
@ramadhaniathumanimlenge6641
@ramadhaniathumanimlenge6641 6 жыл бұрын
Daaah Ndiyo maana niligoma kwenda jeshi
@leonardkomba686
@leonardkomba686 6 жыл бұрын
hata km usipokuwa mwanajeshi siku yako ikifika utakufa tu.
@selincharles3383
@selincharles3383 6 жыл бұрын
kwani wanaokufa ni wanajeshi tu..??
@kengehamad5365
@kengehamad5365 6 жыл бұрын
kauze maandazi wache wanaume wapeperushe bendera
@elibarickbuko4427
@elibarickbuko4427 6 жыл бұрын
Ramadhani Athumani acha woga
@anthonyluhumbika4693
@anthonyluhumbika4693 6 жыл бұрын
Kwenda jeshini siyo kufa wewe,kifo hutokea sehemu yoyote.
@jumamwengwa4309
@jumamwengwa4309 6 жыл бұрын
Mbona mkuu huna ht kielezo ktk mwili wako kwa Taifa lina msiba mzito ?!!!!. Mfano kitamba cheusi au vazi jeusi. Au huko sio smdestuli yenu ?
@veronicamagesa1752
@veronicamagesa1752 3 ай бұрын
😭😭😭😭😭
@joemaabdala622
@joemaabdala622 6 жыл бұрын
R.I.P MAKAMANDA WETU
@jumabaruti9845
@jumabaruti9845 6 жыл бұрын
mkuu marehemu haponi maana ameshakufa
@melickjohn5141
@melickjohn5141 6 жыл бұрын
R I p makomando
@allyahamedy6567
@allyahamedy6567 6 жыл бұрын
Meja kavulugwa
@omarylugusha
@omarylugusha 6 жыл бұрын
R.I.P makamanda
@samueljohn7560
@samueljohn7560 6 жыл бұрын
R I P
@ezlonlony3588
@ezlonlony3588 6 жыл бұрын
Meja kachapia😂😂😂😂
@hamadibrahim6275
@hamadibrahim6275 6 жыл бұрын
askari wa f
@husseinmuhammad9067
@husseinmuhammad9067 6 жыл бұрын
Hahahah eti marehemu wetu wapone haraka iwezekanvyooo!!!!!!
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 6 жыл бұрын
Hussein Muhammad usimcheke msiba kubwa huo hawezi kuwa sahihi katika kuongea.
@ngometvarusha4030
@ngometvarusha4030 6 жыл бұрын
wewe husen Mungu anakuona kwani wewe hua hukosea ktk kutamka
@shawarbakar7587
@shawarbakar7587 6 жыл бұрын
marehem wetu waponee haraka 😂😂😂😂😂😀😀
@emmysam7938
@emmysam7938 11 ай бұрын
Usicheke kachanganyikiwa..inaumiza sana
@amaryahmedkusaka3841
@amaryahmedkusaka3841 6 жыл бұрын
r.i.p infactia
@frenkjoseph472
@frenkjoseph472 5 жыл бұрын
Mnabebana kwenda huko
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 6 жыл бұрын
Eti Na marehemu wetu wapone Kwa haraka iwezekanavyo khaaa😂😂😂
@sigorijoseph4977
@sigorijoseph4977 6 жыл бұрын
Hassani Sadiki haaa haaaa haaa marehemu wetu!
@zenaal-baalawy6144
@zenaal-baalawy6144 6 жыл бұрын
Hata mimi niliskia hivyo kasema na mimi nikasema kama ulivyozungumza wewe
@zenaal-baalawy6144
@zenaal-baalawy6144 6 жыл бұрын
Kakosea hapo ulimi uliteleza,itakua majeruhi kakusudia huyo
@allyahamedy6567
@allyahamedy6567 6 жыл бұрын
Hassani Sadiki kavulugwa meja
@zuusaidibushiri5556
@zuusaidibushiri5556 6 жыл бұрын
Hassani Sadiki hahahaaa
@obedkitandala8150
@obedkitandala8150 6 жыл бұрын
siri majini
@benimagaya7966
@benimagaya7966 6 жыл бұрын
Pole Sana 😭😭R.I.P
@linahdavid9660
@linahdavid9660 6 жыл бұрын
R.I.P
@obedkitandala8150
@obedkitandala8150 6 жыл бұрын
siri majini
Umoja wa Mataifa  wazungumzia mafao ya wanajeshi waliouawa DRC
16:33
Habari za UN
Рет қаралды 166 М.
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 22 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 36 МЛН
Komando Koplo Ali Khamis Omary kutoka Tanzania, afunguka.
6:01
Habari za UN
Рет қаралды 513 М.
MAPOKEZI YA MIILI 14 YA WANAJESHI WALIOFARIKI KONDO DRC
6:18
Mwananchi Digital
Рет қаралды 90 М.
Huzuni, Majonzi, Safari ya Mazishi ya Askari wa JWTZ Waliouwawa DRC
6:28
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 4,2 МЛН
Miili ya wanajeshi waliofia Sudan yawasili Tanzania
3:48
ITV Tanzania
Рет қаралды 227 М.