Tanzania Bara 0-2 Kenya | Magoli na sherehe za ubingwa (Fainali Cecafa Women Cup - 25/11/2019)

  Рет қаралды 31,198

Azam TV

Azam TV

Күн бұрын

Kenya wameibuka mabingwa wapya wa michuano ya CECAFA kwa wanawake mwaka 2019, wakiwapokonya tonge mdomoni, Tanzania Bara.
Ubingwa huo ni baada ya kushinda mabao 2-0 kwenye mechi ya fainali iliyochezwe leo jioni Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Jijini Dar es Salaam.
Jahazi la Tanzania Bara, limezama kwa magoli mawili yaliyofungwa na mshambuliaji hatari, Jentrix Shikangwa, katika dakika ya 71 kwa mkwaju wa penati na dakika ya 88 kwa shuti kali.
Haya hapa magoli ya Kenya kwenye mechi hiyo ya fainali na jinsi Kenya walivyokabidhiwa kombe, wakiivua Ubingwa Kilimanjaro Queens, ambayo ilikuwa imetwaa mara mbili mfululizo.

Пікірлер: 11
«Кім тапқыр?» бағдарламасы
00:16
Balapan TV
Рет қаралды 188 М.
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Funny superhero siblings
Рет қаралды 11 МЛН
когда не обедаешь в школе // EVA mash
00:51
EVA mash
Рет қаралды 4,3 МЛН
PENALTIES SHOOT OUT - Kisumu day vs Agoro Sare
19:07
tawi tv
Рет қаралды 577 М.
Burundi 0-3 Kenya Junior Starlets full match highlights.
4:33
KENYA CAMEROON PENALTY 4   3
10:54
WIDE VISION PROD
Рет қаралды 234 М.
KENYA 2-0 BURUNDI FIFA U17 WORLD CUP QUALIFIERS| Kenya vs Burundi
22:11
SPORTS EYE Sports
Рет қаралды 122 М.
harambee starlets vs  Algeria
1:37:54
Anthony nyamasyo munyao
Рет қаралды 103 М.
Lamine Yamal will never forget Endrick's performance in this match
14:22
Extended Highlights: Harambee Starlets 1-0 Ghana
9:47
Soccerpower99
Рет қаралды 124 М.
«Кім тапқыр?» бағдарламасы
00:16
Balapan TV
Рет қаралды 188 М.