Tanzania na Burundi Zilivyotaka Kuingia Vitani

  Рет қаралды 6,791

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Пікірлер: 42
@jumashedafa
@jumashedafa 2 ай бұрын
Tamu san mmetukumbusha mbali...Kumbe hawa nao walituchokoz dah! Nyerere angewap dozi kidogo
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
Tena hawa ndo tungepiga kama nyoka dadeq
@FLAMINGOINTERNET
@FLAMINGOINTERNET 26 күн бұрын
ila pamoja na yote Mkono wa Mungu uko juu ya nchi yetu Tanzania viongozi wetu walipambana sana licha ya kuwa tunaona madhaifu yao ila mazuri mengi sana wamefanya big up the chanzo
@sahimsaleh8118
@sahimsaleh8118 10 күн бұрын
Documentary nzur sana
@gervasisaya4973
@gervasisaya4973 2 ай бұрын
Hizi ndo habari sasa..tanzania tumewavumilia mengi kutoka majirani zetu.lakini bado hawaoni thamani yetu..but there is a day they will know our presence😢
@yassersahin6639
@yassersahin6639 2 ай бұрын
Ahsante sana kwa kuteelimisha watoto wa 2000 ndo tumejua leo Nchi yetu imepitia mambo mengi
@prince.eric_msemwa9732
@prince.eric_msemwa9732 2 ай бұрын
Athari za vibaraka dhidi ya 🇹🇿 na wapo mpaka leo tena jiraàaaani
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w 2 ай бұрын
Kuna mataifa yanatuwinda sana kuondoa amani yetu ili wanufaike huku wakitumia baadhi ya mataifa ya Africa na baadhi ya hayo mataifa ya Africa tulishawaonesh kuwa wasidhubutu kamwe
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 2 ай бұрын
Sijawahi waamini Majirani hususani wakenya kwa miaka hii
@pascalduwe3092
@pascalduwe3092 2 ай бұрын
News we ought to know and so does the Nation be protected at all costs
@tgeofrey
@tgeofrey 2 ай бұрын
Madini
@MorganMwaipyana-tz9vc
@MorganMwaipyana-tz9vc 2 ай бұрын
Angela Davis, a genius lady
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
Imagine 85% ya mizigo yako inapita kwangu alafu unanishambulia ,hivi hii ni akili au matope😆😆😆. Ani silaha zako zote zinapita kwangu. chakula chako ,mafuta alafu unataka tupigane ani watu wengne bwana, kichwani pumba kabisa😂😂😂😂
@jackbetram1789
@jackbetram1789 28 күн бұрын
😊
@YohanaMasebo
@YohanaMasebo 2 ай бұрын
Wazee wetu walikuwa wazembe sana
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
walifunika kombe mwanaharamu akapita. vita ni gharama mzee
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
Tumepitia Mengi aisee🥲🥲. mpaka hapa tulipo ni Mungu tu mh
@annasuday1592
@annasuday1592 2 ай бұрын
TANZANIA NI NCHI YA AMANI YA MUNGU HATUPENDI MACHAFUKO
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 2 ай бұрын
Ubaya ulianza zaman
@kevintruman9981
@kevintruman9981 Ай бұрын
By nature warundi wana roho mbaya i don't know why!??
@massive1765
@massive1765 2 ай бұрын
Pigo la Tanzania huwa ni kubwa- malecela
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 2 ай бұрын
Kwa wazee wetu walikua na hekima Sasa siuna Ona mpaka Leo walirudi kuwa pamoja wakasahau yaliyopita.
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 2 ай бұрын
Ila tatizo vipi walio poteza Maisha yao!
@randompad
@randompad 2 ай бұрын
🤝🏿🤝🏿🤝🏿
@bizomenyimanaelias5455
@bizomenyimanaelias5455 Ай бұрын
ipo siku tutayivamia tanzania ili turudishe kigoma yetu ipo siku kigoma itarudia Burundi historia hayifi
@nellyjr396
@nellyjr396 Ай бұрын
Hicho kinchi 😅chenu Kama kijij ktajua hakjui
@bizomenyimanaelias5455
@bizomenyimanaelias5455 Ай бұрын
@@nellyjr396 ukikuwa utakuja kujua kama hakuna nchi ndogo hapo tukivami tz ndio utajua nguvu zawarundi zikoje
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
Mthubutu muone
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
@@nellyjr396 Kama Uganda Backed with Libya walinyooshwa vile hiyo burundi nchi kama mikoa miwili ani ni week tu ingewatosha.. wangejuta dadeq mziki wetu ni hatari
@bizomenyimanaelias5455
@bizomenyimanaelias5455 Ай бұрын
@@EdwardSamson-uf1ee unaleta enzi zazamani sio sasaivi munaweza mukapigwa mpaka mukatoa kinyesi Burundi ni kama israel bwanamdogo
@user-tn4ny3ii2t
@user-tn4ny3ii2t 2 ай бұрын
Wemuongo
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
Umezaliwa mwaka gani we fara
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
Acha ujinga umezaliww mwaka unakaa unabisha bisha kipumbavu
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
@@ChoroTesla Hata hiyo picha tu huoni kuwa ni mtoto wa 2004 huyo kaka
@menyengeralesinoi9647
@menyengeralesinoi9647 2 ай бұрын
Rwanda ndiyo kulikuwa na mauaji ya kimbari
@conesmo5266
@conesmo5266 2 ай бұрын
Hata Burundi, soma historia ndg sio kubisha tu.
@Sadi_Tv
@Sadi_Tv 2 ай бұрын
@@conesmo5266kabisa watu wengi hawajui wanajua Mauaji ya kimbali yalikua Rwanda tu, Rwanda mauaji ya kimbali yamepromotiwa sana kuliko ya Burundi
@menyengeralesinoi9647
@menyengeralesinoi9647 2 ай бұрын
Rwanda ndiyo kulikuwa na mauaji ya kimbari
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 2 ай бұрын
Hata Burundi pia wahutu waliuliwa sana
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 119 МЛН
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 40 МЛН
这三姐弟太会藏了!#小丑#天使#路飞#家庭#搞笑
00:24
家庭搞笑日记
Рет қаралды 119 МЛН