Tamu san mmetukumbusha mbali...Kumbe hawa nao walituchokoz dah! Nyerere angewap dozi kidogo
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
Tena hawa ndo tungepiga kama nyoka dadeq
@FLAMINGOINTERNET26 күн бұрын
ila pamoja na yote Mkono wa Mungu uko juu ya nchi yetu Tanzania viongozi wetu walipambana sana licha ya kuwa tunaona madhaifu yao ila mazuri mengi sana wamefanya big up the chanzo
@sahimsaleh811810 күн бұрын
Documentary nzur sana
@gervasisaya49732 ай бұрын
Hizi ndo habari sasa..tanzania tumewavumilia mengi kutoka majirani zetu.lakini bado hawaoni thamani yetu..but there is a day they will know our presence😢
@yassersahin66392 ай бұрын
Ahsante sana kwa kuteelimisha watoto wa 2000 ndo tumejua leo Nchi yetu imepitia mambo mengi
@prince.eric_msemwa97322 ай бұрын
Athari za vibaraka dhidi ya 🇹🇿 na wapo mpaka leo tena jiraàaaani
@user-cn9br7en7w2 ай бұрын
Kuna mataifa yanatuwinda sana kuondoa amani yetu ili wanufaike huku wakitumia baadhi ya mataifa ya Africa na baadhi ya hayo mataifa ya Africa tulishawaonesh kuwa wasidhubutu kamwe
@davidanselmo40412 ай бұрын
Sijawahi waamini Majirani hususani wakenya kwa miaka hii
@pascalduwe30922 ай бұрын
News we ought to know and so does the Nation be protected at all costs
@tgeofrey2 ай бұрын
Madini
@MorganMwaipyana-tz9vc2 ай бұрын
Angela Davis, a genius lady
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
Imagine 85% ya mizigo yako inapita kwangu alafu unanishambulia ,hivi hii ni akili au matope😆😆😆. Ani silaha zako zote zinapita kwangu. chakula chako ,mafuta alafu unataka tupigane ani watu wengne bwana, kichwani pumba kabisa😂😂😂😂
@jackbetram178928 күн бұрын
😊
@YohanaMasebo2 ай бұрын
Wazee wetu walikuwa wazembe sana
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
walifunika kombe mwanaharamu akapita. vita ni gharama mzee
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
Tumepitia Mengi aisee🥲🥲. mpaka hapa tulipo ni Mungu tu mh
@annasuday15922 ай бұрын
TANZANIA NI NCHI YA AMANI YA MUNGU HATUPENDI MACHAFUKO
@husseinkonz51922 ай бұрын
Ubaya ulianza zaman
@kevintruman9981Ай бұрын
By nature warundi wana roho mbaya i don't know why!??
@massive17652 ай бұрын
Pigo la Tanzania huwa ni kubwa- malecela
@raymondjohn37982 ай бұрын
Kwa wazee wetu walikua na hekima Sasa siuna Ona mpaka Leo walirudi kuwa pamoja wakasahau yaliyopita.
@raymondjohn37982 ай бұрын
Ila tatizo vipi walio poteza Maisha yao!
@randompad2 ай бұрын
🤝🏿🤝🏿🤝🏿
@bizomenyimanaelias5455Ай бұрын
ipo siku tutayivamia tanzania ili turudishe kigoma yetu ipo siku kigoma itarudia Burundi historia hayifi
@nellyjr396Ай бұрын
Hicho kinchi 😅chenu Kama kijij ktajua hakjui
@bizomenyimanaelias5455Ай бұрын
@@nellyjr396 ukikuwa utakuja kujua kama hakuna nchi ndogo hapo tukivami tz ndio utajua nguvu zawarundi zikoje
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
Mthubutu muone
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
@@nellyjr396 Kama Uganda Backed with Libya walinyooshwa vile hiyo burundi nchi kama mikoa miwili ani ni week tu ingewatosha.. wangejuta dadeq mziki wetu ni hatari
@bizomenyimanaelias5455Ай бұрын
@@EdwardSamson-uf1ee unaleta enzi zazamani sio sasaivi munaweza mukapigwa mpaka mukatoa kinyesi Burundi ni kama israel bwanamdogo
@user-tn4ny3ii2t2 ай бұрын
Wemuongo
@ChoroTesla2 ай бұрын
Umezaliwa mwaka gani we fara
@ChoroTesla2 ай бұрын
Acha ujinga umezaliww mwaka unakaa unabisha bisha kipumbavu
@EdwardSamson-uf1eeАй бұрын
@@ChoroTesla Hata hiyo picha tu huoni kuwa ni mtoto wa 2004 huyo kaka
@menyengeralesinoi96472 ай бұрын
Rwanda ndiyo kulikuwa na mauaji ya kimbari
@conesmo52662 ай бұрын
Hata Burundi, soma historia ndg sio kubisha tu.
@Sadi_Tv2 ай бұрын
@@conesmo5266kabisa watu wengi hawajui wanajua Mauaji ya kimbali yalikua Rwanda tu, Rwanda mauaji ya kimbali yamepromotiwa sana kuliko ya Burundi