No video

Taswira ya jamii zinazozurura barabarani bila makao rasmi almaarufu chokoraa nchini India

  Рет қаралды 67,390

KTN News Kenya

KTN News Kenya

Күн бұрын

Unapowaona raia wa ki-esia hapa kenya taswira ya senti na utajiri inakujia. Lakini je, wajua kuwa nchini India yamo matatizo chungu nzima sawia na hapa Kenya? Na je, wajua India pia ina jamii zinazozurura barabarani bila makao rasmi almaarufu chokoraa? Mwanahabari wetu mpekuzi Mohammed Ali katika pita pita zake mjini Mumbai India alishuhudia hali hii haswa
Watch KTN Live www.ktnkenya.tv...
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnkenya
Like us on / ktnkenya

Пікірлер: 26
@mugzbrenda
@mugzbrenda 8 жыл бұрын
Thank you Ali these guys mistreats us on our land
@sammycharomwalili6728
@sammycharomwalili6728 2 жыл бұрын
Mungu amlinde Mohamed ali wetu kwa taarifa
@MM-ox4mf
@MM-ox4mf 6 жыл бұрын
Mohammed shukran wakiwa Kenya pia wanajiringa sana
@looruaoletendere1518
@looruaoletendere1518 2 жыл бұрын
My tears couldn't stop falling when I see small children's and share young babies in reasons of asking food 🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️😥😭
@faridabakari8511
@faridabakari8511 6 жыл бұрын
Nkweli hata dubai tele saudiaa utafikiria nkwao doo nakwetu KENYA wajigamba shainzzzzzzz
@husseinkazungu5101
@husseinkazungu5101 8 жыл бұрын
Muhammad Ali asante lakini ni fupi hii kanda
@hamishemed9179
@hamishemed9179 5 жыл бұрын
Dah Muhammed Alli wewe ninoma mzee baba
@ericmayaka7040
@ericmayaka7040 5 жыл бұрын
Ndio maana wakienda nchi zingine wanaishi huko milele na milele
@tinakaitsa7334
@tinakaitsa7334 3 жыл бұрын
Kwanza APA kenya
@zerodone5854
@zerodone5854 4 жыл бұрын
Dah uje na bongo!
@erickimani9357
@erickimani9357 5 жыл бұрын
Wamejaa hapa Doha
@joyceshapata7203
@joyceshapata7203 8 жыл бұрын
Dah Mohammed ali wewe ninoma sana.Yani umeamua kupekua wahindi sio.
@elizabethmwandoe2426
@elizabethmwandoe2426 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@ahmaduun6523
@ahmaduun6523 2 жыл бұрын
nadhani kuna siku wahindi walimkera sana na kuijiringa ringa mbele zake ndio maana akaamua aende huko kwao haswa awakashifu, awatobolee siri zao, na kuwaonyesha kuwa wao si chochote si lolote wanaturingia na ilihali kwao kumeoza kwanuka na umasikini umejaa kupita kiasi.
@edwinbabayao3700
@edwinbabayao3700 8 жыл бұрын
wakifika kenya wanaringa sana ilhali kwao kumeoza😂😂😂😂😂 that's why indian are all over the world........kwani hawajui kutumia family planing
@MohamedHassan-tx2gx
@MohamedHassan-tx2gx 7 жыл бұрын
EDWIN BABAYAO that's why the don't worship God
@aishan.d6745
@aishan.d6745 6 жыл бұрын
EDWIN BABAYA O
@samueljr9105
@samueljr9105 6 жыл бұрын
Hata bara hindi ndiko kutokako nguo na wendao uchi wako
@tinakaitsa7334
@tinakaitsa7334 3 жыл бұрын
Nikubaya joo, APA kenya wamejaa , kujinyaa miungu watu
@ahmaduun6523
@ahmaduun6523 2 жыл бұрын
Apana miungu yao hawa wahindi sana huwa ni ng'ombe, wanaabudu ng'ombe na mtu akishikwa anachinja au anakula nyama ya ng'ombe huwa amejitafutia balaa kubwa sana kwa maisha.
@ggfhrg7229
@ggfhrg7229 8 жыл бұрын
Na venye wanaleta maringo kenya
@MohamedHassan-tx2gx
@MohamedHassan-tx2gx 7 жыл бұрын
Ggf Hrg Never work for indian citizen
@khadijamahamed2154
@khadijamahamed2154 6 жыл бұрын
at least they are more decent than the kenyan vershon
Kesi ya Mohamed Ali
1:16
KTN News Kenya
Рет қаралды 140 М.
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 11 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 47 МЛН
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 89 МЛН
JICHO PEVU 26th April 2015 Futari ya Sumu [Part 1]
58:19
KTN News Kenya
Рет қаралды 1,9 МЛН
Vioja Mahakamani | Kamageras 'Makanga wa stage' Kuibia Wateja
24:59
KBC Channel 1 TV Shows
Рет қаралды 1,1 МЛН
Jaramandia La Uhalifu : Mauaji ya Robert Ouko
22:55
KTN News Kenya
Рет қаралды 1,1 МЛН
What the SC said on the Kolkata medical college case
6:46
Brut India
Рет қаралды 1,9 МЛН
President Ruto's "Story za jaba'
7:05
KTN News Kenya
Рет қаралды 98 М.
WAKOROFI WAPO MAKANISANI KWA AJILI YA KUTIMIZA WITO WAKO
17:26
Happy birthday to you by Tsuriki Show
00:12
Tsuriki Show
Рет қаралды 11 МЛН