TAZAMA:MKURUGENZI WA ASAS ANENA KUHUSU MBUZI MWENYE MAAJABU MBELE YA RAIS SAMIA, 'UFUGAJI BORA'

  Рет қаралды 71,944

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan leo August 08 ametembelea banda la Asas Dairies kwenye Kilele Cha Maadhimisho Sikukuu ya kimataifa ya Wakulima Nanenane yaliyofanyika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya ambapo ameonyesha kufurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na kampuni hiyo katika kuinua sekta ya Ufugaji.
Akiwa kwenye Banda Hilo, Mhe. Rais Samia amepokea Maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Asas Ahmed Salim ambapo ametembezwa na kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa.
Aidha Mhe. Samia amepongeza uamuzi wa Kampuni ya Asas Dairies kuipatia Serikali Ng'ombe Mmoja wa kisasa wa mbegu kwaajili ya Mradi wa Vijana kupitia programu ya wa Build Better Tomorrow, Mbuzi 110 wa nyama na maziwa.

Пікірлер: 60
@bensonlameck6348
@bensonlameck6348 Жыл бұрын
MAMA SAMIA SHE IS UNDERSTANDING,LISTEN HOW SHE RESPONDING WHILE AHMED ASAS EXPLAIN ABOUT THOSE TYPES OF COWS AND GOATS.....SAMIA SULUHU HASSAN OEE......
@frankfaraja4767
@frankfaraja4767 Жыл бұрын
Ulega umeiona hiyo..... Nimeiona mama😂😂😂
@twororeturimekijambere5491
@twororeturimekijambere5491 Жыл бұрын
napenda kazi hiyi toka BURUNDI👌👌🙏🙏❤❤💯
@HamisHamza-uf6uz
@HamisHamza-uf6uz 5 ай бұрын
Hongera Kwa maziwa ,,Ila kwenye upande wa Ku care maderva wako ni asilimia 0 kwa ukumbuke bila maderva pia kz zako haziwezi zikaenda jirekebishe broo
@Dunia129
@Dunia129 Жыл бұрын
nani amenotice mkurugenz anavotumia maneno ya kitalam mama anaitikia tu mm mmm mm mmmm😅😅😅
@guydonacklandgereta3805
@guydonacklandgereta3805 2 ай бұрын
Hakuna maneno ya kitaalam hapo anachanganya kiswahili na kingereza tu basi
@TheElly1976
@TheElly1976 6 ай бұрын
Well explained hiyo ni mbegu gani tena
@erickmalamsha6938
@erickmalamsha6938 Жыл бұрын
Good work ASAS
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Safi sana
@meshackmlaki2066
@meshackmlaki2066 Жыл бұрын
Mama anapenda ufugaji😊😊
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 11 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏
@MdaraSarumbo
@MdaraSarumbo 11 ай бұрын
Hongera mama Kwa kutoa fursa Kwa watanzania wenye uhitaji wa kufuga. Nami sijui nitapataje hiyo mbengu ya Hawa mbizi wa gall
@AwaziRajab
@AwaziRajab 29 күн бұрын
We Unatukana Alafu Auna Uwezo. Wa Kujua Kama Simu Yako Inachunguzwa Unategemea Nini Kama Sio Wasiojulikana Wakupitie Kama Upepo
@KaijageEvodius
@KaijageEvodius 3 ай бұрын
safisan
@godsonandwele5265
@godsonandwele5265 Жыл бұрын
Unaulizia mifuta tuu!😂
@kadrimwingamno258
@kadrimwingamno258 Жыл бұрын
😂😂Majike 30 mpaka 40....noma
@davidrulobhavako8551
@davidrulobhavako8551 Жыл бұрын
Apo kwenye majike 30 hadi 50 mother kaguna😅
@ga6866
@ga6866 2 ай бұрын
Ya shangaa sana😅😅
@HisaniMsigwa-lc6zk
@HisaniMsigwa-lc6zk Жыл бұрын
Mama ntakuja unipe story za Salim .Mama Leo hii nimejua hobby yako
@josephmbena611
@josephmbena611 Жыл бұрын
Boer goat's ni mbuzi bora na wenyefaida
@saidkhamisi9592
@saidkhamisi9592 Жыл бұрын
Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa kuna watu kazi yao nikutukana tuu hivi unadhani haya matusi yatapita hivi hivi ?.....kila kitu kiandikwa na utasimamisha mbele ya Allah acha kutukana bora kukaa kimya
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 Жыл бұрын
Jamani humu kuna watu wanatukana matusi mazito ! Afande muliro upo! Wakamateni kimya kimya muashuhulikie !!! Uhuru gani huu wakumtukana kiongozi wa nchi matusi mazito namna hiii!!! Jamani cyber crime wapo wapi! Au serikali imelalaa
@winfordmwangonda5375
@winfordmwangonda5375 Жыл бұрын
Polisi wajiongeze ,hawa watu wakiwataka ni dakika 5 tu, Haiwezekani umtukane raisi ,tena mama tusi kama " kuma' ,yaani ata kama hukubaliani naye toa maoni mbadala ili tujifunze kutoka kwako .
@PriscaKasmil
@PriscaKasmil 3 ай бұрын
A K MIHAMBO
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 Жыл бұрын
Mama mafuta yamepanda petrol diesel mama pagumu wanao tunapita punguza mafuta angalau hata mwenye vtz aweze kumudu
@binuqaasha675
@binuqaasha675 4 ай бұрын
Milard ayo.. wanapatikana wapi hawa nataka nikanunue mbegu za boer
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Жыл бұрын
😂😂😂😂 mama tupe story za salim kikeke
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Жыл бұрын
GMO
@classicwaisala6677
@classicwaisala6677 Жыл бұрын
Eti anaweza akapanda majike thelathini adi amsini 😂 apo rais kanunu tu uuumh😅
@mosseslazaro610
@mosseslazaro610 Жыл бұрын
Vijana wa hovyo mmechukua hiyo tu😂
@josephmbena611
@josephmbena611 Жыл бұрын
Yap nikwer broo kwaupande wangu tumechanganya mbuzi mmoja kwa majike arobaini
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 Жыл бұрын
Rais nakupenda ilaa GMO achana nayo
@sulimanmzee2310
@sulimanmzee2310 Жыл бұрын
HUYO MMBWA TU C RAIS WALA NINI KIBARAKA WA MABEBERU SERIKALI MNAJIVUNJIA HESHIMA KWA KUMLINDA HUYO KIBARAKA
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Kuwa na heshma kaka hata ww una mama akitwa hv utafurahi
@paulmushi2428
@paulmushi2428 Жыл бұрын
Laa! Wakati mwingine hata Mimi Mama huwa simuelewi ila mwenzetu umeenda mbali sana hayo Matusi hata kama una stress ya maisha la! Kumbuka una mama, Shangazi, Dada! Matusi na chuki haziwezi kukupa nafuu ya maisha Mwombe Mwenyezi Mungu atakusaidia!
@asalkhan9168
@asalkhan9168 Жыл бұрын
Ok ushatukana je tatizo lako lomeondoka? Bado unaendelea nalo matusi hayasaidii kitu
@SAM_163
@SAM_163 Жыл бұрын
HUNA ADABU MSHENZI WEWE UWE NA ADABU NA RAISI WETU. Huyo unayejitoa ufaham kumtusi si rais tu Bali pia Ni Mama yetu . NINGEWEZA NINGEKUFUNGIA HIYO ACCOUNT YAKO MAAANA UNAKICHAA WEWE
@mohamedsuleiman2785
@mohamedsuleiman2785 Жыл бұрын
Mbwaaa mwenyeooo na nguruwewee
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 Жыл бұрын
Kila Mtu Mama Kila Mtu Mama Sasa Inamana Chini Yake Viongozi C Wapo Na Wao Ndio Wako Kalibu Na Watu Wa Kila Kundi Raisi Kila Akienda Mabodigadi Sasa Shida Zote Atazijua Vipi Ndio Mana Amechagua Viongozi Wa Chini Yake Hao Ndio Wanapaswa Wapigane Zaidi Kwa Watu Wote
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Жыл бұрын
Tutapata vp hz mbegu ??
@bongo39
@bongo39 Жыл бұрын
Safibsana hivi ndio tunavyotaka kupeana ushirikiano sio kubwaka tuu kama mbwa mtapata maradhi ya makoo kwa kusema uongo na kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do Жыл бұрын
Kila ndiyo raisi Gani huyu
@chuzilapweza6517
@chuzilapweza6517 5 ай бұрын
mm namtaka huyo boer goat
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 Жыл бұрын
Bandari zetu
@sulimanmzee2310
@sulimanmzee2310 Жыл бұрын
ETI MWESHIMIWA KUMA KIBARAKA ANAWAPA MALI ZA WATANZANIA WAARABU NA ANAJENGA KWAO NYINYI MNALINDA MSHENZI TU
@bongo39
@bongo39 Жыл бұрын
Hayo matusi unayo tukana yatakufikisha sehemu mbaya sana jee mama yako angekuwa nafasi hiyo jee ungekubali unajiamini sana
@asalkhan9168
@asalkhan9168 Жыл бұрын
Ndugu sio ustaarabu huo kutukana matusi, zungumza jambo lako usitoe matusi
@athumanially712
@athumanially712 4 ай бұрын
Tatizo Boer goats hapa nchini kwetu ni ngumu kuwapata em milad ayo waulize mimi naitaji.je?nikija kwao nauziwa pair ? Na ni bei gani?!! Nipo Kagera kwa sasa
@guydonacklandgereta3805
@guydonacklandgereta3805 2 ай бұрын
Sizani kama utapata kwanza wanaringa kweli
@wajanjaforever4822
@wajanjaforever4822 2 күн бұрын
Nenda kwenye mashamba yote ya serikali, wanauza
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do Жыл бұрын
Mama muza bandari huyo
@coj7920
@coj7920 Жыл бұрын
Msiangalie tu faida ya kuuza, wa kienyeji ndio salama kwa afya ya watanzania. No to GMOs
@joesimba
@joesimba Жыл бұрын
Huwezi kukwepa GMO kwenye dunia ya leo mdogo angu, hizi zama sio 1940s wakati dunia bado ilikua na population ya billion 2 tu.
@ME-kb8rk
@ME-kb8rk Жыл бұрын
Shukuru kwanza!!! Mengine baadae..... ASAS angalalau wana moyo wa kutoa, wapo wangapi mbona hawatoi?
@coj7920
@coj7920 Жыл бұрын
@@ME-kb8rk kuna faida gani yakushukuru poison. The issue sio asas tu, kuna wengine wengi tu.
@ElishaJoakim-ir2qf
@ElishaJoakim-ir2qf Жыл бұрын
Sasa kamer man mbon mshamb san unamchu rais t chukua n mifug tuione
@DaimaNyakunga-jb6do
@DaimaNyakunga-jb6do Жыл бұрын
Majambazi wanakupa SoMo situka wote hao wapigaji
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Жыл бұрын
wamemuibia baba yako?! chuki tu.
@KEVINPHANUEL
@KEVINPHANUEL Жыл бұрын
Tuko vijana tunapenda mifugo tusaidie tufunge
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 14 МЛН
From Small To Giant Pop Corn #katebrush #funny #shorts
00:17
Kate Brush
Рет қаралды 72 МЛН
🍉😋 #shorts
00:24
Денис Кукояка
Рет қаралды 3,7 МЛН
Running With Bigger And Bigger Lunchlys
00:18
MrBeast
Рет қаралды 121 МЛН
MISSION IMPOSSIBLE [48]
22:36
CHADO MASTA FILM
Рет қаралды 19 М.
Where Are Laid Off Tech Employees Going? | CNBC Marathon
41:28
#TBC-SHAMBANI : FAHAMU KUHUSU UNENEPESHAJI WA NG'OMBE
29:08
TBConline
Рет қаралды 49 М.
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI | #MAVUNOTIMES
10:15
MAVUNO TIME
Рет қаралды 61 М.
Inside Out 2: ENVY & DISGUST STOLE JOY's DRINKS!!
00:32
AnythingAlexia
Рет қаралды 14 МЛН