Yaaan kaka Mungu akubariki sana wallah. Na akuhifadh upate kutusaidia . Nmeipenda iyo kdgo nakutafuta sana ckupati
@tatuathmani8838 ай бұрын
Kaka hilo shims lachoo mpaka li akamilika linagalimu kiasigani chapeau ujekwangu mbezi nahitaji shimokama hilo
@MauFundiElectronics8 ай бұрын
unafanya kazi mzuri sana kaka hongereni sana hila jitahidi uje unajibu comment hata kwa uchache hili watu wapate huelewa zaidi sio mpaka wapige simu ahsante 🙏🙏🙏🙏.
@bentybenty23438 ай бұрын
Much luv sir with your team 🎉🎉🎉❤❤
@kaperijohn75378 ай бұрын
Vp huu mfumo kwa yale maeneo yenye maji mengi chini(chemchem) unaweza kuondoa changamoto ya maji kujaa hasa nyakati za mvua?
@didasseveline90138 ай бұрын
Acheni kudanganya watu kwamba hiyo choo haijai sio kweli labda ukisema inachukuwa muda kujaa
@stellamoses44968 ай бұрын
Mr house choo hicho nampenda kujua gharama Yake tafadhali
@PpPp-nv7gfАй бұрын
Ni sawa unatushauri vizuri hujibu sms za watu hata kama uko bize ni vema ukamjibu mtu
@cleophaxgeremy21488 ай бұрын
So mnajifanyia advertising ya kazi zenu,,,but tatizo maongezi kwenye show hii ni mengi bri,,anywats congratulations kwa technology hiyo
@fanni-ck6do8 ай бұрын
well good job solute
@mussamaulid41138 ай бұрын
Mbona bomba iko juu sana
@stellamoses44968 ай бұрын
Tafadhali hicho Naomba nijuegharamayake
@RehemaSaidi-z6f8 ай бұрын
Unaelimisha vizuri Lakin una bei ambazo zinamkatisha mtu kujenga