Akunaga wa Rwanda 🇷🇼 kwenye iyo kambi ni wa congo 🇨🇩 na wa Rundi tu 🇧🇮
@mcback43842 жыл бұрын
Wapo
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Hamna
@mwaminievelyne36042 жыл бұрын
Wapo Ila sio wengi tu
@upendowakwelinaamani10602 жыл бұрын
Hapo ni wakimbizi wa Burundi na congo hakuna mkimbiz wa Rwanda muwe mnaweka habar kwa ufasaha zaidi acha kuwalisha watu matango poli
@mcback43842 жыл бұрын
Wapo
@ashurakiswamba70852 жыл бұрын
Wanyaruwanda wapo kibao kambini. Wengine wanaosema wakirudi wataishi vp hawana chochote kwa hiyo wapo msibishe.
@deniskimenyi8992 жыл бұрын
Rwanda haina wakimbizi kwa sasa Tanzania, Na hakuna kambi yenye wakimbizi toka huko. Lakini wamejaribu kwa kweli katika hari zao za ukimbizi hawa walio andaa hiyo show .mungu awasaidie nchi zao zipate amani warudi kwenye maishaa ya kawaida.
@beatricekipela91002 жыл бұрын
Wamependeza sana kwenye hii show
@kaitaramadan63402 жыл бұрын
Duh aisee kumbe kambini Kuna visu hatari
@saumusalimuhassan24992 жыл бұрын
Mashallah, Mrembo
@marieakili3005 Жыл бұрын
Good ❤❤
@Hearts4rucyah2 жыл бұрын
👌🔥🔥
@surusuru19942 жыл бұрын
Rwanda wanakibia nn ten bwna iche yao ina Aman
@mcback43842 жыл бұрын
Bado wapo wakimbizi wa zamani
@theosaimon69332 жыл бұрын
Mimi ngoja nikatafute zangu jiko huko
@RuzoOwzy2 жыл бұрын
Majiko mazuri yapo kariakoo, mtaa wa congo na aggrey. Unapata la gas kabisa ya plates mbili, tatu,n.k.
@sazanahussen67152 жыл бұрын
Yanii wamezoea kukimbia sio kwa hizo pozi ila wamedamshi
@mwombekimajura19732 жыл бұрын
Nimeona Hii. Sikuhudhuria kwani nilikuwa tight na CO training za wale wacongo wanaenda USA ila niliambiwa sherehe ilifana sana
@kigomanow54132 жыл бұрын
We milardayo vipi yani unavyo chukia Congo mpaka unasema Rwanda badala ya congo umenisikitisha sana
@meshackmarwa92 жыл бұрын
Naomba kuishauli serekari yetu ya tanzania kuwa iwaruhusu hawa warwmbo waolewe huku kwetu
@valenakomba92182 жыл бұрын
Se bein, 👏🏿 bravo.
@raymondwilliam30422 жыл бұрын
Waachen jaman hkuna wa kuwafarij hao weng Ndg zao walishatangulia mbele za hapo hawajitambui Wacha Wafarijiwe tu 😭
@mcback43842 жыл бұрын
Nipe number yako nikuunganishe nae
@frankkashamakula8382 жыл бұрын
Sasa Rwanda Unakimbia Nni Burundi pia Yani bora Ukimbie DRC Apo kweli Ao Wengine Ludisheni kwao Kasolo pisi za Rwanda
@mamitaamashausi51642 жыл бұрын
Wow nice
@mawazomwamba26672 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@sumayananabintimusa63212 жыл бұрын
Wema sepetu ajitokeze
@alphoncewilliam43252 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@omarhome22602 жыл бұрын
Mm hata sioni fashion yyte ninajionea nguo tuh
@yuzzohcrayze2 жыл бұрын
Wacha weeee
@salamakombo32572 жыл бұрын
Ila kusema kweli hapo ndipo wanapo patikana majambazi sugu sitakiiiiiii kuchambwa ila majambazi wengii ni watu tunao wajaribisha na kuwasaidia kwa wema tu badae ndio ivoo tena
@musanachantal58672 жыл бұрын
ukona kasoro rwanda kuna amani rekebisha ujinga zako plz
@neemazee18642 жыл бұрын
Jmn gauni imetoboka arafu alivyowageuzia wale majaji kwa madaha wowow
@miriamwinston99082 жыл бұрын
Kweli hawa ni wakimbizi😂😂
@shaibumkullu44782 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@salmahhaji19142 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@yuzzohcrayze2 жыл бұрын
😂
@salamakombo32572 жыл бұрын
Leo mumetuletea vichekesho ila nimefurahi nairejea mara tatu hii video kikweli Allah awatangulie wanajifurahisha wenyewe japo wana majonzi ya kupoteza ndugu zao
@alextercisio Жыл бұрын
Hapa hakuna fashion
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Vumbi namna hii
@halimaally86682 жыл бұрын
Kwan hamjaona huyo mwenye gauni limeraruka nyuma🤦♀️
@AWetekatz2 жыл бұрын
Utakuwa ndio mtindo wenyewe huo🤭🤭
@nancyg86642 жыл бұрын
Nilidhan nimeona pekeangu
@sumayananabintimusa63212 жыл бұрын
Jmn munamacho kweli😃😃😂
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
ni mshono huo
@zulfaomari85552 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤔
@sharifaabdullah11612 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakimbizi kweli maana sio kwa kukimbia huko
@neemazee18642 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@RuzoOwzy2 жыл бұрын
02:26 pisi
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
duh ! Africa jamani tupo nyuma sana kwa kila kitu , fashion show vumbini 🏃🏃🏃
@jeniferemmanuel42512 жыл бұрын
😁😁😁🤣🤣🤣🤣
@kaitaramadan63402 жыл бұрын
Yaani wewe ni pimbi kweli aisee umeambiwa hapo ni mjini hapo ni kambi ya wakimbizi sio dar hapo tumia akili pimbi wewe
@LishaPasha2 жыл бұрын
Acha hizo...kwani huelewi maana ya neno au watu wakimbizi wako kambini? Give them a break please....they don't have facilities or luxuries kama weye hapo...but still wanajitahidi kujifariji na kusahau matatizo yao.
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
@@kaitaramadan6340 pimbi naona ni weee unaepewe kioo watu wakachukua dhahabu na almasi na kuwasindikiza kani hakuna uwezekano wa kufanya hivyo maonye kwenye sehemu yenya mazingira yaliy bora zaidi ya hapo , au ndio kuwezi kufirika. na kutafakari , akili za kupewa kiooo. wenyr akili wanachukue dhahabu na almasi 🤣🤣🤣
@neemazee18642 жыл бұрын
Eti vumbini😂😂😂😂😂
@oliverwema86462 жыл бұрын
Akuna wa rwanda hapo please hahahahahahhhaa
@yuzzohcrayze2 жыл бұрын
😂
@suleimankhamis82982 жыл бұрын
wakimbizi why?
@nadrahassan52412 жыл бұрын
😂😂😂
@dlumala Жыл бұрын
Hawanajipya big ass tu
@samwelipaul14622 жыл бұрын
Yan wote washamba Sana 🤣🤣🤣🤣🤣
@nelsonjonathan76602 жыл бұрын
Sio washamba ila kumbuka hao niwakimbizi pia wapo ktk mazingira magumu wamejitahidi sana
@mahamuduabubakar59092 жыл бұрын
Maana ya ushamba ni nini huwaga mkimbilia ushamba yawezekana wewe ndo mshamba zaidi yao na usishangae wanakuzidi hadi maisha chunga mdomo wako wewe bata mla tope
@brenda10832 жыл бұрын
Fikiria kabla hujaongea wacha matharau ndogondogo
@blackity102 жыл бұрын
Mshukuru mungu kwa hali yako usidharau wengine
@nicholouswaryoba14742 жыл бұрын
Kwanini wasirudi makwao maana naona Rwanda wanapokea wazungu huku wao watu wao wapo nje kama wakimbizi....msemo wa mnyeti baadhi ya nchi hazijitambui
@rosemahenge90712 жыл бұрын
🤣🤣🤣mbona wanatembea kama wanakimbizwa
@shaibumkullu44782 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃
@yuzzohcrayze2 жыл бұрын
😂
@abuialmarjibi9792 жыл бұрын
Si ndio wakimbizi jamani
@nancyg86642 жыл бұрын
@@abuialmarjibi979 😂😂😂asee umewaza mbali
@jeniferemmanuel42512 жыл бұрын
@@abuialmarjibi979 muone 😁🤣🤣🤣🤣🤣
@stellah38442 жыл бұрын
Wamevaa kikimbizi ma wanatembea kikimbizi🤣
@sumayananabintimusa63212 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
Mbona hayo mavazi ni ya kawaida sn jmn🤣🤣🤣uyo mwenye kupasuka gauni kwema😁😁nacheka kama mazuri dah
@beatricebertin29402 жыл бұрын
Kwa Fashion gani jamani 🤣🤣🤣
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
fashion dongoni na vumbini , hufanyika Africa tuu 🤣🤣🤣
@richardlucas22752 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 ndugu yangu hao niwakimbizi.. hiyo ni sikukuu yao. Sio siku ya fashion show. Ni fashion show ndn ya sikukuu ya wakimbizi. Unaweza ukatumia elfu sabini KWA ajili yakujipepea?
@salamakombo32572 жыл бұрын
Wame tuletea vituko mie nzcheka tu nafurahi najisikia kucheka Allah awatangulie wamenifurahisha
@blackity102 жыл бұрын
Sio poa,,,Nyie mnadharau watu ambao situation zao mnazijua,
@richardlucas22752 жыл бұрын
@@blackity10 nonsense kabisa sijui watapoteza nini wakikaa kimya??