Kongole akina mama,tunafurahi kuwaona mukiwa na afya njema.Mwenyezi Mungu aendelee kuwatunza
@merinachillonwa664614 күн бұрын
Hongera sana wamama, wadada. Nami naitwa Merina Michael, nilimaliza Shule Tabora Girls mwaka 1982
@robertmasolele355912 күн бұрын
Binafsi nimefurahi sana kukuona mama yangu, mama L. Nhigula ukifurahi na mama zangu wengine. Mungu aendelee kuwatunza, kuwalinda, awape afya njema na amani tele. Asanteni kwa kulitumikia Taifa letu kwa maadili na uaminifu mkubwa uliotukuka.
@user-lm3kj3gn2v13 күн бұрын
mwenyenzi mungu awabariki zaidi na zaidi.
@SungiMahumbi-s8h13 күн бұрын
Hongereni bibi zangu
@flavianmashimi632711 күн бұрын
Nafurahi kuwaona waliosoma na Mama yangu Tabora Girls. Angekuwepo hapo lini ni mgonjwa yuko kitandani. Hongereni sana Mama zangu
@mohamedS-yd9wh22 күн бұрын
Huu no mfano mzuri sana wameuonesha kina mama Mwenyezi Mungu awabariki sana, endeleeni kuelimisha kuwafunda wasichana wa sasa wajielewe wanatoka wapi na wanakwenda wapi. Hi imenifurahisha sana
@joycedavid13318 күн бұрын
Hongereni wamama.Na Mimi nilisoma hapo Tabora Girls 1970.
Hongereni sana Wana Tabora Girls kwa hili jambo kubwa sana na la kutisha. Mimi ni Marietha Ngowi nilimaliza Tabora Girls mwaka 1986. Tupo pamoja
@user-lm3kj3gn2v13 күн бұрын
Beautiful.....stay blessed.
@alipipimapunda992726 күн бұрын
Hongereni sana
@generosennko834318 күн бұрын
Hongereni sana wana warsaw. Mmependeza sana. Hakika upendo unaleta umoja na afya. Keep going girls❤
@RachelEmmanuel-r6v13 күн бұрын
Oyooo''oo
@christinelokaji66424 күн бұрын
Mama zangu na dada zangu hongereni sana. Mungu aendelee kuwatunza na kuwapatia nguvu na afya njema. Be blessed bibiz❤🤗
@EsterTemu-fl9vo16 күн бұрын
Hongera kwenu, kwa kweli mmetisha. Jambo zuri sana hili mlilolifanya.
@RevocatusSebastian-c8o16 күн бұрын
Mimi mama yangu alimaliza msalato girls mwaka 1984
@nasrahassan734615 күн бұрын
mazoezi mazuri ongera mama zangu wote kwa mazoezi hakika mmeweza ❤❤
@maangorajabu699014 күн бұрын
Hongereni saana Mama zetu , Lakini Ninaomba niwakumbushe kwa nafasi zenu kuukumbuka Mji wa Tabora ni Mkongwe ambao haufanani na Jina lake,ninamumba Allah awape Maisha marefu yenye Faraja
@rehemanhende923721 күн бұрын
Wakongwe wa Shauritanga mpoo
@hopefully709018 күн бұрын
Shauritanga mwaka gani?
@DhahabuSafi25 күн бұрын
Hongereni mnoo, Mmependeza mnoo.Warembo haswa.Msiache kuchangamsha viungo vyenu kwa mazowezi.
@jescarwegoshola175420 күн бұрын
Ooo nakuona Mama yangu Mama Mzaba 👍🏻🤝🙏🏽 Mungu azidi kukutunza❤
@honorathampemba539215 күн бұрын
Mama MONGERA Hongera kwa kuwatetea wazee wa Tabora Girls.Lakini kuna wazee wengine wa nchi hii bila kujali hali zao wote wapewe pension !!! Wanakufa kwa maisha magumu hawawezi kazi tena.
@MagdalenaMagere26 күн бұрын
Hongereni sanaaaa. Mungu awalinde na kuwaongoza.
@lucasmlowezi921416 күн бұрын
Hongereni sana bibi zetu, nimefurahi sana kuwaona mkifurahi❤
@hildakagilwa26 күн бұрын
Hongereni sana .Mungu azidi kuwapa nguvu na awalinde muwe na afya njema.
@ust.shamsaalkindiya483222 күн бұрын
Nimefurahishwa sana Tabora girls 😍💖
@user-tg7vq3ty8p26 күн бұрын
HONGERENI SANA Mama zetu kwa kujitunza na kuifanyia haki elimu.
@nkambaMhamba12 күн бұрын
Mungu awatunze wana warsaw wote popote walipo,naitwa nkamba Mhamba mwana Warsaw 1991-1994.
@jojianaskibura319026 күн бұрын
Hongereni kwenu pia kwa Mungu ambaye amewatunza na kuwapa umri, nyie ni tunu ya taiga letu
@martha478816 күн бұрын
Mauwa kwaoooo
@gracekagoma323126 күн бұрын
Hongereni sana wanawake wa shoka.❤
@venerandamaufi857416 күн бұрын
Jamani,dada zangu pia Theresia Maufi,na Franciska Maufi wamesoma Tabora girls.dada Theresiia yupo hai na 93 years now. Mdogo wake Francska ameshatangulia kwa baba apumzike kwa amani.
@nemilakiangela515324 күн бұрын
Hongera sana Tabora girls alumni ! najisikia fahari kuwa MMOJA old girl wa Tabora girls. ASANTENI SANA KWA HILI, NI MUHAMSHO WA MAENDELEO NA UZALENDO
@beatrice478023 күн бұрын
Hongereni sana Mama zetu, Warsaw Girls hakika mmetuonyesha njia, nasi tuliokuwa Warsaw Girls wa 80's tutafuata nyayo. Upendo, afya njema na maisha marefu kwenu❤🙌
@MbwilizaJoseph23 күн бұрын
Hongereni sana dada zangu. Nana Berlin wa Bisco. Prof Mbwiliza.
@mandelasamson840126 күн бұрын
Hongereni sana mama zetu
@nasrahassan734615 күн бұрын
❤❤❤❤
@merinachillonwa664614 күн бұрын
Ni jambo zuri sana
@gracekagoma323126 күн бұрын
Wakongwe wa Msalato je wapo😊😊🎉
@nyakatongongo429226 күн бұрын
Nawapendeni Dadangu alisoma hapo sikumbuki.mwaka nilikua mdogo jina Adelina Kahwa ambaye ni marehemu na Mungu ailaze roho yake peponi
@mzadomwongozo367113 күн бұрын
Huyo anapiga back vocal hapo kwenye ushairi katisha sana
@mpefu_493615 күн бұрын
Heee wasichana wa zamani
@restcyprian159826 күн бұрын
Mama zangu hongereni sana. Mungu amewapaka mafuta yasyoifutika ndiyo maana mna nguvu, uwezo wa kumbukumbu. Na sababu mlikua mnaishi kimaadili.
@odiliagara572820 күн бұрын
Najisikia faharina furaha mmemnikumbusha mbali hahaha.....
@EmmanuelLuoga-c1o16 күн бұрын
Muwakumbeke na Washington... Milambo High School😂😂
@mpefu_493615 күн бұрын
Wawakumbuke jamani
@honorathampemba539215 күн бұрын
Dole gumba la mkononi lisugue vidole vingine kuzuia ganzi Zoezi hili lifanyike kila unapopata nafasi wakati wowote. .Damu itatembea kwa urahisi
@edwardmakonge695124 күн бұрын
wakongwe wa Bwiru Boys mpoo??
@mariamagdalena-bulegi463026 күн бұрын
Hongereni sana!,wakongwe wa Kazima Sec.mpo?
@vivianshalua238326 күн бұрын
Tupooooo
@GBPazzo16 күн бұрын
Fanyeni jambo nanyi@@vivianshalua2383
@djumakonki196414 күн бұрын
wazazi wangu naomba radhi kwa haya nitakayosema. Hivi miaka yote mlikuwa wapi mpaka leo mmekumbuka kuitembelea Tabora!! Mji wa tabora unahistoria kubwa kwa kusomesha watoto viongozi wote waliopata kushika madaraka makubwa katika nchi ya tanganyika na sasa tanzania. masikitiko makubwa kwa wazawa wa tabora ni kwamba Mji wao utupwa na hauthamini kwamba ulikuwa ndiyo chimbuko la uhuru kwa sababu kuanzia baba wa taifa na viongozi wengine wote walisoma tabora. Leo tabora wamebaki masikini wa kutupwa! Mji hata heshima ya jiji hauna .masikitiko makubwa sana. Hata hivyo wakazi wa Mji wa tabora wanawashukuru kwa kuwakumbuka japokuwa dakika za lala salama.
@NahidaMbwana25 күн бұрын
Good. Korogwe girls mpo?
@christinemasiaga86321 күн бұрын
Tupo
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj21 күн бұрын
AISEE, NIMEKUMBUKA WAKONGWE WA KIRAENI GIRLS!!!😂😂
@tifadent111214 күн бұрын
Nimekaa kiraeni kama mtt wa masista
@restcyprian159826 күн бұрын
Mama kumbuka ualimu ni wito. Wafanyakazi wa sasa hivi wanapewa kazi kama zawadi, inabidi serikali ianze kujichunguza na kuajiri wafanyakazi kulingana na wito. Na hapa ni wazi kwa sababu ilikua wanafunzi wamalizapo form four walikua wanajaza form kwa kazi ambayo mwanafunzi alikua akipenda. Na hapo ndipo inakua rahisi kupata wafanyakazi wanaowajibika.
@rkcomercialenterprises320926 күн бұрын
Wewe Gertude ulikuwepo serikalini ulitakiwa uyagenge wakati huu,si kusubiri mpaka sasa ndio unasema tutaiomba serikali
@SylvesterKameo14 күн бұрын
Kwa hiyo ukishafanya kazi serikalini unaacha umesiliba matatizo yote? Toa mawazo ya kujenga siyo lawama zidizozingatia uhalisia.
@Mtana-d2x26 күн бұрын
Simulizi ya brigedia bayeke ndo amtaki kutupa tena ????
@janethleonard557721 күн бұрын
Asante kwa kufuatilia Nyota wa Wiki, simulizi ya Brigedia Jenerali Bayeke tumekwisha weka hewani sehemu ya kwanza na ya pili. Wiki hii tutakuwekea sehemu ya tatu. Karibu sana.
@beatricenangale543925 күн бұрын
Nina amini mna vitukuu na vilembwe, hata sisi tuliosoma shule zingine tuige mfano huu