Kwa hiyo mmeona mkiweka mawasiliano Yao tutafaidi au matangazaji mengine bana wekeni namba tuwatafute
@aishaabrahaman995711 сағат бұрын
Namba nimeona juu zinapita
@danielisack135614 сағат бұрын
Vipi kuhusu joto kwenye hizo Kontena
@ngwinamilakasongi335914 сағат бұрын
Naomba mawasiliano
@aishaabrahaman995711 сағат бұрын
Namba zinapit juu
@ngwinamilakasongi335914 сағат бұрын
Safi sana.
@prosperidinya586415 сағат бұрын
Mwanza ni jiji kubwa ukanda wa ziwa. Pia na barabara ya kuingia na kutoka airport ni ndogo, angalau ingekuwa double lane. Kama vile hatuna planners. Miaka si mingi mtatuambia mnataka kuanza kujenga jengo jingine
@zahraharby-uc9tkКүн бұрын
Ma sha Allah Rais Wetu Mpendwa Mungu Akubariki Sana Kwa Kazi nzuri unayoifanya kwenye Hili Taifa, Hakika Elimu inahitajika sana juu ya Umuhimu wa Nishati Safi
@jedidahbintidaudi8241Күн бұрын
jmni mama yetu mzuri Samia wake Suluhu, wapendeza mno ukiwa jikoni..tuko njian mama usituamlizie 😄
@KhalifaMpondaКүн бұрын
Prof wangu nakukubali sana kiongoz...wewe ni hazina ktk nchi yetu
@mathiaschoma9527Күн бұрын
Hizo 28bn kwa jengo tu au vipi, naona vyuma na vioo
@FestoMbawala-t6eКүн бұрын
Kutoka seed farm songea mjini naitakia ushindi wa goli 1 Kwa bila team ya mashujaa
@femidayahaya4882Күн бұрын
Ugali wa Dona na Samaki wa Nazi.
@GodbblessMaseboКүн бұрын
Piteni makumbusho sted Kuna dabo lipo machoni mwa watu nikelo kwa wanaichi
@GodbblessMaseboКүн бұрын
Piteni makumbusho sted Kuna dabo lipo machoni mwa watu nikelo kwa wanaichi
@GodbblessMaseboКүн бұрын
Piteni makumbusho sted Kuna dabo lipo machoni mwa watu nikelo kwa wanaichi
@JosephJoines-q7fКүн бұрын
Hegmann Bridge
@Tanzaniayangu12 күн бұрын
Nachoweza ni kunyamaza tu😂
@jacksonerasto36962 күн бұрын
Miaka ya 2005 kurudi nyuma kiwanja hicho kilikuwa kikipokea ndege kubwa za mizigo ambazo zilichochea maendeleo na kukuza uchumi wa jiji la mwanza na taifa kwa ujumla pia fursa za ajira zilikuwepo kutokana na ubize wa uwanja huo likina kwa sasa hakuna hata ndege za kubeba samaki hazitui hapo badala yake ndege hizo zimehamia Nairobi ni jambo la kusikitisha sana kuona samaki zinavuliwa na kusindikwa katika viwanda vya Tanzania na kupelekwa Kenya kwa ajili ya usafirishaji kiasi ambacho ni fetheha na maumivu kwa watanzania kana kwamba wizara husika hazioni kwamba hili ni tatizo na linazorotesha uchumi wa taifa letu.
@shedrackzuberi89422 күн бұрын
piga hao
@hurumasika67292 күн бұрын
R. I . P JPM
@allykhalfankingwana52722 күн бұрын
Watanzania sisi wajuaji kinoma. Watu wanakosoa mwanzo mwisho, kisingi jengwa kwelele kimejengwa kelele😂😂😂
@MubarakaCloudКүн бұрын
Hao ndo watanzania kama unakumbuka ujenzi wa terminal 3 ya Dar waliiponda sana mara Banda la kuku angalia sasa hvi kila mtu akija anasifia yaani watanzania Sisi sijui tulirogwa na nani kila kitu ni kuponda
@section8ight174Күн бұрын
@@MubarakaCloudThere’s nothing wrong with wanting bigger & better but also unique!
@EsheRama2 күн бұрын
Dah napataje namba ya huyu afisa
@JumannejumaMabwindi2 күн бұрын
Kwenye hili mzee nakuunga mkono shida ya Tanzania yaan wabunge mnajitahid kuongea mambo Mazur lakn CCM Ila mambo Yao ya kimkakati na Malengo ya toka nyerere yaan wanafuata maelekezo ya watu wa kale
@charleschavala4343 күн бұрын
Safi sana hiyoo
@stephenletta89853 күн бұрын
Wazee wanaozeeka vibaya.
@nanguniMtaita-hz4zt3 күн бұрын
Wasira ukweli tunakushangaa Imani yako iwapo ni kweli, wewe ni Msabato, dhehebu kubwa la Mungu, aliyehai. Wewe mwongo, umnafiki mno wewe ni lichawa la hali ya juu. Muda umefika mjomba Rudi nyumbani n'gatukaaa!
@nanguniMtaita-hz4zt3 күн бұрын
Maelezo yako niyakipuuzi Wala sura yako hatuitaki kuiona mtandaoni, inanichafua roho. Hapakuwepo na uvunjifu wa amani huo ni uwongo mweusi kabisa.
@EvanceBrasio3 күн бұрын
Wakamatwe hao awafany kazi
@khalfannahayimbekwa14403 күн бұрын
Hawa wazee wa Marra Mimi huwanawafatilia ni wazee wanaupendo sana na falisafa ya Rais wetu wa kwanza wanakatakata uvinjfu wowote wa vitu vinavyoashiria kuvunja Amani akina Mzee Msuya Malchela,wanakuwa kimya sana wazee wanchi wapo vizuri Tuwasikilize Maoni Yao,nchi itaendeshwa kwa siasa safi na uongozi Bora tuwaskilize natuendelee kiwamini
@DonaldHogan-e5g3 күн бұрын
Ottis Hill
@ondieckotoyo11433 күн бұрын
Ni jambo gumu kueleza hoja za uhaini bila ushaidi wa kulithibisha hayo yaliyosemwa, na taifa tulitegemea hoja kupata ufumbuzi wa matukio ya utekaji na mauaji na jambo hilo halikupashwa kuingizwa katika misingi ya kisiasa na mivutano wa kivyama bila kuzingatia haki ya wasiyo na vyama
@hamisdello25713 күн бұрын
Duuuuuu!! Hamna uwanja wa ndege hapo.. Yaani mpka leo kiwanja cha ndege inaudumia et watu 400 kwa siku.. Kwann msiwe kam nchi za nje!! Kwamaan watu wanajenga VIWANJA VYA NDEGE NA VIWANJA VINGINE VIKUBWA SANA KUTOKANA NA UKUWAJI NA ONGEZEKO LA WATU SEHEM TOFAUT.. AY ONA HIV MMEJENGA HIVYO NA MWANZA NI LATIKA MIKO INAYOKUA KWA KASI.. LAU KAM MNGEJENGAA KIWANJA HCHO KIKAWA KIKUBWA KINGEKUWA AFADHAR ZAID KWA MIAKA YA BAADAE
@charlesbarongo27783 күн бұрын
Hapa ni siasa tu,ukweli unawekwa pembeni.
@ManaseNassary3 күн бұрын
Wanaosinzia bungeni wanasemaje?
@KalinjunaVedasto3 күн бұрын
Point
@DavidSemu-gu6wp3 күн бұрын
Huyu Bwana mkubwa ana silka ya tamaa ya madaraka kwa mlango wa siasa akiamini kuwa anacho kiamini ndio sahihi na anajitahidi asi sahaulike kweli hakosei anapotoa mawazo ila anakose kutaka watu wakubali na lake lisipo kubalika ana kuwa na jazba, huyu mzee ndiye aliyepigwa chini jimboni kwake na Esther Bulaya baada ya kuchokwa lakini hakukubali kirahisi angepumzika tu sasa na mradi wake wa pale msasani.
@NdekejaGibuyi3 күн бұрын
Hiyo mbengu gani
@KevinMcCulloch-x3e3 күн бұрын
Bernier Port
@AlanPryor-v1q3 күн бұрын
Jakubowski Ports
@SelemanAlly-lz4sb3 күн бұрын
Mzee wasira oyeee safi sana
@worldtechlab4 күн бұрын
Hiko kiwanja Kibaya kama pagale
@amilyimo28234 күн бұрын
kama mweshimiwa Raisi alipewa taarifa ya kwamba kuna baadhi ya watu wamekaa vikao, vya uvunjifu wa amani, kwanini hawakukamatwa?
@isayaWaziriisayawazir4 күн бұрын
Mzee umri wako niwakuongea ukweli kama warioba watu wasio nasilaha wanaivunja amani muogope mungu niwakat wako wakutubu
@JohnMdindo4 күн бұрын
Hawa waandishi ni chawa wakubwa ktk hili.wana maswali ya utata.ila wameshindwa kumuingiza mzee ktk lengo lao tata.Hii Nchi ijianvalie sana na waandishi wa aina hii.
@AnnaMtui-c2h4 күн бұрын
Doctor naomba no yako tafadhali.
@MkingaJulius4 күн бұрын
Huyu ni mzee haelewi chochote kwanza hata hapa nyumbani bunda tulisha sema kwamba Alisha kufa nashasngaa hata kumuona leo
@barnaba30374 күн бұрын
Hatuwez kuamini hiyo habari ya kusema maandamano hayana amani sababu ya intelegensia wakati walisema intelegensia imeona mkutano wa zoom lkn wameshindwa kuthibitisha lkn pia miaka mingi wasiojulikana wako mpaka leo hiyo intelensia inatuletea maswali yasiyonamajib
@SaidSaid-l8x4d4 күн бұрын
Waandishi wa habari mumeshindwa kuuliza maswali ya msingi
@bensonkaduvage95494 күн бұрын
This guy is"Property of that National Museum" or better still should be "Archived" in the Mara Region home of Historical records.
@BarnetLaston4 күн бұрын
Maandamano yaliyofanyika ni ya polisi ha ha ha ya chadema hayakuwepo.
@WilbertManjonda4 күн бұрын
Kuwaheshimu watu waliotuangusha kama hawa ni ujinga na ujuha