No video

TENGENEZA TAMBI ZA BIASHARA BILA KIFAA MAALUM

  Рет қаралды 274,124

keki plus

keki plus

Күн бұрын

video hii inaonyesha jinsi ya kutengeeza tambi za biashara bila kifaa maalum.
Kujua jinsi ya kufanikisha zoezi hili tafadhali fuatilia video hii mwanzo mpaka mwisho.
kwa video zingine za viburudisho ama snacks,bonyeza link hizi

Пікірлер: 152
@sokanavitabusokavi8322
@sokanavitabusokavi8322 3 жыл бұрын
We mama ni shida, unajua ku 'improvise' nimekupenda bure. Hongera! Wewe ni Mwl Fea
@ndishajoseph9107
@ndishajoseph9107 3 жыл бұрын
Hongera Sana kwa Uamuzi wako mzuri wa kutupatia Elimu nzuri ya Ujasiriamali. MUNGU Akibariki sana kwa kazi zako.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Amen dear,Mungu akubariki pia katika kazi zako🙏
@FunnyRainbowTrout-ul6iw
@FunnyRainbowTrout-ul6iw 12 күн бұрын
Hongera Kwa ujuz hip dada
@halimaally5333
@halimaally5333 3 жыл бұрын
Nzuriii sanaaaaa hongera kwa kutufundisha ujuzi rahisi sana ubalikiwe
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Karibu sana dear🙏🙏🙏asante kwa sapoti yako😍🙏🙏
@halimaally5333
@halimaally5333 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly asante
@WistonRusoni
@WistonRusoni 3 ай бұрын
waoooo nimezpnda xan nita jalb nam❤❤❤❤❤
@zainabubakari6739
@zainabubakari6739 3 жыл бұрын
Asante Sanaa ubarikiwe hivi dada bado hujapata mbadala wa kutengeneza ice cream na kuziuza bila ile mashine inayouzwa milion tatu
@evaristosanga5628
@evaristosanga5628 Жыл бұрын
Nimependa upo vizuri
@wowclipskanairokenya2406
@wowclipskanairokenya2406 3 жыл бұрын
Kutokea Kenya, much love. Nimepata kuyajua mengi kweli.Mungu akuzidishie ukiendelea kutujuza
@hawahosseni7695
@hawahosseni7695 2 жыл бұрын
Asantee napikaga ila nilikua natumia kisagio cha nyanya nashukur kwa mbinu mpya Asante mungu akujarie dda
@calistamuli8973
@calistamuli8973 2 жыл бұрын
woooow you're so creative, I like it
@hafsamuhani4935
@hafsamuhani4935 3 жыл бұрын
Asante sana dada kwa kutupa maarifa, Allah akulipe kheir
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Alhamdullilah🙏🙏 Shukran dear,Allah akutunze pia
@mariamissaahmed7675
@mariamissaahmed7675 3 жыл бұрын
Wajukuu wangu wapenda sana Tutzipika In shaa Allah Shukran
@jumaamasoud7382
@jumaamasoud7382 Жыл бұрын
Hongera sana Dada tunashukuru kwa elimu ya mjasiliamali
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Otherwise, hongera Kwa mafundisho haya
@a.856
@a.856 3 жыл бұрын
Ahsante😋
@AsiaMercy-ft4se
@AsiaMercy-ft4se 26 күн бұрын
Asante sana
@illuminatacassian6228
@illuminatacassian6228 10 ай бұрын
Asante dada Kwa kutufundisha barikiwa
@queenmadolari1534
@queenmadolari1534 3 жыл бұрын
Yaaaan we dada unajua sana! Yaaaan nakukubali mno sio siri😘😘😘😘😘Mungu akufanikishe ufike mbali zaidi na Channel yako ikue maradufu🙏🙏🙏Nakupendaga aiseee😘😘😘😘😘
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Amen Amen Amen dear..shukran sana kwa maombu mazuri sana..Mungu akuinue pia,ili tusherekee pamoja
@queenmadolari1534
@queenmadolari1534 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly Ameeen🙏🙏🙏🙏
@LuluMwakipesile-xi2nb
@LuluMwakipesile-xi2nb 2 ай бұрын
Daaah xhukrani dada angu
@mankamushi607
@mankamushi607 2 жыл бұрын
Asante kwahelim yako mwlim
@Minosfoods
@Minosfoods 3 жыл бұрын
Maa shaa Allah ahsante dada napenda kuzipika sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Karibu sana dear,asante kwa sapoti yako🙏🙏🙏🙏
@rachelmueni4939
@rachelmueni4939 Жыл бұрын
Wow! I like the improvise. Asante sana kwa hiyo elimu.
@AnnaMkoba-vx1cp
@AnnaMkoba-vx1cp Жыл бұрын
Asante kwa darasa zuroi
@sapnaabdallah1084
@sapnaabdallah1084 3 жыл бұрын
Masha Allah sis huku kwetu Zanzibar tunaita chauro
@batuliahmed2113
@batuliahmed2113 2 жыл бұрын
Sisi kwetu tunaita chichiri😊
@maimunabakari1654
@maimunabakari1654 3 жыл бұрын
Masha Allah my dear Allah akupe ujuzi zaid uzid kutuelimisha
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Amiin,Alhamdullilah dear..InshaAllah kikubwa uzima mami
@Ariyacevnni
@Ariyacevnni 4 ай бұрын
Shukran sana kwa elimu yako
@aminaaminaali-ch3vo
@aminaaminaali-ch3vo Жыл бұрын
mashallah nmezipnda sana nlkua najiuliza tambi za aina gn hizi jmn hadi mwsho najua kma ni chauro so sweet thnx
@rehematawalani733
@rehematawalani733 2 жыл бұрын
Shukran sana sana ukhty kwa kaziyako ya ubunifu
@elizabethfundi1527
@elizabethfundi1527 5 ай бұрын
Asante sana ubarikiwe
@joicengowi6424
@joicengowi6424 2 жыл бұрын
Napenda sana mafundisho yao naomba nifumdishe kutengeneza penalt bata
@zainabzainab2422
@zainabzainab2422 2 жыл бұрын
Hongera kwa kufunza wanawake wenzako watapata kufaidika na Ubuntu wako.
@shantallcharl4982
@shantallcharl4982 3 жыл бұрын
Nice
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv 7 ай бұрын
Mashaallah Mashaallah
@ratefaratefa2635
@ratefaratefa2635 3 жыл бұрын
Nice nimeipenda sana
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Asante sana
@nasraulomi8312
@nasraulomi8312 Жыл бұрын
Nimejifunza asante
@CyberSasaSystems
@CyberSasaSystems 3 жыл бұрын
Asante sana dadangu kwa kutupisha ujuzi huu. Ningetaka kujua jina la unga unaotumia kwa kizungu
@dominikamtewele2103
@dominikamtewele2103 Жыл бұрын
Wite frower
@aishamchatta1902
@aishamchatta1902 2 жыл бұрын
Asante Mungu Akubariki
@jolliespicy8925
@jolliespicy8925 2 жыл бұрын
Upo vizuri sana dada angu😍
@happyyonahoutlook3081
@happyyonahoutlook3081 Жыл бұрын
Asante kwa elimu mpenzi😘
@josephinamanjoo6631
@josephinamanjoo6631 2 жыл бұрын
Nimependa madam tjaribu napenda Sana kujifunza niwe mjasiliamal
@pendogeorge6555
@pendogeorge6555 3 жыл бұрын
Safi sanaaa
@HadijaSheban
@HadijaSheban 3 жыл бұрын
Mpenzi welcome back na poleni sana😭😭let me watch.. Ameeen Ameeen
@HadijaSheban
@HadijaSheban 3 жыл бұрын
MashaaAllah yaani love nimependa sana haya maarifa(hasa kwa mkebe) 🙏🙏 tena biashara hizi zinaenda balaa shukran kipenzi barikiwa. Na mungu azidi kuwafariji
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
🙏🙏🙏asante sana my love😍😍tushapoa,Alhamdullilah ..tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila kitu🙏🙏🙏🙏
@HadijaSheban
@HadijaSheban 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly ❤️❤️karibu sana love
@carolinenjagi5204
@carolinenjagi5204 3 жыл бұрын
Thank you so much for the beautiful idea ya container,can i use cornfolur if i dont have rice flour
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
You could try,but maybe use all purpose flour instead
@victoriabulambo2029
@victoriabulambo2029 2 жыл бұрын
Asante sana dear
@joanisdory9231
@joanisdory9231 3 жыл бұрын
Ahsante sana
@sifasifa600
@sifasifa600 Жыл бұрын
Asante sana Dada samahani ningependa kujuwa hunga wandegu
@user-nl8sq9rn9w
@user-nl8sq9rn9w 2 күн бұрын
unasaga dengu tu znapatikana sokoni
@siriyangu4724
@siriyangu4724 3 жыл бұрын
Shukran poleni kwa kuondokea
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Amen dear,tushapoa..asante sana kwa faraja🙏🙏
@ashranassibu1273
@ashranassibu1273 3 жыл бұрын
Nicee
@Pauline-tv8jr
@Pauline-tv8jr Жыл бұрын
Asate mpenzi mungu ukulinde
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv
@MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv Жыл бұрын
Mashaallah
@mwamgenkubiga6168
@mwamgenkubiga6168 2 жыл бұрын
Mashaallah tabarakaallah
@rayadam1447
@rayadam1447 Жыл бұрын
Samahan mpenz,,na izo dengu unavoenda kusaga,,inatakiwa zioshwe kwanza au nasaga ivoivo??
@PeaceWofile
@PeaceWofile 6 күн бұрын
❤❤❤
@Mimi-maryama
@Mimi-maryama 3 жыл бұрын
👍👍👍👍👍
@user-hr9wg5ff6c
@user-hr9wg5ff6c Жыл бұрын
Dada hongera ila kwa jinsi navyoona unavyoweka mkono wako chini ya hilo kopo wakat unatia huo uji huo mvuke wake jaman usiombeee mmh
@hildaayoo6853
@hildaayoo6853 10 ай бұрын
Je naweza kutumia kutumia zile mifuko ya kuifadhia chakula kwa fridge kisha niweke mashimo?
@NkambaSosoma
@NkambaSosoma Ай бұрын
@cookwithmsoo
@cookwithmsoo 3 жыл бұрын
Zimebaki za wageni nije? You're so creative sis, keep up👏
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Hahaha mgeni karibu,uje na kinywaji changu pia😂😂😂😂(a drink)lol
@willamsk9704
@willamsk9704 3 жыл бұрын
Wise woman ♥️
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 3 жыл бұрын
Pole kwa shuuli
@rozatimoth5272
@rozatimoth5272 4 ай бұрын
Ni rahic mno asante
@jeccaonline7755
@jeccaonline7755 3 жыл бұрын
Asante kipenzi
@fatmabakari7350
@fatmabakari7350 3 жыл бұрын
Shukran sana dear
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Karibu sana
@wilsonmafyeko9718
@wilsonmafyeko9718 Жыл бұрын
Nimeipenda lkn vp unaweza tumia sukari badala ya chumvi?
@galaxygroupentertainment6196
@galaxygroupentertainment6196 Жыл бұрын
i have just saved ksh2000
@winnifridagerald3367
@winnifridagerald3367 3 жыл бұрын
Huwa napika tambi za dengu kg 2 je unga wa ngano naweza tumia kiasi gn na baking powder, nitafurahi Sana Dada ukinijibu 🙏🙏
@aminaidrisa7025
@aminaidrisa7025 3 жыл бұрын
Ongera dada
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Asante sana,🙏🙏asante kwa sapoti yako😍😍😍😍
@JamilahySingaa-cw9xx
@JamilahySingaa-cw9xx 6 ай бұрын
amiin
@saumuathumani2861
@saumuathumani2861 3 жыл бұрын
Aamiin!
@hannahhassan8881
@hannahhassan8881 11 ай бұрын
Assalam Aleikum je unaeza kutumia piping bag?
@halimafakii1706
@halimafakii1706 Жыл бұрын
Ahsante sana dada yangu somo zuli
@leoniaathuman1038
@leoniaathuman1038 Жыл бұрын
Asante
@yassirhalimamohammedmohamm5913
@yassirhalimamohammedmohamm5913 3 жыл бұрын
Asante dada biashara yangu hiyo minimetoboa sufuria dogo
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Wooow hongera sana dear...utafutaji unafanya akili ikomae kwa ubunifu..umefanya biashara hii kwa muda gani sasa?unapatikana wapi?
@mahijamwwchaga7864
@mahijamwwchaga7864 3 жыл бұрын
Asante sana mdada
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Unamuombea ambae ameshakufa? Ukishakufa umekufa km hukutengeneza na Mungu kabla ndo basi! Ndoaana tinasisitiza Neema ya kutubu kabla hujaondoka. Ndugu stik kwenye bness haya mengine achana nayo
@ashayummy2299
@ashayummy2299 3 жыл бұрын
mashaallah
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Asante sana love
@tiffahjuma1970
@tiffahjuma1970 2 жыл бұрын
Jmn msaada kwa ansyejua kudawnload video yoyote KZbin nataka kudawnload basdhi ya mapishi lkn nashundwa
@neemarobert9999
@neemarobert9999 2 жыл бұрын
Kumbukizi ya video hiii ubarikiwe dada.,.
@fatmajezan6812
@fatmajezan6812 3 жыл бұрын
Ameen Yarab
@hellydalton2678
@hellydalton2678 Жыл бұрын
Maji unayotumia n baridi au Moto!?Na je wakat unachanganya kabla hujaweka maji huweki mafuta!?
@winnifridagerald3367
@winnifridagerald3367 3 жыл бұрын
Baking powder inasaidia Nn kwenye tambi na unga wa ngano??
@mbokamtafya535
@mbokamtafya535 2 жыл бұрын
Samahani cjaelewa namna ya kutengeneza kibao
@groriamandili2393
@groriamandili2393 2 жыл бұрын
Naweza tumia kopo la plastic?
@marthamtango2116
@marthamtango2116 Жыл бұрын
Sasa hapo unaweka kwenye nini dada Mafuta au Maji samahan lakn half pia ungetuolozeshea mahitaj hapo chin
@jestinasimkoko7016
@jestinasimkoko7016 Жыл бұрын
Tufundishe tujifunze
@jamesobedy3687
@jamesobedy3687 2 жыл бұрын
🙌
@aminambwana1718
@aminambwana1718 Жыл бұрын
Binzari ya njano ni ipi?
@shanibaniyas6308
@shanibaniyas6308 6 ай бұрын
Ameen🤲🏽🤲🏽
@twahiamohammed1530
@twahiamohammed1530 2 жыл бұрын
Apo kwenye kutumia huo mfuniko wa plastic sjaelewa
@zulfatdidas369
@zulfatdidas369 3 жыл бұрын
Shukraaaan snaaaaa Nasubr jicho la ngamia 🤣
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
😘😘😘We zulfat wewe hujui kufanya jicho la ngamia??
@zulfatdidas369
@zulfatdidas369 3 жыл бұрын
@@kekiplus1andonly 🤣🤣ndio huw navkuta tu home washavifnya navila tu kuulza naona haya maan wanavichambo😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
@@zulfatdidas369 sio mbaya ,video ziko tele KZbin mpenzi,zipitie..😍😍😍😍
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Bora ununue cha dukani kwa urahisi.
@ennafundisha5335
@ennafundisha5335 Жыл бұрын
Ni baking soda au paking powder
@zahrahmakota9488
@zahrahmakota9488 Жыл бұрын
huo muda unao hangaika kutengeneza Hilo kopo c bora ukanunue kifaa maalum kinauzwa 12000TSH mtanzania yeyote hata yule wa hali ya chini ana weza ku afford hichoo
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
Huo muda ulohangaika kucoment hapa ungejiuliza kwanza kama kila mtu ana uwezo wa iyo ef12 kama ulionao wewe na badala yake utumie muda huo kumshukuru Mungu amekujalia .
@kudralyimo7321
@kudralyimo7321 3 жыл бұрын
Shukran kwa darasa,,mbona mimi nikipika sipati faida inarudi ela ileile ya maitaji nilio nunua nakosea wp?
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Unapika kiasi gani?na unatumia nini kupika?kama niashine chuma IPI unatolea?
@febroniamichu9046
@febroniamichu9046 2 жыл бұрын
Kopo la kahawa linafaa?
@aminambwana1718
@aminambwana1718 2 жыл бұрын
Nauliza nilazima ueke baking soda
@miriammsuya4454
@miriammsuya4454 3 жыл бұрын
najifunza
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Amen,
@jescantilla4725
@jescantilla4725 2 жыл бұрын
Ukitumia kopo la plastic vip
@MarryJoseph-gz8ir
@MarryJoseph-gz8ir 7 ай бұрын
Ili ziwe laini nafanyaje
@fettyabiola1389
@fettyabiola1389 3 жыл бұрын
Tunaita chauro kwa huku Zanzibar
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Aaah..tamu Sana
@violetchavasu3634
@violetchavasu3634 3 жыл бұрын
Tambi zinaitwaje katika lugha ya kimombo
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Km unakusudia hizo tambi za dengu/chauro zinaitwa besan sev. Nahisi wazungu wanaita hivyo hivyo hawana jina.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Lkn km zile tambi zakupikwa na sukari na hiliki zinaitwa Vermicelli.
Quiet Night: Deep Sleep Music with Black Screen - Fall Asleep with Ambient Music
3:05:46
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 9 МЛН
黑天使遇到什么了?#short #angel #clown
00:34
Super Beauty team
Рет қаралды 43 МЛН
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 51 МЛН
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 16 МЛН
Vileja aina 3 kwa unga mmoja....3 different types of cookies
12:12
Chama’s Yummy
Рет қаралды 126 М.
JINSI YAKUPIKA TAMBI ZA DENGU ZA BIASHARA/TAMBI ZA DENGU #bites
7:05
Tambi Za Dengu Bila Kifaa Maalum/Snacks
7:57
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 50 М.
jinsi ya kutengeneza crips za ndizi tamu hatari
11:22
KIJUKI PROJECTS
Рет қаралды 3,2 М.
TENGENEZA KARATASI ZA KEKI NYUMBANI//PIKA KEKI 12 KWA YAI 1
10:33
Jinsi Ya Kupika Tambi Za Dengu Za Biashara
8:34
Carol Haro
Рет қаралды 26 М.
Zombie Boy Saved My Life 💚
00:29
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 9 МЛН