Hii ni sehemu ya kwanza ya The classic na Master J ,kwa hakika yeye ni moja ya mababa wa Bongofleva,kutoka maktaba intverview hii Ilifanyika mwaka 2021 ,nimekuwekee sehemu hii ndogo,Enjoy
Пікірлер: 18
@BrokiMaform5 ай бұрын
Master J is a whole vibe maahn 👊🏾💥
@azizijuma31517 ай бұрын
Big unazingua sana interview itume kwa ukubwa wake
@donboscolunguya29367 ай бұрын
Kumbe sugu ni balaa sana big up SUGU
@dkensmopainvevo36837 ай бұрын
😂😂😂master j noma saana
@warakawayohana28967 ай бұрын
That's true hip-hop inachukiwa na mifumo ya duniani kote
@ramadhanyusuph44267 ай бұрын
❤
@JacklineNasiali8 ай бұрын
Cku iz mnaboesha na time ndogo bwana ama tuachane nazo tu
@simas.a10037 ай бұрын
Aisee mbona hivitena kulikoni. Au wanaharaka maana tunataman kusikia mengi. Time time time😭😭😭
@King_Of_Everything7 ай бұрын
👊✌️👍.
@tonygee56807 ай бұрын
Ulikuwa hujui Kiswahili kivp etii na umezaliwa bongo kwa sababu umetoka ulaya
@ntopangonyani69647 ай бұрын
Kasoma Zimbabwe elimu ya awali na msingi kisha Ulaya.
@azizijuma31517 ай бұрын
Ukizingatia huyu ni mtu mkubwa sana kwenye game mpe heshima yake
@stevewanga9578 ай бұрын
Mbona hizi interview nzury mnaweka time ndogo
@nasrikileo72917 ай бұрын
Ipo full icheki kwenye page utaiona
@castormahava17327 ай бұрын
Sugu
@eagleculturetv46927 ай бұрын
Ivi master jay na salama ni ndugu au?
@JacklineNasiali7 ай бұрын
Ama hampigi hela uku Sisi wa Kenya tunapenda izo story Sanaa maana hatuwajui kiundan na walianzaje sasa ww kuvi na kipara mumeanza uzembe uku KZbin