No video

The Story Book: TSUNAMI ‘Wimbi la Kifo’

  Рет қаралды 407,013

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

The Story Book: TSUNAMI ‘Wimbi la Kifo’
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 329
@ibrahimissajrc2043
@ibrahimissajrc2043 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa elimu kubwa kama hizi. Kiukwel janga hili nilikuwa bdo mdogo sn na hata ckufaham chochote. Like zenu jmn kwa Mr Jamal na like zenu wale ambao kipindi kile tulikuwa wadogo na leo ndio tumefaham Zaid kisa hiki kupitia the story book
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 2 жыл бұрын
2004 nlkuwa darasa la 2 now am 26 years dah! Enx kwa jamal🙏🙏🙏
@africanwatz4240
@africanwatz4240 2 жыл бұрын
Hakika tunapaswa kumuabudu mungu kila wakati ya maisha yetu
@INGRIDCHILUMBA
@INGRIDCHILUMBA 2 ай бұрын
Mungu ndio kila kitu tumuombe atujelie mwixho mwema, na pia km unakubali kazi za huyu jamaa ya kutuelimisha gonga like hapa twende pamoja
@fineboyAfrica
@fineboyAfrica 2 жыл бұрын
Ghabhabu za Allah (sw) tumuogopeni Allah. Sisi viumbe hatuna uwezo wa kuepuka na adhabu zake😭
@jaycodestz1304
@jaycodestz1304 2 жыл бұрын
Swahihi kabsa sheikh wngu
@hallin9561
@hallin9561 2 жыл бұрын
sasa nan aliyesema iyo ni adhabu ya Mungu, ayo ni mabadiriko ya hali ya nchi wew unasema adhabu, kasome vyotevyote sio unabezi na elimu akhera tu
@fineboyAfrica
@fineboyAfrica 2 жыл бұрын
@@hallin9561 jitie kidole halafu ukinuse
@issaomar9483
@issaomar9483 2 жыл бұрын
@@hallin9561 we mpumbavu izo ni adhabu za Allah iyo ni ishara tosha kuwa hamna mungu kama yeyeee
@jaycodestz1304
@jaycodestz1304 2 жыл бұрын
@Issa Omary sahihi kak
@braysonsamson1436
@braysonsamson1436 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukuongezea maarifa zaidi uwe na elimu zaidi nasisi tupate uelewa kupitia wewe
@dadyshunaydah9421
@dadyshunaydah9421 2 жыл бұрын
Tunaomkubali Professor Jamal April Tusisite Kuungana Kwa Likes Kwa Kutuletea The Story Book Ya “TSUNAMI” 🌊👍🏿
@peterwapesa7947
@peterwapesa7947 2 жыл бұрын
Kama unamkubali Huyu jamaa aongezewe mshahara mara mbili like hapa
@hathumanimahale1746
@hathumanimahale1746 2 жыл бұрын
Mungu atujalie mwisho wetu mwema🙏🙏🙏🙏🙏
@pendorobert3552
@pendorobert3552 2 жыл бұрын
Aisee itakua mungu alijawa hasira kuna kitu kilimkera mungu eeh mungu tuhurumie wanao hapo ndo tujue kurudi kwa yesu kumkili kuwa bwana na mwokozi wetu🙏
@muhammedislam4875
@muhammedislam4875 Жыл бұрын
Uko tailend ndo usiseme kwa laana
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
Allah alionesha uwezo wake.ili.tuzidi.kumkumbuka na.kumuogopa yeye tu
@barakashaban9698
@barakashaban9698 2 жыл бұрын
Swadakta
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 2 жыл бұрын
@@barakashaban9698 ndio ivo wasiokua.waislam wanaona.ni jambo la.kawaida na kujipa moyo Eti.ni.tetemeko.tu,.sisi tunaamini.ni Allah kutuonesha uwezo wake na tuwe na.khofu ya kumrudia na tupunguze kufanya Dhambi au tuache kabisa
@johnerisha5874
@johnerisha5874 2 жыл бұрын
The greatest one, Jamal no one like
@jimyjastini9995
@jimyjastini9995 2 жыл бұрын
Jamari Kama diamond Big ❤💪🙏🔥🔥
@geofreystephen8499
@geofreystephen8499 2 жыл бұрын
My uncle alitravel on the day of the disaster. Na alilala close to the hotel iliyotokewa na janga hilo. Yaan,angesema abaki one more day..leo ingekua another story. I hope they are resting in erternal peace in heaven🙏
@abuubakarjabu7118
@abuubakarjabu7118 2 жыл бұрын
Yuko wp saiv
@TheNdaki
@TheNdaki 2 жыл бұрын
Dah..anabahati sana. Nchi gani io alikua ameenda, alifikia hotel gani?
@queentoto3878
@queentoto3878 2 жыл бұрын
Ungesema ilitokeya inchi ngani????
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 2 жыл бұрын
Kiswahil tafadhari
@latestupdates2059
@latestupdates2059 2 жыл бұрын
Ata shosho yangu
@Samjo.magold_brand
@Samjo.magold_brand 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sanaaa naelewa kazi zake
@khamischumu6830
@khamischumu6830 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukuweka na uzidi kutukumbusha inshaallah
@kenethfred5366
@kenethfred5366 2 жыл бұрын
👁️ 👁️ 👃 👄 Natazama nikiwa Mombasa Kenya... Mafunzo mazuri na Mungu atuepushe na majanga kila kukicha... AMIN
@salomeraymond2051
@salomeraymond2051 2 жыл бұрын
i like your creativity😃
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
Sikuwah kufahamu jambo hili,, Ahsante Jamal dah maana nilikua mdogo sjui darasa la nne
@sashah_ace8598
@sashah_ace8598 2 жыл бұрын
Hawatoelewa mpka yatokee kifo cha cha ardhi ni maji , MAJI NI ZAIDI YA CHCHTE JAPO MOTO UPO ILA HUWEZI SHJNDANA MA NGUVU YA MAJI 🙏🙏ALLAH ATUPE MWISHO MWEMA🙏🙏🙏
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
Amina!
@salsashmomy
@salsashmomy 2 жыл бұрын
Amin
@hadiyahamadi9117
@hadiyahamadi9117 2 жыл бұрын
Amin rabill alamin
@baltonmanjise7209
@baltonmanjise7209 2 жыл бұрын
Kaka Jamal mwenyezi mungu kukupa uzima na afya njema ili uendelee kutujuza matukio kama haya hongera kwakazi nzuli
@jumakibe5032
@jumakibe5032 2 жыл бұрын
Allah anatisha, ana nguvu na mjuzi wa kila jambo!
@seiflugendo5043
@seiflugendo5043 2 жыл бұрын
Amiin
@3kings63
@3kings63 2 жыл бұрын
I was first one on show but the last words make my day Leave in your dreams
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 2 жыл бұрын
Tumche mungu tumemsahau
@edwardbinya3761
@edwardbinya3761 2 жыл бұрын
Dah Mungu atujaalie kifo chema
@doctorsulaiman2127
@doctorsulaiman2127 2 жыл бұрын
Big up wasafi media. Special thanks Mr professor Jamal April Mustafah we really appreciate
@indivirabonnymatenje7290
@indivirabonnymatenje7290 2 жыл бұрын
I'm from Kenya Nairobi county, I'm watching this from yaya center
@tariqkingu1980
@tariqkingu1980 2 жыл бұрын
umetishaa mkuuuu wew n zaid ya professor
@rojacriss8675
@rojacriss8675 2 жыл бұрын
Bro we ni noma uko vzur umenifanya nijue mengi
@johnerisha5874
@johnerisha5874 2 жыл бұрын
Daaah nilikua darassa la kwanza naikumbuka hii str vzr, hongera Mr jamal
@kaazykazunguabdool3266
@kaazykazunguabdool3266 2 жыл бұрын
Jammal kwl unajitahid kutupa vitu adhim na adim Mungu akujaze khair na umri
@jeniphermarcus268
@jeniphermarcus268 2 жыл бұрын
Hatimaye 🥰🥰🥰
@kariimsande
@kariimsande 2 жыл бұрын
Hello Jennifer
@mirajiabdallah1339
@mirajiabdallah1339 2 жыл бұрын
jamaliii👊👊👊👊👊🙏
@wardennyanga5925
@wardennyanga5925 2 жыл бұрын
We appreciatee u bro u are amazing
@temitopegidion9185
@temitopegidion9185 2 жыл бұрын
Wa kwanza kucomment❤
@issaomar9483
@issaomar9483 2 жыл бұрын
Kuna kipande majengo yote yapo chini isipokuwa Msikiti Subhanallah
@tuzomtuku587
@tuzomtuku587 Жыл бұрын
Unataka kusema nn apo 🥴🥴😅
@mulamajoel5370
@mulamajoel5370 2 жыл бұрын
Tsunami yaogopesha sana
@cynthianganga9399
@cynthianganga9399 Жыл бұрын
Nilikuwa Thailand huo mwaka,ila usiku huo wa sunami ndio nilifika kenya for Christmas,nilijua mungu yupo na mm nilishii puket najua hii island vizuri sana RIP waliopoteza wapendwa wao
@aloycembener6530
@aloycembener6530 2 жыл бұрын
Gonga like za kutosha ka wakubali kazi za professor ❤️
@lilianjames7813
@lilianjames7813 Жыл бұрын
Tunaomkubali jamali professional tuweke likes kwa ajil yake♥️👏
@holnmedia1263
@holnmedia1263 2 жыл бұрын
Aya bwa hata mie sijachelwa naomb lik🖖😁
@saudepinky7869
@saudepinky7869 2 жыл бұрын
Inatisha...nice job mr jamal
@Jabalpetersan
@Jabalpetersan 2 жыл бұрын
Napenda sana usimulizi wako kaka u r my role model.We ni mkali yani
@jumachawinga7261
@jumachawinga7261 Жыл бұрын
Hii ni alama moja wapo ya uwepo wa MwenyeziMungu tuishi kwa kuzingatia mwenyezimungu yupo na hizi ni ishara zake tumuogope, tuogope hasira na adhabu zake Hakika MwenyeziMungu ni mkubwa na mwenye nguvu. Huu ni ukumbusho na ishara kubwa itawafaa wenye kuamini anayesema haya ni mabadiriko ya hali ya hewa/nchi mimi nakubaliana na yeye lakini anatakiwa kujifunza mabadiriko hayo husababishwa na Muumba.Tumuogope MwenyeziMungu tuishi kwa imani na tupate mwisho mwema
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
Yesu Kristo anatukumbusha kuwa narudi mda sio mrefu. Shida ya mwanadamu ni mbishi afu viburi mno. Hakika watakufa wengi sana!! Mkiambiwa kuwa Yesu anarudi siku za hivi karibuni hamsikii. Sasa hiyo iliyotokea mwaka wa 2004 ni mfano tu!! Kitu chenyewe bado, na inakuja. Nakwambia Yesu atakaporudi hii dunia kwanza inaisha yote, yaani ni zaidi ya hatari. Ndugu katika Yesu Kristo hakika tukesheeee;!!! Yesu asifiwe sana!! Anakuja siku si nyingi. Sasa cjui atakukuta wapi na unafanya nini!!!!
@ambrosromanus9547
@ambrosromanus9547 2 жыл бұрын
Natural forces zinahusiana nini na Yesu
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
@@ambrosromanus9547 hongera mtaalamu wangu!! Ww ni jinga kweli.
@ambrosromanus9547
@ambrosromanus9547 2 жыл бұрын
Acha upumbavu wewe jinga wewe na waliokupeleka shule halafu hadi leo natural hazards unasingizia Mungu. Hata ambao waliwaletea imani na dini sio mazuzu km wapokeaji. Next time usiniletee kauli za kifala boya wewe. Toa hoja na sio matusi ya rejareja
@pendorobert3552
@pendorobert3552 2 жыл бұрын
Amen mungu atuepushe na vifo vya kutisha
@micamathew2595
@micamathew2595 2 жыл бұрын
@@ambrosromanus9547 ww ni mjinga!! Usiokuwa na akili!! Usitegemee akili zako mwenyewe!! Yesu anarudi, na anaporudi kabla hajarudi vitu kama hivi hutokea!! Majanga ya asili yatatokea kama tetemeko!! Mafuriko makubwa, afu hata njaa, vita baina ya nchi na nchi, ufalme na ufalme hawataelewana!! Ni mapigano tu yatatokea kama hii ya Russia na ukrein!! Yaani hizi ni mifano tu ya kuja kwake mwana wa Adam!! Yesu Kristo. Upo ndugu!! Soma Mathayo24:1-26. Utaona mambo.
@philbertkasonda9439
@philbertkasonda9439 2 жыл бұрын
Jamani tunaomba the story book ya raisi aliekula bata zaidi duniani
@wazoboy1319
@wazoboy1319 2 жыл бұрын
nakubari mzee bab
@user-pp8fi9ge7g
@user-pp8fi9ge7g Жыл бұрын
Nakukubali sn ndg yngu unajua big up ila nakushaur soma sn qur an utaju mengi zaid na zaid kwan haijaacha kitu ktk hii dunia big up sn
@EsterMdika-eg5co
@EsterMdika-eg5co 4 ай бұрын
Daah Mungu akubarik unajua kusimulia
@k_man254
@k_man254 2 жыл бұрын
Love from 254 🇰🇪 ♥️♥️
@osodojunior3436
@osodojunior3436 Жыл бұрын
💪🏼💪🏼
@alikarisa
@alikarisa 2 жыл бұрын
Na cha ajabu na ndoo mjue huwa ni Amri ya mwenye Bahari. Huwezi ona samaki hata mmoja na wanyama wote hukimbia kabla ya Tsunami kutokea. Yaani Allah huwaondoa viumbe wake pendwa na kuwaadhibu viumbe wake wakorofi.
@judychepkirui5313
@judychepkirui5313 2 жыл бұрын
My favorite Jamal ❤️.. from 254
@kingkittah6748
@kingkittah6748 2 жыл бұрын
PROFESSOR 🥂🙌🙌
@moker8337
@moker8337 2 жыл бұрын
Go King 👑
@najash1122
@najash1122 2 жыл бұрын
Maumivuyake omba yasikukute haya yaani maumivuyake nimakalimnooo tumuomba mungu atuepushe nabalaa hili kwakweli nguvu zamungu haziwezekani
@markmurunga5215
@markmurunga5215 2 жыл бұрын
Natamani sana the sully documentary from Kenya
@hamadomar8320
@hamadomar8320 2 жыл бұрын
Hapo sawa professor
@maikooscar8119
@maikooscar8119 2 жыл бұрын
Leo nimewahi kama unamkubali jamar gonga like hapo chini🙏🙏❤️
@KushAscend
@KushAscend 2 жыл бұрын
Thumbs up for the only prof in town👍❤️
@christophertz
@christophertz 2 жыл бұрын
Jamal ANAUPIGA MWINGI ✌🏿💯
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 4 ай бұрын
Asante sana my brother from another mother
@babalaobabalaobicrendi8761
@babalaobabalaobicrendi8761 2 жыл бұрын
Daaah namushukulu Mungu kusikia tena the story book kutoka kwako nilisikia maneno ya minong'ono kwamba mume gombana nasimba yani diamond Platnumz nikazani siyo pata tena simulizi kutoka kwako namushukulu Mungu umerudi tena ila hii nisili midleo simba amesema hii iwe Sili
@mwajumakulugai6416
@mwajumakulugai6416 2 жыл бұрын
😂😂
@selemanzuber50
@selemanzuber50 2 жыл бұрын
Professor 🔥🔥🔥🔥
@RealLukuman
@RealLukuman 11 ай бұрын
❤❤❤❤❤ i am following you in Kenya samburu county
@mussajohn1435
@mussajohn1435 2 жыл бұрын
Mungu atuepushe na ghadhabu zake
@fettyabiola1389
@fettyabiola1389 2 жыл бұрын
Nakumbuka siku hii, dah zenji wameweka historia ya tetemeko Japo nilikuwa kadogodogo😌😌
@mussatete2618
@mussatete2618 2 жыл бұрын
Me niko bara ninamiaka 29 lakini hii kitu ndo nasikia leo kwa mara ya kwanza ety. Kumbe kitu halisi na kilitokea...?
@salsashmomy
@salsashmomy 2 жыл бұрын
Ndio kilitokea naikumbuka hii siku nikiwa zanzibar Allah atunusuru na kila mabalaa
@princeyabili789
@princeyabili789 2 жыл бұрын
I'm a little scared of that story because I'll be traveling in Thailand in July I'll be in Bangkok for two months. Prince from Oslo Norway 🇳🇴🇳🇴🇳🇴🇳🇴
@athuman6223
@athuman6223 2 жыл бұрын
stay safe
@princeyabili789
@princeyabili789 2 жыл бұрын
@@athuman6223 thanks 🙏 you
@barikimbacho6731
@barikimbacho6731 2 жыл бұрын
Don't be scared. Remember right now there are some people in Bangkok so should they running. Death is everywhere.
@princeyabili789
@princeyabili789 2 жыл бұрын
@@barikimbacho6731 🙏🙏☺️
@barikimbacho6731
@barikimbacho6731 2 жыл бұрын
NJIA YA MWANADAMU KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKE NI LAZIMA APITE MLANGO WA MAUTI. KAMA UNAOGOPA KWENDA KUKUTANA NA MUNGU WAKO JIULIZE UMEMFANYA NINI?
@hassanpande9915
@hassanpande9915 2 жыл бұрын
Kama unamkubar JAMAL APRIL like 👍
@hamzamoshi8275
@hamzamoshi8275 2 жыл бұрын
Jamaaaaaaallly 🙌🏻🙏🏻
@lovenesamani1326
@lovenesamani1326 2 жыл бұрын
I see your work proffesor
@binzid9046
@binzid9046 2 жыл бұрын
Naikumbuka vzr hii siku nilikua zangu fukweni Zanzibar naogelea Mara gafla maji yalikua yanajaa gafl yametoka gafla yamerud tena watu wt wamekimbia kuelea kando za ufukweni naikumbuk vzr tn sn
@iddjuma4126
@iddjuma4126 Жыл бұрын
Ilikuwaje nipe story zaidi natamani kujua maji yalifika Zanzibar
@chriswashington7745
@chriswashington7745 2 жыл бұрын
Nipeni likes zaa prof Jamal
@masolavachui1728
@masolavachui1728 2 жыл бұрын
We jamaa unanikoshaga sana na simlizi zako 😇
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 Жыл бұрын
Eee sikuwahi kujua kuwa Tanzania , Kenya , Somalia mpaka dar es salaam huko zilipata tetemeko hili ya Allah
@issahshio820
@issahshio820 2 жыл бұрын
Good documentary prof
@kamiliusmathias673
@kamiliusmathias673 Жыл бұрын
Yupo sawa na kwa upande wangu ninamkubali sana
@eddykalkz360
@eddykalkz360 2 жыл бұрын
Was waiting..
@vanessawaithera8659
@vanessawaithera8659 2 жыл бұрын
May God have mercy on us 🥺🙏
@tariqkyaka4383
@tariqkyaka4383 Жыл бұрын
I really appreciate your work mr jamal....God bless u bro
@antotz5485
@antotz5485 2 жыл бұрын
mungu ni muweza sana
@davidoduor9795
@davidoduor9795 Жыл бұрын
Great king
@rashowshine7849
@rashowshine7849 2 жыл бұрын
Keep working 💪🔥
@indivirabonnymatenje7290
@indivirabonnymatenje7290 2 жыл бұрын
Professor next week leta stroy ya Elon musk I want to know more about this guy
@alindingo1382
@alindingo1382 2 жыл бұрын
The story book ibaki milele....!!
@nassorali8040
@nassorali8040 2 жыл бұрын
Siku hii nlikuepo Zanzibar maeneo ya shangani ulipiga mtetemeko mkubwa wa ardhi na bahari kuleta mawimbi mazito mpaka watu wakaanza kuingiwa na khofu ila baada ya muda ikanza kutulia
@hassanally4960
@hassanally4960 2 жыл бұрын
Ni ukumbusho tu wa Allah juu ya waja wake
@lovenoor988
@lovenoor988 2 жыл бұрын
Profesa nakukubali 💯
@youngsamalo1156
@youngsamalo1156 2 жыл бұрын
Wazee wa the story book
@selemanzuber50
@selemanzuber50 2 жыл бұрын
Professional
@allychitawala3486
@allychitawala3486 2 жыл бұрын
That school never seen other place thanks wasafi for this project 🤝🤝🤝
@saidymatejoe2212
@saidymatejoe2212 2 жыл бұрын
nikisikiag tu sauti hiiii bas najua kun somo nalipat🙏🙏
@rovisonmashaija3198
@rovisonmashaija3198 2 жыл бұрын
Naomba like 300 sijachelewa
@aminangombe8815
@aminangombe8815 Жыл бұрын
Sijui ufanyie nn izo like 😏😏😏
@germanybrockman9092
@germanybrockman9092 2 жыл бұрын
asante kwa kujibu ombi langu hii story niikuwa naitaji sana sasa napata maarifa
@loganpoul
@loganpoul 2 жыл бұрын
Hii ilinipata nikiwa srilanka Alhamdulliah nilitoka salama,lakini Ile shule yenye tulikua tunasoma ilifutwa na tsunami
@hildpaul7823
@hildpaul7823 2 жыл бұрын
ohh pole
@loreensaimon3958
@loreensaimon3958 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂🤣
@hildpaul7823
@hildpaul7823 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@loganpoul
@loganpoul 2 жыл бұрын
@@mwajumakulugai6416 sasa mwajuma wacheka nini hapo?kweli kabisa Yani kuna kitu ya kuchekesha?
@user-gi6bm5dq9n
@user-gi6bm5dq9n 9 ай бұрын
Nakubali xana
@LindaShayo-jk5ce
@LindaShayo-jk5ce Жыл бұрын
Nimeelewa asante jamal
@madamvanessa7053
@madamvanessa7053 2 жыл бұрын
Nakukubali Professor Jamar
@divavlog2764
@divavlog2764 2 жыл бұрын
Am taking notes!!! Each and every day!! Much love April😇😇
@kingsleympole109
@kingsleympole109 2 жыл бұрын
this jamal you really made ma day always when i see your new story
@zamrottasasa3599
@zamrottasasa3599 2 жыл бұрын
Professor wew ni nomaaa
@princedominic8776
@princedominic8776 Жыл бұрын
Good work prof God bless you napenda sana story book asante kutoka Kenya
@TOBOA_comedian
@TOBOA_comedian 2 жыл бұрын
Inasikitisha sana
@kmcompany1902
@kmcompany1902 2 жыл бұрын
Nimefika mapema leo
@reganallen9943
@reganallen9943 2 жыл бұрын
Respect kwa story kali🤔👏🙌✊
The Story Book: Ukweli Kuhusu NYUKLIA, Dunia iko kwenye Hatari Kubwa
30:22
The Story Book: Watu wenye uwezo Usio wa Kibinadamu.
31:02
Wasafi Media
Рет қаралды 653 М.
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 18 МЛН
Schoolboy - Часть 2
00:12
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 37 МЛН
The Story Book : Kweli Kula Nguruwe Ni Haramu Au Uzushi Tu !?
37:44
Wasafi Media
Рет қаралды 481 М.
#LIVE: BEST OF DENIS MPAGAZE VOL.2
3:52:29
Uhai Online Tv
Рет қаралды 220 М.
HISTORIA YA NABII ADAM SEHEMU YA 1/2 Animation
9:39
HISTORIA ZA KWELI
Рет қаралды 3,8 М.
The Story Book : Kijana Mrithi wa Osma Bin Laden / Ibrahim Al Asiri
39:05
The Story Book: Mambo 20 ya Ajabu Zaidi Ya Viumbe Na Wanyama Pori
37:48
Quiet Night: Deep Sleep Music with Black Screen - Fall Asleep with Ambient Music
3:05:46
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 18 МЛН