Naomba kujua kama majini waliishi duniani kabla ya kuubwa kwa adam naona kama kuna hadithi mbili tofauti moja ilivyo ubwa dunia hadi siku ya kuubwa adam inaonyesha ndani ya juma moja vilifanyika hivo vitu sasa majini waliishi dunia ip
@historiazakweliАй бұрын
@@djoe8266 Majini walitangulia Kuishi Duniani. Baada ya kuaswi na kufanya ufisadi wakatolewa dalili ni aya ya Quran أتجعل فيها من يفسد فيها ويسفك الدماء ونحن نسبح بحمدك ونقدس لك. Maana. Je mola wetu unataka kuleta katika Ardhi viumbe ambavyo watakuja kufanya ufisadi na kumwaga damu na sisi tuna utukuza utajo wako. Maana yake Walisha kuja viumbe waka mwaga damu kabla ya wanadamu ambao ni majini.
@nurumashaАй бұрын
Yani ktk watu hawajielewi ni wakristo ndo mana mnapelekeshwa na mapastor wenu kwa kukosa maarifa
@historiazakweliАй бұрын
@@nurumasha Ni kweli ndugu yangu ila tuna majukumu mimi na wewe kama waisilamu kuwa elekeza Ndugu zetu In shaa Allah.
@alexapolinaly4755Ай бұрын
Huuu niuongo uongo mtupu
@historiazakweliАй бұрын
@@alexapolinaly4755 Huu ni ukweli. Ndugu yangu Historia ya Adamu kwa wakristo na waidilamu haina tafauti dana labda kidogo mno.
@IbrahiimMzeeАй бұрын
@@alexapolinaly4755 ukweli UPI!?
@francisjoseph10742 ай бұрын
Adam alikua Nabii lini ? Na huo unabii alipewa na Nani? Na toka lini Nabii anafanya zambi hizi akili za kimsikitisikiti sijui mnazitoa wapi
@danteanton84112 ай бұрын
????????🙄🤔🤔
@historiazakweli2 ай бұрын
Adam. Alikuwa Nabii alipo shushwa ulimwenguni akawa ndio mtume/Nabii kwa watoto wake na kizazi chake hadi pale alipo kufa.
@francisjoseph10742 ай бұрын
@@historiazakweli unaelewa maana ya nabii au mtume? Au unaongea Ty huo unabii alimfanyia Nani ? Na huo utume aliufanya Kwa kina Nani? Naomba jibu
@historiazakweli2 ай бұрын
Asante kwa kujibu. Utume alipewa na Mungu baada ya kushushwa Duniani. Na yeye akawa mtume wa kwanza kwa umma alio kuwa akiishi nao kwa wakati wake ni watoto wake na kizazi chake. Adam alipata muongozo wa kiroho kutoka kwa muumba wake (Mungu) Baadae walifwatie Mitume wengine akiwemo Nuhu na Musa (Moses) @@francisjoseph1074
@francisjoseph10742 ай бұрын
@@historiazakweli Nani alikwambia kua Nuhu alikua mtume andiko gani au Mussa ? Nipe ushahidi wa kimaandiko , Enzi ya mitume , ni Agano jipya wala hakuna Nabii huko