No video

The Story Book : Usiyoyajua kuhusu Daudi na Goliati

  Рет қаралды 1,322,944

Wasafi Media

Wasafi Media

3 жыл бұрын

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 740
@winniemwasenga
@winniemwasenga 2 жыл бұрын
Asante sana kwa story nzuri za kwenye bible. Daud kumpiga Goliath inatufundisha kuwa Mungu hashindwi na jambo lolote hata liwe gumu kwa akili za kibinadamu kwa Mungu ni lepesi tu. Nakuombea wewe unayesoma ujumbe huu Mungu akupe Imani iliyo thabiti katika magumu yote mtegemee yeye utashinda.
@fasconeroh8740
@fasconeroh8740 2 жыл бұрын
Ameena
@elishavicentmhina3545
@elishavicentmhina3545 2 жыл бұрын
Ameen
@chambijr1623
@chambijr1623 2 жыл бұрын
Ameen KUBWA👏
@tinnahmosha5177
@tinnahmosha5177 2 жыл бұрын
Amina
@licious3456
@licious3456 2 жыл бұрын
Amina
@richardmweri1094
@richardmweri1094 Жыл бұрын
Iam from tanzania lakini Mimi ni mtoto mwenye miaka 14 always napenda kuangalia story book zako course unasauti nzuri sana nakuombea kwa mungu maisha marefu na heri duniani🙏
@joycelaulensfilbert-ii3vh
@joycelaulensfilbert-ii3vh Жыл бұрын
Nimekupenda bure
@user-ps5co3pc3f
@user-ps5co3pc3f Ай бұрын
Dah hii story ina mafundisho yenye mazingatio sana kwa maisha ya binadamu, RESPECT SANA JAMAL APRIL
@eliudignatio9378
@eliudignatio9378 2 жыл бұрын
Leo nimekua wa pili like zenu wadau wa the story 📖
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 2 жыл бұрын
I am from in Tanzania Africa I beg all the people of Tanzania we have to proud of jamal April for teaching us, pig professor in Africa
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 2 жыл бұрын
Mafundisho ya Bible mafundisho ya Mungu ni yale yale jana kesho na hata milele hayabadiliki ..Bible is perfectly book 100% .. huo uchunguzi mpya magunduzi mapya na mafundisho mapya ni ktk vitu vngn ila si kwa neno la Kristo
@mundhirmundhir7410
@mundhirmundhir7410 2 жыл бұрын
😂 wabongo bn
@eliwahavehaeli9938
@eliwahavehaeli9938 2 жыл бұрын
Wrong
@robertbiah9364
@robertbiah9364 Жыл бұрын
@@eliwahavehaeli9938 cy
@robertbiah9364
@robertbiah9364 Жыл бұрын
@@eliwahavehaeli9938 uyyu
@amirikalli1657
@amirikalli1657 2 жыл бұрын
Kaka unatupa elimu iliyo nzuriii..najikuta naongea na nafsi yangu.. ,pamoja na kujiusia kusoma sana vitabu vya Mwenyezi Mungu. Kwani kuna elimu kubwa yenye mazingatio katika maisha yetu hapa Duniani, Kaburin na Kesho mbele ya Mungu..Kila la kherii
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Duh yani mtihani wa Daudi ni fundisho kubwa sana yani Mungu hashindwi sababu huo mfano wa kondoo 99 na mwenye kondoo mmoja duniani sisi haturidhiki
@zeynabmohamedzeynab4753
@zeynabmohamedzeynab4753 2 жыл бұрын
Nimeskia rah alivyomsameh🤲🤲🤲🤲hakika Allah anapokea msamaha
@dicksonbaya5263
@dicksonbaya5263 2 жыл бұрын
Kwangu mm sina kipindi ninacho kipenda kama the story book
@edwardmwakanolo1259
@edwardmwakanolo1259 2 жыл бұрын
Daaa uwezo wako ni Kama mwanga wa Jua Ulimwenguni.. 🔥🔥🔥🔥
@johnluyego9353
@johnluyego9353 2 жыл бұрын
Nimejitahidi sana kutoandika kitu! Ila Wakati naendelea kusikiliza unavyoelezea nimejikuta naelewa kuwa we ni zaidi ya smart bro! Ur good! Unatupa kitu roho inapenda. Thanks man. Mungu akupe maisha marefu uendelee kufundisha kizazi hadi kizazi.
@nyandwiniyera5535
@nyandwiniyera5535 2 жыл бұрын
Jamani we kaka una nibariki sana na the story book mungu akuzidishie kipaji chako 🙏🙏❤️❤️
@vincentmushi1247
@vincentmushi1247 2 жыл бұрын
Story book ni cinema iliyoshiba wala hahitaji maelezo yoyote yale,hakika nipate kusema profesa Jamal ni mchambuzi wa hali ya juu kabisa ,umenifanya nisome biblia bila kulazimishwa,hongera kwako profesa Unahitahi kupewa tuzo ya usimulizi
@edisonnovart1971
@edisonnovart1971 2 жыл бұрын
Hakika Mungu hanatisha
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 2 жыл бұрын
Mungu ndio kitu mhimu Sana apewe sifa ninaziona dalili za kujikita kwenye dini mungu akuwezeshe kipaji ili utupe maelifu ya elimu
@edwinjohn1852
@edwinjohn1852 2 жыл бұрын
Nakuomba uendelee kuhadithia stories za manabii very interesting
@anganilekajigilikajigili2641
@anganilekajigilikajigili2641 2 жыл бұрын
Mungu ananguvu hata waabudu shetwani 😂
@lutusigaza2148
@lutusigaza2148 2 жыл бұрын
TANZANIA ni moja ya nchi ambayo raia wake yeyote yile akiwa na kipaji basi wanakipuudhia tuu, ila uyu mtu jamal april kama angekuwa nchi ambazo zipo serious basi angekuwa mbali sana maana si kwa kipaji iki
@seiphsaid7715
@seiphsaid7715 2 жыл бұрын
Hhhhh kua serious kidogo... kipaji gni kusoma n kusimulia n kipaji??
@lutusigaza2148
@lutusigaza2148 2 жыл бұрын
@@seiphsaid7715 mbona wewe husomi na ukatusimulia tukasikia hadithi zako
@zaburi2386
@zaburi2386 2 жыл бұрын
Mbona wakaida sana
@lutusigaza2148
@lutusigaza2148 2 жыл бұрын
@@zaburi2386 sawa embu jiulize wewe je unaweza kuwa kama yeye au kumpita yeye, ukishapata jibu utaacha roho ya kwanini
@lookbabes8710
@lookbabes8710 2 жыл бұрын
Fala Sana. Rudi usome English
@nikoshirima4913
@nikoshirima4913 8 күн бұрын
Ni simulizi nzuriii sanaaa kwa wenye kuwa na imani toka moyoni na kuwa na hofu ya Mungu
@kenyanmagazine8510
@kenyanmagazine8510 2 жыл бұрын
Tunatamani sana stry ya lebo ya wasafi Jamal Fanya mambo mkaka
@RoseMbuya-cn5dg
@RoseMbuya-cn5dg 7 ай бұрын
Mungu asieshindwa kisichowezekana kwa mwana damu, kwa mungu inawezekana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇰🇪
@deborahdavi6593
@deborahdavi6593 4 ай бұрын
🙏🙏🙏
@naomikalinga3042
@naomikalinga3042 2 жыл бұрын
Asante kwa story nzuri MUNGU wetu hajawahi shidwa na Jambo yeye na MUNGU wa wote wenye mwili hakuna Jambo gumu kwake haijalishi unamuonekano gani ama Jambo Ni gumu kiasi gani akisema ndio hakuna wa kupinga Jamal unajua kusimulia story hongera sana
@ashirafsuleiman
@ashirafsuleiman Жыл бұрын
Naomi naomba unitumie namba ako, ila kwaajri ya kujuliana har na kubadilishana mawazo, name napenda cana kusoma na kusikiliza story,
@claydonruto5528
@claydonruto5528 2 жыл бұрын
From the day I started following the storybook, never want to miss even a single story.. well done prof👏👏#very informative🙏
@alladitahnoordin4895
@alladitahnoordin4895 2 жыл бұрын
Me too 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌🏼🙏
@whitesichalwe7079
@whitesichalwe7079 2 жыл бұрын
We are all together
@isaacmesso6721
@isaacmesso6721 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/iIjbd5hmftx5e9E
@wazirimbwambo672
@wazirimbwambo672 2 жыл бұрын
Good sana
@dominicrop4642
@dominicrop4642 2 жыл бұрын
Mm too siz
@BakariHosseni-jw9io
@BakariHosseni-jw9io 6 ай бұрын
The story book nikipindi kizuri sana kinatoa histoty nzuri
@gorymushy3612
@gorymushy3612 Жыл бұрын
Kiukweli hakuna kinachoshindikana kwa Mungu GOD IS GREAT 👍 👌 🙏 🙌
@husneymtipa7399
@husneymtipa7399 2 жыл бұрын
Kazi mzuri prof Jamal asante kwa kutufunulia tusiyoyajua
@manp.....7694
@manp.....7694 2 жыл бұрын
Ukiona nimeunga bundle ujue naunga kwaajili ya THE STORY BOOK.JAMAL, EDGAR, MPAGAZE SALUTE SANA KWENU KWA KUANZISHA THE STORY BOOK. natamani viongozi wetu wangekua wanafuatlia the story book ili muwakomboe kifikiri🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼👍👍👍❤❤❤❤❤
@starladke598
@starladke598 2 жыл бұрын
Jamal April mungu akulinde uendeee kutunogesha na mambo matamu.
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema 2 жыл бұрын
BASATA naomba Professor Jamal apewe Tuzo ya kutangaza Lugha ya Kiswahili vizuri kupitia Sarufi na Fasihi. Mfalme Daudi ndiye Mfalme pekee Duniani aliyepigana Vita nyingi na alifanikiwa kushinda Vita zote. Mungu alimuambia sababu umemwaga damu nyingi sana haitapendeza unijengee Hekalu bali uzao wako Mfalme Suleiman ndiyo atajenga Hekalu la Mungu.
@danielsanga8730
@danielsanga8730 2 жыл бұрын
Kweli kabisaaaa
@meshackkoskei9258
@meshackkoskei9258 2 жыл бұрын
Asanti sana professor.. Mwenyezi aendelee kukuneemesha ...zaidi.
@edwinelias8554
@edwinelias8554 2 жыл бұрын
Nakupa vizur jamal from Ukrine huku tunakipiga Vita huku tuhasikiliza The story book from Tanzania Sarut 👍
@bennzuki1285
@bennzuki1285 2 жыл бұрын
Mr Story Book, Asante kwa masimulizi yako mazuri,yenye mafunzo mbalimbali, nitoe tuu ushauri kwako. Unapotumia vitabu vya Dini, yaani BibLia na Quran, hivi vyote ni vitabu vitakatifu. Lakini wewe unatambua Quran tuu ndo kama kitabu kitakatifu, yaani ukisema biblia hutumii neno takatifu lakini ukitamka Quran hutamka Quran takatifu. Hii sio sawa Mana hukippi heshima takatifu kitabu Cha Biblia kama kinavyostahili ilihaki unakitumia Kwenye simulizi zako
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 2 жыл бұрын
Qurani ndo imeandikwa ivo ndugu
@markokida9918
@markokida9918 2 жыл бұрын
Ben umemwambia ukweli wakat stoli zake zotee Ana sitowa kwenye biblia takatifu
@eng.anaelyowenya7809
@eng.anaelyowenya7809 2 жыл бұрын
bora aache kutumia bible atumie kitabu chao
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 2 жыл бұрын
Quran kitakatifu ndio maana ukichoma una dhulika bible haina hiyo so quraan ni holy
@hamadeddymaclayz
@hamadeddymaclayz 2 жыл бұрын
Makuma nyie kama hamtaki msisikilize hamja lazimishwa
@ruahahilltoplodge
@ruahahilltoplodge Жыл бұрын
Nikweli storybook nzuri Sanaa napenda kufatilia na najengeka kiiman Mungu akubariki sanaa🙏 Aloyce from Tanzania
@maestro1902
@maestro1902 2 жыл бұрын
Hizi story Zita ishii sana 🌍
@mandalorian_4.11
@mandalorian_4.11 2 жыл бұрын
Fact
@davidmaisely7487
@davidmaisely7487 2 жыл бұрын
My Name David.. means a beloved of God (a proud of it)
@reginasawe3356
@reginasawe3356 2 жыл бұрын
🤗🤗
@gelvasmapunda9006
@gelvasmapunda9006 2 жыл бұрын
Jamali💓💓💓💓💓
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 2 жыл бұрын
Mr jamal he is here mashallah may Allah bless u bro💯💯💯💯
@Pedeshee01
@Pedeshee01 2 жыл бұрын
👍👍
@RONALDOTRUCKDRIVER
@RONALDOTRUCKDRIVER 2 жыл бұрын
Hello
@charlesprince6293
@charlesprince6293 2 жыл бұрын
Plz am your fan from Kenya plz tuandalie story ya idd Amin dada🙏🙏🙏
@mohkishoma9375
@mohkishoma9375 2 жыл бұрын
Alishasimulia isearch tu
@starladke598
@starladke598 2 жыл бұрын
Stories IPO tayari
@user-bp4wv4jo2i
@user-bp4wv4jo2i 7 ай бұрын
Mungu ni nuru Atukuzwe milele.
@lydiahsarange7430
@lydiahsarange7430 11 ай бұрын
Shukrani Kwa hizi hadithi za bibilos
@user-me7lg1dk4f
@user-me7lg1dk4f 11 ай бұрын
Mwenyezi mungu atusaidie kutupa loho mtakatifu atsaidie tunapokuwa vitani na wabaya wetutuwashinde kwa imani amenii🙏🙏🙏🙏🙏
@gospelman3720
@gospelman3720 2 жыл бұрын
Mungu akuongoze katika kutafiti kwako bwana Jamal
@jumampewa792
@jumampewa792 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@doniechung5539
@doniechung5539 Жыл бұрын
I love you story book for giving us big secret about nature ❤️❤️❤️ I love you
@paulmosomi6217
@paulmosomi6217 Жыл бұрын
Asanti sana Kwa mzimulizi Wa hii story yenye utamu Wa kugundua mambo mazurii na yenye manufaa kubwa sana katika maisha ya kila binadamu anayeishi.yatupasa kujua yakwamba Mungu anaweza na ana ushindi katika kila jambo
@retiekadarling992
@retiekadarling992 9 ай бұрын
Fireeeee❤
@user-yj8ne3ps7c
@user-yj8ne3ps7c 8 ай бұрын
Amen amen kwa story ya daud na pendezwa na yo goliati mwenye Ana tatiza maisha yetu tuta mutia shini
@openmindtz
@openmindtz 2 жыл бұрын
I love old story that's show n tell the greatest of God
@sirlameck5536
@sirlameck5536 2 жыл бұрын
Jamal Mustafaa 🔥🔥🔥
@ephraimmwanginjeri8183
@ephraimmwanginjeri8183 2 жыл бұрын
Thank you our teacher I normally listen the new story book every week
@agnesmajuramangombe986
@agnesmajuramangombe986 2 жыл бұрын
Mi wa nne like
@WinfredVungo
@WinfredVungo 7 ай бұрын
Asante Kwa hadhiti hii❤❤❤❤❤❤
@abulrahmanallahdad5789
@abulrahmanallahdad5789 2 жыл бұрын
My name is Kadrow napenda sana tuelewe ya kwambia historia ni msingi wa maisha yetu
@brianmachariamacharia3029
@brianmachariamacharia3029 2 жыл бұрын
Napenda iyo story book sana God bless
@willyswaya5746
@willyswaya5746 2 жыл бұрын
You deserve more than being a Professor 🤝🤝🤝 Man i take a bow to you # UNAJUA KINOMA ♾
@ramadhantingatinga5132
@ramadhantingatinga5132 2 жыл бұрын
Ahsante kwa elim ulotupatia kwakua🇹🇿wavivu kusoma naniwepesi kusikiliza
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Kumbe quran ina maneno mazuri sana "NI HARAMU KWA BINADAMU KUJIOMBEA MTIHANI" hata ifike mwisho wa dunia Mungu n ndo atakae amua mtihani utakao mkuta binadamu 🙏🙏
@divavlog2764
@divavlog2764 2 жыл бұрын
Thank you Mstafa...you're the best, we have learnt alot by this story book.....I love it...shukran
@hagastzaxzax3509
@hagastzaxzax3509 2 жыл бұрын
Asante sanaa
@clovistwengerayesu7929
@clovistwengerayesu7929 2 жыл бұрын
Asante sana kwa hiyo the story book mungu akubariki sana
@carolecar5498
@carolecar5498 11 ай бұрын
Asante Sana kwa hi story nzuri Sana
@user-sz3eg4hq4e
@user-sz3eg4hq4e 5 ай бұрын
Tutetee ee mungu me ni mdogo lakn naiman nitavuka majaribu makubwa
@gaashbwoyke9890
@gaashbwoyke9890 2 жыл бұрын
Asante sana jamal kwa kutuelimisha
@jamalhussein3118
@jamalhussein3118 2 жыл бұрын
Mashallah
@nashirmcheni9011
@nashirmcheni9011 2 жыл бұрын
Allah akubari ktk kazi zako na akulipe kwa ujumbe wako safisana
@japhetmyombo2542
@japhetmyombo2542 2 жыл бұрын
Hongereni sana waandishi wa kitabu cha the story book sasa ongezeni masomo mingi ambayo yopo kwenye bible naqoorne
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 жыл бұрын
Kabisa mimi napenda mno
@kayongokayongo4609
@kayongokayongo4609 2 жыл бұрын
Mungu nimkubwa
@raymondjohn3798
@raymondjohn3798 3 ай бұрын
Thanks so much brother,leo ndio nimesikia hiyo story ya daudi Kwa upande wa Quran takatifu, lakini mara nyingi nilikuwa naisoma katika biblia tu🤝,asante sana.
@jameskinuthia4480
@jameskinuthia4480 2 жыл бұрын
Jamal uko juu lazma kufatie kila wiki 💯💯💯💯💯..
@shadrackmwampote4615
@shadrackmwampote4615 2 жыл бұрын
Through story book I never regret to spend my bundle,but please proffessor Jamal would you please take us back to some of your terrifying story like that of Highgate cemetery and Amazon for the coming week.however I appreciate indeed the way you narrate .
@yonamasasi517
@yonamasasi517 2 жыл бұрын
Mungu atuhurumie
@markpaul5866
@markpaul5866 2 жыл бұрын
999999
@mercychepkoech1735
@mercychepkoech1735 2 жыл бұрын
Ukweli
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏😍Mungu ni Mkubwa
@gahinangamarchelinoo2078
@gahinangamarchelinoo2078 2 жыл бұрын
Nimerizika sana tena nimekubali
@mamafaiza2651
@mamafaiza2651 2 жыл бұрын
Tupe historia ya mtume muhamad (saw)
@Abdulmajid79072
@Abdulmajid79072 Ай бұрын
S.A.W
@nikoshirima4913
@nikoshirima4913 8 күн бұрын
Mungu atuongoze tuyashike vyema yanayosemwaa
@lakasid3860
@lakasid3860 2 жыл бұрын
Habari zote za Mitume na Manabii wa Mungu zipo kwenye Biblia tu na si kwingineko..
@jimboulaya
@jimboulaya 2 жыл бұрын
Ni kwa mujibu wa ulivoambiwa wewe na ukaamini, na upeo wako un aoneakana ndipo ulipoishia kwenye ukondoo, kulishwa na sio kutafuta ukajilisha.
@lakasid3860
@lakasid3860 2 жыл бұрын
@@jimboulaya mbona hasira? Hicho nilichosema ndy ukweli mtupu, niambie nisehemu gan unapata habari za mitume na manabii wa Mungu?
@jimboulaya
@jimboulaya 2 жыл бұрын
@@lakasid3860 kasome kwanza sehemu tofauti ndio utapata jibu, nikikuuliza biblia iliandikwa karne gani na ni miaka mingapi iliandikwa baada ya Yesu bila shaka hujui? Taurati iliandikwa zama gani? jee vitabu vengine vimesemaje? hujui wewe utaniletea uliyoambiwa labda kwenye taasisi yako sio kwa kusoma sehemu tofauti, so baki na uelewa wako utanipotezea muda tu.
@lakasid3860
@lakasid3860 2 жыл бұрын
@@jimboulaya nakupotezeaje muda ww sindy umekuja hapa, halafu unasema nikasome unataka nkasome nn wakat kila ktu nishasoma nakuelewa nandomana nikasema hivyo nilivyosema naninajua hata wewe unajua kuwa Biblia ndy sehem sahihi yataarifa za Mungu ila naona unajitia kukaza fuvu tu.
@lookbabes8710
@lookbabes8710 2 жыл бұрын
Yahweh my redemption
@user-dm6ex6yh7f
@user-dm6ex6yh7f 10 ай бұрын
Asanteni kutukumbusha History hii
@MiriamAmando-uj7ld
@MiriamAmando-uj7ld 11 ай бұрын
Ahsante kwa stir ni nzur sana
@CHANCESIMON
@CHANCESIMON 9 ай бұрын
Mungu ni mungu tu akuna mwengine kamawewe
@CHANCESIMON
@CHANCESIMON 9 ай бұрын
God
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 Жыл бұрын
Mungu akubariki Anko J hapo tumepata kitu cha kujifunza
@user-ps5co3pc3f
@user-ps5co3pc3f Ай бұрын
Allah ndio mueza wa kila jambo🙏🙏
@ireneassey753
@ireneassey753 2 жыл бұрын
God is Good
@tumainimacha7354
@tumainimacha7354 2 жыл бұрын
Hi
@saxenaofficial4168
@saxenaofficial4168 Жыл бұрын
Nani mpaka Leo tupo nae tunailudia tena hii story book like nyingi
@ducrame01_ke93
@ducrame01_ke93 Жыл бұрын
Mimi hapa
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 3 ай бұрын
Mimi
@faiongala3012
@faiongala3012 2 жыл бұрын
I like your voice
@mrssalaselemani4342
@mrssalaselemani4342 2 жыл бұрын
Good story book🤩🤩🤩🤩🤩🤩
@user-hs8zv5ws9s
@user-hs8zv5ws9s 9 ай бұрын
Asante kwa stori nzuri zinanikonga moyo sana
@Dawuncho
@Dawuncho 2 жыл бұрын
JAMAL APRIL wewe sio binadam wa kiwaida big up
@AbdallahFahm
@AbdallahFahm 3 ай бұрын
Mashallah allah akujalie kila kheri unaupiga mwingi brother
@johnjmanyika1872
@johnjmanyika1872 2 жыл бұрын
Ahsnte sna kwa story brother🙏
@zengandoto7088
@zengandoto7088 Жыл бұрын
The storry book.miaka yote unatupa historia za zamani.waafrika wazasisikia chini ta miaka 70 .bado mazingira ya waafrika ni masikini na hali ngumu.hebu. zungumza vipi na njia gani waafrika wanaweza kujikomboa kiuchumu,kimawazo,kiupendo,kimaendekea,kubadilisha hali ya waafrika walikuwa nao,na vipi wataweza kujikomboa na wanyonyaji.
@bankintoleahmady9321
@bankintoleahmady9321 2 жыл бұрын
Mwisho kabisa hapo kwenye mapokeo ndio umetisha kabisa na kusema kweli
@ireneinnocent4128
@ireneinnocent4128 11 ай бұрын
Waooo Nice brother.. uko vizuri sana.
@ramsesniganzisabwe7185
@ramsesniganzisabwe7185 Жыл бұрын
Nimeipenda hii kuliko zingine kabisa
@naseeralbishi4726
@naseeralbishi4726 3 ай бұрын
Asante kwa hii story ya bibilia...kuusu shujaa daudi
@sefujuma275
@sefujuma275 2 жыл бұрын
Upo vizuri kiongoz mungu akubariki
@sabrashaibu8575
@sabrashaibu8575 2 жыл бұрын
Napenda sana story zako
@hamedmussah4413
@hamedmussah4413 2 жыл бұрын
Professor J .ongera sana kwa kipawa chako uko vizuri yani unanikosha balaaa unaziteka fikira za bongo yangu ...MUNGU akujalie maisha marefu.my bro
@nurenKalimu
@nurenKalimu 7 ай бұрын
HuwAs
@jafetcharojafet5708
@jafetcharojafet5708 2 жыл бұрын
Stor Kali Sana hii🔥🔥🔥
@danielsanga8730
@danielsanga8730 2 жыл бұрын
Huyu jamaaa anatutakia nn watanzania. Mbona anupa Mambo adimuuuuu
@edsonmbega5031
@edsonmbega5031 2 жыл бұрын
Umetisha sanaaa mwanangu umepita mule mule
@wenceslausassey
@wenceslausassey 4 ай бұрын
Mimi nimejifunza kusikiliza sauti ya bwana na kuitii ukiamini hii imetoka Mungu utashinda amini wokovu Amina
@umutbulut7805
@umutbulut7805 2 жыл бұрын
Kazi nzuri🇰🇪🇰🇪
@aguerowakujidai6509
@aguerowakujidai6509 2 жыл бұрын
From Congo Brazzaville watching now
@AkilimaliBASHIMBECrispin
@AkilimaliBASHIMBECrispin 3 ай бұрын
Nina sikia furaha na utamu ya neno la Mungu !
The Story Book: NDOTO NA MIUJIZA YAKE
28:34
Wasafi Media
Рет қаралды 519 М.
KILICHOMPONZA YONA KUMEZWA NA SAMAKI : THE STORY BOOK
29:26
Wasafi Media
Рет қаралды 488 М.
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН
艾莎撒娇得到王子的原谅#艾莎
00:24
在逃的公主
Рет қаралды 45 МЛН
The Giant sleep in the town 👹🛏️🏡
00:24
Construction Site
Рет қаралды 16 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 62 МЛН
The Bible - David and Goliath
3:47
foxbetv
Рет қаралды 66 МЛН
#LIVE: BEST OF DENIS MPAGAZE VOL.2
3:52:29
Uhai Online Tv
Рет қаралды 220 М.
KISA CHA KUSISIMUA CHA NABII YONA
45:10
Pastor Lazaro Samwel Kilala
Рет қаралды 4,7 М.
WHO IS JIBREEL A.S? | COMPLETE STORY | Islamic Lectures
3:17:52
Quran and Islam
Рет қаралды 3,4 МЛН
The Story Book : Firauni na Kufuru Zake
44:34
Wasafi Media
Рет қаралды 1 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 14 МЛН