Mwanzo Mwisho Wakili Rugemelela Nshala Awasha Moto Kuhusu Utekaji na Sheria Kandamizi

  Рет қаралды 29,517

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Amezungumzia kuhusu maamuzi mbalimbali ambayo Serikali imekua ikipuuza kutoka kwa Mahakama ambayo yamekuwa yakiathiri moja kwa moja maisha ya watu.
wakili Nshala Amesema ku na haja ya kuwa na Sheria ambazo zitailazimisha Serikali kuwatafuta waliyopotea kulingana na mikataba ya kimataifa kama ambavyo Taifa limkubaliana na mikataba hiyo.

Пікірлер: 68
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 4 ай бұрын
Wasichaguliwe watu kuwa viongozi kwa kigezo cha kujua kusoma na kuandika. Hapo msomi anafafanua kwa kutumia lugha zote mbili. Pata picha ya bunge letu 40% ya wabunge hasa wa viti maalum wangetoka kapa. Short and clear, understandable . Watu werevu wako kando. Hiki kikao ni very sensitive. Wangekuwemo serikalini hawa tungekuwa mbali sana.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Kweli ceci umeongea point
@febronialyimo8585
@febronialyimo8585 4 ай бұрын
Hongereni sana mawakili wetu. Wasomi wanahitajika hata kwa viongozi wa vitongoni. Kipofu ataongozaje wenye macho kama sio kuwapeleka shimoni? Mungu wabariki watetezi wa uhai wa watu wetu.
@Farida-vg5ry
@Farida-vg5ry 4 ай бұрын
Jeshi la polisi la mama Samia ni laki huni tu wananchi Sasa hivi hatuwaamini polisi
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 4 ай бұрын
@@ceciliamagalabajimmy4391 yaani Hilo ndio chimbuko la matatizo
@mage5371
@mage5371 4 ай бұрын
TLS ndo hiii, Mungu awalinde sana👏👏👏
@SamuelLainzar
@SamuelLainzar 4 ай бұрын
Mm naona bunge letu alina manufaa saivi wemejaza tu madawati na kutapakanya pesa yetu 🎉🎉awa wazee waheshimiwe❤❤❤
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 4 ай бұрын
Asante sana nshala asante sana raisi mwabukusi umekuja mda muafaka kuwasaidia wanyonge kuoitia tls na wanasheria wenye roho ya imani
@gastordominic410
@gastordominic410 4 ай бұрын
Wametoa somo zuri sana......TLS msihishie hapo maana kuna viongoz wasiojua Mwisho wa majukumu yao
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 4 ай бұрын
TLS ambayo ni pekee ni shule!! Mtu apigania position na wamuona kweli aifanyia kazi.. Hongera TLs .. conglatulations Kaka Kajunjumele!!
@DeusMbalamwezi
@DeusMbalamwezi 3 ай бұрын
Wateuzi waotumika na kutuhumiwa kutenda makosa waki jiweka kwenye mabano ya teuzi za vyeo vya kutoshitakiwa kukamirisha ajenda zinazo saidia kukandamiza haki na uhuru iri kusaidia wakuu kuwepo iri aenderee kunufaika na teuzi na manufaiko mengine ! Darasa hiri mmesikia teuzi isiozingatia haki na uhuru itakura kwenu ipo siku mungu atawaiibisha kwa makosa yenu ❤🎉
@HellenNkwera
@HellenNkwera 4 ай бұрын
Semaa babaa yt 🎉🎉
@HassanIsmail-wp9sg
@HassanIsmail-wp9sg 3 ай бұрын
Kina soka warudishwe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@barakamfilinge6943
@barakamfilinge6943 4 ай бұрын
TLS Iko kazini ❤❤❤❤
@gastordominic410
@gastordominic410 4 ай бұрын
Yaaan leo shule kamili kila mjumbe ametoa elimu ya kutosha
@margarethmoshi4027
@margarethmoshi4027 4 ай бұрын
Mkutano wa namna hii ufanyike mara kwa mara TLS chin ya mh Mwabukusi na Dr Nshala kuna mahali mnatupeleka wananchi,endeen kaz yenu ni njema sana,Mungu awabariki na kuwalinda siku zote
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 4 ай бұрын
Hii ni haatua za kimapinduzi kuna siku kitawaka watu watalia kwa sauti kuu kudai haki zao maana wanajua sheria na haki zao hii ipite kwenye mambo yote mfano 1. Matumizi bora ya rasili mali aheria tukue inasemaje 2. Askari ili akamate rai anatakiwa awe na miaingi hipi 3. Mikataba na makubaliano ya kiuchumi baina yetu na mataifa mengine Na mengi mengi juu ya sheria ,denocracy na utawala bora
@deobabili4553
@deobabili4553 4 ай бұрын
TLS- HONGERENI SANA SANA KWA KONGAMANO HILI ELIMISHI KWA UMMA LA KUSHIRIKISHA WADAU KUHUSU WATU/MTU ALIYEPOTEZWA NA JUKUMU LA SERIKALI KUCHUNGUZA NA KULINDA UHAI WA KILA RAIA .BRAVO🎉
@amisanjenda8885
@amisanjenda8885 4 ай бұрын
Dr lugemelela wewe ni mtu na nusu ila watu kama ninyi serikali haitaki kuwatumia
@GodfreyMwamaso
@GodfreyMwamaso 4 ай бұрын
Asante wanasheria wetu kwa kutoa elimu kubwa kwa watawala na Chama cha mapinduzi wanaodhani wako juu ya sheria siku Chama kingine kikichukua nchi wahusika wote watapekekwa mahakamani
@edmundhenrykagimbo9776
@edmundhenrykagimbo9776 4 ай бұрын
Well done TL'S for delivering the very important issues that the government takes them for granted!
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 4 ай бұрын
TLS mungu awarinde mnafanya kazi kubwa sana mkiongozwa na Mwabukuz ❤❤❤
@AnnaMwitega
@AnnaMwitega 4 ай бұрын
Mungu awabariki sana sana TLS kwa kongamano hili tumepata elimu kubwa sana.
@LoiteyoAmakoMako
@LoiteyoAmakoMako 4 ай бұрын
Mungu awabariki Tls
@kingmichael1234
@kingmichael1234 4 ай бұрын
Wasomi wazuri tunao. Serikali yetu haitaki kuwatumia hawa watu. Inaona hawa watu ni maadui wa taifa. Come on.. ndio maana nchi nyingi za Afrika ziko nyuma kimaendeleo
@mosaidi2633
@mosaidi2633 4 ай бұрын
Hata wakiwekwa hugeuka kinyonga 😂
@kingmichael1234
@kingmichael1234 4 ай бұрын
Wakigeuka vinyonga unafukuza una weka mwingine mpaka apatikane muadilifu
@kingmichael1234
@kingmichael1234 4 ай бұрын
Wazuri tunao wengi tu
@NorbethJosphath-hm1zb
@NorbethJosphath-hm1zb 4 ай бұрын
Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri
@ErastoMsumary
@ErastoMsumary 4 ай бұрын
serikali haihitaji watu wazuri kama hawa inahitaji wale wa ndiyo mzee kila kitu kupiga makofi mnatengeneza dhana mbaya kwa vizazi vijazo kwann msione hili swala linatakiwa lisimamiwe vizuri
@ezekielmadindula2679
@ezekielmadindula2679 4 ай бұрын
Shida mitazamo ya polisi wetu akili ngumu😂
@cleofasladislaus2177
@cleofasladislaus2177 4 ай бұрын
Kupitia huu mkutano serikali ijue kuwa wàtu wanao ipenda hili Taifa wapo na wanchukizwa na hizi Tabia za kupoteza watu kwa kutekwa
@amanijampion3045
@amanijampion3045 4 ай бұрын
Kuna shida mahali. Uhuru wa kujieleza umeminywa. Kwa sababu wataalam kama hawa hawajaweza kutoa mawazo yao kikamilifu. Leo kupitia podium ya TLS ndio tunawaona. Tunahitaji vyombo zaidi viwajibike vikiwemo vyombo vya habari na taasisi za kiraia
@GodfreyRichard-v4f
@GodfreyRichard-v4f 4 ай бұрын
Mungu awabariki 🎉
@jumaigoti7541
@jumaigoti7541 4 ай бұрын
Pointi sana .unafaa kuwa mwalimu wa majaji pamoja wanasheria
@salomejohn7963
@salomejohn7963 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@CyprianDismas
@CyprianDismas 4 ай бұрын
Mungu awabariki.
@mage5371
@mage5371 4 ай бұрын
Kumbe nchi hii ina wasomi wa sheria kihivi
@fidelialucassamkhumbi2476
@fidelialucassamkhumbi2476 4 ай бұрын
Real law phd.
@blessjo1678
@blessjo1678 4 ай бұрын
Aulizwe kwann kesi ya tundu lissu vipi kwann uchunguzi haukufanyika na kesi hakuna?? Pia kuhusu wanaopotea ,au kutumiwa meseji kama sativa anasema bado anatumiwa sms ,TCRA wana taarifa zote za simu kwanini huyo anayemtumia sms hakamatwi?? Kwann simu za mshutumiwa mafwele isic hunguzwe??
@blessjo1678
@blessjo1678 4 ай бұрын
Simu ya soka ichunguzwe,wakina nani walimpigia simu soka ,na mitandao inaonesha mawasiliano, kwanini hawakamatwi??
@shuzashadyproduction8438
@shuzashadyproduction8438 4 ай бұрын
Safi🙏🏾
@JohnMabustar
@JohnMabustar 4 ай бұрын
TLS mmeanza kutukonga nyoyo watanzania kwa kusimamia section 4 yenu katika nchi yetu pendwa...😊😊😊
@ChristinaWengae-ps5jr
@ChristinaWengae-ps5jr 4 ай бұрын
Unaongea ukweli baba yang mung akulinde
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 4 ай бұрын
Maashaallah
@RemySomy
@RemySomy 4 ай бұрын
Tusemeeniiiii
@chrysanthushakaunga6560
@chrysanthushakaunga6560 4 ай бұрын
Kazi ipo
@josephmusagasa
@josephmusagasa 4 ай бұрын
Nashauri kufungwe CCTV cameras kwenye mahabusu, katika mapokezi ya polisi, vyumba vya mahojiano polisi na magereza zote ili kuona na kuzuia ukatili katika maeneo hayo. Enforced Disappearance na Human Mistreatment kwa pamoja ni tatizo kubwa
@Mpakele
@Mpakele 4 ай бұрын
Serikali ianzishe njia za kujilinda. UKAMATAJI wa SERIKALI uhusishe vibali vya polisi na VITAMBULISHO vya mhusika wa ukamataji
@blessjo1678
@blessjo1678 4 ай бұрын
TUBADILIKE NCHI ZINGINE VYOMBO VYA UCHUNGUZI VIKO ZAIDI YA KIMOJA,CIA,FBI,ETC SISI POLISI TU..
@gastordominic410
@gastordominic410 4 ай бұрын
Hi nayo ni hazina ktk Taifa
@DAVIDJOSEPH-u8r
@DAVIDJOSEPH-u8r 4 ай бұрын
Ifike hatua. Bunge lisitunge sheria .wala Rais asipitishe mswaada wwt wa sheria hili tuwaachie tls .niwatu wametupa elimu nakutuonyesha .kuwa wanayo nia ya kutusaidi ss watu wachin
@JovinMkunga
@JovinMkunga 4 ай бұрын
Polis wangekuwa wanafuata taaruma Yao tungeweza kufanikiwa pakubwa lakin hawapo huru wao wenyewe wanapangiwa chakufanya na wario wateua
@saidkhamismasai1204
@saidkhamismasai1204 4 ай бұрын
TLS MMEPITIA NJOA YA MBALI SANA KUFIK LENGO LKNI MMEFANIKIWA SANA KISOMI😂
@likimaro6
@likimaro6 4 ай бұрын
Nchi yetu ina wasomi ila kuna muda tunaendekeza wajinga
@AlfaSaa-j4h
@AlfaSaa-j4h 4 ай бұрын
Kweli tupu tumekuelewa sana
@jacksonndiu1070
@jacksonndiu1070 4 ай бұрын
Samia ajiuzulu na selikali yake haWana elimu ya uongozi nchi ipo gizani
@YonaMasanja
@YonaMasanja 4 ай бұрын
Zamani mulikuwa wapi jamani
@LodvolaLameck-jl5vs
@LodvolaLameck-jl5vs 4 ай бұрын
Huyu mzee ukimsikiliza hana ubabaishaji
@blessjo1678
@blessjo1678 4 ай бұрын
Yaani mm nawaza ,kwa upaan kabisa hivi kuna mtu yupo serikali au vyombo vyake vinaweza kufanya mambo haya ??? Kuichafua nchi?? Kwa maslahi ya nani?? Kwann? Je ni faida ya kikundi kidogo chenye maslahi binafsi?? Najiuliza ? Why?
@MjuniLaulian
@MjuniLaulian 4 ай бұрын
Wanasheria ndio watatuokoa kwani ni wasomi polisi sio wasomi ni watu wa nguvu tu na kuna mgongano wa masilai ukiwa na pesa shida ukikosa oesa shida sheria kwao ni baati nasibu
@evelina9621
@evelina9621 9 күн бұрын
Lini.hiyo.hatua.itafanya.kaziuchunguzi.kwetu.serikali.inakigugumizi.chukueni.sheria.hiyo
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 4 ай бұрын
Huyu mzee anatoa madini
@TomasiklistophaMwinuka
@TomasiklistophaMwinuka 4 ай бұрын
Wakili msomi ukosahihi sana
@daudimaembe3360
@daudimaembe3360 4 ай бұрын
Bunge lilikwepa wengine wametekeleza
@azizimakotha4929
@azizimakotha4929 4 ай бұрын
Unaongea kamaliza palamagamba kabudi
@leokamil6284
@leokamil6284 4 ай бұрын
Sasa wabunge viti maalum nani kaidhinisha ?hii ni kutia hasara tu nchi.Ufunywaji wa fedha
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН
Что-что Мурсдей говорит? 💭 #симбочка #симба #мурсдей
00:19
Tazama Chief Odemba Akimhoji  Maswali Magumu Kamanda Muliro
28:34
The Chanzo
Рет қаралды 158 М.
Wakili Paul Kisabo: ‘Kutetea Haki  za Binadamu  Siyo Kosa’
20:01
JOHN PAMBALU MAVAA RAIS SAMIA KWA KAUNZA NA MSTARI KWENYE BIBLIA
7:02
Chadema Media TV
Рет қаралды 42 М.
“Don’t stop the chances.”
00:44
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 62 МЛН