Viongozi wa Kijeshi Mali, Bukina Faso na Niger Waunganisha Nchi Zao, Waunda Shirikisho la Sahel

  Рет қаралды 21,481

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Jumamosi ya Julai 6, 2024 viongozi wa kijeshi wa mataifa ya Naija, Bukina Faso na Mali wametia saini makubaliano ya kuunda Shirikisho la Nchi za Sahili yaani Alliance of Sahel States.
Makubaliano hayo yaliwekwa saini na Jenerali Abdourahmane Tchian wa Naija, Kepteni Ibrahim Traore wa Bukina Faso na Kanali Assimi Goita wa mali katika sherehe zilizofanyika jijini Niamey nchini Naija baada ya mkutano wa wakuu hao wa nchi.
Lengo la shirikisho hilo jipya wameeleza kuwa ni kujenga utengamano mpya wa uchumi, siasa na ulinzi wa nchi hizo za Afrika magahribi.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 47
@user-zz6vf8ry2p
@user-zz6vf8ry2p 2 ай бұрын
Nchi za kiafrika ambazo Marais wao Bado wanajipendekeza kwa wazungu inabidi wananchi tuwatoe madarakani kwa nguvu
@samuelndungukaranja5627
@samuelndungukaranja5627 Ай бұрын
Kenya tuko hapo kutwa iyo jamaa inaitwa ruto
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Ай бұрын
Kabisa maana wanakele
@josephmasanja3728
@josephmasanja3728 20 күн бұрын
I'm very happy and excited for this rebirth of former president and Captain Thomas Isidore Sankara 🙏💪👍
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 18 күн бұрын
Kongole sana kwako brother IBRAHIM
@MwigaAdam
@MwigaAdam 2 ай бұрын
Zanzibar tunatafuta njia ya kutoka ktk muungano usio na maslah na ss
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go Ай бұрын
KABISA KIJANA hivi sasa ni miaka 60 hatuoni faida ya Muungano ❤
@user-cg1vd5jr8t
@user-cg1vd5jr8t Ай бұрын
Hami j we kula urojo tu Kisha ulale
@LugomeRisasi
@LugomeRisasi Ай бұрын
Wewe jamaa hauna hakili waafrika inatakiwa tuungane ili tuwe na nguvu ili tuweke Sheria zetu zitakazo ilinda Africa wewe unataka tugawanyike
@LugomeRisasi
@LugomeRisasi Ай бұрын
​@@OmerSuley-gl7gowanzazibar hamuoni faida ya muungano kweli mbona ninyi mnamiliki aridhi huku bara lakini wa bara hawamiliki Zanzibar kuweka na akili basi Mimi binafsi naunga mkono tuweke Sheria ya kulinda watu wa Africa
@rukiamadati336
@rukiamadati336 Ай бұрын
Mungu wetu wa mbinguni na awatangulie🙏🏾🙏🏾
@user-ol2vd1zv7u
@user-ol2vd1zv7u Ай бұрын
good job❤
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m Ай бұрын
Inabidi nchi zote za afrika zitengeneze shirikisho la kijeshi na tutengeneze mabomu ya atomic ya shirikisho
@abdullahhashimu2380
@abdullahhashimu2380 Ай бұрын
Safi sana
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu awatangulie
@kaguripenina63
@kaguripenina63 2 ай бұрын
Nmeipenda hii
@gervas58
@gervas58 Ай бұрын
Nimeipenda sana
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 2 ай бұрын
Respect 💪
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo Ай бұрын
Kongole sana umoja ní nguvú,ibra,goita,show show,babylon out,,,,,allahu barik
@TozzyMay
@TozzyMay 2 ай бұрын
Nimefurahi kupata hii habari Walichokifanya Mungu wa Afrika awatangulie Akili nzuri hii
@LawranceMatoke-rf7uk
@LawranceMatoke-rf7uk Ай бұрын
Good men for their country
@hizzasheshe3209
@hizzasheshe3209 2 ай бұрын
hawa vingozi wan niazakweli kwa wananchiwoa
@BakariMsoka
@BakariMsoka Ай бұрын
Wametisha sana
@samuelndungukaranja5627
@samuelndungukaranja5627 Ай бұрын
Ruto must go
@SuleimanYusuphjuma
@SuleimanYusuphjuma 8 күн бұрын
Kwa Africa tunajiwekea vikwazo ajabu kweli
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Ай бұрын
Hivi Tannnzania hakuna mwanajeshi wa kujitolea akampindua mama
@dbamwenzaki
@dbamwenzaki 2 ай бұрын
Naamini raia hawateswi chini ya uongozi wa kijeshi.
@islamsultan8563
@islamsultan8563 Ай бұрын
Hii Safi Sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@DrLachi19
@DrLachi19 Ай бұрын
Magharibi na sio mangaribi
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 Ай бұрын
Good
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 2 ай бұрын
Rais Rutto ndo Kwanza Kaenda kuwafuata wamagharibi na wamarekani Kuja kujenga base East Africa 😂😂😂 Africa hii sijui nani katuroga
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Ай бұрын
Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa jirani.
@godfreyfrugence4176
@godfreyfrugence4176 Ай бұрын
Mim ningekuwa ndo rais wa Tanzania namim ningeenda kuungana na mrusi mali niger na burkinafasso vile vile ningeleta base ya jeshi la russia nchin mwangu kwaajili ya mafunz mapya kwa jeshi langu kudhibit magaid watakajitokeza nchin mwangu
@user-uz8kp6je6m
@user-uz8kp6je6m 21 күн бұрын
All african countrues need army presidents
@hizzasheshe3209
@hizzasheshe3209 2 ай бұрын
eweemola wahaki wajaalie waja wako hawa wenye nia yazati ya kufuua uchumi wa nchizao wafanikiwe
@amournassorsaid7694
@amournassorsaid7694 2 ай бұрын
Viva sahel
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 2 ай бұрын
Watu weus tuache kudanganywa na waxungu ili waendelee kutunyonya
@user-vf8wv8hi5b
@user-vf8wv8hi5b 2 ай бұрын
Nimewapende hao wanajeshin
@EsterPaul-jt5im
@EsterPaul-jt5im 2 ай бұрын
Saruti wakuu
@nunikayuni6394
@nunikayuni6394 Ай бұрын
Freedom to Africa
@nunikayuni6394
@nunikayuni6394 Ай бұрын
Congo msaidieni naye ajiondowe huko aliko
@WillyNzowa
@WillyNzowa Ай бұрын
Nchi zingine za afrika zijifunze apa
@RajaaRajaa-id5wx
@RajaaRajaa-id5wx 2 ай бұрын
Og sn
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 47 МЛН
مسبح السرير #قصير
00:19
سكتشات وحركات
Рет қаралды 11 МЛН
Le missile nucléaire russe « invincible » localisé
15:56
Searching for African Indians in India, Siddi People, Siddi Village
10:30
UFARANSA KUIVAMIA BURKINA FASO KUPITIA IVORY COAST AFRIKA TUNA SAFARI NDEFU SANA
13:04
Glow Stick Secret Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 18 МЛН