LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!! kzbin.info/aero/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@diddyexpert2 ай бұрын
Mbona mm ujanizungumzia
@user-mi7cd8ch1b3 ай бұрын
Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza
@FAREEDMUSTAFA-gu4si3 ай бұрын
R &l
@ellenkabeta75613 ай бұрын
Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan
@fatimamv27233 ай бұрын
I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania
@elizabethverael17092 ай бұрын
Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤
@CyprianBCTanzania3 ай бұрын
Nabii kwao Haeshimiki, Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni
@blandinamyinga94893 ай бұрын
Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢
@aminaomary55672 ай бұрын
Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤
@Editha-og5ei3 ай бұрын
Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you
@ramadhanijohoiddi28992 ай бұрын
Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊
@mohammedkidody56183 ай бұрын
Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha
@user-tt7cu2et1x3 ай бұрын
Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee
@user-mu7fl1gs8v3 ай бұрын
Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-tt7cu2et1x3 ай бұрын
Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee
@jumahilali23093 ай бұрын
Nipe connection mzee
@jumahilali23093 ай бұрын
Nipe connection mzee
@NANGATV1232 ай бұрын
Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz
@nyandwiniyera55353 ай бұрын
Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰
@Dr.manyaunyau3 ай бұрын
Kwema n
@jacksonmambwe84163 ай бұрын
Nifanyie mpango na mm niwe jirani yako mpenzi
@faidhamsangi3061Ай бұрын
@@jacksonmambwe8416😅
@nyandwiniyera553516 күн бұрын
@@Dr.manyaunyau kwema
@user-fb5fs8ye5y3 ай бұрын
Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰
@Youngchimodzi8233 ай бұрын
Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman. Time will tell. I love Tz
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Better for making money and investing back home
@Youngchimodzi8233 ай бұрын
Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries. Political science and history tells us so!
@user-ji6cp1ng8g3 ай бұрын
Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea
@steveanthon55233 ай бұрын
Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini
@baeyanka52643 ай бұрын
Nampenda sana Frank saut yake
@hamadramadhan84223 ай бұрын
Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂
@issahhussein19223 ай бұрын
Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha
@user-mi7cd8ch1b3 ай бұрын
Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo
@benedictmhina48192 ай бұрын
Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God
@masimakarume97152 ай бұрын
Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku
@KudrackAbubakar3 ай бұрын
Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu
@user-du4yg5cj3v3 ай бұрын
Frenk❤
@cabylake23203 ай бұрын
Nice
@chire45743 ай бұрын
Acha story nyingi nenda kwenye point
@maryamalhajri7223 ай бұрын
sonia yupo france
@user-rc6ww6rx7n3 ай бұрын
Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa
@joycemuhoja47293 ай бұрын
Frank Kanenepa Sanaa
@ikramuabdul29053 ай бұрын
Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani
@Vanelsing_2 ай бұрын
We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba
@josephkahindi17133 ай бұрын
Joseph kahìndi nae tuko nae japan
@ZakaZakazi-rd7wo3 ай бұрын
Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho
@davicekombe49323 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu
@stellahmsigwa64933 ай бұрын
Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni
@stellahmsigwa64933 ай бұрын
Duuuh nimekumis kaka franki🎉
@CHIEFJAY-il3fs2 ай бұрын
hongera zao
@sergebaleke6953 ай бұрын
Bongo juwa kali bhana
@user-li8lm7it9j3 ай бұрын
Clouds
@user-sk3nh5uq2l3 ай бұрын
Miki j naepia sema yeye yuko canada
@salumsalum88663 ай бұрын
Snoop Lee yupe Germany.
@GasperMwaisa-rb1lf3 ай бұрын
Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana
@EmJesho3 ай бұрын
Jamani frenk namkumbuka sn
@jescambilinyi3 ай бұрын
Lucy komba pia
@doriceathumani8270Ай бұрын
Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢
@limymasele21Ай бұрын
Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai
@diddyexpert2 ай бұрын
Ata mm sipo bongo tena
@zahranassor78093 ай бұрын
Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂
@AllyYunus3 ай бұрын
Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz
@user-zq2nb4yh6t3 ай бұрын
Kwenu kwenu homeboy
@maryamtanzania97433 ай бұрын
Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi
@jescambilinyi3 ай бұрын
Diana kimaro pia
@Mutubure2 ай бұрын
Njaaa ni nyingii bongo
@user-zr1iy1ss5y3 ай бұрын
Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg
@user-yp1lm5fb1v3 ай бұрын
Solofing hujamutaja
@kingkendrickk3 ай бұрын
Vijana wanakimbia life gumu bongo
@eliassoingei20463 ай бұрын
Angel Benard naye yupo marekani texas
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....
@amlikejames6463 ай бұрын
Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz
@allysaid46793 ай бұрын
Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana
@AbdulGermany2103 ай бұрын
Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo
@williampaul87563 ай бұрын
Ni marekani bro
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Izobisness
@ibrahbird97273 ай бұрын
Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme Chiv hanson balozi jd yusuf solothang chindo man rah p machozi yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua
@user-es5me9jm3s3 ай бұрын
Njaaa 😂😂😂😂😂
@FurahaSebastian3 ай бұрын
Huko nikuzuri tatizo hapa umbeyà mwingi sana
@KelvinKasalama-rd3qp2 ай бұрын
Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima
@SuzyJonhАй бұрын
Frank wetu jaman ndy maana simuon
@nashnene63263 ай бұрын
Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa
@Onlyforfun1992tube3 ай бұрын
Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu
@AbdulGermany2103 ай бұрын
Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform
Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa
@user-yq2zp2lc9c3 ай бұрын
Maskini frenk tunakumiss
@user-jq8wx7zz6jАй бұрын
Wapi sofia kanumba na jamila?
@bennie72393 ай бұрын
Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
✌️✌️
@Fgldesigns3 ай бұрын
Nikitoboa lazima nihame Bongo
@mohamedimkonde95322 ай бұрын
Kuna balozi dola soul ,
@maryamtanzania97433 ай бұрын
Sonia mwenzako paula anataka kuzaa
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
😅😅
@vicentcornely48902 ай бұрын
Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu. Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu . Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini
@mwarabuofficial52413 ай бұрын
Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..
@masoudmohamed7673 ай бұрын
Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Shukrani
@user-tt7cu2et1x3 ай бұрын
H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko
@tunutamba359524 күн бұрын
@@masoudmohamed767 😀😀
@jasminshemsanga87273 ай бұрын
Kumbe ma beste hayupo bongo
@yusuphkintu5623 ай бұрын
Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Thank you
@user-ke6ec9bi4e3 ай бұрын
Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala
@mwajumaroya74043 ай бұрын
Frenk l miss you my brother 😢😍🥰
@kazimoto-eq2th3 ай бұрын
Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.
@racheljob66013 ай бұрын
😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi
@kazimoto-eq2th2 ай бұрын
@@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia
@braggadachu17233 ай бұрын
Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje
@pipstormnastalker3 ай бұрын
😁
@jaxmkada67973 ай бұрын
Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii
@user-kd5yi9jo1gАй бұрын
Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴👨👩👧
@omarymsumi18653 ай бұрын
Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke
@maulidjuma92033 ай бұрын
Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola
@faridaltamimi74543 ай бұрын
HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU
@memoryeliass95583 ай бұрын
stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.
Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
😄😄😄🤣🤣
@dorislema24653 ай бұрын
Reyc yuko wapi?
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Previous video
@GodenBMDaniel3 ай бұрын
Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
@chamballaally87673 ай бұрын
Kazi gani?
@chamballaally87673 ай бұрын
Kazi ipi ?
@Official836403 ай бұрын
Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂 Solo Thang umemsahau au
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Si unawajua lakini!!! They are famous"
@Just_a_gal.3 ай бұрын
Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu
@Official836403 ай бұрын
@@Just_a_gal. Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣
@uriotv99893 ай бұрын
Roma mkatoliki
@THETHIRDTV_3 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
@publicrelations46003 ай бұрын
Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?