LIST YA MASTAA WA BONGO WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA,,MPWA WA DIAMOND PLATNUMZ yuko UK 🇬🇧 🇺🇸

  Рет қаралды 176,591

THE THIRD TV

THE THIRD TV

4 ай бұрын

Пікірлер: 154
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
LIST NYINGINE ZA MASTAA WALIOHAMIA MAREKANI NA ULAYA ZIKO HAPA!! kzbin.info/aero/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@diddyexpert
@diddyexpert 2 ай бұрын
Mbona mm ujanizungumzia
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 3 ай бұрын
Jmn mzee magari nirimiss sana nirikuwa najiuriza yupo wap hai au amekufa jmn mungu ampe maisha malefu toka kanumba afe watu wote wamesepa na kuacha kuigiza
@FAREEDMUSTAFA-gu4si
@FAREEDMUSTAFA-gu4si 3 ай бұрын
R &l
@ellenkabeta7561
@ellenkabeta7561 3 ай бұрын
Me naona sometimes wanataka kuishi normal life coz ustar unakuwa na mambo mengi sasa akitaka kuishi hapa normal life wabongo wataanza kusema amefulia na maneno mengine but wakienda nje wanakuwa huru coz wanakuwa hawajulikan
@fatimamv2723
@fatimamv2723 3 ай бұрын
I love frenk ❤❤❤japo nimkubwa kimri nipeni connection watanzania
@elizabethverael1709
@elizabethverael1709 2 ай бұрын
Daaah Frank nilikua namuelewa, na mzee Magari much love ❤
@CyprianBCTanzania
@CyprianBCTanzania 3 ай бұрын
Nabii kwao Haeshimiki, Safi sana ifikie mahali tuache mazoea, Hii Dunia yote ni yetu na tumeandaliwa kuishi bila shaka japo mazoea na kutowaza nje ya box, Safi sana tena ikiwezekana na wengine wachape mwendo tuwe wengi zaidi pia hata ndugu zetu wawe wanapata experience tofauti na safari za nje bila shaka maana ndugu zao tunakuwepo ughaibuni
@blandinamyinga9489
@blandinamyinga9489 3 ай бұрын
Frank baybe❤❤❤miss you so,so much Mohamed Mwikongi😢
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 ай бұрын
Frenk jaman ludi tunakumis sana❤❤❤
@Editha-og5ei
@Editha-og5ei 3 ай бұрын
Nimekumiss frank jaman enzi hizo ukiigiza nilikuwa naenjoy mno love you
@ramadhanijohoiddi2899
@ramadhanijohoiddi2899 2 ай бұрын
Kuishi bongo ni kukosa muelekeo tu lakini kikawaida bongo bahati mbaya 😊
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 3 ай бұрын
Mm binafsi nipo uingereza ni kweli mastaa wanakimbia nyumbani na kukimbilia huku ughaibuni kwasababu huku kuna fursa nyingi sana na mpunga wa kutosha lakini uko hatufocus sana na maendeleo ni kutakiana mabaya tu kila kukicha
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 3 ай бұрын
Saw ebu tutafutie bas n sis tukujee
@user-mu7fl1gs8v
@user-mu7fl1gs8v 3 ай бұрын
Ni fursa gani ziko huko niunganishe please 🙏 🙏 🙏 🙏
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 3 ай бұрын
Fulsaa basi muwafulishe na vijana wengne wakujeee
@jumahilali2309
@jumahilali2309 3 ай бұрын
Nipe connection mzee
@jumahilali2309
@jumahilali2309 3 ай бұрын
Nipe connection mzee
@NANGATV123
@NANGATV123 2 ай бұрын
Mzee magari jilani yangu nimtu safina niko nae tupo lagoz
@nyandwiniyera5535
@nyandwiniyera5535 3 ай бұрын
Mzeemagari ni jirani yangu hapa Marekani nijirani mwema tu jamani 🥰
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 3 ай бұрын
Kwema n
@jacksonmambwe8416
@jacksonmambwe8416 3 ай бұрын
Nifanyie mpango na mm niwe jirani yako mpenzi
@faidhamsangi3061
@faidhamsangi3061 Ай бұрын
@@jacksonmambwe8416😅
@nyandwiniyera5535
@nyandwiniyera5535 16 күн бұрын
@@Dr.manyaunyau kwema
@user-fb5fs8ye5y
@user-fb5fs8ye5y 3 ай бұрын
Frank jamni hazéeki jamni 🥰🥰🥰
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 3 ай бұрын
Europe/ US is and will never be a better place to live for a Blackman. Time will tell. I love Tz
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Better for making money and investing back home
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 3 ай бұрын
Europeans and the Us made more money from Africa ,Asia and middle East than from their own countries. Political science and history tells us so!
@user-ji6cp1ng8g
@user-ji6cp1ng8g 3 ай бұрын
Frenk enzi ya kaole kitambo sana ila hazeek kipindi iko bila kumuona yy hauckii rah anajua mpk anajua tena nakumbuka ule mchezo mke wake kipofu yule mdada nimemsahau jina ila alikuwa anafanana na tea
@steveanthon5523
@steveanthon5523 3 ай бұрын
Huyo mdada anaitwa Kemy, saiv yupo juwa kali anaigiza kama bibi dorothy na frank huko kijijini
@baeyanka5264
@baeyanka5264 3 ай бұрын
Nampenda sana Frank saut yake
@hamadramadhan8422
@hamadramadhan8422 3 ай бұрын
Ata mim ni soon tu nitakuwa ugaibuni maana bongo mambo ayajawa mazuri ngoja tujaribu nje😂😂😂
@issahhussein1922
@issahhussein1922 3 ай бұрын
Karibu hakikisha unajiandaa kisaikolojia zaidi kuliko kifedha
@user-mi7cd8ch1b
@user-mi7cd8ch1b 3 ай бұрын
Nampenda sana frenk jmn toka mdgo wanaegizaga me namuona japo nirikuwa wa makamo
@benedictmhina4819
@benedictmhina4819 2 ай бұрын
Ngoja nikomae na kilimo yote Mipango ya sir God
@masimakarume9715
@masimakarume9715 2 ай бұрын
Nachotamani kujua ni wanafanya kaz gn huko nje ya hz za kiburudani ambazo tulikuwa tunazijua huku
@KudrackAbubakar
@KudrackAbubakar 3 ай бұрын
Mimi mwenyewe sio star ila bongo napakimbia muda sio mrefu
@user-du4yg5cj3v
@user-du4yg5cj3v 3 ай бұрын
Frenk❤
@cabylake2320
@cabylake2320 3 ай бұрын
Nice
@chire4574
@chire4574 3 ай бұрын
Acha story nyingi nenda kwenye point
@maryamalhajri722
@maryamalhajri722 3 ай бұрын
sonia yupo france
@user-rc6ww6rx7n
@user-rc6ww6rx7n 3 ай бұрын
Bongo co nchi ya kuishi hy kilakitu ujanja ujanja tu vt havinyooki nsy maana waelewa tunasepa
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 3 ай бұрын
Frank Kanenepa Sanaa
@ikramuabdul2905
@ikramuabdul2905 3 ай бұрын
Wanaenda Luisa nje Coz wenzetu wapo na free mind kinoma kuliko hata unavofikiria nawala sio nyumbani
@Vanelsing_
@Vanelsing_ 2 ай бұрын
We dada hiki kimabeste kimsanii cha juzi utuambie kwamba watoto wa 2000 hatumjui dish lako limeyumba
@josephkahindi1713
@josephkahindi1713 3 ай бұрын
Joseph kahìndi nae tuko nae japan
@ZakaZakazi-rd7wo
@ZakaZakazi-rd7wo 3 ай бұрын
Mm mwenyewe na mpango wa kwenda zangu Ng,ambo bongo michosho
@davicekombe4932
@davicekombe4932 3 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Hakika mkuuuu
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 3 ай бұрын
Ila Mimi nikipata chansi bongo siludi kabisa tena kutoka moyoni
@stellahmsigwa6493
@stellahmsigwa6493 3 ай бұрын
Duuuh nimekumis kaka franki🎉
@CHIEFJAY-il3fs
@CHIEFJAY-il3fs 2 ай бұрын
hongera zao
@sergebaleke695
@sergebaleke695 3 ай бұрын
Bongo juwa kali bhana
@user-li8lm7it9j
@user-li8lm7it9j 3 ай бұрын
Clouds
@user-sk3nh5uq2l
@user-sk3nh5uq2l 3 ай бұрын
Miki j naepia sema yeye yuko canada
@salumsalum8866
@salumsalum8866 3 ай бұрын
Snoop Lee yupe Germany.
@GasperMwaisa-rb1lf
@GasperMwaisa-rb1lf 3 ай бұрын
Bongo uwezi kutoboa kimaisha kwasababu ushikina mwingi sana
@EmJesho
@EmJesho 3 ай бұрын
Jamani frenk namkumbuka sn
@jescambilinyi
@jescambilinyi 3 ай бұрын
Lucy komba pia
@doriceathumani8270
@doriceathumani8270 Ай бұрын
Dah tunammiss sana Frank arudi jamani 😢
@limymasele21
@limymasele21 Ай бұрын
Ameniuma sana mzee magari sikutegemea kama yupo huko ila poa haina noma kikubwa uhai
@diddyexpert
@diddyexpert 2 ай бұрын
Ata mm sipo bongo tena
@zahranassor7809
@zahranassor7809 3 ай бұрын
Sihamii bongo mpaka mwisho wa dunia maana nyumbani ni nyumbani tu na bongo ni raha sana na tupo huru sana maisha ya ughaibuni asiwadanganye mtu ni ya kawaida tu na hawana uhuru kabisa kama huku kwetu yaani ni masharti kwa kwenda mbele hata kucheka kwa kibali maalum 🤣🤣🤣🤣😂😂
@AllyYunus
@AllyYunus 3 ай бұрын
Sio mastaar tuu wanaokimbia watanzania wengi tunakimbia uko nyumbani hali mbaya mi mwenyewe naandika apa sipo tz
@user-zq2nb4yh6t
@user-zq2nb4yh6t 3 ай бұрын
Kwenu kwenu homeboy
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 3 ай бұрын
Mzee magari nilijiuliza sana kwanini hachezi mvi
@jescambilinyi
@jescambilinyi 3 ай бұрын
Diana kimaro pia
@Mutubure
@Mutubure 2 ай бұрын
Njaaa ni nyingii bongo
@user-zr1iy1ss5y
@user-zr1iy1ss5y 3 ай бұрын
Frank alitaka kufanana na mwijaku kdg
@user-yp1lm5fb1v
@user-yp1lm5fb1v 3 ай бұрын
Solofing hujamutaja
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 ай бұрын
Vijana wanakimbia life gumu bongo
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 3 ай бұрын
Angel Benard naye yupo marekani texas
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Asante kwa ukumbusho ..list lazima iendelee....
@amlikejames646
@amlikejames646 3 ай бұрын
Hata me nikipata chance ya kuishi Unyamwezini sikai hapa Tz
@allysaid4679
@allysaid4679 3 ай бұрын
Jamani Raha P yupo wapi kitambo sana
@AbdulGermany210
@AbdulGermany210 3 ай бұрын
Frank yupo Ulaya sio Marekani,either Norway au sweden kati ya hiyo
@williampaul8756
@williampaul8756 3 ай бұрын
Ni marekani bro
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 3 ай бұрын
Izobisness
@ibrahbird9727
@ibrahbird9727 3 ай бұрын
Wapo Weng sana tena wasanii wa kitambo ndio usiseme Chiv hanson balozi jd yusuf solothang chindo man rah p machozi yani wengi sana sana tutaowajua na tusio wajua
@user-es5me9jm3s
@user-es5me9jm3s 3 ай бұрын
Njaaa 😂😂😂😂😂
@FurahaSebastian
@FurahaSebastian 3 ай бұрын
Huko nikuzuri tatizo hapa umbeyà mwingi sana
@KelvinKasalama-rd3qp
@KelvinKasalama-rd3qp 2 ай бұрын
Ukweli maisha ni popote dunia ni yetu sote kikubwa uzima
@SuzyJonh
@SuzyJonh Ай бұрын
Frank wetu jaman ndy maana simuon
@nashnene6326
@nashnene6326 3 ай бұрын
Bongo nyoso, nan anataka kuishi hapa
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 3 ай бұрын
Mimi ata unipe hela nje ya nchi siendi upuuzi mtupu maisha kote magumu
@AbdulGermany210
@AbdulGermany210 3 ай бұрын
Ujafika ukifika utaelewa maana ya mbele na Bongo,Ulaya unaumia wewe mzazi tu kufanya kazi ila huumii kuhusu watoto shule ni bure hakuna matabaka kama bongo ,kuna shule za kayumba na shule za wenye pesa huku hakuna hiyo,hakuna ada wala kuvaa uniform
@user-kn8mg2su7i
@user-kn8mg2su7i 3 ай бұрын
Ushirikina mwingi
@user-sg9kz1fc6s
@user-sg9kz1fc6s 3 ай бұрын
Rey C 🎉
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
kzbin.info/aero/PLCnaRiyf2kgjRsprbJiB3lVsmN8DE132X&si=r2UqAfx1hX4LDyZO
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 3 ай бұрын
Nchi yenyewe inaitwa Bongo, akili Sana, nguvu Sana, kipato kiduchu au hakuna kabisa
@user-yq2zp2lc9c
@user-yq2zp2lc9c 3 ай бұрын
Maskini frenk tunakumiss
@user-jq8wx7zz6j
@user-jq8wx7zz6j Ай бұрын
Wapi sofia kanumba na jamila?
@bennie7239
@bennie7239 3 ай бұрын
Lah P pia yuko State kitambo tu....ile vocal ya mdada kwenye ngoma ya MIKASI ya late Mangwair...
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
✌️✌️
@Fgldesigns
@Fgldesigns 3 ай бұрын
Nikitoboa lazima nihame Bongo
@mohamedimkonde9532
@mohamedimkonde9532 2 ай бұрын
Kuna balozi dola soul ,
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 3 ай бұрын
Sonia mwenzako paula anataka kuzaa
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
😅😅
@vicentcornely4890
@vicentcornely4890 2 ай бұрын
Hawafanyi kazi hizo kwasababu siyo wasanii ni waganga njaa tu. Huko msanii anaanzia shule za awali kabisa tofauti na sisi huku tunawapotezea muda kuanzia shule za awali hawajui wanasoma nini mpaka anafikia uzeeni huko ndio anaenda chuo cha sanaa mara moja tu . Inatakiwa turekebishe hili ni tatizo kubwa sana , tutengeneze shule za sanaa watu wasome kuanzia awali (utotoni) mpaka chuo kikuu awe amesomea sanaa tu popote atakapoenda anakuwa msanii n.k Tuondoe huu mfumo wa elimu wa kupoteza muda wa watoto wetu , mtoto unamsomesha masomo 20 alafu ukubwani ndio anakuja kusoma sanaa ,mwisho wake anakuwa haieleweki yeye ni nani na afanye nini
@mwarabuofficial5241
@mwarabuofficial5241 3 ай бұрын
Wabongo wapo busy kujua kazi za ulaya 😂😂 eti utasikia kwani huko ma-star wetu wanafanya kazi gani..
@masoudmohamed767
@masoudmohamed767 3 ай бұрын
Umemsahau Shija Mzee wa kwenda ulaya kila movie yupo Canada
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Shukrani
@user-tt7cu2et1x
@user-tt7cu2et1x 3 ай бұрын
H😂😂😂😂😂😂😂😂wallah ndto yake ilitimiaa mm ktka ndto yangu nataman kufka ital ama dubai ama canada nisikufe before cjakanyaga uko
@tunutamba3595
@tunutamba3595 24 күн бұрын
@@masoudmohamed767 😀😀
@jasminshemsanga8727
@jasminshemsanga8727 3 ай бұрын
Kumbe ma beste hayupo bongo
@yusuphkintu562
@yusuphkintu562 3 ай бұрын
Solo thang,mr paul ,wote hao barozi dorosa wapi uyo
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Thank you
@user-ke6ec9bi4e
@user-ke6ec9bi4e 3 ай бұрын
Sawa lakini je wanafanya kazi gani uko au kula kulala
@mwajumaroya7404
@mwajumaroya7404 3 ай бұрын
Frenk l miss you my brother 😢😍🥰
@kazimoto-eq2th
@kazimoto-eq2th 3 ай бұрын
Aiseee kama hamjuagi ni kwamba Roma kavunjwa uume hawezi kufanya tendo la ndoa ndomaana hajamchukua mkewe kama uamini ipo ivo.
@racheljob6601
@racheljob6601 3 ай бұрын
😂😂😂 daaah ila wabongo una ushahidi
@kazimoto-eq2th
@kazimoto-eq2th 2 ай бұрын
@@racheljob6601 kama hamuamini angalia roma hadi anakufa haji kukaa na mke na huko marekani hana demu na akiwa nae skendo tu ila ukweli.utakuja kuamini fatilia
@braggadachu1723
@braggadachu1723 3 ай бұрын
Usenge tu😂watoto WA elfu mbili wamefanyaje
@pipstormnastalker
@pipstormnastalker 3 ай бұрын
😁
@jaxmkada6797
@jaxmkada6797 3 ай бұрын
Ipo siku na mm nitakuwa ulaya jamaniiii
@user-kd5yi9jo1g
@user-kd5yi9jo1g Ай бұрын
Mimi mwenyewe baada ya miaka mitano uingereza mwananchi🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿👨‍👩‍👧
@omarymsumi1865
@omarymsumi1865 3 ай бұрын
Ww mabeste kavutwa na lakaaake yupo kule nasio mwanamke
@maulidjuma9203
@maulidjuma9203 3 ай бұрын
Hakuna star hapo star awezi kwenda ulaya USA kutafuta kz yani akaanze zero mastar bongo tunawajuwa awezi kuafanya kz kwa 3000dola
@faridaltamimi7454
@faridaltamimi7454 3 ай бұрын
HUKU KUNAITWA MAMTONI HUWEZI KWENDA KUTAMBA NCHI ZA WATU
@memoryeliass9558
@memoryeliass9558 3 ай бұрын
stori zimezidi sana ndio maana unasahau watu. punguza mastori hayo.
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Sawa Elias
@EstherGodwin-ig6mt
@EstherGodwin-ig6mt 3 ай бұрын
Slaves hameni wote mniache mm huku
@OmariNkalami-nh6fl
@OmariNkalami-nh6fl 3 ай бұрын
Mchongo mkumbwa😅
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 3 ай бұрын
Gonja murusi atoe mamuzi mangumu wanze kuomba msanda
@solangeramadhani4038
@solangeramadhani4038 3 ай бұрын
Frank na mzee magari wapo ILLINOIS
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Thanks for the information 🙏🙏🙏
@DuniaKalenga-hr2lz
@DuniaKalenga-hr2lz 2 ай бұрын
Iowa
@CatherineAlly-lx3fp
@CatherineAlly-lx3fp 3 ай бұрын
Huseni machozi
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
@husseinshamte7129
@husseinshamte7129 3 ай бұрын
Sollo thang
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Good
@boubabizo246
@boubabizo246 3 ай бұрын
Eti wanakimbia nini apa bongo? Kweli hilo swali? Wewe nikubebe dubai tu, utasepa bongo
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
😄😄😄🤣🤣
@dorislema2465
@dorislema2465 3 ай бұрын
Reyc yuko wapi?
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Previous video
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel 3 ай бұрын
Mzee magari tukonaye hapa Illinois US, tunafanyanaye kazi pamoja.
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
@chamballaally8767
@chamballaally8767 3 ай бұрын
Kazi gani?
@chamballaally8767
@chamballaally8767 3 ай бұрын
Kazi ipi ?
@Official83640
@Official83640 3 ай бұрын
Kwahy Sonia na Tahiya washakuwa mastar eeh hd wanawekwa km wanaishi nje jaman wakati wanasoma tu basi muwekeni na Mtoto wa Manara na mie mniweke maana np nje mwaka wa 6 huu😂😂😂 Solo Thang umemsahau au
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Si unawajua lakini!!! They are famous"
@Just_a_gal.
@Just_a_gal. 3 ай бұрын
Ushaambiwa list ni ya Marekani na Ulaya tu,,sasa huyo mtoto wa Manara huko Asia anaingiaje humu
@Official83640
@Official83640 3 ай бұрын
@@Just_a_gal. Sasa Sonia yupo Marekani umeambiwa 🤣🤣
@uriotv9989
@uriotv9989 3 ай бұрын
Roma mkatoliki
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Yupo kwenye previous video
@publicrelations4600
@publicrelations4600 3 ай бұрын
Yaani unamuacha Hussein machozi unamuweka sonia sasa huyo demu usanii kaanza lini?
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Husein yupo kwenye previous video
@user-yq2zp2lc9c
@user-yq2zp2lc9c 3 ай бұрын
Tunamiss filam zako wewe namze magali
@vumbakingvumbaking9571
@vumbakingvumbaking9571 3 ай бұрын
Izzo business na Abella
@johnny.j.nyondo
@johnny.j.nyondo 3 ай бұрын
King GK. yuko wapi.
@user-sd8jz7zj2l
@user-sd8jz7zj2l 3 ай бұрын
Mbn tunasikia Mzee magar kafa
@THETHIRDTV_
@THETHIRDTV_ 3 ай бұрын
Yuko hai
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
39kgのガリガリが踊る絵文字ダンス/39kg boney emoji dance#dance #ダンス #にんげんっていいな
00:16
💀Skeleton Ninja🥷【にんげんっていいなチャンネル】
Рет қаралды 8 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 17 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 111 МЛН
MASTAA WALIOHAR!BIKA NA SAJALI.HADI LULU!! icu chumba cha umbea
10:58
AIBU: MASTAA HAWA WALIOZEEKA ILA WANAKAA UCH| SANA MTANDAONI.
13:45
THE THIRD TV
Рет қаралды 118 М.
Njia 5 za Kuja USA
2:14
Erica Lulakwa
Рет қаралды 3,9 М.
MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA
57:11
Official Dating Assistance
Рет қаралды 73 М.
Каха заблудился в горах
0:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН