Рет қаралды 21,130
Tunawashukuru sana mashabiki zetu kwa kuwa pamoja nasi toka TIMBWILI liaze Mpaka tunalimaliza najua mmetuvumilia kwa mengi ata pale tulipochelewesha mlitumaindi ila bado amkutuacha mkaendelea kua nasi Tunawashukuru sana sana. pia tunawaaidi atutawaangusha tena ususani ni juu ya kazi yetu mpya inayoaza kuruka kuazia kesho saa 12 jioni niwaombe tusaidieni kusheya ili na wengine waone kadri tunapopata viwaz wengi ndo ivyo ivyo tutazidi kuwaletea vitu vizuri zaidi ndo tumefikia mwisho wa TIMBWILI na kesho tunaaza na tamthilia mpya ya MDUNDO Mwambie mwezako na mwezako amwambie mwezie ndo kwanza kumekucha mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥