BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/

  Рет қаралды 1,737,423

BabaJoan

BabaJoan

Күн бұрын

Пікірлер: 1 200
@BabaJoani
@BabaJoani 6 ай бұрын
NAWASIKILIZA SANA WATAZAMAJI WANGU LEO DAKIKA 50 TUENDELEE KUFURAHI PAMOJA, MSISAHAU KUTUSAMEHE MAPUNGUFU YETU,PIA SUBSCRIBE CHANNEL HII YA BABA JOAN, MBARIKIWE SANA MSIKOSE BANDO.
@IsmaelOkongo13
@IsmaelOkongo13 6 ай бұрын
Big up 🎉🎉🎉🎉🎉
@mwanaakidaomar4663
@mwanaakidaomar4663 6 ай бұрын
Tuko radh tukope tufungwe kwa maden lkn baba joan utupe burdan
@jacklinesesile5136
@jacklinesesile5136 6 ай бұрын
Ur the best ❤
@Marim-sj7oi
@Marim-sj7oi 6 ай бұрын
Kazi nzuri baba joan ❤🎉❤🎉❤🎉
@nouratraashid4868
@nouratraashid4868 6 ай бұрын
poa ujengewe sanamu lako pale posta kaka ❤❤❤❤❤❤❤❤
@MsafiryChitema
@MsafiryChitema 6 ай бұрын
Hiiii movie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉nzuri sana pia inafundisha na kuelimisha vitu vingi sana barikiwa kaka
@ChristabelShumira
@ChristabelShumira 6 ай бұрын
Hongera sanaa baba kalobo,,movie nzuri sanaa 🎊 🎉
@RoseKasangezi
@RoseKasangezi 6 ай бұрын
Movie nzur hongela sana baba karibo🎉🎉🎉🎉nawapenda wote mko good
@maalimali5513
@maalimali5513 6 ай бұрын
Hongera sana Baba Joan, binafsi nimefurahia muda leo, niseme tu katika filamu zako hii ndio bora zaidi❤❤❤
@jacksonchingwaba1626
@jacksonchingwaba1626 6 ай бұрын
Hongera sana Tusuvile, Baba Joan mwenzangu , Kazi zako nazikubali sana mkuu big up, your professional
@KimanziKomu
@KimanziKomu 6 ай бұрын
Hii kitu inanigucha sana imekaa ya kwangu kabisa,
@kambalejean-pierre9013
@kambalejean-pierre9013 6 ай бұрын
Bos mchawi 6:41
@kambalejean-pierre9013
@kambalejean-pierre9013 6 ай бұрын
Bos mchawi 28episod
@wamboiwamboh
@wamboiwamboh 6 ай бұрын
waswahili na matusi nawavulia kofia😂😂😂😂😂matusi daaah nmekoma mimi apa😅😅😅😅😅team baba karobo we love you guys from kenya❤❤
@tabihaauko9146
@tabihaauko9146 6 ай бұрын
Baba karobo ndiye atajaza pengo lenye kanumba ameachwa huko Tanzania congratulations 🎉🎉and continue good job ❤
@leahmwangala5312
@leahmwangala5312 6 ай бұрын
Mm niliona baba karobo kaona kumbe ilikua mawazo doo aoeni alafu ajifanye haoni amuone vile fake makarobo true colour zake
@loreenmwambinguloreen7373
@loreenmwambinguloreen7373 6 ай бұрын
🎉🎉🎉ushasema
@AliomarAli-wu6br
@AliomarAli-wu6br 5 ай бұрын
Kweli kabisa❤❤
@KassianWilliam
@KassianWilliam 6 ай бұрын
Dah mmecheza sana pongezi kwa wote, hasa zaidi kwa Baba mwakarobo na mwakarobo kiukweli mmenibamba sana.
@joycebageni9040
@joycebageni9040 6 ай бұрын
From DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 courage mon frère baba Joan,tu fais de bonne chose vraiment ❤
@wamboiwamboh
@wamboiwamboh 6 ай бұрын
this channel is surpssed to be watched all over❤❤❤❤skills after skills,,,bravooh to the team baba joan❤❤
@babutalemituno
@babutalemituno 6 ай бұрын
Baba joan msichelewe san kutoa vpande maan sometimes tunakaa sku nyngi kabla hamjatoa vipande vingne,,,,tunawapenda sana kaz nzur Mungu awabariki san
@FoxDrama-o5i
@FoxDrama-o5i 6 ай бұрын
Mtujulishe fanale niepisod yangapi?
@FoxDrama-o5i
@FoxDrama-o5i 6 ай бұрын
Mtujulishe fanale niepisod yangapi?
@FoxDrama-o5i
@FoxDrama-o5i 6 ай бұрын
Mtujulishe fanale niepisod yangapi?
@ksaskaka
@ksaskaka 6 ай бұрын
Leo nimependa sana mwana sheria kazi njuri mungu akutangulie baba joan❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@aishaomar2287
@aishaomar2287 6 ай бұрын
Good work team baba joan 👏 huyo mdada mwanasaikolojia napenda anavyoongea ni kama kiswahili amefanya kujifunza😊
@zephbaraka
@zephbaraka 6 ай бұрын
Awesome❤ thanks once more..... following from KENYA🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AyubuKamendu-w4o
@AyubuKamendu-w4o 6 ай бұрын
Mwana saikolojia yuko vizuri ni moto ❤❤❤
@SarahNasimiyu-j4g
@SarahNasimiyu-j4g 6 ай бұрын
Napenda sana hiki kipindi❤am watching from Dubai
@EmanuelKabola
@EmanuelKabola 6 ай бұрын
Unaweza Sana kila siku naisubilia Sana itoke big up baba joan
@IldaRafaelElias
@IldaRafaelElias 6 ай бұрын
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿,nawapenda Bure safi sana.
@ABIGAIL67-tria
@ABIGAIL67-tria 6 ай бұрын
Grandpa wa @kalobo nakupenda sana Sasa hivi naelekea kukutana na wewe @busati tv❤❤❤❤❤
@loreenmwambinguloreen7373
@loreenmwambinguloreen7373 6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@johnwaafyaannex
@johnwaafyaannex 6 ай бұрын
Baba Joan munafanya kazi nzuri kutuelimisha hapa Kenya tunafurahia kazi yenyu nzuri
@fahmyhussein8147
@fahmyhussein8147 6 ай бұрын
Baba Joan Kazi IPO nzuri nimeikubali Uwe waitowa dakika 50
@JoanWalumoli
@JoanWalumoli 6 ай бұрын
Asente sana baba Joan Kwa movie zako zuri na furahia
@ArsenSilayo-r4o
@ArsenSilayo-r4o 6 ай бұрын
Wowow dakika 50 aise nyie ni wa2 Bora sana nafwatilia tamhiliya nyingi San lakini xjawah pata yenye dakika nyingi hivi na ikatoka kwa wakati bila kuchelewesha dah mpo seriously sana mungu awazidishie vipaji ili mzidi kutufurahisha
@RoseOdilo
@RoseOdilo 6 ай бұрын
Kiukweli nampenda baba karobo ila mama karobo wa kufikia apewe maua yake anaweza hadi anaweza tena yn kiukwl anachangamsha movie yetu❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
@SafiaHamadi-vi4xv
@SafiaHamadi-vi4xv 6 ай бұрын
Kwel maua yke
@RoseOdilo
@RoseOdilo 5 ай бұрын
@@SafiaHamadi-vi4xv yn ana kipaji kikubwa
@TEONESTKACHIRA
@TEONESTKACHIRA 6 ай бұрын
From kibondo kigoma nafuatilia movie hii ya baba angu kipofu nimeipenda sanaa mungu akubliki sanaa baba Joan na team yako kwa ujumla mungu awajalie afya njema ili muendelee kutuburudisha ILOVE YOU 💕🇹🇿
@AyubDaniel-u6k
@AyubDaniel-u6k 6 ай бұрын
Inaumiza sana lakini ni story nzuri baba kalobo Mungu akupe maisha marefu na akuepushe na na baya❤❤🔥
@loreenmwambinguloreen7373
@loreenmwambinguloreen7373 6 ай бұрын
Aminaa
@SaumuhamisiHamisi-w9r
@SaumuhamisiHamisi-w9r 6 ай бұрын
yaani hapa patamu nyie baba Joan kazi zako hazina mbambamba ximenyooka na utamu juu yake barikiwa kakaangu uzidi kuendelea vizuri❤❤❤🎉🎉
@NancySibiaOnguti-gb9yq
@NancySibiaOnguti-gb9yq 6 ай бұрын
Nampenda sana huyu mpererezi naoni mission itakamilika asilimia mia. Mama karobo na mjipuko wake wamekonda juu ya ushirikina na maovu wanaofanya😢😢😢
@kimgraphics9488
@kimgraphics9488 6 ай бұрын
movie nzuri sana baba karombo big love from kenya
@Mercy-pw6yw
@Mercy-pw6yw 6 ай бұрын
Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪 i like it
@J74251
@J74251 6 ай бұрын
Tamu sanaaa kaka umecheza kama wewe❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
@السنتكينيه
@السنتكينيه 6 ай бұрын
A very interesting movie, I love it more and more ❤❤❤❤❤
@loreenmwambinguloreen7373
@loreenmwambinguloreen7373 6 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 kumbe ni baba joani sio baba karobo
@dieudonnekimengele
@dieudonnekimengele 6 ай бұрын
JI KAZR UTU TOSHEYE 16 mbiyo mbiyo sana kabisa tuna choka na iyi maisha
@Harriet-g7c
@Harriet-g7c 5 ай бұрын
Wow ba kai kwa house girl nampenda San n ba mzuri❤❤❤❤
@LucyMayaya-y2y
@LucyMayaya-y2y 6 ай бұрын
Yaaan Baba Joan big up Sana bro wewe unajua na unajua tena unatuwekea dakika za kutosha ❤❤❤
@shilaanyango
@shilaanyango 6 ай бұрын
I'm really enjoying the movie
@DominguezdaFátimaNacir
@DominguezdaFátimaNacir 6 ай бұрын
Parabéns pelo seu trabalho historial,te rendo muito pelo lindo trabalho que tem feito. Estou assistindo a partir de Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 asante sana baba joan kwa kazi nzuri aise umetisha sana.hongera
@Mumfortune
@Mumfortune 6 ай бұрын
Baba Joan nakupenda bure❤❤ movie zako zko na mafundisho poa sana😘😘😘be blessed 🙏🙏
@glorymanga3650
@glorymanga3650 6 ай бұрын
Kwa stail aloshikiliaa hyo simu mama kalobo hata hajashtuka woiiii mm ningeisi tu😆😆😆hapaaa kunaa namnaa
@SafiaHamadi-vi4xv
@SafiaHamadi-vi4xv 6 ай бұрын
Mama karobo mshamba mshamba thus why
@merymahu4500
@merymahu4500 24 күн бұрын
Hawezi kushtuka maana anatamaa ya vitu alafu hajui matumixi ya simu kubwa 😂😂😂😂
@protusisiaho8241
@protusisiaho8241 6 ай бұрын
Watching from Daadab, movie iko freshy kinoma.
@stewartmgallah
@stewartmgallah 6 ай бұрын
Nice movie inaletwa on time🔥🔥🔥big up from kinshasa
@horakibondo6667
@horakibondo6667 6 ай бұрын
I don't know Swahili but I followed EP1 to this current ep I believe that with the time I will understand Swahili Kipofu: blindness I love this team even their content
@Muhifadhimussa
@Muhifadhimussa 6 ай бұрын
baba Joan umetisha sana ilA NAMPENDA SANA zujati
@liliy-u3n
@liliy-u3n 5 ай бұрын
Zujati mzuri ❤ kwanza shepu lake
@TemboPettro
@TemboPettro 6 ай бұрын
Kaka kweli umekaa nimeipenda sana kazi yako mungu akuzidishie upeo uzidi kufanya kazi nzuri zenye mafundisho yakuelimisha jamii hongera
@Yusufzahal254
@Yusufzahal254 6 ай бұрын
Nawakubali wanangu ...tutaendelea kuwashabiki ..hatutaki watu wenye mchezo kwa kazi kama wale wa WRONG HOUSE...i pray for you guys 🎉 from kenya🇰🇪
@MerchyPaula
@MerchyPaula 6 ай бұрын
Wallh mmn kalobo feki mukali xn🎉🎉
@Salina.son_123
@Salina.son_123 6 ай бұрын
Ongera sana bro unaleta movie mapema guys nipeni likes zangu by show love to baba Joan ❤❤❤❤
@Odhiambofamily38
@Odhiambofamily38 6 ай бұрын
Pay back please
@Elizabeth-ds7yk
@Elizabeth-ds7yk 6 ай бұрын
🎉
@Elizabeth-ds7yk
@Elizabeth-ds7yk 6 ай бұрын
🎉
@Soska-h7w
@Soska-h7w 6 ай бұрын
Wonderful ❤❤❤❤like zangu kutoka Kenya jamani
@Soska-h7w
@Soska-h7w 6 ай бұрын
Asanteni sana kunipea likes marafiki zangu
@loreenmwambinguloreen7373
@loreenmwambinguloreen7373 6 ай бұрын
🎉🎉🎉niko apa
@jmmwauramusic6588
@jmmwauramusic6588 6 ай бұрын
Hapo sawa dugu yetu,umeiongeza ladha kumweka mamakarobo original
@VeronicaOtieno-u3f
@VeronicaOtieno-u3f 6 ай бұрын
Naipenda sana ivi mama karobo ashajikaranga😂😂
@Catherine-lx3jr
@Catherine-lx3jr 6 ай бұрын
Baba joan kazi nzuri sana nakupongeza👏🎉
@BahatiTimilai-v2x
@BahatiTimilai-v2x 6 ай бұрын
Nipeni like zangu hakika hii simama naipenda sana
@swediPacificswedi
@swediPacificswedi 6 ай бұрын
wakwanza kutoka Burundi Congo 🇨🇩🇧🇮
@MargaretMtende
@MargaretMtende 6 ай бұрын
Nawapenda sanaaaaa 💓🫶 Kwa kazi yenu nzuri sana
@hemstoneindiazi5678
@hemstoneindiazi5678 6 ай бұрын
KAZI mazuri Sana hempstone from Kenya
@njutujedeofficial2998
@njutujedeofficial2998 6 ай бұрын
❤from Burundi🇧🇮 shukrani kwa team nzima nafasi zenu mnazitendea haki
@Jacky-u5h
@Jacky-u5h 6 ай бұрын
wakwanza ni wafadhili wenyewe jamani😂😂😂napenda baba kalobo
@SHEHANIRASHIDIIddi
@SHEHANIRASHIDIIddi 6 ай бұрын
Mda mama kalabo kapigiwa simu na rafiki yake angesahau chakula alafu bbklabo ukajilaza ukapalamia ule mkate ikawa kama mungu kakusaidia ingependeza sana
@BrianbBashir
@BrianbBashir 6 ай бұрын
Baba Joan kazi nzuri napenda show zako
@TBrownMusic-uw2ut
@TBrownMusic-uw2ut 3 ай бұрын
Hahaha unapenda show kwa mwanaume mwenzio Acha u p didy ww
@JamilaNduta
@JamilaNduta 6 ай бұрын
Movie ni kali good job ❤❤❤
@MasnamussaPp
@MasnamussaPp 6 ай бұрын
Jamani mnajua mimi nampenda sana mama karobo ❤kwa ukauzu wake tu
@mwachilungotsimba141
@mwachilungotsimba141 6 ай бұрын
Kazi nzuri bro🎉🎉🎉mungu akuzidishie
@AmbroseMamole
@AmbroseMamole 6 ай бұрын
Bravo!We love you're work from Kenya.
@FailaOg-c2q
@FailaOg-c2q 6 ай бұрын
Jameni saa saba AM hivi nilisubili iyo movie like team kalobo
@sophiamwambire
@sophiamwambire 6 ай бұрын
hongera baba karobo-Mtwapa kenya- mafunzo mazuri...
@AssanitoSufo
@AssanitoSufo 6 ай бұрын
Kazi mzur kaka
@EliasSifuna-q7i
@EliasSifuna-q7i 6 ай бұрын
Ilove this I'm watching from Kenya 🇰🇪 😍 kiambu kikuyu town thogoto division
@IsmaelOkongo13
@IsmaelOkongo13 6 ай бұрын
Kazi nzuri kaka 🎉🎉🎉🙏🙏🙏🙏
@Smart7-b5e
@Smart7-b5e 6 ай бұрын
Hongera sana kwa kazi nzuri baba karobo❤❤❤❤ nilikua nimeisubiri kwa hamu sana
@AminaMohammed-u7j
@AminaMohammed-u7j 6 ай бұрын
Inaumiza sana hii story ya baba. Karobo mungu akuepushe amin
@YoeliNamtema
@YoeliNamtema 6 ай бұрын
Nimeipenda saan mkuu huo kazi, mwenyezi Mungu akuzidishie upeo endelevu wa utendajikaz mzuri zaidi❤❤❤❤
@DamasiBihayimana
@DamasiBihayimana 6 ай бұрын
Yani nyienikiboko sana mamakarobo kuaninini anarohombaa. ❤mamakalobowenimwanamuke Soo mwanaume kuahiyowejitambuwe
@Sharon-c9b
@Sharon-c9b 6 ай бұрын
Kama kuna movies tamu hakuna ifikiao za Baba joan.big up bro I love you so much.your big love frm🇰🇪.
@NellyKandolo
@NellyKandolo 6 ай бұрын
Nipeni like zangu wa kwanza leo Congo
@ChristineNjeri-q9p
@ChristineNjeri-q9p 6 ай бұрын
From kenya kazi zuri nawapenda sana wote
@adielndayishimiye2122
@adielndayishimiye2122 6 ай бұрын
Nawapenda sana wachezaji wote move zuli 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@madjynakatembo9897
@madjynakatembo9897 6 ай бұрын
Ninakufuata kutoka Msumbiji, napenda sana kazi yako 🇲🇿
@PeterKimanzi-l6y
@PeterKimanzi-l6y 6 ай бұрын
Asante sana baba karobo kwa kuogeza dakika nimejienjoy kinoma na hii movie
@JoshuaGodifrey
@JoshuaGodifrey 6 ай бұрын
@BabaJoan tunakuelewa sana kazi nzuri sana
@marthawanjiru6675
@marthawanjiru6675 6 ай бұрын
Baba joani kazi safi episode 16 isikawie ❤❤🇰🇪
@RehemaSaid-r4h
@RehemaSaid-r4h 6 ай бұрын
Watazamaji wa baba Joan gonga like apa 🎉🎉🎉
@GdhhdXbxhdyd
@GdhhdXbxhdyd 6 ай бұрын
Kazi Zuri nawapenda sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@kyngozi
@kyngozi 6 ай бұрын
Wa Kwanza kutoka 🇧🇮🇧🇮 nipeni like
@Odhiambofamily38
@Odhiambofamily38 6 ай бұрын
Pay back please
@aminakenyaa9337
@aminakenyaa9337 6 ай бұрын
Jamani naipenda sana hii series nzuri sana na inafundisha pia .....na ubaya una mwisho next party ❤❤❤❤
@ValentinahKwavai
@ValentinahKwavai 6 ай бұрын
Watching from Kenya wapi like zangu Kwa kuwa wa kwanza kulike
@Odhiambofamily38
@Odhiambofamily38 6 ай бұрын
Let's grow together
@KKK-v6j
@KKK-v6j 6 ай бұрын
Watching from Kenya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@AminaRai-u4t
@AminaRai-u4t 6 ай бұрын
Watching live From Kenya
@Tobiasmaina57
@Tobiasmaina57 6 ай бұрын
Baba karobo mm natoka nairobi BT nataka hii Ngoma yako sana
@FettyMeshaki
@FettyMeshaki 5 ай бұрын
Mama karobo umepata shogs unajmalza maisha ya sassiv amnaga shoga wa kwer ukmpata shukuru mungu ila mama karobo
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 6 ай бұрын
Tupo sambamba dkk teje from 🇲🇫 ila tunapnda lini inatoka maaana ss wengine tunaibukia tu
@Ezraloyibobo10
@Ezraloyibobo10 6 ай бұрын
Kazi nzuri kabisa ❤❤🇧🇮🇧🇮
@Agnes550
@Agnes550 6 ай бұрын
Team kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪tulike hapaa
@martinkioko6437
@martinkioko6437 6 ай бұрын
Pamoja likes kibao😅
@loreenmwambinguloreen7373
@loreenmwambinguloreen7373 6 ай бұрын
🎉🎉🎉we are hear
@petersonmutugi3099
@petersonmutugi3099 6 ай бұрын
❤❤❤❤ nairobi
@SaidNyange-s9z
@SaidNyange-s9z 6 ай бұрын
Kaka hongera Kwa elimu ya kuelimisha mitaani kwetu. Hongerani Kwa ujumla wenu . Kwa kweli mnatisha safi sana.
@Luckness-u1n
@Luckness-u1n 6 ай бұрын
Na mimi nimechekewa lakini watapokuja nyuma naomba like ❤❤❤❤❤❤❤❤
@millicentluvai1652
@millicentluvai1652 6 ай бұрын
hello ingekua vizuri saana,,,,tukiipata kila baada ya cku moja,,,,,fan wako frm kenya twakupenda saana
@AbasiMponji-e3t
@AbasiMponji-e3t 6 ай бұрын
Number one from India give me my like
@jacklinesesile5136
@jacklinesesile5136 6 ай бұрын
Number one ☝️ please if you love this movie give me some likes ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊
@mapopo23
@mapopo23 6 ай бұрын
Hello My friend Me am Number one to Join and to Love this is Movie 🇰🇪 100% 🎉🙏💪
@PaulOjiambo-p1f
@PaulOjiambo-p1f 6 ай бұрын
❤❤❤
@Tobiasmaina57
@Tobiasmaina57 6 ай бұрын
Napenda kabisa hii movie
@jacklinesesile5136
@jacklinesesile5136 6 ай бұрын
@@mapopo23❤❤❤❤❤
@AliMunga-c8n
@AliMunga-c8n 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 piga uwa mama karobo
@GladysKarembo
@GladysKarembo 6 ай бұрын
Munaendelea vizuri sana, MUNGU aendelee kuwatia nguvu, Nawapenda, watching from Kenya
@RUIYAMOHAMED
@RUIYAMOHAMED 6 ай бұрын
Leo nimewai,wa Kwanza kutoka🇰🇪naomba like na mm
@Felichinalharimal
@Felichinalharimal 6 ай бұрын
Tuko pammoja na wewe mimi ni mukenya
@KaligiKisamu
@KaligiKisamu 6 ай бұрын
Daaaah umetisha
@chatohti2596
@chatohti2596 6 ай бұрын
Upo wapi​@@Felichinalharimal
@chatohti2596
@chatohti2596 6 ай бұрын
Hi
@DariaMaurus-mo1ug
@DariaMaurus-mo1ug 6 ай бұрын
Nyie munao omba like acheni toeni maoni❤🎉
@KHALIPHARCE-ud8hx
@KHALIPHARCE-ud8hx 6 ай бұрын
KHALIPHARCE bukoba kagera kazi nzuri sanaa🎉
@AminaMohammed-u7j
@AminaMohammed-u7j 6 ай бұрын
Jaman kumbe ilikuwa ni ndoto thu mm nataman sana apone
BABA YANGU KIPOFU Full episode /16/ #love
50:05
BabaJoan
Рет қаралды 842 М.
WEWE NI MALAYA AU MCHAWI
15:09
BabaJoan
Рет қаралды 1,9 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
The evil clown plays a prank on the angel
00:39
超人夫妇
Рет қаралды 53 МЛН
IL'HAN - Qalqam | Official Music Video
03:17
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 700 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
MALI ZA MAREHEMU FULL MOVIE/BONGO MOVIE FILM
1:45:12
BabaJoan
Рет қаралды 275 М.
BIBI TIKISA HII HAPA..TANZAMA UMBEA
9:22
Gebo Mkary tv
Рет қаралды 30 М.
LIKE FATHER | FULL MOVIE
3:37:26
KAPELA FILMS
Рет қаралды 98 М.
MKOBA WA BIBI |ep 1#clamvevo #kipalavevo #kakoso #mwakatobe #mwinyimkuu
20:58
WATOTO WANGU FULL MOVIE /BONGO MOVIE / BONGO FILM
2:40:33
BabaJoan
Рет қаралды 231 М.
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.