MGOMO KARIAKOO! "NITAKUJA KUMPA ADABU MBELE YENU" RC CHALAMILA AFOKA KWA UKALI WANAOTISHIA MGOMO

  Рет қаралды 128,361

TimesFMTZ

TimesFMTZ

Күн бұрын

All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz

Пікірлер: 473
@Jurbeg
@Jurbeg 7 ай бұрын
Poleni saana mlioko nyumbani tz 😢🇿🇦🇨🇩🇿🇲🇿🇼
@yoshuajuma4952
@yoshuajuma4952 7 ай бұрын
Mungu fanya Jambo uliwezalo sisi hatuwezi kwasababu sisi hatunadola musaada wetu umebaki kwakomungu wetu
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 7 ай бұрын
Mkuu mbona unawapiga biti ... wasikilze wadau acha mkwara
@PascasMathew
@PascasMathew 7 ай бұрын
Kweli kabisa
@tridabalira5992
@tridabalira5992 7 ай бұрын
Lean from Kenya
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 7 ай бұрын
Kifupi afai kuwa kiongozi kabisa asilimia 💯💯💯
@FulgenceNgamesha
@FulgenceNgamesha 7 ай бұрын
😊k. 😊😊 0k. .lu. K P0 0uk .hoy. K . 0k U 😊
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 7 ай бұрын
eti mkuu wa mkoa..wananchi wangapi wa mkoa wa dar es salaam walimchagua Chalamila ili awe kiongozi wao..!!!?
@Mohamedychilungu-t7y
@Mohamedychilungu-t7y 7 ай бұрын
Sio uyo tuu kiufupi ccm yote aitufai tuwang'oe tuu madarakani
@siamnyone8403
@siamnyone8403 7 ай бұрын
Ukifa wewe ndo itawezekana ​@@Mohamedychilungu-t7y
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 7 ай бұрын
​@@Mohamedychilungu-t7ykinakufaa chama gani? Fanya biashara acha siasa ndugu, hivyo vyama havitakusaidia nao ni wapigaji tu fanya yako
@maryprejoofficial6846
@maryprejoofficial6846 7 ай бұрын
Naomba Watu Wakenya Wahamie Tanzania dadeki wangenyoooka
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 7 ай бұрын
dah Mungu wangu hiyo ingekuwa hatari kubwa sana. hao ni ngangari hawatishiki kwa kweli wale ndugu zetu
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 7 ай бұрын
Acha kutamani ujinga wewe! Kama umeshiba kalele maandamano yanafaida gani!
@maryprejoofficial6846
@maryprejoofficial6846 7 ай бұрын
@@mussamalekela2107 soma, elewa alafu jibu swali usikurupuke🙌
@Jaythabit
@Jaythabit 7 ай бұрын
Hongera sana usubutu ndio unatakiwa kujiamini pia mdogo mdogo ndio mwendo yupo atakae kukubar pia atakuwepo 😊
@marianmartin7483
@marianmartin7483 7 ай бұрын
Chalamika kaka mm huwa nakukubali sana. Lkn kuongelea awamu 5 kwamba haikufanya vizuri. Unaongea kwa mhemko wasikilize wafanyabiashara, usiwatishie. Umepaniki mh Chalamila.
@a2core-wn2wk
@a2core-wn2wk 7 ай бұрын
Hajielewi anachoongea siku moja ale bakora ndo aone kumbe wananchi wana hasira na hii TRA
@alvezog_3836
@alvezog_3836 7 ай бұрын
Wewe Sio Serikali Bali Ni kiongozi Wa Serikali Pia Tambua Kuna Maisha Baadae Ya Uongozi Kuisha..
@bonifaceselis9611
@bonifaceselis9611 7 ай бұрын
Good LEADERSHIP
@hssanrubota3891
@hssanrubota3891 7 ай бұрын
Hapo umekosea sana tulikuwa tunakukubali lakini hapo umakosea huko ni kuwatisha watu wanaodai haki yao ss turiridhia kuwekeza bandari ili angalau kupunguza hizi kero za kodi zinazopa kila kukicha sasa faida ni ipi ya kuwa na wawekezaji na haya madi ndio unasababisha maisha kuwa magumu
@SilasNdaisabha-gx8jo
@SilasNdaisabha-gx8jo 7 ай бұрын
Tz🇹🇿 mkuu wa mkoa ni mr p makonda❤
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 7 ай бұрын
Ndio maana Makonda anawafunika mbaya mbovu, hekima yenu wateule sifuri.
@Ambwene
@Ambwene 7 ай бұрын
Huu ni Mzigo mwingine serikalini Hafai kuwa kiongozi analeta ukomedi kwenye mambo ya seriously
@NemesMasawe
@NemesMasawe 7 ай бұрын
Amnaaa kiongoz hum kashakulaa kashibaaa anajambajambaa tyuu
@OmaryZuberi-o3b
@OmaryZuberi-o3b 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@Jafaryamily
@Jafaryamily 7 ай бұрын
Bure kabisa bora angekuwa mtt wangu ndio kiongozi kuliko hii hasara samia toa hii kitu
@petermogha7025
@petermogha7025 7 ай бұрын
Hajasoma
@hamudseif
@hamudseif 7 ай бұрын
Janja janja tu, musipogoma itaendelea kudanganywa na maneno ya kisiasa mpaka dunia itasimama
@SebushahuEzekiel
@SebushahuEzekiel 7 ай бұрын
Hufai kuwa kiongozi kauli zako ni mbovu sana
@jullythedone8615
@jullythedone8615 7 ай бұрын
Huyu bwana kapatwa na nini miaka ya 2019.../21 alikuwa kiongozi Bora Sasa Kawa Bora kiongozi
@elias.e.urassa
@elias.e.urassa 7 ай бұрын
People tend to Whisper when they say the truth and raise their voice when they lie.
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 7 ай бұрын
Nikweli kuna viongozi wakoserikalini kwa bahati mbaya sana Hawana uwezo wakutatua changamoto badalayake wanauwezo wakuongeza changamoto
@StevenNyanguye
@StevenNyanguye 7 ай бұрын
Ndio tatizo la viongozi wa bongo vitisho vingi kulikon elimu
@Jafaryamily
@Jafaryamily 7 ай бұрын
Pumbavu kabisa aliyemwambia tatizo machinga ni nani? Au wachina wengi ni nani? Raia wanagoma kodi kubwa na nyingi.
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 7 ай бұрын
Mzee tatizo sii machinga tatizo tra
@a2core-wn2wk
@a2core-wn2wk 7 ай бұрын
Ww mkuu wa mkoa ongelea kinachojiri usiongelee serikali ya awamu ya tano.au umetumwa
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 7 ай бұрын
Kodi kubwa daaah 😭😭😭😭
@omanmobile5746
@omanmobile5746 7 ай бұрын
Badala ukae chini mlitatue tatizo unwatishia sawa kwa kuwa wewe ni kiongozi basi wengine hawana kauli jui yako ila kumbuka kuna maisha baada ya uongozi🇴🇲
@Masebrain
@Masebrain 7 ай бұрын
Nice
@carolihando6271
@carolihando6271 7 ай бұрын
Walifikia awamu ya tano ni wale mafisadi, rais wote tulimpenda na bado tunampenda sana hata hayupo, ila wewe sasa unaonyesha your true color. Hakuna anayekubali kuonewa kwa vijisenti..pole sana chalamila
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 7 ай бұрын
Yaan huyu ana kibri cha madaraka na anaringia police/Dola but Yana mwisho
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 7 ай бұрын
Wewe siyo kiongozi wa kisiasa lakini maadamu umewekwa na mwanasiasa basi na wewe ni mwanasiasa. Hivyo ni vitisho,watu hawawezi kugoma bila sababu,wekeni mambo vizuri na si vitisho. Tanzania bado sana,kuna majitu yanapiga makofi hapo.
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 7 ай бұрын
Mtz ni ndiyo mzee sababu za kufunga biashara elezeni siyo amri
@SurprisedCheeseBoard-fh5nw
@SurprisedCheeseBoard-fh5nw 7 ай бұрын
Jaman Hawa viongozi wetu wangejua jinsi ilivyo ngumu kuutafuta huo mtaji wangetuhumia kabisa lakini wao ni kuzunguka na Magali mafuta wawekewe na mwanainchi anaona maisha Bora kweli kweli
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 7 ай бұрын
Acha porojo za kusingizia vyama vya siasa, kwani hivyo vyama ndivyo vinawaletea chakula?
@davidsika5292
@davidsika5292 7 ай бұрын
Huyu mkuu wa mkoa safi sana hasa kwa wale wanao deka deka
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 7 ай бұрын
Ttz sio wachina bhana ni kodi ya service lev
@marwasaid8283
@marwasaid8283 7 ай бұрын
Ndugu mkuu wa mkoa eleza tatizo, acha kutisha watu
@user-Neema
@user-Neema 7 ай бұрын
Yan huyu baba kha
@Burange666
@Burange666 7 ай бұрын
Huyu hafai kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi maana anaongea ushuzi ushuzi anaongea kwa ukali utadhani anaongea na mbwa, kiongozi hatakiwi kuwa mkali anajifanya mtemi sana hajui kuwa wafanyabiashara wanaumia kwa kodi kubwa.
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 7 ай бұрын
Nionavyo hapatakua nakiongozi hata 1 ataekua bora kwetu ,mana hata Magu alikua mbaya kwawengine ,ila nionalo kila mbuzi ale kwaurefu wakamba yake ,napia kunawtu wasiotutakia amani yanchi ,ndio wanashawishi wtu wajipotezee mda kw maslahi yao ,wala hamna lolot hata wakipata wao ,tuangalie wenzetu walijihashua hawa raha ktk nchizao
@AlfredSenkondo-mi3wf
@AlfredSenkondo-mi3wf 7 ай бұрын
Ssa huyu kaenda kusuluhisha au kuwatishia watu mungu kamsaidia hakuwa kiongozi wakenya
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 7 ай бұрын
kweli ana bahat Yuko tz
@Jafaryamily
@Jafaryamily 7 ай бұрын
Anazungumzia siasa biashara haitaki siasa
@omaryjudasymwanga7172
@omaryjudasymwanga7172 7 ай бұрын
Wakubwa zako broo walishasema lakini kipigo kinaendela wanavunga kidogo wanafufuliwa na sheria kandamizi nani yupo tayari ashinde kutwa nzima alafu atoke na zero jioni badilini sheria acheni uswaili dhuluma na ubabe hamtoboi wala wananchi sio chanzo cha hiyo hali ila rushwa na kubebana na kujuana kwenye kazi za uma ndio chanzo cha hayo
@ponsianomnyaru9140
@ponsianomnyaru9140 7 ай бұрын
Ww kenge kwahiyo unataka kufananisha utawala wa magu na WA mama Ako hata ukimkataa magu kwasababu mama kakupa kibarua lkn magu bado tunampenda japo yupo kaburin
@Ambwene
@Ambwene 7 ай бұрын
Mpumbavu huyu mkuu wa mkoa
@faithstephen3690
@faithstephen3690 7 ай бұрын
​@@Ambwenekwa hiyo ndio atishie wananchi we mpuuzi sana
@lightmashauri1725
@lightmashauri1725 7 ай бұрын
Magu hafananishi na Hawa njaa,njaa
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 7 ай бұрын
Albert chalamila bro nakwambia ukweli kuna maisha mengine nje siasa au uongozi wako angalia bro majivuo yanamwisho
@Stellastella-yi5vu
@Stellastella-yi5vu 7 ай бұрын
Jifunze kwa Jerry slaa jins ya kutatua changamoto sio kubweka tu
@ChazMakavu
@ChazMakavu 7 ай бұрын
Trendng no 1
@ObedMtui-o1z
@ObedMtui-o1z 7 ай бұрын
😮 mgomo mgomo
@BarakaMagonya
@BarakaMagonya 7 ай бұрын
Kweli mh kitu ambacho umekizungumza ni kweli hongera mh🤝🤝🤝🤝
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 7 ай бұрын
Huyu jamaa nae anakula mshahara wa serikali 😂😂
@sponsor7882
@sponsor7882 7 ай бұрын
Wakenya wanajielewa sio kama watanzania
@NgaizaKimbeNgaizakimbe
@NgaizaKimbeNgaizakimbe 7 ай бұрын
Wanajielwa Nn We Mackenzie kale Unga Wa Nyas😂😂😂😂..
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw 7 ай бұрын
Mchochezi hamia kenya
@officialshelomwangole256
@officialshelomwangole256 7 ай бұрын
Kwa lipi?🤫
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 7 ай бұрын
Bro hufai kuongoza Dar
@ballackmasungura6753
@ballackmasungura6753 7 ай бұрын
Achakutudanganya broo maisha nimagumu acheni kujidanganyia na siasa alie soma bajeti nichama kingine au niwaziri wa fedha maisha ayaitaji mzaa
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 7 ай бұрын
Kaa mezan mzungumze co kuwachimba mkwara bro!
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 7 ай бұрын
Kumbe mungu anakuona
@nyembobea7285
@nyembobea7285 7 ай бұрын
Umeongea point sana mkuu hakika wewe ni mkuu mkoa muwazi hutishwi
@MsAggie5
@MsAggie5 7 ай бұрын
Anaongea pumba tu, vitisho vingi vya nini? Magu aliwakaba wafanya biashara wakubwa hawa wadodo aliwalegezea. Daktari na hawa kuna uhusiano gani. Ujinga tupu
@JaphetJairos-n4l
@JaphetJairos-n4l 7 ай бұрын
Amna serikal imekuwa kikwazooo sana
@EsterSamwel-io9zq
@EsterSamwel-io9zq 7 ай бұрын
Yaani najisikia hasira😢😢😢
@JaliwaAdamu-wy4zi
@JaliwaAdamu-wy4zi 7 ай бұрын
Unatisha wa2 mh mikwala mingi kwa tanzania hii mmetuweza
@francisrutashoborwa9679
@francisrutashoborwa9679 7 ай бұрын
Unafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Mkuu
@mwasagamwambuli3513
@mwasagamwambuli3513 7 ай бұрын
Chalamila mbona Ana kosa hekima na busara katika kukabiliana na changamoto za kiutawala?!! Asifikiri kuwa yeye daima Ana akili za kuzidi wengine, awe tayari kusikiliza wengine na ajitahidi kuwa msikilizaji zaidi kuliko kujifanya ni bingwa wa kutamka. Ajirekebishe ubabe haumsadii
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 7 ай бұрын
Africa kuna viongozi waginga sana ivi ninani kailoga africa
@user13375
@user13375 7 ай бұрын
Biashara inakuhusu wapi ww😮😮😮???
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 7 ай бұрын
Tanzania nchi ya hovyo sana yan wanyonge ndo wanakandamizwa makodi kodi kibao ipo siku wananch watachoka wajichukulie sheria kama kenya
@jacobwarieba5841
@jacobwarieba5841 7 ай бұрын
Unaongea hivyooo ufainkuiongoza daresalaamu hata rais wetu samia ajifikirie
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 7 ай бұрын
Mlete baba yako awe mkuu wa mkoa.
@faithstephen3690
@faithstephen3690 7 ай бұрын
​@@sskondopoleani9616 babake anaingilia wapi hapa shoga mpevu wewe watu kama nyie ndo manafanya watanzania wanakandamizwa
@dennismwakilembe5800
@dennismwakilembe5800 7 ай бұрын
​@@faithstephen3690 anakula kwa mama analala kwa baba atayajulia wapi huyo bwabwa
@adkajisi4536
@adkajisi4536 7 ай бұрын
@@faithstephen3690 uvccm hiyo vijana wa hovyo.
@pastorsthenksrojaskapunga6843
@pastorsthenksrojaskapunga6843 7 ай бұрын
Shida zaidi kuliko kawaida Kutoka 1:8,10 [8]Basi akainuka mfalme mpya kutawala Misri, asiyemjua Yusufu. Now there arose up a new king over Egypt, which knew not Joseph. [10]Haya! Na tuwatendee kwa akili, wasije wakaongezeka; tena, ikitokea vita, wao nao wasije wakashikamana na adui zetu na kupigana nasi, na kutoka katika nchi hii. Come on, let us deal wisely with them; lest they multiply, and it come to pass, that, when there falleth out any war, they join also unto our enemies, and fight against us, and so get them up out of the land.
@Keyjop
@Keyjop 7 ай бұрын
Tunakoelekea Tanzania sijui ni wapi?
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 7 ай бұрын
Pazuri tu tukisemezana, hakuna shida. Lazima tutatue matatizo yetu. Wakati tunakimbia viwandani, hatukujua kumbe na uchuuzi nao una karaha zake. Umachinga ni uchuuzi. Turuudishane viwandani na mashabani kibiashara. Machinga na dada, kaka poa tutawapunguza.
@shabaniramadhani8026
@shabaniramadhani8026 7 ай бұрын
Kachukue mawazo ya usuluhisho kwa Jerry Slaa yuko vizuri
@MohamedKinega-jt4vi
@MohamedKinega-jt4vi 7 ай бұрын
Hivi msaada wa kutatuliwa tatizo la kodi kwa viongozi wetu liko wapi?
@JumaRamadhani-uv1il
@JumaRamadhani-uv1il 7 ай бұрын
Huyu mwamba ndio alisema una fikisha miaka 40 huna hela mbona leo anataka watu wasitafute kimango
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 7 ай бұрын
Wewe upo kisiasa apo sio kutetea wanainchi huna jipya kanye ulale😂😂
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 7 ай бұрын
Kodi kibao toweni servicelev achani siasa mnawanyonya wananchi wenye mitaji midogo twendeni kwenye madini tukakusanye kodi
@willsonmsuya9261
@willsonmsuya9261 7 ай бұрын
😮
@MsesefuChristopher
@MsesefuChristopher 7 ай бұрын
Kweli kabi
@faithstephen3690
@faithstephen3690 7 ай бұрын
Huyu shoga hafai kuwa kiongozi kabisa kwanza anatishia wananchi, pili hana suluhuhisho la tatizo, tatu haiwezekani hao wachina ndio watuuzia mzigo kwa bei ya jumla na bado wanapewa fursa ya kufungua maduka sokoni huu ni ushoga wa hali ya juu sana
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 7 ай бұрын
Wewe ni serikali ipi??
@andrewkilulu
@andrewkilulu 7 ай бұрын
Aseeh leo umemgeuka magufuli 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mishlay8164
@mishlay8164 7 ай бұрын
Ninyi vipi viongozi muwe na kauli ni nzuri
@Davidmalunga-1992
@Davidmalunga-1992 7 ай бұрын
Kwan mkuu ulivoitwa umeambiwa kariakoo kuna tatizogani? Labda tuanzie hapo. Ukute wamekupa taarifa isiyo sahihi
@GoldenchipsChips
@GoldenchipsChips 7 ай бұрын
😂😂😂maana kalipua lipua tu mpaka umuhimu wa yeye kwenda hapo hauonekani
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 7 ай бұрын
Watu wanatetea haki zao ww unasema habari ya wanajeshi kutumwa vitan?! hiyo ni siasa au watu wanatetea haki zao!
@ErnestMpigauzi
@ErnestMpigauzi 7 ай бұрын
Kilajambo na wakati wake
@KitilaMndeme
@KitilaMndeme 7 ай бұрын
Poleni Dar es salaam Tanzania
@MarcoMarki-wo5lg
@MarcoMarki-wo5lg 7 ай бұрын
Angalia Mzee sisi watoto wa 2000 tupo
@janethferous
@janethferous 7 ай бұрын
Uyu baba nimjeul sana anamajiobu ya nyodo sana
@alitomitre4191
@alitomitre4191 7 ай бұрын
Loo watanzania ni maiti kweli tungrkuwa ngangali huyu asingeongea utumbo huu kama kama kala maharage aendelee na baiashara vipi na mikodi hii? Kama munamuelewa huyu jamaa hapa anatetea ugali wake na nyinyi wa fanysbiashara teteeeni ugali wenu
@rajabukitego1662
@rajabukitego1662 7 ай бұрын
Daah,hii,nch,hicho,ndicho,kinacholalamikiwa,kwel?
@NasilichandeChandenasili
@NasilichandeChandenasili 7 ай бұрын
Achaa kutishaa watuu wwee mzee his nchii niyawaonevuu, mafisadii na wapiga dilii rais alkuwa magufulii tuu maisha yawatanzania ni magumu Sanaa nyiee mnazidii kunenepa mashavu , MUNGUU wahaki yupoo mnatuonea ipo sikuu ccm watasaga menooo....ubaya unamwishoo wakee
@emanuelkilinga9196
@emanuelkilinga9196 7 ай бұрын
Safi sana rc
@hamadsaburi3569
@hamadsaburi3569 7 ай бұрын
Kodi Kodi Kodi kubwa mna WA bana masikini
@diratechs
@diratechs 7 ай бұрын
Subili mkeka wa rais samia umeona Kenya
@josephdimosopantaleomadegh7599
@josephdimosopantaleomadegh7599 7 ай бұрын
Awo watu Wana plani ya kumualibia mama uyo chalamila afai ana mwalibia mama aisee
@AnnaMrsmoses
@AnnaMrsmoses 7 ай бұрын
dah, mungu umewasaidia sana wakenya wanajielewa hawa tishiki kipumbavu wala hawaogopi mtu pi hawaruhusu akili ndogo kuikandamiza akili kubwa
@YugoAlly
@YugoAlly 7 ай бұрын
Afai kuwa kiongozi
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 7 ай бұрын
Mh!kasema sasa itakuaje?
@dulasele-ud8cw
@dulasele-ud8cw 7 ай бұрын
Niko msumbiji nimeona changamoto yakuutoa mzigo kaliakoo adi temeke kuna ndugu yangu amechukuliwa mzigo na tialaei adi leo uluma tulijua tazani nchi y aman lakini kwahili la tiara ei tazania aina aman bola niende sauzi africa nikachukue mzigo
@MsAggie5
@MsAggie5 7 ай бұрын
Ningependa huyu chizi asome ujumbe wako. Sio wewe tu wafanya biashara wengi kutoka nchi za jirani wanalalamika juu ya hizo kodi na kuchukua mizigo yao
@EliezaRichard
@EliezaRichard 7 ай бұрын
Mi naona kunamatatizo kati ya mfanyabiashara t,r,a selikari Sasa hapo kati t,r,a na mfanyabiashara Kuna mmoja anailetea usumbufu selikari inaonyesha t,r,a na ni mbabingwa wa kutengeneza mazingila ya rushwa wanasababisha mfanyabiashara aone afadhali atoe rushwa kuliko kiwango wao wanadai kinaenda selikalini Sasa Mimi ni mtaji wa ml 6 mnikute na tatizo mniambie faini ml 15 ni bola nitoe rushwa ml 2 au 3 maisha yaendelee selikali hapo inakuwa haija pata kitu
@anatoliwema3664
@anatoliwema3664 7 ай бұрын
Uzuri wananchi wamekusikia na kukuelewa na maamuzi yapo juu yao tu na si vinginevyo na wote waliohudhuriakutano wameelewa vizuri sana, utendaji wao utakuwa majibu sahihi yatokanayo na mkutano husika
@mbarikiaally2814
@mbarikiaally2814 7 ай бұрын
Hanachokiongea na kinacholalamikiwa haviendani
@TimelyInspiration-qp7yi
@TimelyInspiration-qp7yi 7 ай бұрын
Huyo mjinga akuje Kenya aongee hivo
@drallan6879
@drallan6879 7 ай бұрын
be diplomatic usiwatishe!
@taaonlinetv1820
@taaonlinetv1820 7 ай бұрын
Huyu jamaa anazingua na anawadharau wananchi nadhan ajui nguvu ya umma huyu kenge
@BLUBEENICE
@BLUBEENICE 7 ай бұрын
Mmmmh jamani me sijamuelewa huyu anazungumzia nini vile!!!
@GoldenchipsChips
@GoldenchipsChips 7 ай бұрын
😅😅😅kazingua sana
@KaiKhatib
@KaiKhatib 7 ай бұрын
Usitutishie maisha
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 7 ай бұрын
Nguvu ya madalaka mmmmh apa mama akufanya chaguo sasahihi 😂😂😂😂😂 Tanzania yetu hiii
@omariKalyango
@omariKalyango 7 ай бұрын
Kaka sheria ni msumeno kiukweli Tanzania ukwepaji wa kodi nimkubwa
@shaibukhamis863
@shaibukhamis863 7 ай бұрын
​@@omariKalyangowew unafanya biashara wapi
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 7 ай бұрын
Wafanyabiashara wanagoma kwa sababu ya kodi kubwa! Wewe unaleta vitisho vyako hapo! Tatua kero ya Wafanyabiashara acha kuleta porojo za vitisho wewe! Hovyoooo sana!
@mekin8684
@mekin8684 7 ай бұрын
Huyu Jamaa ni nani, he is old school type of politician, all he is doing is intimidation, someone let him know that doesn't work nowadays.
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 7 ай бұрын
Hapa kuna shida mngewasikiliza hawa watu mngejua hakuna siasa hapo ila TRA inashida
It’s all not real
00:15
V.A. show / Магика
Рет қаралды 20 МЛН
VIP ACCESS
00:47
Natan por Aí
Рет қаралды 30 МЛН
My scorpion was taken away from me 😢
00:55
TyphoonFast 5
Рет қаралды 2,7 МЛН