KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"

  Рет қаралды 374,147

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 482
@jmc2196
@jmc2196 Жыл бұрын
Ewe Mungu tusaidiye utupe Mwingine kama Magufuri 😭😭😭 RIP baba
@user-ff9ft1pk2n
@user-ff9ft1pk2n Жыл бұрын
Likes kwa muha 🔥🔥🔥
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын
Poleni sana nimependa sana mzee wetu alivyojilipua❤😂😂😂😂
@user-rr1lw7sz6h
@user-rr1lw7sz6h Жыл бұрын
Asante baba kwa kutuongerea wanyonge mimi nilifunga biashara kisa tra
@ammyskills5588
@ammyskills5588 Жыл бұрын
Huyu muha ameongea ukweli na ndio yanayofanyika na ana uchungu sana daaa 😢
@kissamwamunyange1018
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
Poleni wananchi wenzangu. Ni MUNGU tuu aingilie Kati. insha'Allah 🙏
@aminaasia-jl8fk
@aminaasia-jl8fk Жыл бұрын
Huyu kweli kigoma
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 Жыл бұрын
Waha hatuna dogo😄
@jamesmwita2995
@jamesmwita2995 Жыл бұрын
Hatari sana 😂😂😂 anaongea kama brother k,,,watu wamechafukwa
@apollobupolo9884
@apollobupolo9884 Жыл бұрын
Hahahahaa
@joelmwita3592
@joelmwita3592 Жыл бұрын
Muha Amechoka, kaamua Mwamba yuko vizuri kwa kujieleza
@kastusbonifas2674
@kastusbonifas2674 Жыл бұрын
❤❤waha wakipewa nchi tutakuwa salama sana😂
@samionmdogo520
@samionmdogo520 Жыл бұрын
😁😁😁🤣🤣kabisaaa
@aloycesamba998
@aloycesamba998 Жыл бұрын
Huyu mwamba apewe 💐🌹💐 yake mapema
@luisojr3480
@luisojr3480 Жыл бұрын
Muha kavurugwa😂
@allykimeru944
@allykimeru944 Жыл бұрын
Daah uyu Muha apewe ulinzi, Kisha apewe 🍀🌼🏵️🌺🌷💐yake
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 Жыл бұрын
Safi kabisa. Mua maisha ya kukuamini kwenye Ukweli safi sana polisi hayo ni mavazi tu IPO cku utavaa nguo ya kawaida maisha yanabadilika mwache MUNGU aitwe MUNGU
@richkinji2583
@richkinji2583 Жыл бұрын
R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Muha original amechomoa battery 😂😂😂😂😂
@majidimussa8678
@majidimussa8678 Жыл бұрын
Dah!,umeongea kwa uchungu kaka inauma sana Aisee
@nassorntandu4513
@nassorntandu4513 Жыл бұрын
Inaumiza Sana! Wizi mtupu kwa watu wanyonge!
@olomympwa4211
@olomympwa4211 Жыл бұрын
From the bottom of his heart fazaaa kaongea kwa uchungu sana
@martintssoray5352
@martintssoray5352 Жыл бұрын
Huyu jamaa apewe pia ulinzi na serikali kagusa sehemu nyeti sana
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 Жыл бұрын
Awa Tra wanapenda rushwa sana, yaani washenzi, wasumbufu kote Airport Bandarini Boder,
@ilakozasembumende1975
@ilakozasembumende1975 Жыл бұрын
Uwanja wa ndege ni balaaa😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani hata vi toy vya kuchezea watoto vikija kama zawadi wanatoza kod 🥹🥹🥹
@eminenceboy8386
@eminenceboy8386 Жыл бұрын
Huyu brother k au 👏👏👏👏
@bigdad1816
@bigdad1816 Жыл бұрын
Rest in peace Peace Mjomba ulisema mtanikumbuka wamekuita majina Mengi lakini Mungu Yupo Leo ulijaribu kuirudisha nchi kwenye misingi Leo walijaribu kuku sabotage today Nchi imeoza imeoza Rest in peace the true son of Africa a True muchwezi Rest in peace Magufuri.
@magembekisabo9632
@magembekisabo9632 Жыл бұрын
Mfuate. Kwani hii mifumo ya kufilisi wafanyabiashara ilianza Kwa nani?
@zaharahassan-et7ui
@zaharahassan-et7ui Жыл бұрын
​@@magembekisabo9632 Kimekuumaeeee
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 Жыл бұрын
​@@zaharahassan-et7ui tena kimemuuma sana
@hassanihussein4479
@hassanihussein4479 Жыл бұрын
Kati watu wapumbavu ktk hii Dunia basi watanzania ni wapumbavu wakati Magufuli yupo hai si mlikuwa munamtukana mpk ikafika sehem Magufuli anasema malaika ikatokea anashuka basi atamuambia kitu ambacho anatk ktk hiii Dunia kifutwe basi ni mitandao na kasem mitandao kwa sababu mlikuwa mkitukn na leo hii hyp leo hii mwasem mnamkumbuka
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Жыл бұрын
Kiongozi wetu Majaliwa hakika umejaliwa. Tunakuombea Mungu akulinde baba yetu mpz. Yaani ni kweli kufanya kazi na Uganda ni simple kuliko hapa kwetu. Yaani corruption imezidi jamani
@thatboywithakeyboard9292
@thatboywithakeyboard9292 Жыл бұрын
Mama Akimaliza Kasim Aongoze, Father PM Yupo na Usikivu sana.
@fredymwinuka5133
@fredymwinuka5133 Жыл бұрын
Safi sana kaka umenisemea hadi pa kwangu👍👍
@georgemaganga3804
@georgemaganga3804 Жыл бұрын
Huyu kaeleza ukweli sana na huo ndiyo mwanzo wa nchi yetu kuyumba kiuchumi.
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies Жыл бұрын
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
@vumiliamtakati-zd3nc
@vumiliamtakati-zd3nc Жыл бұрын
Aiseeee inauma sanaaa
@elishapaul9423
@elishapaul9423 Жыл бұрын
Muhaaaaaaa saf sanaaaaa waseme bn wamezd hawatoshek
@jacksonjamesndyabawe495
@jacksonjamesndyabawe495 Жыл бұрын
Mzee umeongea ukweli Sana.. Mungu Akulinde na hili swala lichukuliwe hatua
@aminaasia-jl8fk
@aminaasia-jl8fk Жыл бұрын
MAGUFURI angemaliza toka juzi RIP MAGUFURI
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
Maliza wewe bwegest
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Mijizi ndo inatawala, wenye pesa nyingi wanaachwa na wenye kipato kidogo ndo wanaumizwa. Tumbua wote hao, fukiza kazi ndo wengine wapate fundisho. Alisema tutamkumbuka Kwa mazuri ndo haya yanafanya tumkumbuke. RIP Magufuli
@AdamFundikira-kk5oj
@AdamFundikira-kk5oj Жыл бұрын
​@@marcokaroje8980 wewe ni mpumbavu mbwa koko kwani amesema vibaya magufuli alikuwa fast kutatua changamoto
@achsahcharles6728
@achsahcharles6728 Жыл бұрын
Hilo Ndo tatizo la Watanzania na aliwajulia kweli kweli, mtu mmoja hawezi beba nchi, mtu mmoja hawezi tatua matatizo ya nchi nzima, kiongozi wa kweli ni anayehakikisha taasisi za serikali ziko imara, sheria ni za haki, na hakuna mianya ya rushwa! Kiongozi wa kweli haongozi kwa yeye kusimama akatoa tamko tatizo likaisha, siku huyo kiongozi akitoka hali itakua mbaya kuliko mwanzo , alitaka asifiwe yeye kwamba anadhibiti kila kitu na mkafurahi lakini mkasahau hiyo ni njia ya mkato na hailisaidii taifa!! Taifa lenye taasisi imara hata likipata raisi mbovu nchi itaenda tu! Yeye alihakikisha bunge linajaa wabunge wa hov**** wanatunga na kupitisha vitu vya hovyo ili yeye aje asimame atoe suluhu mpige makofi
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
@@achsahcharles6728 wewe ni bwege hujielewi
@partnersah8802
@partnersah8802 Жыл бұрын
Great speech.... Ila watu wa Kigoma wanafanana kuongea nikimsikiliza huyu namsikia Baba Levo kwa mbaaaaaali 😂
@samionmdogo520
@samionmdogo520 Жыл бұрын
😁😁sure 😃
@rosemongi5273
@rosemongi5273 Жыл бұрын
Tunakukumbuka J,PM, na mwenyezi mungu mwenye kurehemu tunaomba urehemu Tanzania.😢😢
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Жыл бұрын
Hongera Sana Muha umeongea vizuri bila kuficha chochote uliyokuwa nayo moyoni yote umeyatapika ili yaweze kufanyiwa kazi na waziri mkuu.Mungu akulinde akukinge na watu wote walio kinyume na kile ulichokiongea .
@isayajustin
@isayajustin Жыл бұрын
Nasemajeeh muhaaa kuvurugwa leo
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
😂😂😂😂 muha oyeee
@richardmuyango9157
@richardmuyango9157 Жыл бұрын
Oyeeeeeee
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 Жыл бұрын
Muha kafunguka duh
@soloartist_ivanvespalusind1609
@soloartist_ivanvespalusind1609 Жыл бұрын
Fanyeni mpango ile nidhamu ya woga irudi tu, iliondoa kwa kiwango kikubwa haya mazingira ya rushwa na rushwa maofini. Sasa hivi kuna mahali tumerudi na watu hawakubali sababu walishaanza kusahau shida kama hizo.
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Onaona eeeeh! Watu waliomchukia Magu na kuna wanaomchukia hadi Leo, lakini Mimi nasema Tanzania tunahitaji kiongozi kama yeye, yaani sasa hivi mambo ya hovyoo kabisa. Badala ya kuwakaba koo wenye vipato vikubwa wanawaonea watu wenye vipato vya chini na rushwa imeshamili bila aibu. Mama awe mkali. Bora wawe na nidhamu ya woga lakini haki itendeke kuliko kukaa kuoneana kama huku.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Kuna wapuuzi eti hawaoni kazi aliyofanya Magufuli. Nidhamu ilikuwepo nchini hivi sasa rushwa kuliko kokote.
@zahramoo4760
@zahramoo4760 Жыл бұрын
Hawana adabu hataaaa chembeeee
@Jeff_Tz
@Jeff_Tz Жыл бұрын
Huyu Muha aliongea kwa uchungu sanaaa
@MsAggie5
@MsAggie5 Жыл бұрын
Wezi sana hawa TRA! Kiboko yao alikuwa Magufuli.
@rabwarab574
@rabwarab574 Жыл бұрын
Brother k noma sana😅😅
@fahminasser3855
@fahminasser3855 Жыл бұрын
Hii nchi inapoteza mapato mingi sana kwa sbb ya watumishi wa TRA na polisi tanzani pia wanachangia wao hawaangalii kazi yao wao wanashirikiana na TRA kutesa watu na kuwachukulia pesa kwa sbb ya dhamana ya kazi zao ni tatizo sugu hili katila hii nchi
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Жыл бұрын
Muhakikishien usalama wake huyu baba jamani anaongea point sana TRA ndo habar zao
@owoyesigirehannington6822
@owoyesigirehannington6822 Жыл бұрын
Uganda ni tambararee kweli
@salha6596
@salha6596 Жыл бұрын
Apo angekuepo magu angetumbua Leo Leo 😭😭😭😭
@addo1899
@addo1899 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@danniellussendela4382
@danniellussendela4382 Жыл бұрын
Huyu muha kweli
@victormneney1307
@victormneney1307 Жыл бұрын
Magufuli angekwepo simu inapigwa chap simamisha takukuru kamata waziri chini weka mwingine 🇹🇿 twende mbele
@addo1899
@addo1899 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@bensonjr4879
@bensonjr4879 Жыл бұрын
Rest in Peace Magufuli we Missing you
@danielhumphreykileo1043
@danielhumphreykileo1043 Жыл бұрын
100% i miss him
@masaimollel2525
@masaimollel2525 Жыл бұрын
Nakuomba sana mh.waziri mkuu upitie na maliasili kule Kuna huozo mkubwa sana.. km kweli unasali na unapenda haki pita maliahasili uone yanayowakuta watu wa mkaa.. na kma serikali hamtaki watu wakate mkaa pls kuweni wakweli tangazeni tuu hakuna kukata mkaa. Kuliko mnachukua ushuru wa watanzani alaf bado vikwazo kibaooo yaaan.. yaan Hao Vijana mnaowapa madaraka hawajui maisha ni nn,wamesomeshwa na Ada zetu hawajapitia msoto wowote wanakuja kutunyanyasa,watu wanateseka porin wanakuja kushusha mkaa wanabaki nao kwa kweli ipo Mungu atawalipa ianuma sana
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Жыл бұрын
Inasikitisha sana
@magokola2376
@magokola2376 Жыл бұрын
watu watakuja kuipindua hii nchi kama matani
@nitumesokoni3164
@nitumesokoni3164 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd
@SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd Жыл бұрын
Mm naitwa Salimu nipo Tanga tulikamatiwa mizigo ikapelekwa KIPATA rushwa MILIONI 1 na laki nane na RISITI ninazo za MZIGO
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 Жыл бұрын
Sema baba
@vedastamalekela8711
@vedastamalekela8711 Жыл бұрын
Mama upo vzr Sana unaangaika kuleta wawekezaji lakini watendaji wall wanakuangusha fukuza mfano wafanya biashara wa kigoma ,mwanza wanaeda Uganda tunakosa Kodi
@israelimjema4573
@israelimjema4573 Жыл бұрын
Viongozi wetu jaribuni kusikiliza nawanchi vizuri. Niwasomi sana wako mitaani wanashuka point
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Magufuli alikuwa dawa ya haya mambo
@aronjmabindo8544
@aronjmabindo8544 Жыл бұрын
Polisi wa tanzania ni wanadiasa wa ccm sio walizi wa raia wa tanzania hawaijui kazi yao masikini mungu awasamehe
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Жыл бұрын
Apew ulinz 💪💪💪👍👍
@nairathamad2584
@nairathamad2584 Жыл бұрын
Roho Imeniuma kwakwel 😙
@priscajackson240
@priscajackson240 Жыл бұрын
Hata mza tunasumbuliwa na asikari
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 Жыл бұрын
Mungu awasaidie watz kweli kuna uonevu sana
@fredrickmandia1741
@fredrickmandia1741 Жыл бұрын
Hapa ndio tunamkumbuka magufuli kwakwel R.I.P Joseph.P.Magufuli
@maherzain2555
@maherzain2555 Жыл бұрын
Pale DIT kwenye mataa kuna askari wapumbavu sana, baada ya kuwapa risiti wakaomba kitambulisho cha taifa nilivowapa wakaleta sababu hazieleweki, ilimradi kutengeneza mazingira ya rushwa...baada yakuona namchelewesha niliyekodi usafiri kwake ikabidi niwape hela niondoke, pia wakasema hela haitoshi ukilinganisha na mzigo niliyonao baadae wakakubali ila wanatesa Sana wafanya biashara na hakuna pakusemea
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Жыл бұрын
P
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Жыл бұрын
Pp P
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Жыл бұрын
Force number
@ikouwasi7644
@ikouwasi7644 Жыл бұрын
eti ikabidi niwape hela kidogo yaani mnatoa rushwa badae mnalalamika kwa nini utoe pesa wakati kila kitu unacho
@emanuelleopod3949
@emanuelleopod3949 Жыл бұрын
​@@ikouwasi7644 unaongea tu kwakua hayajakukuta, we kaa kimya tu
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 Жыл бұрын
Nacheka tu yani Enzo ya magu sasaiv wote hao hawanakazi
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj Жыл бұрын
Muha nimekupenda❤❤
@user-es6wx3dh6z
@user-es6wx3dh6z Жыл бұрын
Greatness isn't about protecting yourself from people. It's about being accepted by people that's the best leader.
@mwaiphamkuruto1087
@mwaiphamkuruto1087 Жыл бұрын
Kama angelikuwa Maguu hapo tumbua hapo hapo huyo mzee alikuwa kiboko from *254
@Binti-wakinyakyusa
@Binti-wakinyakyusa Жыл бұрын
Rushwa ni jipu kwa taifa!!
@erickmsaki9383
@erickmsaki9383 Жыл бұрын
Uganda ni Tambarare kbsa unapata POSHO in muha's voice
@barnabasmafuru6735
@barnabasmafuru6735 Жыл бұрын
Inabidi itokee sikumoja anapigwa risasi hata wawilii wafe kaa wezi ndio watajielewaa
@peterkissiry6432
@peterkissiry6432 Жыл бұрын
Ongea poti ndugu yangu hakia'mungu
@magangiralucas6516
@magangiralucas6516 Жыл бұрын
Ao dawa yao kichapo tu wapgwe visu matapel majambazi ao so kuwachekea wafilisi wapgwe washazoea mmbwa mm ao napga lisasi
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 Жыл бұрын
Wasafi bwana eti Muha 🤣🤣kwa hiyo kulikuwa na wafanyabiashara na Muha
@stevensimtowe
@stevensimtowe Жыл бұрын
Aya mambo nilyamiss sana jamani,Yani kama vile namuona Jpm kasimama apo anawasikikiza,,ila najiuliza kwanini uyu mama na yeye asingekuja apo asikilize ili tuone ujasiri wake jamani
@user-up1pp5is3z
@user-up1pp5is3z Жыл бұрын
Baba jpm uko wapi jamanii????yan hakika tunakukumbuka pumzika kwa aman ule muozo uliokuwa una piga vita ndo huu baba
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
Sema ukweli
@wasaficlassicshoes
@wasaficlassicshoes Жыл бұрын
Kimewaka💯💯💯💯💯💯💪💪💪💪💪💪
@andrewemanuel2213
@andrewemanuel2213 Жыл бұрын
Hongera baba umeongea point kabixa maana mikoani tunalipa tra na tuna tni lakini ukienda dar kweli ni xumu
@rehemamejja8342
@rehemamejja8342 Жыл бұрын
Ni kweli kabisa polisi .na tra... Wapi kwa wapi
@yassinhamza1969
@yassinhamza1969 Жыл бұрын
Safi sana
@dn.n4983
@dn.n4983 Жыл бұрын
Kweli sumu taifa inabudi warekebishwe uganda itapanda juu kweli mbaya
@danielshauri9054
@danielshauri9054 Жыл бұрын
Ukweli wanatunyoosha
@danieldm92
@danieldm92 Жыл бұрын
Ahsante sana mdogo wake brother K.
@hayeshimpeziy
@hayeshimpeziy Жыл бұрын
TRA wamezidi sana, iko siku tutawatoa baruti kama wezi, kunyanyasana kumezidi sana yaani..
@sekelamwasomola1864
@sekelamwasomola1864 Жыл бұрын
Kweli watu wamechoka hii serikali hapana angekuwepo mwamba hao viongozi wangeisoma
@TheSalma1999
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Tanzania ni nchi ya ovyo sana sio hata ya kukaa sasa huku ulaya ovyo Tanzania ovyo tunaenda wapi jamani kha
@anordgerison8639
@anordgerison8639 Жыл бұрын
Proudly to be a man from KIGOMA capital 🔥🔥🔥🌟
@husseinmagari3245
@husseinmagari3245 Жыл бұрын
sema port polis tra ndiyo chanzo cha kuzolotesha mapato ya nch wanafaidika wao tu na familiya zao
@reggezawady4994
@reggezawady4994 Жыл бұрын
Inauma sana nchi nzima TRA ni covid
@feisalmwinyi2429
@feisalmwinyi2429 Жыл бұрын
😅😅 na mie Askari mweupe ananisumbuaaaa
@MosesKamba-tk3lp
@MosesKamba-tk3lp Жыл бұрын
Jamani Kwa hali tunafika
@rahimadam662
@rahimadam662 Жыл бұрын
MUHA kachachamaaa anakwambia Hilo ni Hiloo
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Askar Wa Tz wanyonyaji sana Kiukwel wanachosha yani atakudai risit ukimpa analeta lingine ilimradi tu apate Ela dhambi yenu inaandikwa mbinguni mtailipia tu
@jumamavind7713
@jumamavind7713 Жыл бұрын
TRA tatizo katika nchi hii waalaniwe hawa watu
@user-eb3sr5wi5v
@user-eb3sr5wi5v Жыл бұрын
Jamaniiiii muhaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
@eliachalamila2259
@eliachalamila2259 Жыл бұрын
We miss jiwe
@thenthesecretrevealedministry
@thenthesecretrevealedministry Жыл бұрын
Nani amempa Muha 🎤
@isaacphilemon5599
@isaacphilemon5599 Жыл бұрын
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi maguma kama ya JPM lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo kama Magu,anaamua kuumia na kulia rohoni harafu anayaacha yapite hivohivo.,😭😭😭
@ezeedi871
@ezeedi871 Жыл бұрын
Mm huwa nashangaa sana kwann kwetu kodi ziwe kubwa Sana kuliko nchi nyingine wakat bandar asilimia kubwa wanatumia bandari yetu??
@donboscolunguya2936
@donboscolunguya2936 Жыл бұрын
Tutamkumbuka magufuli nchi ya sasa ni dhaifu remote control ipo msoga
@faineskigahe9026
@faineskigahe9026 Жыл бұрын
inakera sana aisee
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 Жыл бұрын
Japokuwa sifanyii biashara dar Ila imenikela vibaya
@mkwabisabina1448
@mkwabisabina1448 Жыл бұрын
Du, Mungu airehemu hii nchi!
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 3,7 МЛН
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 14 МЛН
#LIVE: WAZIRI MKUU AIBUKA KARIAKOO SAKATA LA WAFANYABIASHARA KUGOMA
48:56
UNASEMAJE WEWE ? TRA HAWAJUI HESABU, NJOO HAPA USEME VIZURI
10:56
Когда Нашёл Нового Друга в Диснейленде ❤️
0:18
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 2,6 МЛН
Опасные облака!😱🌩
0:20
Взрывная История
Рет қаралды 6 МЛН
ЖЕСТЬ В КОНЦЕ. ПЛАКАЛ ВЕСЬ САМОЛЕТ
0:20
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 3,8 МЛН
My daughter watched a lot of prank videos.🙈🔥🤬 Fake‼️
0:20
ЖЕСТЬ В КОНЦЕ. ПЛАКАЛ ВЕСЬ САМОЛЕТ
0:20
ДЭВИД ЛАВА
Рет қаралды 3,8 МЛН