Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Пікірлер: 240
@latefalatefa55944 жыл бұрын
Dah bwakila nakupenda mno mana unanitoa sana strees huku Oman jaman hasa hapo pakutaka kwenda hospitali dah Mungu akulinde bwakila morogoro tunajivunia kua namchekeshaji kama wewe
@edwinkyando22694 жыл бұрын
Gonga like alieona jamaa kafanana na Ney wa mitego sura mpaka ongea yake
@annapeter49942 жыл бұрын
Wao! Raha gani kumjua Stan Bakora! Hongera sana kwa kazi nzuri sana. Una kipaji kikubwa sana kwakweli
@ahmadrajab24504 жыл бұрын
Bwakila noma nakuangaliaga nikiwa Kenya huku eldoreti aisee wanakukubali najivunia kua mtanzania nakua na wanangu wachekeshaji
@aminamwivita769023 күн бұрын
Congratulations keep it up good job 👏👍
@kalvinmalisa12044 жыл бұрын
Bonge LA mtangazaji nime kukubal unacho kifany kama umeona kipaj ndan yake gong like
@hudhaimaissa81444 жыл бұрын
Sure huyu mtangazaji big up kizazi....good job
@kusinimediatz67475 жыл бұрын
"kama kusuka nimeshawahi kusuka" duuuh ila rest in peace sharo milionea
@sumajuma15314 жыл бұрын
kusini media Tz mmb
@sniperboy70984 жыл бұрын
Anko stani bwakilaa hahahaha stani umetisha kaka ila sharo Allah amsamehe makosa yake na amlaze mahali pema peponi
@aishadjumaphones88774 жыл бұрын
Haha kumbe.niwewe😘😘👌
@shedrackmwaipopo72534 жыл бұрын
Msiandike tyuu mkipata kidogo mkumbukeni mama sharo
@saidndaro66304 жыл бұрын
Presenter NOMAAAA SANA
@karimushwaro35965 жыл бұрын
Msukule wa maneno ya kuambiwa uyo big up
@eduumwanafumakule32405 жыл бұрын
Duh noma hiyoo
@rahmasadick91715 жыл бұрын
😀😀😀😀😀 eti msukule wa maneno ya kuambiwa. 😁😁😁😁😁
@sabrahmashema8425 жыл бұрын
Stan sounds like ney wamitego
@hudhaimaissa81444 жыл бұрын
U talk so sweet...jr
@maubarak98315 жыл бұрын
kikweli huyo kaka sharo nilimkumbuka nikasema namoyo huyu mtu watz wamesahau mchango wake
@nabiijeconiafredy90874 жыл бұрын
Duuh sawa kumbee
@lekokojulius9495 жыл бұрын
Ney mdogo
@yassinsalum18642 жыл бұрын
Muandishi upo vizuri unajua kuhoji
@suzeemnati83565 жыл бұрын
Sulute you stano..... Maneno ya kuambiwa budo na ku follow all the from Kenya
@nicholaskamau44665 жыл бұрын
Mnatty rank u big salute u
@nicholaskamau44665 жыл бұрын
Mnatty suzee I rank u big kumbe upo pia huku ehee #salute ubig
@mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын
Hongera ndugu Mtangazaji, Tuletee Bwakila pia nimuone namskia 2.
@jayjay43134 жыл бұрын
Ndio huyo unayemuona.
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
@@jayjay4313 Huyu Si Stan, Mjombake Bwakila.
@jayjay43134 жыл бұрын
@@mwanahalimamwachili9679 🤣Hao watu ni shida tupu.
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
@@jayjay4313 🤣🤣🤣🤣🤣 Vunja Mbavu,
@jayjay43134 жыл бұрын
@@mwanahalimamwachili9679 Hawafai kabisaaaaa
@zefaniasombe52024 жыл бұрын
Safiii
@paulmangana42635 жыл бұрын
Ungeiweka Distbin chini ya meza.... otherwise, nice journalist vocal
Hutaki pawe na dustbin? Watupe taka wapi? Watu huwa hamfikiri kabla ya kuandika haki ya nani
@rizlambajuni4 жыл бұрын
Dustbin ni ya vifutio vya majasho alafu jifunze spellings😂😂😂
@aminaamina41013 жыл бұрын
Nakupend bureee
@rauhiyanyange13355 жыл бұрын
Yani umefanana na ney wa mitego hatari 😀😀😀😀
@marryoscar7455 жыл бұрын
Sanaaa
@nadhifajuma64855 жыл бұрын
Rauhiya Nyange 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rahisalovely96225 жыл бұрын
Presenter unasauti na maswali yanaeleweka
@rehemashafi48095 жыл бұрын
Ni kweli stan upo vzr
@annwambui65943 жыл бұрын
I like your jokes because they relive my stress
@yohanamgerie46155 жыл бұрын
Safi broo
@cedrickmulu37105 жыл бұрын
Anko nakupenda saana kijaana. Wewe umependeza kabisa bwana
@chescomwakipese34225 жыл бұрын
Domo zege
@joshuanoah95805 жыл бұрын
inauma sn boy ila nimipago y mungu
@starboyofficial57625 жыл бұрын
Dah we remember R. I. P Sharo Milionea
@mariammuscat43004 жыл бұрын
Bwakila hodari nampenda sana
@cledeshyukalifa8205 жыл бұрын
we nae litangazaji opres kabisa,tutaamin vp ndo bwakira hata humpi nafas ya kujarbshia usanii wake
@victoriachengula56305 жыл бұрын
amefanana na ney WA mitego
@sitivinivalence3754 жыл бұрын
Kumbe macho yako yanaona Kama mimi
@emmanueldionismbena34614 жыл бұрын
Ndio ongea yake kama Ney tunaita Kudata kuna baadhi ya maneno wanashindwa kutamka
@seifhassan76524 жыл бұрын
kweli
@simbamnyama35014 жыл бұрын
Kabisaa 75%
@World_Of_Fashion2574 жыл бұрын
Sauti nayo
@murishidymudy5965 жыл бұрын
Big up stan
@buffontv41835 жыл бұрын
Daaah bora hata ww umesema ukwel kuhus kusaidiw na kitale
@sufiankingazi80215 жыл бұрын
Yah
@ibrahimmkuki39975 жыл бұрын
Stan anafanana na lavalava
@pachab39074 жыл бұрын
Good
@kevinowaimani5 жыл бұрын
Kafanana na Nay Wa Mitego
@paulsylvester78775 жыл бұрын
Yap jins anavyoongea
@neemaramadhani44435 жыл бұрын
Ni ndugu yake
@salehjamal33125 жыл бұрын
Konk
@jayratumaulid5825 жыл бұрын
Kabisaaaa yaan hadi kuongea
@humairahtomicky24545 жыл бұрын
aisee anaongea km ney wa mitego
@mnyamwezionlinetv39985 жыл бұрын
Assalam alaykum Stanbakora
@fakihassan13695 жыл бұрын
big up
@abdallajosephsimbasimba24364 жыл бұрын
poa sana
@abuusalhatv23965 жыл бұрын
duuh saut ya presenter as ya millrady
@nicholasmwakatali33604 жыл бұрын
Stan Bakora una maanisha hilo ndilo jina lako halisi?
@aishajuma7124 жыл бұрын
Jinalake Stanley
@aloycemasele72364 жыл бұрын
Mwendo wa ngapi leo mwendo wa 3 bila 😀😀
@allymngwaya62195 жыл бұрын
TimesFM hiyo dust bin iondoeni hapo, siyo mahali pake
@jamalinyaoza35655 жыл бұрын
Umekariri sio kila ndoo ya hivyo ni dustbin boya wewe
@eliasmtwima60945 жыл бұрын
Sharo milionea atazidi kukumbukwa xan kwa mambo yake
@settypeter43224 жыл бұрын
Presenter una saut ka millard ayo
@zeddybass66725 жыл бұрын
kama unaamini sauti ya stan kama ya ney wa mitego gonga like
@kubandafarid99905 жыл бұрын
Nawakubal kuwajali wale wanao waonesha njia bigp sana
@evansmuthuri30855 жыл бұрын
Anko anko nipeni angalau likes tata wadau
@abuumohammed53185 жыл бұрын
Kwani Stan bakora ni bro Wa nay WA mitego ama vipi
@abdallahfabofabio84285 жыл бұрын
Noma sana
@zuhurauyubalaaabdallah53914 жыл бұрын
waalis
@albeleenalberto1584 жыл бұрын
😂😂😂😂
@faju4real8004 жыл бұрын
Mtangazaji km saut ya millard gonga like
@sniper939993 жыл бұрын
Uhakik
@bakarikinyoa29574 жыл бұрын
Bwakira iyo kali sana
@barakalukosi22514 жыл бұрын
Sauti kama ya ney wa mitego
@stamilinsogolwa69793 жыл бұрын
Nimefurah kumuona ankoo
@Captainwaza14 жыл бұрын
Ako tu poa
@neemaabdi47915 жыл бұрын
Umejifunza Nini kwa kifo c ha mwenzio?
@elewatz804k45 жыл бұрын
Stan unajua hadi unakera
@oscarkilemile61204 жыл бұрын
Yaani Iringa wanajua aina za mbao tuu!!!!!!!. Duuuuuh
@elibarikieliatunawapatavzr78724 жыл бұрын
Hivi kitale anavuta sanaaaa bangi??????
@machubaby23285 жыл бұрын
Ankoo 😂😂
@annwambui65943 жыл бұрын
Bwakira hapendi kusoma,
@aligmoha90155 жыл бұрын
Rip
@djjootz96625 жыл бұрын
namkubali jamaa
@frankmdota3094 жыл бұрын
Big up Stan bakola
@mohamedali-ou8ye5 жыл бұрын
sauti kama true boy nay
@esterdaniel62295 жыл бұрын
Wamefanana hadi sura sauti
@matiasclassic10195 жыл бұрын
gonqa like kama una mkubali Stan bakora
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Nilitaka shangaa bakora tena
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Nampendaga sana bwakila na marehem sharoo wee acha tu huyu Kuna picha moja alihektigi na kitale wanachekesha naye na hata kitale na sharo walikuwa kama ndugu na hata kwenye kuaga wanafamilia naye alisemaga aliitwa nsye
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Guchi inapendwa. Umeona hata hapo wamemtaja kitale naye sasa
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Halafu kitale mzurhatar
@hatamimnimempendabulejaman15965 жыл бұрын
Du miaka saba Sasa mwaka anaosema
@richardngendakumana28715 жыл бұрын
Mtangazaji unavokoooo Yani nimekupenda bure kbs
@aloycemasele72365 жыл бұрын
Mtangazaji mzuri wewe
@richardngendakumana28715 жыл бұрын
Kbs
@aloycemasele72365 жыл бұрын
Umeona ee yaan Hb kiukweli
@hamisimapalala77095 жыл бұрын
Nyie ni wanaume au mashoo
@aloycemasele72365 жыл бұрын
H. Money! Majina sio kigezo, binafsi mi mwanamke, hilo ni jina la account tu babaangu
@ahmadrajab24504 жыл бұрын
Nmetokea kunani jirani ya sharo
@msukatvonline15815 жыл бұрын
Katika KZbin je haipatikani moves Stan bakora
@mwanamisisaid83055 жыл бұрын
Xafi xana ila leteni movie yote ya maneno ya kuambiwa
@aminajuma14355 жыл бұрын
Yahya mwinyi , Inapatikana we andikatu stan bakora kisha ingia kwenye page yake utaiyona
@auntzulfa27235 жыл бұрын
Ipo hyo
@josephakoqhaoga1824 жыл бұрын
Bwakila sema anko
@fadhili_masoi5 жыл бұрын
Kafanana na Nay mpaka uongeaji
@revocatusdeus67584 жыл бұрын
🥰🤣🤣🤣🤣
@richardtito47185 жыл бұрын
Mtangazaje naiga saut ya milad ayo
@monicajulius9055 жыл бұрын
richard tito ni saut yke
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
Kweli wewe hujui milard
@johnorinda81955 жыл бұрын
Ni kweli anamuiga Milard ayo
@faju4real8004 жыл бұрын
Stan like ney wa mitego
@hatibukipande36755 жыл бұрын
Eti mbao
@kaniyahiouise14745 жыл бұрын
Stan bakora nakuelewa sana
@jofreyyunde1255 жыл бұрын
We na ney ni mapanya ee, aaa mapacha ee
@mohammedameir12684 жыл бұрын
Interview nzuri ila kilichoharibu ni pale dume zima linapokiri kisuka
@simonwaziri7564 жыл бұрын
Ney wa mitego
@mohamedkaka20214 жыл бұрын
Anafanana na Richie mavoko
@sofiaahmad19264 жыл бұрын
Wapenzi naomba kujuwa bwakila ni yupi kati ya wawili hawa?
@dullysanto16723 жыл бұрын
alie vaa tishet nyeus ndio yy huyo
@thabitchuwa23955 жыл бұрын
Hapo kwa baraka kweli kabisa dogo alizoea mademu wake wa mtaa wakionjo kule ifakara
@sijalijumanne59045 жыл бұрын
unazingua
@rashidmkumben7475 жыл бұрын
Kijana unaongea kama ney wa mitego
@gammatheboss76945 жыл бұрын
Stani bakora anaongea kama nay wa mitego
@cestjolie55744 жыл бұрын
Why u talkin about how he talks...? una mmock am....?
@jovinessleonard65184 жыл бұрын
Jamani guys maneno ya kuambiwa ndo nini M so t Yesterday 🤣 please help me
@middleplatnumz36294 жыл бұрын
Ni series ya kibongo Zama sehem ya search andika MANENO YA KUAMBIWA
@teresiamwende86064 жыл бұрын
N movie 😁
@onesmoayesiga72664 жыл бұрын
Km ney wa mitego anavoongea
@emmanuelndendya56695 жыл бұрын
duui? Ney sindiyo huyuuuu?
@jeffmauzo54835 жыл бұрын
Nice
@suleimanally12845 жыл бұрын
Walimchukia tu bure SHARO lkn swaga zake za pekee ndizo zilizo fanya ahity sana
@ismaelmabavu56205 жыл бұрын
Apo apokwenye maneno yakuambiwa umegonga ndipo.. tena ilesiku ya harusi nilitaman pia mm ningekua niingie chumbani penda sana wewe.
@lyzerlyzer10455 жыл бұрын
Kweli
@ismaelmabavu56205 жыл бұрын
@@lyzerlyzer1045 Hehehe tena sana kwani iko nene from 254.