TONNY WA CHERRY AFUNGUKA KISA CHA KUACHANA/KUAMBUKIZWA UKIMWI/KUKONDA/UGUMU WA KUISHI NA MWENYE VVU

  Рет қаралды 44,425

Carrymastory

Carrymastory

21 күн бұрын

KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA

Пікірлер: 217
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 19 күн бұрын
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
@kwisa4899
@kwisa4899 10 күн бұрын
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
@elizabethmwaseba8164
@elizabethmwaseba8164 19 күн бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 18 күн бұрын
😂😂
@salmabasil385
@salmabasil385 8 күн бұрын
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
@jacklinepeter4158
@jacklinepeter4158 17 күн бұрын
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
@janethzacharia7967
@janethzacharia7967 13 күн бұрын
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
@user-fi7ky7ub6s
@user-fi7ky7ub6s 10 күн бұрын
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 20 күн бұрын
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 16 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
@ibrahim.kelvin
@ibrahim.kelvin 19 күн бұрын
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
@user-cr8pr3kn3c
@user-cr8pr3kn3c 19 күн бұрын
Yani hata sura yake imepoteza nuru
@rosehaule6765
@rosehaule6765 16 күн бұрын
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 13 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
@charlesmtitu5606
@charlesmtitu5606 20 күн бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba2318
@frankrobertkomba2318 19 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 19 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 18 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent8934
@MS.independent8934 12 күн бұрын
Upo sahihii 💯
@user-qq5rx1bl7e
@user-qq5rx1bl7e 20 күн бұрын
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 17 күн бұрын
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 17 күн бұрын
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 14 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz
@BlessedLady-by5hz 10 күн бұрын
Atakupenda????
@estherkimario7940
@estherkimario7940 18 күн бұрын
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 11 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
@annamussa185
@annamussa185 16 күн бұрын
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
@maryamm7765
@maryamm7765 20 күн бұрын
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 19 күн бұрын
Kwel
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 19 күн бұрын
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 16 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
@godfreykasilingi4041
@godfreykasilingi4041 13 күн бұрын
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
@shanikiwele3111
@shanikiwele3111 18 күн бұрын
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 13 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn6296
@tinajohn6296 10 күн бұрын
​@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@aminamasalu6988
@aminamasalu6988 19 күн бұрын
Tonny anaonekana ana maumivu
@user-el7ut2qk4e
@user-el7ut2qk4e 18 күн бұрын
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa4130
@isakahissa4130 18 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 18 күн бұрын
​@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
@user-vz6kk8id2f
@user-vz6kk8id2f 18 күн бұрын
Huyu kaka anamaumivu jmn
@hanamakamba373
@hanamakamba373 19 күн бұрын
Pole❤
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 17 күн бұрын
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
@ReenKey-d5q
@ReenKey-d5q 14 күн бұрын
Dah!pole sana kaka
@user-rm1sr3if9n
@user-rm1sr3if9n 18 күн бұрын
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 15 күн бұрын
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
@user-ey5mv1yz3s
@user-ey5mv1yz3s 19 күн бұрын
Duuh, aisee haya maisha mmh,
@Patricianicholaus24
@Patricianicholaus24 15 күн бұрын
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
@user-is7ot7bq9x
@user-is7ot7bq9x 18 күн бұрын
Duh mtihani
@anneyrommoka9024
@anneyrommoka9024 5 күн бұрын
Wanawake wakichaga mpooooooo????
@AlliNasra
@AlliNasra 13 күн бұрын
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
@WemaMchomvu
@WemaMchomvu 18 күн бұрын
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 16 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
@aminaelibrahimu4792
@aminaelibrahimu4792 8 күн бұрын
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
@IreneMwanaa-zo2wz
@IreneMwanaa-zo2wz 17 күн бұрын
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
@gracebuhatwa6359
@gracebuhatwa6359 9 күн бұрын
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 19 күн бұрын
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-eo4hd8xu6d
@user-eo4hd8xu6d 18 күн бұрын
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
@Fahilarashid
@Fahilarashid 15 күн бұрын
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
@Unju-q4e
@Unju-q4e 8 күн бұрын
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
@bushbabytz
@bushbabytz 18 күн бұрын
huo ufala siwezi ufanya
@aminamaulid7371
@aminamaulid7371 17 күн бұрын
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
@salmauae2261
@salmauae2261 18 күн бұрын
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 17 күн бұрын
😭😭Yani inauma sana
@DinahAnthony
@DinahAnthony 18 күн бұрын
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 13 күн бұрын
Kwanini jamani
@deborahissaya1601
@deborahissaya1601 20 күн бұрын
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u
@user-re2em2zd2u 19 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica
@dcampafrica 17 күн бұрын
Ila debora
@eberykabage2999
@eberykabage2999 4 күн бұрын
😅
@EmmanuelKawawa
@EmmanuelKawawa 9 күн бұрын
Mbona kwangu haina sauti
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 17 күн бұрын
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah884
@naah884 17 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 17 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f
@user-pp9mp1pz9f 17 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 16 күн бұрын
​@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@samwelrobeth7763
@samwelrobeth7763 Күн бұрын
​@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂
@qayllahkusaga1207
@qayllahkusaga1207 3 күн бұрын
Tony lov u bro
@irenemlay9769
@irenemlay9769 18 күн бұрын
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily6210
@mixboysofredorfamily6210 17 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 13 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay9769
@irenemlay9769 13 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
@vesitinarevocatus7333
@vesitinarevocatus7333 20 күн бұрын
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
@JeniferMassawe-lu3de
@JeniferMassawe-lu3de 19 күн бұрын
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
@user-vr8fx4vg2r
@user-vr8fx4vg2r 20 күн бұрын
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard4555
@anifamickidard4555 19 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 14 күн бұрын
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
@kwisa4899
@kwisa4899 10 күн бұрын
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
@azharrtxj8773
@azharrtxj8773 2 күн бұрын
😂😂
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 14 күн бұрын
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 14 күн бұрын
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 18 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 18 күн бұрын
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 18 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz
@nanaleetz 17 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 13 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
@agriparose3942
@agriparose3942 15 күн бұрын
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s
@user-bo2yf5hw7s 14 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
@faridamapogolo2892
@faridamapogolo2892 Күн бұрын
Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh
@KudratMkangama
@KudratMkangama 16 күн бұрын
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw
@Amina-ig3jw 12 күн бұрын
😅😅😅
@happyalbert5089
@happyalbert5089 19 күн бұрын
Du!
@kennedymaster2000
@kennedymaster2000 18 күн бұрын
Itakuwa amepewa ngom
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 20 күн бұрын
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz6956
@estherminnahboaz6956 20 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson
@YvonnegipsonGipson 20 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 19 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza2093
@zawadgunza2093 18 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 18 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
@VeronicaSteven-of1qe
@VeronicaSteven-of1qe 14 күн бұрын
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 3 күн бұрын
Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂
@user-hm1nt4mj4n
@user-hm1nt4mj4n 19 күн бұрын
Kiki tu
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 15 күн бұрын
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
@felistersanga7903
@felistersanga7903 10 күн бұрын
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 15 күн бұрын
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
@zuwenahassan3624
@zuwenahassan3624 20 күн бұрын
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
@gracebuhatwa6359
@gracebuhatwa6359 9 күн бұрын
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
@lydiajuma01
@lydiajuma01 18 күн бұрын
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j
@user-uv3hy1yj3j 14 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
@JeremiahJohn-tt2ij
@JeremiahJohn-tt2ij 9 күн бұрын
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
@user-yn3kg8ip2h
@user-yn3kg8ip2h 10 күн бұрын
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 11 күн бұрын
Hata siamin nyie😢
@mwashamleo9996
@mwashamleo9996 11 күн бұрын
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
@mariagrayson5414
@mariagrayson5414 7 күн бұрын
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
@thebroski9763
@thebroski9763 3 күн бұрын
Pole mpendwa 🙏
@VeronicaRugoyi
@VeronicaRugoyi 16 күн бұрын
Kimekuramba😂
@rehemamoyo4182
@rehemamoyo4182 20 күн бұрын
Wakwanza
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 17 күн бұрын
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz
@leadflavour_tz 13 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v
@user-sb7lz9xp4v 12 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c 9 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 9 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed1091
@allyahahmed1091 9 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
@onekisstv8412
@onekisstv8412 14 күн бұрын
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana
@petetyohana 10 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
@annakbunga8377
@annakbunga8377 18 күн бұрын
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 18 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 17 күн бұрын
​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 17 күн бұрын
​@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@rehemamoyo4182
@rehemamoyo4182 20 күн бұрын
Amechit Cherry
@Humanity21216
@Humanity21216 18 күн бұрын
We umemuona akicheat?
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 20 күн бұрын
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul
@Khadija-ne8ul 19 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata4702
@doymatata4702 18 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 16 күн бұрын
@@Khadija-ne8ul wow Asante Kwa kujua
@Chakol123-k7s
@Chakol123-k7s 16 күн бұрын
@@doymatata4702 wow Asante Kwa kujua
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 20 күн бұрын
Dem akiwa mgonjwa anasumbua Anenda mbio sana
@JescaEzekieli-vd9ly
@JescaEzekieli-vd9ly 19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ur7pw9ek6s
@user-ur7pw9ek6s 18 күн бұрын
😂😂😂
@azizauheche5944
@azizauheche5944 11 күн бұрын
😂😂
@user-db1uy6hv9q
@user-db1uy6hv9q 19 күн бұрын
Jamani ww siulihojiwa wasafi ukasema hujaambukizwa
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 19 күн бұрын
😅😊
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 17 күн бұрын
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
@greenermichael2057
@greenermichael2057 9 күн бұрын
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
@esthermalamsha2847
@esthermalamsha2847 8 күн бұрын
Ni shida
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 13 күн бұрын
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 20 күн бұрын
😳😳🙆🏾‍♂️🙆🏾‍♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official83640
@Official83640 19 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 19 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum3667
@darlenesalum3667 13 күн бұрын
​@@Official83640mmmh
@cathyjb4339
@cathyjb4339 6 күн бұрын
Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.
@juditholotu7249
@juditholotu7249 10 күн бұрын
Mungu atakupa mke mwingine
@LubnaGeorge-re4yp
@LubnaGeorge-re4yp 16 күн бұрын
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
@cathyjb4339
@cathyjb4339 6 күн бұрын
Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.
@user-so3gy2io8l
@user-so3gy2io8l 17 күн бұрын
Chalii wa pugu hahhahaha
@franciscomalimi8070
@franciscomalimi8070 10 күн бұрын
Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary
@vee4296
@vee4296 16 күн бұрын
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
@deomassawetz
@deomassawetz 14 күн бұрын
Tumia Airphone
@mwaminishakalili4120
@mwaminishakalili4120 12 күн бұрын
Simu lako taka bwana😂😂😂
@ramadhanhassan9308
@ramadhanhassan9308 18 күн бұрын
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa375
@fatihiyadossa375 18 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa8655
@verobecamfipa8655 18 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 17 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@hajistshariast6335
@hajistshariast6335 17 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 16 күн бұрын
Hii comment 100%
@user-cm6ts4qi3b
@user-cm6ts4qi3b 20 күн бұрын
Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo
@DativaMbowe
@DativaMbowe 20 күн бұрын
Na amekonda 😢😢
@siamoye4549
@siamoye4549 20 күн бұрын
Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia
@nancyg8664
@nancyg8664 20 күн бұрын
​@@siamoye4549mh, inatisha asee
@beatricemallya3847
@beatricemallya3847 18 күн бұрын
Uyo baba Gandi ndo alikua anamcheat Sana mpenzi wake 😓ila wanyakyusa !!! Ukiwaona km watu kumbe ovyo tu🚮
@Humanity21216
@Humanity21216 18 күн бұрын
Umemuona akicheat au alimradi umecomment
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 18 күн бұрын
We koma wanyakyusa tumefanya nn ndugu? Tabia sio kabila mfano malaya unaweza kumkuta kwenye kabila lolote lile kama unachagua watu kwa kigezo cha kabila unakosea sana
@lilianestephanie7881
@lilianestephanie7881 15 күн бұрын
Usione wapenzi wanacheka mmmmmh nyie hii dunia hadaa
July 17, 2024
7:00
MAJESTY FILM PRODUCTION
Рет қаралды 5
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 11 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 21 МЛН
小路飞跟姐姐去哪里了#海贼王#路飞
0:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 22 МЛН
Этот парень написал картину... 😎
0:29
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 7 МЛН
La emociones de Bluey #歌ってみた #bluey #burrikiki
0:13
Bluey y BurriKiKi
Рет қаралды 41 МЛН
It worked for me)
0:19
F&T Team
Рет қаралды 11 МЛН
And who would you choose?👇
0:20
Kitty Power
Рет қаралды 16 МЛН
And who would you choose?👇
0:20
Kitty Power
Рет қаралды 16 МЛН