KIJANA ALIEISHI NA MWANAMKE MWENYE UKIMWI AFUNGUKA ALIVYOISHI NAE HADI KUACHANA KWAO JE AMEPEWA MAAMBUKIZI?FUATILIA INTERVIEW HII HAPA
Пікірлер: 217
@ashurajengela392619 күн бұрын
Sihukumu ila kwa maelezo haya inaonekana cherry amepata mubaba mwenye HIV mwenye pesa ndio mana kamuacha kaka wawatu 😢😢
@kwisa489910 күн бұрын
Ugomvi hapa ni kwamba mchizi life gumu,mwanamke kashindwa kuwa mvumilivu ndio maana jamaa kakubali matokeo ..
@elizabethmwaseba816419 күн бұрын
Tuliokuwa tunasubiri hyo ndoa like hapa😢,dunia ya sasa kila mtu anajipenda mwenyewe wala hawajali upendo wa mwingine
@athanasmasmami538918 күн бұрын
😂😂
@salmabasil3858 күн бұрын
Mpaka hapo kwenye kasi tumekuelewa kijana hutaki kujituma kutafuta maisha ndo mana umepauka toka umeachwa msimuhukumu huyo dada kisa matatizo ya kiafya hata kama mtu unashida za kiafya lazima upambane uchumi uwe imara kwanza mapenzi yapo ila kama mtu unaona hataki kupambana acha aende asikucheleweshe
@jacklinepeter415817 күн бұрын
Unajitolea kumpenda mtu na hali yake bado anakuacha pole inaonekana ulimpenda sana maskini
@janethzacharia796713 күн бұрын
Unamoyo mzuri sana kaka angu kipenzi Mungu atakupa wa kufanana na ww
@user-fi7ky7ub6s10 күн бұрын
Uyo kaka anabusara Sana mungu akupushe na maradhi❤
@ukhutfatumah115420 күн бұрын
Ndio maana mausiano yangu Kuweka kwenye media never never never aise pole sana kijana wangu kwa mitian
@fahadfaraj647416 күн бұрын
Hakuna watu wenye kujielewa wanaweza weka jambo lao hadharani
@ibrahim.kelvin19 күн бұрын
This man is in deep sorrows, pole sana kaka jitahidi kurelease the pain isije ikakuathiri.
@user-cr8pr3kn3c19 күн бұрын
Yani hata sura yake imepoteza nuru
@rosehaule676516 күн бұрын
Kijana mwanaume haswaa..kalelewa.kwa vijana wa ss angeropoka.vyotee safi
@darlenesalum366713 күн бұрын
Yaani na Mimi nilijisemea hivyo kimoyo moyo
@charlesmtitu560620 күн бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana na kwa busara kubwa . Kale kabinti kamepoteza mtu wa muhimu sana aseeh
@frankrobertkomba231819 күн бұрын
Mapenz yanasir nying mzee,huwez jua upole huo ni wa public ila akiwa nda sio mtu kabsa.tuache akae nasir yake.ila ndo maana tunakataa kuoa kwa kuonea mtu huruma oa kwasabsbu anavgezo ulivovitaka maana huruma yako itapotea akikuudh lkn vgezo vyako vitakubeba lkn km havpo ndo mwendo umeisha
@user-re2em2zd2u19 күн бұрын
@@frankrobertkomba2318very true
@user-ur7pw9ek6s18 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MS.independent893412 күн бұрын
Upo sahihii 💯
@user-qq5rx1bl7e20 күн бұрын
Ni kweli kuna muda unaona bora tu mtengane maana kuna vitu huwa haviendi sawa
@user-pp9mp1pz9f17 күн бұрын
Yaan hya maisha bhna usimuamin mtu wallah yaan unaweza jitoa kwa mtu na akakupa tukio ambalo huwez lisahau maisha yko yote😢
@user-pp9mp1pz9f17 күн бұрын
Nitfutieni huyu kaka me namtaka tufnye maisha me mwenyew ymenikuta pia😢
@rosemilingi786014 күн бұрын
Pole
@BlessedLady-by5hz10 күн бұрын
Atakupenda????
@estherkimario794018 күн бұрын
Jaman umetoka mzima kwel😭
@miriamdavis389311 күн бұрын
Wanaume wanaoambukizwa ukimwi wengi wachafu
@annamussa18516 күн бұрын
Huyo Dada ni Malaya hata muonekani wake tu mitatoo unaelewa tu na huo ukimwi muongo yawezekana hata hakubakwa ni umalaya tu Mungu anakajuwa kumpa pigo
@maryamm776520 күн бұрын
Mapenzi yakuweka kwenye mitandaoni ayadumu
@Zainab-sq1tc19 күн бұрын
Kwel
@user-re2em2zd2u19 күн бұрын
Huyu kaka anaonekana anaumia sana
@GeorgeAkasha-zx2rj16 күн бұрын
Ww unafikiri kuishi na Muathirika halafu mnaachana unafikiri mchezo? Umejitoa kwa ajili yake
@godfreykasilingi404113 күн бұрын
Mim binafsi tayari nimeshapitia tayar Maisha kama kaka yangu hapo .nikuwa kwenye mausiano ambapo mwezangu alikuwa positive mm negative . Lkni mwisho wasiku mwanamke mda wote ubadilika so unatakiwa kama mwanaume kuishinae Kwa akili snaaa . Mim Bada yakuachanae nilipata mafanikio kimasha Kwa kiasi kikubwa ndani ya mda mchache snaaa .
@shanikiwele311118 күн бұрын
Dah kweli umepungua Alton jmn😢
@darlenesalum366713 күн бұрын
Ila wanawake sisi kuna muda hata hatujui tunataka nini
@tinajohn629610 күн бұрын
@@darlenesalum3667 Ndugu yangu hebu tujifunze, au mpaka watuue
@aminamasalu698819 күн бұрын
Tonny anaonekana ana maumivu
@user-el7ut2qk4e18 күн бұрын
Mara nyingi inawatokea wenye group 0. Mimi sister angu ana maambkizi but mume wake hana.
@isakahissa413018 күн бұрын
Sio group dawa wanazotumia now zinafanya UGONJWA usiamie pengine Kama ikitokea mgonjwa akazingatia dawa Mimi nna group B ila nshawai ishi na MTU ndan y miezi Saba ndio nashtuka na bado nkapima Sina yeye anao mbaka Leo Sina ila nilijiona nna bahat kumbe sio Mimi Niyeye anazingatia dawa ndio kilicho niokoa
@NeemaSamson-ti8pc18 күн бұрын
@@isakahissa4130 kumbe ni kweli inawezekana mtu anayezingatia dawa anakuwa na uwezo mdogo wa kuambukiza mtu mwingine
@user-vz6kk8id2f18 күн бұрын
Huyu kaka anamaumivu jmn
@hanamakamba37319 күн бұрын
Pole❤
@Judy-dy4zt17 күн бұрын
Yani nimehumia sana pole Sana kaka mwenyezi mungu yu nawe
@ReenKey-d5q14 күн бұрын
Dah!pole sana kaka
@user-rm1sr3if9n18 күн бұрын
Pole kaka mitihani ya dunia itakwisha
@AishaHaji-jn7sg15 күн бұрын
Bora angekaa kimya tu anafanya huyo dada watu wanamtukana sana maskini
@user-ey5mv1yz3s19 күн бұрын
Duuh, aisee haya maisha mmh,
@Patricianicholaus2415 күн бұрын
Huyu kaka jaman anamaumivu ya mapenzi ila cherry ulichomfanya huyu kaka MUNGU anakuona haki
@user-is7ot7bq9x18 күн бұрын
Duh mtihani
@anneyrommoka90245 күн бұрын
Wanawake wakichaga mpooooooo????
@AlliNasra13 күн бұрын
Pole sana Kaka...asikuchanganye huyo hakua mwaminifu huyo...kakutumia Katumia nyota yako mpaka kufikia hapo Leo anajidai mjanja... muache kitamramba huyo na atakukumbuka mshamba huyo.
@WemaMchomvu18 күн бұрын
Jamani nimejikuta namuonea huruma Alton
@joycekasimbazi981716 күн бұрын
Yaani tumuachie Mungu tu ni mapito
@aminaelibrahimu47928 күн бұрын
Pole sana Mungu akupe huo moyo ucichok
@IreneMwanaa-zo2wz17 күн бұрын
Pole mtu wa mungu mungu yupo lakini sivizur kuongea jambo ukiwa Katika wakati mgumu unge pata utulivu kidogo!
@gracebuhatwa63599 күн бұрын
Sasa naye mwaname ataendelea kuelimisha kuhusu ukimwi wakati anatangatanga leo huku kesho kule.wataambukizwa wengi asee
@JELSONMAUKI19 күн бұрын
Hii neno vita Suti imeenda kabisa 😅😅😅😅😅😅😅😅
@user-eo4hd8xu6d18 күн бұрын
Yaan apo ukijichanganya kumsema anakufungulia kesi bora umejibu Kwa Akil kubwa.
@Fahilarashid15 күн бұрын
Oooooooo nashidwa byakusema kwl😮😮
@Unju-q4e8 күн бұрын
blaza inabidi utibiwe akili ujue kutofautisha fantasy na reality
@bushbabytz18 күн бұрын
huo ufala siwezi ufanya
@aminamaulid737117 күн бұрын
Kuna mwenye namba yake Altonny anipatie???
@salmauae226118 күн бұрын
isaga kumiangu kamu guganile une ndikafu❤❤❤
@Judy-dy4zt17 күн бұрын
😭😭Yani inauma sana
@DinahAnthony18 күн бұрын
Kwakwel me Nilitaka waachane
@darlenesalum366713 күн бұрын
Kwanini jamani
@deborahissaya160120 күн бұрын
Unavojichekesha tu inaonyesha umeumizwa 😂😂😂 pole mwaya msoma nyota
@user-re2em2zd2u19 күн бұрын
😂😂😂
@dcampafrica17 күн бұрын
Ila debora
@eberykabage29994 күн бұрын
😅
@EmmanuelKawawa9 күн бұрын
Mbona kwangu haina sauti
@user-pp9mp1pz9f17 күн бұрын
Mimi nilihisi tu hata huyu dada kupata hiyo HIV c sabbu ya kubakwa anaonekna tu hajatulia anasingizia alibakwa me ckuamin tangu ck ya kwanza,dah huyu mkaka wawatu maskin
@naah88417 күн бұрын
Kweli kabisa hafananii kubakwa bhana😅
@allyahahmed109117 күн бұрын
Hakubakwa uyu alikua na bwana ake mchora tatooo kabadilisha sana wanaume hapa kati kati akifika mtandaoni watu wa mungu ya nyoko
@user-pp9mp1pz9f17 күн бұрын
@@allyahahmed1091 kweli kbsa me amenikera sana
@GeorgeAkasha-zx2rj16 күн бұрын
@@allyahahmed1091Mkuu unamfahamu sana inaonekana?
@samwelrobeth7763Күн бұрын
@@allyahahmed1091😂😂😂😂😂
@qayllahkusaga12073 күн бұрын
Tony lov u bro
@irenemlay976918 күн бұрын
Duuu tunakuogopa aisee
@mixboysofredorfamily621017 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum366713 күн бұрын
Sasa why umuogope😢😂
@irenemlay976913 күн бұрын
@@darlenesalum3667 km hana HIV ni bahati arudi kwa bebe wake
@vesitinarevocatus733320 күн бұрын
Uyu kaka simsomanyota jamani kumbe ndonalikuwa anaishi na cherry
@JeniferMassawe-lu3de19 күн бұрын
Anaongea kwa kutumia akili sana na ana busara
@user-vr8fx4vg2r20 күн бұрын
Mwandishi hauko making na kazi yako sauti ya huyo mshikaji haisikikii unazingua bwanaaa
@anifamickidard455519 күн бұрын
Jamaa sauti yake ndio iko hivo siku zote
@jeunajuatv81714 күн бұрын
Ht Mm pia mahusiano yangu yapo hatarin zaidi kutokan na mtandao 😅
@kwisa489910 күн бұрын
ifike sehemu watu wenerohoo nzuri wauwawe wote
@azharrtxj87732 күн бұрын
😂😂
@MwanjiNzala-mo5ni14 күн бұрын
Kwan mlipata.watoto wangap.nae
@MwanjiNzala-mo5ni14 күн бұрын
Yaan kaka kaumia.huyu😢😢
@samiraabdimahamed444918 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@athanasmasmami538918 күн бұрын
Huyu basi tena tushampoteza 😢nenda kajiandikishe dirisha la dawa😂
@verobecamfipa865518 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@nanaleetz17 күн бұрын
😂😂😂😂
@darlenesalum366713 күн бұрын
Il watu mna nini?😂😂😂
@agriparose394215 күн бұрын
Huyu dada ninavyomfaham mno ni kisirani mno mkitaka kuamini hilo fuatilieni anavojibu hovyo mashabiki zake kwenye comment
@user-bo2yf5hw7s14 күн бұрын
Sahihi kabisa ni mjeuri sana me nishamuona sijajua kama ni UGONJWA ndo unafanya awe hvyo
@faridamapogolo2892Күн бұрын
Hata ukihitaji dawa kwake pia majibu yake mmh
@KudratMkangama16 күн бұрын
Mwenye namba zake uyu kaka anipe mimi natafuta mchumba 🥹
@Amina-ig3jw12 күн бұрын
😅😅😅
@happyalbert508919 күн бұрын
Du!
@kennedymaster200018 күн бұрын
Itakuwa amepewa ngom
@rukiaiddyyahaya950620 күн бұрын
Sijui kama umepona mbona macho yako kama bizali
@estherminnahboaz695620 күн бұрын
Bizari tena😂😂😂 yeye kasema alipenda kwahiyo hajali km atapewa ngoma na mtoto mzurii😅😅😅😅😅
@YvonnegipsonGipson20 күн бұрын
😆😆😆😆kuna watu mnavitu humu
@rukiaiddyyahaya950619 күн бұрын
@@estherminnahboaz6956 mmmh sasa hao wameachana
@zawadgunza209318 күн бұрын
😅😅😅
@verobecamfipa865518 күн бұрын
Kimeshamlamba uyu akaaanze dozi tu uso tu unaonekana
@VeronicaSteven-of1qe14 күн бұрын
Mwambieni aje tupendane na mm 😂😂😂😂
@rubbymusa19713 күн бұрын
Mmh mtu kakupenda na hali hiyo na umemuacha😂😂😂
@user-hm1nt4mj4n19 күн бұрын
Kiki tu
@lilianestephanie788115 күн бұрын
Anafanana na ex wangu.. yule kaka alijua kunitesaaa mwee to hell huko aliko
@felistersanga790310 күн бұрын
Kaka anaongea vzuri ana hekima na busara sana anajua kuyahifadhi ya ndani na anajua kujbu vzuri sana
@lilianestephanie788115 күн бұрын
Daaah huyu kaka ni muha huyuu🙌🙌🙌🙌 ex wangu alikuwaga na huo msimamoi😂😂😂😂 kwahiyo tony umemuacha dada wa watu kabisa
@zuwenahassan362420 күн бұрын
Siamnini mpaka nimsikie Mwanamke
@gracebuhatwa63599 күн бұрын
Ndio maana mimi sitaki kuweka mausiano yangu kwenye mtandaoni
@lydiajuma0118 күн бұрын
Mapenz usenge
@user-uv3hy1yj3j14 күн бұрын
Mapenzi matamu bana
@JeremiahJohn-tt2ij9 күн бұрын
Bileke bigende bindi bilozaa😢😢
@user-yn3kg8ip2h10 күн бұрын
Una moyo sana kaka mimi sina moyo huo
@mwashamleo999611 күн бұрын
Hata siamin nyie😢
@mwashamleo999611 күн бұрын
Nahis baada ya kupata aitime mitandaon ndo akapata mwingine
@mariagrayson54147 күн бұрын
Mwenye ukimwi anaishi mwenye cancer sasa tunabakia kuhesabu siku mungu tulinde
@thebroski97633 күн бұрын
Pole mpendwa 🙏
@VeronicaRugoyi16 күн бұрын
Kimekuramba😂
@rehemamoyo418220 күн бұрын
Wakwanza
@allyahahmed109117 күн бұрын
This lady ni malaya mno basi tu hamjamjuaga kabla hajaanza kua muhubiri wa story za uongo .. story ya kubakwa pia ni uomgo 100%
@leadflavour_tz13 күн бұрын
😅😂😂
@user-sb7lz9xp4v12 күн бұрын
Kabisaaaa
@user-iy7xy1np7c9 күн бұрын
Una ushahidi wowote kuthibitisha kauli yako?Kama huna chunga mdomo wako
@allyahahmed10919 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c acha umalaya period
@allyahahmed10919 күн бұрын
@@user-iy7xy1np7c unavyopenda ushahidi usingetuletea hata case uliofungua wakati unabakwa aso jua nani bwana gooo
@onekisstv841214 күн бұрын
Kwaio mzee baba haya mambo hukuyaona kwenye jicho la tatu au
@petetyohana10 күн бұрын
Jicho lilifumba kwa muda
@annakbunga837718 күн бұрын
Kwani ungekaa kimya ingekuwaje
@NeemaSamson-ti8pc18 күн бұрын
Ndio hapo sasa sio kila kitu lazima aongee kuna vingine vya kukaa kimya
@hajistshariast633517 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@hajistshariast633517 күн бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc angekaa kimya ndio angezidi kuumia zaidi unapokuwa na jambo liseme kuliko kuteseka ndani kwa ndani
@rehemamoyo418220 күн бұрын
Amechit Cherry
@Humanity2121618 күн бұрын
We umemuona akicheat?
@Chakol123-k7s20 күн бұрын
Nasikia mtu ukiwa na HIV halafu unabadilisha wanaume/wanawake virus 🦠 zinaongezeka sijui kwel??💁 Nilisikia mahali
@Khadija-ne8ul19 күн бұрын
Kama mwenza hatumii dawa vizuri au hatumii kabisa unakua unapata maambukizi mapya na huateza kulaza virusi
@doymatata470218 күн бұрын
Ukweli inawezekana kwa sababu unaojamiiana nao hujui status yake kama atakuwepo MWENYE HIV basi atakupa vyakwake naukweli kilamtu ana aina yake ya VVU KWAKIFUPI NIHIVYO
Sasa kwani hapo kasema kaathirika uwe unasikiliza kwa makini
@greenermichael20579 күн бұрын
Watu sijui tukoje unapata MTU anakupenda na virusi vyako unamkimbia
@esthermalamsha28478 күн бұрын
Ni shida
@rukaya-jg7hj13 күн бұрын
Amefuata wenye pesa kwa tafsir ya haraka
@ruqaiamohammed34520 күн бұрын
😳😳🙆🏾♂️🙆🏾♂️wameachana ? Hapana ctaki kuàmin ngoja kwanza nikatie maji mwilin 🚶♀️🚶♀️🚶♀️inawezekana kweli ni uongo wa kutafuta kiki ya nyimbo 😂😂
@Official8364019 күн бұрын
Kweli demu kafuta picha zote walizokuwa wote😂😂😂
@ruqaiamohammed34519 күн бұрын
@@Official83640 daah aisee mapenz haya 🙌🏿🙌🏿kweli usinene ugamara
@darlenesalum366713 күн бұрын
@@Official83640mmmh
@cathyjb43396 күн бұрын
Hamna huyu kaka anapitia maumivu anaonekana. Ona alivyokonda hata anavuocheka sio cheko la kawaida ni la maumivu.
@juditholotu724910 күн бұрын
Mungu atakupa mke mwingine
@LubnaGeorge-re4yp16 күн бұрын
Huyu Kaka alifat u umarufu Kwa yule dada muathiririk
@cathyjb43396 күн бұрын
Hapana alimpenda, we unaweza ku-risk maisha yako yaani posibility ya kupata ugonjwa kwa sababu ya kiki? Hata namna anam-cover up hafunguki kwa ubaya juu ya huyo dada, namna amepungua unaona he was in Love. Japo inafikaga kipindi mapenzi yanaishaga na maisha lazima yaendelee.
@user-so3gy2io8l17 күн бұрын
Chalii wa pugu hahhahaha
@franciscomalimi807010 күн бұрын
Mzee nimewaza sana huyu Jamaa mbona kma namfahamu havi au namfananisha, dogo Alisoma olevel pugu secondary
@vee429616 күн бұрын
Mbona hii video kwangu haina sauti kwanini?
@deomassawetz14 күн бұрын
Tumia Airphone
@mwaminishakalili412012 күн бұрын
Simu lako taka bwana😂😂😂
@ramadhanhassan930818 күн бұрын
Huwezi ishi na muathirika kama huna tatizo la Akili
@fatihiyadossa37518 күн бұрын
We kaka nakwambia tema mate chini usiongee Ivo Kwasababu watu awajapata elimu kuusu ukimwi watu wanishi negative anda positive 😅😅😅nahakuna anaemuam ukizaa mwenzake inategemea na dam kila mtu akiswma aweke mambo yake waI kwenye huu mtandao kwajili ya huu ugonjwa sijui kama watu wangeamini lkn vipo kwenye jamii ytu
@verobecamfipa865518 күн бұрын
Sio kweli kuna mwanajeshi mmoja iringa alikuwa ameathirika na alikuwa anadate na demu mkali kishenzi kutoka singida na walizaaa mtoto mmjo mwanamke na Mtoto hawana vvu mpaka xaiz ila yule mwanajeshi amefariki tayari😭😭
@hajistshariast633517 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@hajistshariast633517 күн бұрын
Tatizo wengi wetu elimu hatuna
@GeorgeAkasha-zx2rj16 күн бұрын
Hii comment 100%
@user-cm6ts4qi3b20 күн бұрын
Aliambiwa huyu jamaa akajifanya anampenda sana nyoooo
@DativaMbowe20 күн бұрын
Na amekonda 😢😢
@siamoye454920 күн бұрын
Inawezekana na wewe uliyenaye ni muathirika ila hajakuambia
@nancyg866420 күн бұрын
@@siamoye4549mh, inatisha asee
@beatricemallya384718 күн бұрын
Uyo baba Gandi ndo alikua anamcheat Sana mpenzi wake 😓ila wanyakyusa !!! Ukiwaona km watu kumbe ovyo tu🚮
@Humanity2121618 күн бұрын
Umemuona akicheat au alimradi umecomment
@NeemaSamson-ti8pc18 күн бұрын
We koma wanyakyusa tumefanya nn ndugu? Tabia sio kabila mfano malaya unaweza kumkuta kwenye kabila lolote lile kama unachagua watu kwa kigezo cha kabila unakosea sana
@lilianestephanie788115 күн бұрын
Usione wapenzi wanacheka mmmmmh nyie hii dunia hadaa