TRAORE KAPEWA SNIPERS NA PUTIN BAADA YA JARIBIO LA 13 KUTAKA KUMUUA

  Рет қаралды 53,407

UKUU WA MWAFRIKA (IBM)

UKUU WA MWAFRIKA (IBM)

Күн бұрын

Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

Пікірлер: 94
@STEVENMGANDA
@STEVENMGANDA 5 ай бұрын
Kama tunamkubali Traore anaweza kuikomboa Afrika weka like yako hapo chini👇
@azizayassin3623
@azizayassin3623 5 ай бұрын
Nyie putin ❤❤❤ hyu baba mungu ampe umri mrefu na afya tle
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 5 ай бұрын
Asante sana Mwalimu wa neno la Mungu nafurahia uzalendo wako kwa vile hautoi mada ilimradi umejikita kwenye misinginya ukweli sio uchawa kama akina Mwijaku
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 5 ай бұрын
Big up mwalimu 💚💚 💚
@fruitfulchildrenshome9411
@fruitfulchildrenshome9411 5 ай бұрын
Mungu amlinde huyo mwambi wa Africa. Burkina Faso wamepata kiongozi mzuri sana. Tumwombee kwa Mungu aishi muda mrefu.
@LukindoMbuleti
@LukindoMbuleti 5 ай бұрын
Mungu amuongoze na amlinde sana Ibra
@agustinofhoty5985
@agustinofhoty5985 5 ай бұрын
Mungu asimame kiongozi wetu traore
@NicksonShevintu
@NicksonShevintu Күн бұрын
Mwamba sana mzalendo mungu amlinde tunamuombea sana
@LukindoMbuleti
@LukindoMbuleti 5 ай бұрын
Mimi nakukubali sana kaka unapolitaja jina la Manyag'au
@JamesKamanda-re5ld
@JamesKamanda-re5ld 23 күн бұрын
I'm from Kenya Nairobi the capital city but if you touch this soul 💓 u will touch my soul❤. This guy should be the king of Africa 🌍
@gloryelimkatesh
@gloryelimkatesh 5 күн бұрын
Daah mungu akulindee Traoree😢
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 9 күн бұрын
Mungu akutunze IBRAHIM TRAOLE🙏🙏🙏🙏
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 6 күн бұрын
Waafrika hatuko huru bado. Hii inaonesha kuwa kazi bado iko
@NasraMrisho-z4o
@NasraMrisho-z4o 5 сағат бұрын
Kweli
@kellymumani9724
@kellymumani9724 5 ай бұрын
#ONE AFRICA,ONE CURRENCY,ONE ARMY,NO BORDERS#
@SangaliPower
@SangaliPower 4 ай бұрын
Peace
@mweyoms5548
@mweyoms5548 4 ай бұрын
@@kellymumani9724 One capital city
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 5 ай бұрын
Mwenyezi mungu ampe ulinzi thabiti yey na washirika wake wote tunaomba mungu atuletee masii kama huyu Tanzania😢
@Abdallah-w2h
@Abdallah-w2h 4 ай бұрын
One day
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 2 сағат бұрын
@@linnusaloyce6559 alikuwepo JPM akamalizwa ghafla. Hampati mwingine karibuni hadi mjute kwanza. Hamkumtambua na hata hamthubutu bado kulitaja jina lake hadharani kwa maringo na kujiamini. JON alikuwa na tofauti hani na huyu Traore? Same spirit same actions same patriotism, same love for his people same love for Africa dunia yote ilimtambua lakini nyie bado hamkumwelewa. Hata Traore angekuwa mtanzania angry upi wa mawe na watanzania. Maneno meeeengi shukrani kwa mungu hakuna.
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 2 сағат бұрын
@@linnusaloyce6559 mkipewa mtamdharau na kumponda Kama mlivyofanya kwa comrade Magu. Kaeni na hao hao hadi mkome. Achrni wanaojua maana na thamani ya watu wazuri walinde na wafurahie bahati zao. Yenu imepita
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 2 сағат бұрын
@@Abdallah-w2h not soon. Mlipewa JPM mkamdharau na wanasiasa uchwara wanampenda ili kupata maslahi ya kisiasa bila kujali maslahi mapana ya taoifa….walipinga kila kazi nzuri aliyofanya. Raia nao fata upepo wanajitoa ufahamu wanajifanya hawaelewi kwamba Traore ni copy na Magu.
@Mohamedmustafa-z9t
@Mohamedmustafa-z9t 5 ай бұрын
mashallah ! More United Africa coming soon.
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 6 күн бұрын
Afrika wangeumgana wote ingekuwa poa sana.
@mascoboy
@mascoboy 5 ай бұрын
Safi sana
@SalumYussuf-nf2pt
@SalumYussuf-nf2pt 4 ай бұрын
Mm ni mtanzania ila natamani kwenda bukinafaso niungane nae tupiganie bukinafaso tukimaliza hapo tuje Tz aky. Nampenda Sana huyo mwamba kinoma.
@HappyLyimo-q8y
@HappyLyimo-q8y 15 күн бұрын
Hahaha
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 2 сағат бұрын
@@SalumYussuf-nf2pt Mje TZ? Huijui Tz wewe. Watamponda kumpinga na kummaliza. Akae Hilo huko wanakojua maana ya mtu mzuri. Mlipewa JPM akawashinda…… Tz hadithi nyingine aisee. Upinzani watakuwa wapi, likizo? Hilo sahau. Labda ukae naye huko huko Burkina Faso wanaojitambua. Kule hakuna longolongo ni kazi na amri moja tu. lazima kuipenda nchi na kuwa mzalendo wa kweli. Hakuna habari ya siasa zisizo na matunda
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 2 сағат бұрын
@@SalumYussuf-nf2pt nenda tu Ila usirudi hapa na Traore. Huyo abane hiko huko huku kuna utekaji na siasa za ajabu akabu za upinzani kupinga kila kitu cha maendeleo
@babusadala5732
@babusadala5732 5 ай бұрын
Sawa sawa mwalimu B .
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 6 күн бұрын
Magharibi Wanataka kumuua ili kutuma ujumbe kwa viongozi wengine wa afrika kwamba wasijaribu kujikomboa wala kujitenga na ubeberu wao. Kwamba wawe under control ya wa magharibi.
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 6 күн бұрын
mr traore kaa sana na putin
@shantungamaumba7159
@shantungamaumba7159 7 күн бұрын
Mungu mlinde kwa njia zote kiongozi shupavu wa Afrika
@hamisramadhan-eb3ie
@hamisramadhan-eb3ie 5 ай бұрын
Asante sanakwataalifa tam
@alexmnogi1822
@alexmnogi1822 5 ай бұрын
Yan bro, mwakilembe,kwa namna ulivyo mahir kurport taarfa hiz ,chombo cha habar chochote kingekuona kwa jicho lingne wangekufaid sanaa!!!
@SangaliPower
@SangaliPower 4 ай бұрын
Na tungekosa madini maana angekuwa anapangiwa ni nini cha kuongea tofauti na sasa ana uhuru wa kuripoti chochote bila kuficha
@alisaleh283
@alisaleh283 2 ай бұрын
Purtin njooo tanzania uwatoe usingizi uwatoe kwa mabeberu viongoz wetu
@abdullahhashimu2380
@abdullahhashimu2380 5 ай бұрын
Maa sha Allaah
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj 5 ай бұрын
Putin safisana
@kellymumani9724
@kellymumani9724 5 ай бұрын
The day Nigeria will shift. From west Imperialism Africa will be free.Can the whole Africa Resist from Western pressure?
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 2 сағат бұрын
@@kellymumani9724 of course they can if they want to. Those prople need Africa more than we need them. Yes together we can resist them
@barakaluvanda2174
@barakaluvanda2174 4 ай бұрын
Good
@lucygodwin7590
@lucygodwin7590 11 күн бұрын
Wampe ndege ipite juu
@NicksonShevintu
@NicksonShevintu Күн бұрын
Mwamba sana
@ScholasticaMsabiMsabi
@ScholasticaMsabiMsabi 7 күн бұрын
Natamani angekuwa Rais wa Tanzania nchi ingesimama imara
@leonardedson3604
@leonardedson3604 9 күн бұрын
HABARI ZA IBRAHIM TRAORE ZIPO SAWA,ILA USIENDELEE KUDANDANGANYA WAKRISTO MUONGO SANA WEWE ,KWENDRAAAA
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 5 ай бұрын
Big up sana
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 7 күн бұрын
MUNGU amlinde huyu jamaa
@NasraMrisho-z4o
@NasraMrisho-z4o 5 сағат бұрын
Hao hao watamuuuwa masnepa sio wa kuwahamimi rangi nyeupe ile hile Sasa anaruka mavi anarudi kukanyaga mkojo awe makini watamuua
@saidrakwe8727
@saidrakwe8727 6 күн бұрын
kiongozi yoyote ukiona putini amemkubali jua kiongozi huyo amekuwa ni akili nyingi na anajitambua sana
@DaudiNasari-o9r
@DaudiNasari-o9r 8 күн бұрын
Kinjan mdg San Rika yangu Simba
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
@CharafimalisalimoAli-qw3hk 5 ай бұрын
ULINZIHUU NI YEYE PEKEAKEE AU NA WALE WAWILI PIA WAMEPEWA ?.
@NassoroJuma-u2u
@NassoroJuma-u2u 5 ай бұрын
Traore ndo jembe la afrika
@mweyoms5548
@mweyoms5548 4 ай бұрын
Magenge ya mabeberu hayalali usingizi. Mifereji yao ya upigaji imezibwa
@joshuac.mashida1378
@joshuac.mashida1378 4 ай бұрын
Umeingizwa mkenge unawaluhusu wazungu ni walewale tu kasolo jumuia afrika bado Sana tuta abudu weupe milele
@paulkambonya8001
@paulkambonya8001 4 ай бұрын
Angalauu hata nchi Yao inaendesha Mambo Yao tofauti na hapo awali
@HaznaAbdallah
@HaznaAbdallah 8 күн бұрын
Wasifanikiwe tu kumuua maan ntaumia kuliko kawaida
@ezekelebisengimana7356
@ezekelebisengimana7356 28 күн бұрын
simasihi anaweza jaribu lakini simukombozi Sababu nae Hajamwa Mungu wakweri
@IrakozeThierry-x8e
@IrakozeThierry-x8e 4 ай бұрын
Tumwombee mwamba huyo Mungu azidi kumlinda na tatizo lolote
@MartinKibaigwa
@MartinKibaigwa 5 ай бұрын
Aliyechukua kwa mapinduzi naye atapinduliwa tu na huyo nyani Putin anachukua Mali kiulaini
@MwitaBoy-l5k
@MwitaBoy-l5k 2 ай бұрын
Jamaa anajua
@NaomiEnock-z4g
@NaomiEnock-z4g Ай бұрын
Sana
@danielmachangu973
@danielmachangu973 Ай бұрын
. Mmh hapo kwenye masihi hapo! 😂
@DavidShagembe
@DavidShagembe 14 күн бұрын
😂tuko pamoja
@MartinKibaigwa
@MartinKibaigwa 5 ай бұрын
Hawezi kuikomboa Africa mawazo yake kusaidiwa na mrusi ni woga wa kuoibdukiwa
@NaomiEnock-z4g
@NaomiEnock-z4g Ай бұрын
Bro yeye peke yake hawezi lazima kunatakiwa nguvu nyingn
@leonardedson3604
@leonardedson3604 9 күн бұрын
WEWE JAMAA SIKUPENDI SIO SIRI,I HATE YOU,WEWE SI MKWELI WALA MTU WA MUNGU,NI KIBARAKA MUONGO SANA KWENDRAAAA
@CharoKitsao-d3t
@CharoKitsao-d3t 25 күн бұрын
Haohao ndio watakaomuua
@HilderMkamburi
@HilderMkamburi 13 күн бұрын
Yaani putni ,, aisee, nampeda sana,mu ngu walinde viongozi hawa
@BachichiJames
@BachichiJames 6 күн бұрын
Kwani we broo unalipwa traore au? Account yako ni traore tu
@نجمهجمعه-غ8ق
@نجمهجمعه-غ8ق 5 ай бұрын
Sawa kwa hii taarifa iko sawa lkn vp Mr Benson mbona hizi taarifa za kuvamiwa kwa urusi zinakua tofauti tofauti sasa ni zipi habari za kweli?
@nizarrama225
@nizarrama225 5 ай бұрын
vita siyo game au movie kama maongo ya magharibi, hvyo jua ni propaganda vita Nato imewashinda wamepigwa na Urusi miaka yote hii 3! Urusi North Korea China wapo pamoja hvyo jua Nato na Marekani hawatofanya chochote mbele ya Urusi, propaganda zao muda c mrefu zitapotea
@wilsonMushi-e6q
@wilsonMushi-e6q 5 ай бұрын
Traore afiki mwaka 2026 .watampiga chini muda c mrefu.
@RespinaRuben-qi6te
@RespinaRuben-qi6te 5 ай бұрын
Dah aseee hawa wazungu hawa
@mwakasaladaniel9198
@mwakasaladaniel9198 5 ай бұрын
Utampiga wewe watu wengine wapumbavu kweli
@wilsonMushi-e6q
@wilsonMushi-e6q 5 ай бұрын
@@mwakasaladaniel9198 Kwani alifanyaje mpaka akawa raisi.
@mustwafathabiti2978
@mustwafathabiti2978 5 ай бұрын
Ujinga umekukaa badilikuomba mema waombaubaya
@wilsonMushi-e6q
@wilsonMushi-e6q 5 ай бұрын
@@mwakasaladaniel9198 Kwani traore aliyempindua alikua shetani.laana aitamuacha traore lazima wampige chini.
@CelestinByamungu-y2q
@CelestinByamungu-y2q 27 күн бұрын
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 5 ай бұрын
Putin m2 na nusu✊
@AhmedAlKhanjri
@AhmedAlKhanjri 5 ай бұрын
Mwalim wa neno la Mungu Mwakilembe mbona hauchambuwi Tanzania tunaona mitandaoni wanamtukana Bibi Samiya Suluhu viongozi wa Chadema hawana mchezo chambuwa uko tujuwe nn kinacho endeleya????!!!! Unaogopa kufungwa ?
@OmariSudi-ts8gn
@OmariSudi-ts8gn 5 ай бұрын
Putin hamna kitu mpaka anavamiwa kwake zaid ya mara moja, amekalia ubishoo hamna kitu ananikera mnoo
@MoodtzJuma
@MoodtzJuma 5 ай бұрын
Hujui kitu nyamaza utaona watakavyo isha askari wa 🇺🇦
@aliyHamad-w1s
@aliyHamad-w1s 5 ай бұрын
Pindipo Putin atavamia nchi ya Ukraine ataitwa dictator, kumbuka urussi inanguvu and than kumbuka urussi imewekewa kizuwizi cha kimataifa ndio maana anasubiri Ukraine aingie mwenyewe apigwe kichapo
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 5 ай бұрын
Kwani ww mjuaji upo uwanja wa vita?​@@MoodtzJuma
@jacobjb4515
@jacobjb4515 5 ай бұрын
Watu wengine awajui kitu tulieni Russia sio inchi ya kitoto wee boya soma history ya Russia toka kitambo wazee wa vita kumbuka ndio inchi kubwa no1 duniani
@StephanoMoses
@StephanoMoses 4 ай бұрын
Hujui chochote Urusi ndio mume wa ulaya nzima. Nchi moja ila inapambana za mataifa zaid ya 40 . Ila bado hawamuwez wanatuma majeshi kwa siri ila mrusi anafutilia mbali . Soma historia ya mrusi ni taifa kubwa duniani ./jeshi kubwa na imara / mbinu za kivita /silaha nzito za kidunia. . Acha kusikiliza propaganda za mmarekan na mashoga wenzake . Mmarekan anajua vita ya maneno ila vita ya show kwa show haiwez
Historia ya  Rais 'THOMAS SANKARA'  Aliyeuliwa na Rafiki Yake IKULU
11:19
Global TV Online
Рет қаралды 820 М.
The history of Armenia Summarized
12:16
Epimetheus
Рет қаралды 797 М.
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Who Are The Uyghurs? History Of China's Unwanted Muslims (552-1884)
12:21
MWANAFUNZI WA AJABU Full Movie /Bongo Movie
4:14:23
BabaJoan
Рет қаралды 1,1 МЛН
China and Africa - An Intimate Portrait
44:15
SOAS University of London
Рет қаралды 8
A New Power is Rising in Germany: BSW
20:59
GZT
Рет қаралды 105 М.
Леон киллер и Оля Полякова 😹
00:42
Канал Смеха
Рет қаралды 4,7 МЛН