Mchongoko ni lini na hizo screen za ndani ya train you also need to display train route updates inaonyesha train iko wapi inakimbia km ngapi kwa map.
@selemankishema5780Ай бұрын
Tunaomba hesabu ya mapato isiwe mambo ya DART
@avitusmwombeki2576Ай бұрын
Tangu lini NBC ikawa NMB?? that should be penalized....
@alphamalishee9708Ай бұрын
Akate hicho kipande
@kisutabora5914Ай бұрын
Kwa wale wanaotoka airport na kutaka kusafiri na SGR wakiwa na mabegi mawili au matatu, mnapokeaje mabegi yao? Utaratibu ni upi?
@danieljoseph6309Ай бұрын
Ni nbc sio nmb
@eddechriss2664Ай бұрын
Ongezeni safari saa sita mchana pia saa sita usiku, miji mikubwa duniani huwa halali
@omarysaid8725Ай бұрын
Mbona train ya mchongoko ipo tunaiona lakini haifanyi kazi au kimeo ndio tumesha pigwa kama kimeo muwe wa kweli mtuambie
@bonaventuralupogo2149Ай бұрын
Nmb tena
@saidimwanyiro5147Ай бұрын
Kuna mabingwa wa kujua kulaumu wapo nchi ambao hata tren hawajawah kupanda popote
@aishamsemwa-zu3eoАй бұрын
Dar kilosa shingap jamani tujuzane
@manhajsalafonlinetvАй бұрын
Elfu 18
@aliyahmed9328Ай бұрын
Treni ya kisasa kituo cha kizamani , platform moja ya abiria watu wengi .. why hamuoni wenzenu kituo kikubwa kuna baraza ngapi za kukaa treni ...mtaliona hayo makosa mliofanya ikifika muda abiria wamekuwa wengi
@hemedrashid2921Ай бұрын
tuliaaaaa wewe mbonaa hufurahiii maendeleoo ila unakimbiliaa kutoaaa mapungufuu au mnyarwandaaa nini kunguni moja😂😂😂
@hemedrashid2921Ай бұрын
tuliaaaaa wewe mbonaa hufurahiii maendeleoo ila unakimbiliaa kutoaaa mapungufuu au mnyarwandaaa nini kunguni moja😂😂😂
@hemedrashid2921Ай бұрын
tuliaaaaa wewe mbonaa hufurahiii maendeleoo ila unakimbiliaa kutoaaa mapungufuu au mnyarwandaaa nini kunguni moja😂😂😂
@hemedrashid2921Ай бұрын
tuliaaaaa wewe mbonaa hufurahiii maendeleoo ila unakimbiliaa kutoaaa mapungufuu au mnyarwandaaa nini kunguni moja😂😂😂
@hemedrashid2921Ай бұрын
tuliaaaaa wewe mbonaa hufurahiii maendeleoo ila unakimbiliaa kutoaaa mapungufuu au mnyarwandaaa nini kunguni moja😂😂😂