Asante nini hayo maendeleo jamani sio favor sija skia mtu Ana Sema Asante uhuru kenyatta ama Jacob Zuma tu ache ujinga wa tz...
@herodiduma99063 ай бұрын
@@zawadix9574 Kwani lazima tufanane,ndio maana Tanzania ni nchi ya kipekee
@user-ej9fn6pn6t4 ай бұрын
A real defining project. One to change Tanzania's role and position in the African economic. A huge will be on how to manager the infrastructures so that they can reach their expected life span. Kudos Tz
@MikidadiSalim-xk9dcАй бұрын
Mungu mkubwa twakuomba uendelee kutubariki bila ya wewe hakuna litalowezeka kikubwa tunasema asnt sn Mungu....pia shuqrani kwa viongozi waliokuwa sababu ya kukamilisha hili jambo M/Mungu awabariki na waliotangulia mbele ya haki M/Mungu awapumzishe kwa Amani.....
@fidelfidel-jz4iw3 ай бұрын
Hongera Tanzania lakini msimsahau mh magufuli alianzisha Kwa kishindo na dunia nzima inashangaza lakini alikuwa na utashi hao wamaghalibi hawajawahi itakia mzuri Africa hilo mlijue
@gideonmwanjila86163 ай бұрын
Hongera Tanzania 🇹🇿
@muyongahassan21883 ай бұрын
Hii ni project ya magufur aliyo achaa pongez tena kwa samia kuendeleza tunaomba treni iwe na rangi ya bendera ya Tanzania palembele
@user-sp6sv3cg9d2 ай бұрын
Hongereni wakuu wa nchi
@fransicmushenyera93023 ай бұрын
mmezungumza sana angekuwepo JPM ingekuwa mmeanza kusafirisha punguzeni maneno.hayo mabehewa ya abiria kutoka ujerumani yako wapi ulisema ni therathini yaliingia sita
@omarybakunda25544 ай бұрын
Hilo ni jambo zuri sana
@user-go1zq3mc5j4 ай бұрын
Nice
@jacksonayubu73094 ай бұрын
East Africa's real economic giant
@hassanamani21314 ай бұрын
Tanzania, not east Africa
@MeenaHassan-fd9vv4 ай бұрын
Hata kama jpm hayupo Alama alizoweka ni kubwa sana hakuna rais aliyeweka Alama kubwa kama jpm na samia a bit anafanyakazi nzuri, awamu zingine hazikuwa na maono
@augustinemzeentinginya30573 ай бұрын
SGR ni maono ya Mkapa, iko kwenye vision 2025 aliyoanzisha Mkapa
@deven.oauditx75473 ай бұрын
Wewe umezaliwa mwaka gani?
@abdulpagali7476Ай бұрын
Walitawala kama wakoloni tu. Kila alichokuwa akikusudia JKN, JPM kakianzisha na SSH kakiendeleza kwa dhamira ya kukikamilisha. JPM amethubutu kuanzisha ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha megawatts 2,115 za umeme; reli ya kiwango cha kimataifa ya umeme yenye urefu wa zaidi ya kilometa 2,700 ambayo light train inayosafiri kwa kasi ya kiliometa 160 kwa saa na heavy train ya kasi ya kilometa 120 kwa saa. Kuhamishia ofisi za serikali Dodoma, uwanja wa ndege wa Msalato, Daraja la JPM, n.k.
@Kabwela7763 ай бұрын
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@kakawamashariki89783 ай бұрын
"Hapa kazi tu, Kazi iendelee.." salaam za pongezi nyingii toka mwanza 🐟.
@triumphkimaru10773 ай бұрын
ASANTENI WATANZANIA KWA MWELEKEO UPYA KARNE HII. MUSIBANDUKE HADI WALE WALIOWACHEKELEA MIAKA ZA ZAMANI WAJE WAOMBE MSAHAHA. NATAMANI KUSTAAFU NCHINI KWENU.
@martinmhando20794 ай бұрын
hakuna rais angethubutu kuanza from scratch huu mradi huyo mwengine amekta kila kita kiko tayari asingeweza Thubutu kujenga mahanaki Madarsja no never rest in peace magufuli
@deven.oauditx75473 ай бұрын
Hata Magufuli alikita mradi ukiwa kwenye manunuzi.