"RELI YA SGR KUUNGANISHA NCHI ZA AFRIKA"

  Рет қаралды 13,025

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 39
@muscato50
@muscato50 4 ай бұрын
Asante sana Magufuli kwa uthubutu huu.
@mussamussa8181
@mussamussa8181 4 ай бұрын
Ahsante MAGUFULI
@zawadix9574
@zawadix9574 4 ай бұрын
Asante nini hayo maendeleo jamani sio favor sija skia mtu Ana Sema Asante uhuru kenyatta ama Jacob Zuma tu ache ujinga wa tz...
@herodiduma9906
@herodiduma9906 3 ай бұрын
@@zawadix9574 Kwani lazima tufanane,ndio maana Tanzania ni nchi ya kipekee
@user-ej9fn6pn6t
@user-ej9fn6pn6t 4 ай бұрын
A real defining project. One to change Tanzania's role and position in the African economic. A huge will be on how to manager the infrastructures so that they can reach their expected life span. Kudos Tz
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc Ай бұрын
Mungu mkubwa twakuomba uendelee kutubariki bila ya wewe hakuna litalowezeka kikubwa tunasema asnt sn Mungu....pia shuqrani kwa viongozi waliokuwa sababu ya kukamilisha hili jambo M/Mungu awabariki na waliotangulia mbele ya haki M/Mungu awapumzishe kwa Amani.....
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 3 ай бұрын
Hongera Tanzania lakini msimsahau mh magufuli alianzisha Kwa kishindo na dunia nzima inashangaza lakini alikuwa na utashi hao wamaghalibi hawajawahi itakia mzuri Africa hilo mlijue
@gideonmwanjila8616
@gideonmwanjila8616 3 ай бұрын
Hongera Tanzania 🇹🇿
@muyongahassan2188
@muyongahassan2188 3 ай бұрын
Hii ni project ya magufur aliyo achaa pongez tena kwa samia kuendeleza tunaomba treni iwe na rangi ya bendera ya Tanzania palembele
@user-sp6sv3cg9d
@user-sp6sv3cg9d 2 ай бұрын
Hongereni wakuu wa nchi
@fransicmushenyera9302
@fransicmushenyera9302 3 ай бұрын
mmezungumza sana angekuwepo JPM ingekuwa mmeanza kusafirisha punguzeni maneno.hayo mabehewa ya abiria kutoka ujerumani yako wapi ulisema ni therathini yaliingia sita
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 4 ай бұрын
Hilo ni jambo zuri sana
@user-go1zq3mc5j
@user-go1zq3mc5j 4 ай бұрын
Nice
@jacksonayubu7309
@jacksonayubu7309 4 ай бұрын
East Africa's real economic giant
@hassanamani2131
@hassanamani2131 4 ай бұрын
Tanzania, not east Africa
@MeenaHassan-fd9vv
@MeenaHassan-fd9vv 4 ай бұрын
Hata kama jpm hayupo Alama alizoweka ni kubwa sana hakuna rais aliyeweka Alama kubwa kama jpm na samia a bit anafanyakazi nzuri, awamu zingine hazikuwa na maono
@augustinemzeentinginya3057
@augustinemzeentinginya3057 3 ай бұрын
SGR ni maono ya Mkapa, iko kwenye vision 2025 aliyoanzisha Mkapa
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 3 ай бұрын
Wewe umezaliwa mwaka gani?
@abdulpagali7476
@abdulpagali7476 Ай бұрын
Walitawala kama wakoloni tu. Kila alichokuwa akikusudia JKN, JPM kakianzisha na SSH kakiendeleza kwa dhamira ya kukikamilisha. JPM amethubutu kuanzisha ujenzi wa Bwawa la Kuzalisha megawatts 2,115 za umeme; reli ya kiwango cha kimataifa ya umeme yenye urefu wa zaidi ya kilometa 2,700 ambayo light train inayosafiri kwa kasi ya kiliometa 160 kwa saa na heavy train ya kasi ya kilometa 120 kwa saa. Kuhamishia ofisi za serikali Dodoma, uwanja wa ndege wa Msalato, Daraja la JPM, n.k.
@Kabwela776
@Kabwela776 3 ай бұрын
Wabaguzi hao hawajawapa kazi wanawake ina maana Tanzania nzima hamna wanawake wangeweza kujifunza kuendesha treni mbona kuna marubani wanawake ATC ???? Hii ni bogus kabisa lazima ipigiwe kelele Na hata ajira zao Wale wahudumu wanawake inaonekana kama almost ni kabila moja au baadhi ya mikoa tu.
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 3 ай бұрын
"Hapa kazi tu, Kazi iendelee.." salaam za pongezi nyingii toka mwanza 🐟.
@triumphkimaru1077
@triumphkimaru1077 3 ай бұрын
ASANTENI WATANZANIA KWA MWELEKEO UPYA KARNE HII. MUSIBANDUKE HADI WALE WALIOWACHEKELEA MIAKA ZA ZAMANI WAJE WAOMBE MSAHAHA. NATAMANI KUSTAAFU NCHINI KWENU.
@martinmhando2079
@martinmhando2079 4 ай бұрын
hakuna rais angethubutu kuanza from scratch huu mradi huyo mwengine amekta kila kita kiko tayari asingeweza Thubutu kujenga mahanaki Madarsja no never rest in peace magufuli
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 3 ай бұрын
Hata Magufuli alikita mradi ukiwa kwenye manunuzi.
@karimkinwary4668
@karimkinwary4668 3 ай бұрын
Viva Tanzania 🇹🇿
@Nedjadist
@Nedjadist 3 ай бұрын
Haya mabehewa kuna mtu alikula?
@kamilikapeta2574
@kamilikapeta2574 3 ай бұрын
Magufuli pumzika kwa amani kujitowa kwako tumeyaona tusiyo yategemea alama yako atafutka daima
@zawadix9574
@zawadix9574 4 ай бұрын
Acheni uwongo hiyo reli bado haija fika 2000km have honest reporting
@herodiduma9906
@herodiduma9906 4 ай бұрын
Huelewi wewe TULIA acha kukurupuka kwa vitu usivovijua
@askarikanzu1054
@askarikanzu1054 4 ай бұрын
Hivi wewe kwa nini unawashwa kila ukisikia sgr?
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 4 ай бұрын
Imefika ngapi kama unajua?
@zawadix9574
@zawadix9574 4 ай бұрын
@@nicolasaugustino8449 almost 500km dar to Dodoma via Morogoro
@herodiduma9906
@herodiduma9906 4 ай бұрын
@@nicolasaugustino8449 Huo ni mwendelezo Dar~Mwanza,Isaka~kigoma,Mpaka mpanda hizo 2000km hazijafika?
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 4 ай бұрын
Wafanye kazi sio blabla iwe mfano Africa tunaweza sio kuonekana tuna uzembe wa usimamizi mradi muhimu.
@niolaussdavid
@niolaussdavid 4 ай бұрын
@RAISISAMIAHASSANISURUHU ceo atoke ujerumani
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 34 МЛН
Фейковый воришка 😂
00:51
КАРЕНА МАКАРЕНА
Рет қаралды 6 МЛН
What does Satoru Gojo have? #cosplay#joker#Harley Quinn
00:10
佐助与鸣人
Рет қаралды 7 МЛН
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 23 М.
KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO | WALIO NYUMA YA HUDUMA ZA SGR
26:29
TRC RELI TV
Рет қаралды 2,7 М.
TRENI YA MCHONGOKO ITAENDESHWA NA MADEREVA WAZAWA
6:58
TRC RELI TV
Рет қаралды 21 М.
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 34 МЛН