No video

MBARAWA : ZAIDI YA ABIRIA 40 ELFU HADI SASA WAMETUMIA TRENI YA SGR

  Рет қаралды 18,467

TRC RELI TV

TRC RELI TV

Күн бұрын

KARIBU TUKUHUDUMIE

Пікірлер: 30
@JombaTUncleT
@JombaTUncleT Ай бұрын
Fursa kubwa hii. Kuishi Moro kufanya kazi Dar. Hali ya Hewa Moro ni poa na hakuna foreni. Hongera TRC, #Jomba_T👍😎🇹🇿
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw Ай бұрын
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON
@HASASON Ай бұрын
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
@kwisa4899
@kwisa4899 Ай бұрын
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
@ernestsinje9700
@ernestsinje9700 Ай бұрын
Moro kuzuri mazingira mazuri
@babajay3445
@babajay3445 Ай бұрын
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Ай бұрын
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
@DeogratiasMadaraka-b9v
@DeogratiasMadaraka-b9v Ай бұрын
Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@nguruwekikwete1635
@nguruwekikwete1635 Ай бұрын
Mpumbavu wewe
@sporttz15
@sporttz15 Ай бұрын
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida6092
@akidamakida6092 Ай бұрын
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON
@HASASON Ай бұрын
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Ай бұрын
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
@babajay3445
@babajay3445 Ай бұрын
Safi sana
@joshuachimwejo5892
@joshuachimwejo5892 Ай бұрын
TRC tafadhali sana, nawaomba washaurini TARURA/TANROAD/MANISPAA YA MOROGORO waweke lami kipande cha barabara ya kutoka Station hadi barabara kuu ya Morogoro-Dodoma(Kihonda kwa Chambo). Kipande hicho kina vumbi kali sana. Mtu anatoka kwenye treni akiwa msafi, kufika kwa Chambo hatamaniki, huo sio ustaarabu tunaoutaka watanzania kwasasa.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
@magorymara5515
@magorymara5515 Ай бұрын
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
@amirisaid6341
@amirisaid6341 Ай бұрын
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@Ambagaye
@Ambagaye Ай бұрын
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid6341
@amirisaid6341 Ай бұрын
@@Ambagaye 👍
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Ай бұрын
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
@musicschool_tz7014
@musicschool_tz7014 Ай бұрын
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@castosemiono7155
@castosemiono7155 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 Ай бұрын
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA
@NDEWARA Ай бұрын
Pole 😅
@lifeonearth94
@lifeonearth94 Ай бұрын
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Ай бұрын
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei Ай бұрын
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
@ShabaiSadick
@ShabaiSadick Ай бұрын
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?
KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO | WALIO NYUMA YA HUDUMA ZA SGR
26:29
TRC RELI TV
Рет қаралды 2,5 М.
NYOMI LA STESHENI YA SGR DODOMA NI HIVI 🔥🔥🔥🔥🔥
10:13
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 10 МЛН
白天使选错惹黑天使生气。#天使 #小丑女
00:31
天使夫妇
Рет қаралды 15 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 96 МЛН
Guinea Conakry: Life on the Edge | Deadliest Journeys
47:59
Best Documentary
Рет қаралды 939 М.
Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
10:50
Congo, Thrill of the River | Deadliest Journeys
49:39
Best Documentary
Рет қаралды 4,9 МЛН
OKIONDO AMEPATA UGONJWA! {NDIZI TV BEST KISII COMEDY}
15:22
NDIZI TV
Рет қаралды 130 М.
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 10 МЛН