#trc #dar #sgr #tanzania Station Tour : Station Mpya ya TRC Dar kama Airport ndogo
Пікірлер: 149
@gmaxtv16614 ай бұрын
Kazi ya jpm ndiyo tunaona matunda yake leo dah😢 R .I.p shujaaa wang
@kambamazig020244 ай бұрын
Mbona hatupandi hata miti na maua, inakuwa concrete jungle! Curb appeal na landscaping ni vitu vya muhimu, mimea hu-absorb radiant heat!
@hastatz4 ай бұрын
Mama samia hahusiki hapo ni magufuli
@user-bl3rp5tk5f4 ай бұрын
basi unahusika ww😅
@hamzakhamis15754 ай бұрын
Yuko wapi uyo magufuli anaehusika apo, wacha ushabiki wa kijinga.
@thamani58424 ай бұрын
Roho mbaya tu, ukitaka anahusika hutaki anahusika
@J4UPro4 ай бұрын
Mkuu mama anahusika, kwani si walikuwa wote!
@J4UPro4 ай бұрын
@@hamzakhamis1575usimjibu hivyo kwani mjinga hajibiwi ujinga. Mueleweshe tu kuwa hii milada mama anahusika kwa kuwa walikuwa wote na mzee full stop 🛑
@praygodmunisi89994 ай бұрын
Broh @snash Kuna kitu umesahau hapo toilet,kuhusu huo mstari wa njano chini .. Yaani hiyo alama ya njano chini iliyoingia na toilet nikwaajili ya watu wenye ulemavu wakuona (vipofu).. Yaani inaalama maalumu ambayo kipofu akaifika tu akiikanyaga anajua maana yake ninini, kwahiyo anaifuata kwakutembea Juu yake na itamfikisha Hadi toilet🤝🤝🔥
@barutiboniphace43352 ай бұрын
Mtangazaji mimi ni Defensive driving trainer na masuala ya barabarani pamoja safe trainer in General. Nimeona ulinyo kua unaingia kwenye LIFT uliweka MKONO ili LIFT itambue uwepo wako hiyo ni hatari sana sometimz lift inaweza ku misbehave isi sense ikafunga ukabanwa mkono harafu ikaanza kushuka au kupanda isee mkono umeenda. So tuwe makini sana na kwenye milango au lift kuzuiya kwa mkono very dangerous. Big up sana bro 🙏
@atenionesmo_A10Күн бұрын
asante kwa elimu ila nna swali kdogo hapa kwan namna nzur ni ip ya kuingia
@chybuwagwantaz80544 ай бұрын
Hata pale mbezi mlisema kama airport ndogo leo hii kupo kama zizi la malisho 😂😂
@rodgence96414 ай бұрын
Iyo sehem ya kukata ticket zipo 6 ila utakuta mfanyakazi mmoja anayeingia na kutoka😂😂😂😂😂
@mosesfrancois7524 ай бұрын
Sijashangaa Steshenie... huyu host anafaa sana , ata asiejua sentamisungwi uko anamuelewa kwa wepesi
@jeremiahkeko76184 ай бұрын
Ila we jamaa ni mkorofi Yan ndio uanze kugonga gonga ung'ate ng'ate viti
@nicksonmusa34574 ай бұрын
Umenifanyaa nimecheka kijingaa
@vincentmushi12474 ай бұрын
Asante kwa Tour...tunaomba urudi tena utuonyeshe station yetu baada ya mwaka mmoja...kama utakuta toilet seat na mabomba kama yapo maana tunajuana😂
@slowclimbertothetop45724 ай бұрын
Mwaka mmoja mbali ikianza kazi wiki 2 aende akapige picha tena. Na vile viti vya treni ndani utavikuta vingunguti mtu anakalia home
@jeremiahmwasele42594 ай бұрын
@@slowclimbertothetop4572😂
@vincentmushi12474 ай бұрын
@@slowclimbertothetop4572 🤣🤣🤣🤣
@elibarikimaganga95714 ай бұрын
Yani hilo ndilo tatizo letu watanzania. We think globally but we act locally, ikianza matumizi baada ya wiki utakuta mifuniko ya vyoo imeng'olewa, Koki na mabomba ya chooni yanavuja ndio za plastiki na makopo kama yote vyooni, machinga wamekaa mpaka kwenye korido na kwenye sehemu za kusubiria abiria wanaouza maji, machungwa, biskuti na kila kitu...😂
safi sana kaka snash unafanya vyema sana Mungu akubariki sana katika karia hii
@djseletz31124 ай бұрын
Magufuli the best
@starjay30524 ай бұрын
nakubali mzee uwaga nakufatilia sana
@kakaziller4 ай бұрын
Nzuri iyo, unajua wajibu wako kijana
@hallin95614 ай бұрын
Kaka nimeikubari review yako na unajaribu viti kwa ukaribu ad kugonga, That's so good tunatazama na uimara maana mainjinia wa bongo hawachelewagi kutuletea midosho
@musabenard411723 күн бұрын
yah kweli make hii ishu haikuepo kwenye sera ya ccm ni ya meko tu na kufosi tu make ata wabunge hawajapewa ata mjadala wowote kwaio meko ndio kila kitu apa kwaio mama nae ajitaidi kuanzisha zake kama yeye je ataweza hii ni vita kubwa sn
@KSACTV4 ай бұрын
hongera sana tanzania one love kutoka kenya
@victorwiketye24614 ай бұрын
Pamoja sana! We are one pple.
@rodgersasu4 ай бұрын
Superb video Quality, and with a phone, am impressed, kudos to the color grading as well.. looking forward to more coverage on this subject
@raystudio75634 ай бұрын
Snash Tafadhali Naomba Review Nyingine Ukiwa ndani Ya Mabehewa
@habibuhabibu97284 ай бұрын
Nakubar Snashitz
@kelvinkaniki71864 ай бұрын
Best review ever 🔥
@tradamus41584 ай бұрын
Hongera sana magufuri wew ndio ulio tujengea pumzika kwa aman uncle magu
@bellam.vyampi55284 ай бұрын
Mama samia umetishaa sanaa mama munguu akulinde.
@ahmedhamis4 ай бұрын
Magufuli alitisha sana
@superstuwart24344 ай бұрын
kwanini umengata viti dakika ya 9:00. tofauti na hapo good work brother
@rashidhamad86974 ай бұрын
Hongera sana mama samia
@GodfreyOsward3 күн бұрын
@@rashidhamad8697 Hongera sana wtz
@sketchbabu4 ай бұрын
Hongera sana brother. Kazi nzuri, safi.
@shabanifp87114 ай бұрын
Jina la Mama Litukuzwe, ameeena.❤
@Mafimbajunior4 ай бұрын
Sio mama ni magu😢
@itNeza4 ай бұрын
Kazi nzuri Sana Snash 🙌💯👑, ( Sim Ipi ilio tumika ku Shoot ? )
@alfinmbilinyi59854 ай бұрын
Kazi iendelee tunasubiri reli ya mama Samia Dar lindi mtwara songea speed300km/h kila la heri mama Samia Tanzania yako zidi kuing'arisha ipendeze hongera sana.
@MudiBwanga4 ай бұрын
Good job
@fadhilileskar32104 ай бұрын
Kazi nzuri
@stewardsambala48924 ай бұрын
Kazi iendelee
@moodybanka13274 ай бұрын
Namba 1 leo
@user-lq7ew3eg3u4 ай бұрын
Umeelezea vizuri Sana
@amemasudi57354 ай бұрын
Baba upo vizuri unavyochambua halafu unajuwa kuvaa mwnngu mwili henga
@moredigital_4 ай бұрын
Safi sanaaaa
@Mpakauseme4 ай бұрын
ushamba mwingi sana mara vip mara imagination , mazingira mazuri sana shida shida ushamba mwingi
@charlesmtesigwa29234 ай бұрын
Kwani ushamba ni kosa mkuu
@thamani58424 ай бұрын
Ww ustaarabu wako nn?
@husseinallysuleiman46574 ай бұрын
Safi sana viongozi wetu
@erickabel62014 ай бұрын
Magufuri ❤❤❤
@Ibrahim-ne3in4 ай бұрын
Sasa watu wanafanya Kaz manyumbu yapo kuandamana😂😂
@bilid41284 ай бұрын
Hivyo viti vitavunjwa vunjwa vyote wabongo hawa aisee ni kipengele...wengine wataleta kunguni hapo 😅😅
@user-qg6py9qv4x4 ай бұрын
😂😂😂
@Rashidasarumbo16 күн бұрын
Dar stend au stesheni Iko wap jman
@mcback43844 ай бұрын
Mkiruhusu abiria wa Treni ya MGR waingie humo ndani patakua kama jalalani
@fauzibinzoo65633 ай бұрын
Kiukweli huu mradi umeingia gharama nyingi sana nashauri tuulinde na tuupende maana ni kodi zetu wenyewe hazijayoka kwa wahisani wala hao viongozi hawajatoa mifuko i mwao so tuwe wazalendo tuulnde
@JumaNtasimba4 ай бұрын
Jaman muwe munamkumbuka magufuli mbona hamumutendei haki
@mtatatv14144 ай бұрын
Kaka miaka yote raisi akipita anapongezwa aliyopo ata kama miladi ilianzia nyuma atuwezi Kila siku mzungumzia mtu aliepita sawa alianzisha ila samia kamalizia maana samia angekuwa afai asingemalizia miladi kwa wakati ko pongezi kwa mama kwa kumaliza miladi iliyoanzishwa
@mg_panther4 ай бұрын
❤❤❤❤
@MusaMkembela-ex6evАй бұрын
Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa
@samuelseverua4 ай бұрын
nasubiri picha za Termnibus ya kulee
@MishekiMnkondya-dm8ny7 күн бұрын
Siyo samia ni jpm sisi ndo mashahidi
@GodfreyOsward3 күн бұрын
@@MishekiMnkondya-dm8ny Kweli ni JPM, ni sifa kwa Rais wetu Samia, kubeba Maono ya Mtangulizi wake. Tz tuna mambo mengi sana ya kujifunza. Awamu ya kwanza na ya pili. Maono ya nyakati hizi mbili yalipishana. Wengine wanadai ni madiliko ya kidunia yalifikisha huko. Kwa kutafakari utaona ni Maono ya Nyerere na Mwinyi havikuendana. Moja la kutunza amani liliendelea kufanikiwa. Viwanda, mazao, huduma, uadilifu, siasa vyote viliporomoka. Hivyo ni hari mrithi kuendeleza jambo jema . Kwa nchi Zetu hizi chochote kizuri au kiongozi anaweza Fanya bila kuulizwa na yeyote. Mfumo wetu wa utawala bado mchanga mmo. Kwa changamoto Zetu kila mmoja angependa magwiji wa utawala na maendeleo,bahati mbaya bado kutokana jamii yenyewe.
@egdldm49814 ай бұрын
Hivi kwa nini watanzania mna tabia ya kushikashika ukuta? Angalia huyu mtangazaji, finishing ikikuvutia ni lazima ushike? Kuna ulazima wa kugonga gonga mlango kuonyeshwa uimara? 😮
@hallin95614 ай бұрын
wacha kukariri bhana, wazungu wenyewe wapo mbele kitechnolojia ila wakivutiwa na kitu wanagusa kabisa ivyo ivyo adi kutaka kutumia ikibid. sembuse kugusa ukuta, watazame wale wanaoReview magari wanavyofanya, au wale wa simu sometimes adi wanazigongesha
@egdldm49814 ай бұрын
@@hallin9561 Wazungu wa wapi hao wana test kwa meno? Watakuwa wale wa Ukrainie labda.
@jayharryson49134 ай бұрын
Watu kama nyie ndo mnaonaga wazungu miungu wakati wana ujinga mpk we mwenyewe unashagaa huyu mtu au mdudu@@egdldm4981
@egdldm49814 ай бұрын
@@jayharryson4913Naona washamba mmealikana kuzindua treni kwa mtindo wa kishamba mlioukariri kutoka kwa wazungu ... kazi iendelee.
@Kabwela7764 ай бұрын
@@hallin9561wazungu gani wanashika shika vitu Na kung’ata viti na meno ? Huyo mtangazaji sio mstaarabu
@user-rj4lt9np5p4 ай бұрын
❤❤
@Moviesclip6action4 ай бұрын
kwenye tren la umemewaweke king'amuzi cha azam
@jamilasaid56984 ай бұрын
Badala useme Dstv unasema Azam duuh
@idrisadalluc44984 ай бұрын
Mzee wangu magufuli nakukubali milele mungu akusamee makosa yako 🙏🙏
@Iam_mgahivevo4 ай бұрын
Magufuli kwa nini umetuacha mapema baba tungepata mambo mengi mazuri kama haya okay kazi ya Mungu haina makosa Rip chuma
@godfridkapipi70354 ай бұрын
Kama kuna mkono wa mtu kwenye kifo cha anko Magu aiseee afe vibaya sana
@ramamabinda50634 ай бұрын
Hapo ndio hua nauona ubaguzi wa watanzania dhidi ya watanzania wengine. Kwanini kigoma tu kama njia ya wageni na sio maeneo mengine yanayopakana na nchi nyingine? Huwezi kumsikia mtu au kiongozi akiongelea mikoa kama, mbeya, kagera, mara, Arusha, Kilimanjaro, mtwara au ruvuma, kuhusu wahamiaji haramu zaid inatajwa kigoma tu. Huo ujinga hua naupinga sana kwakua hiyo ililetwa na wakoloni. Waliokua wakiziona nchi zilizotawaliwa na wabelgiji na wafaransa kua kama adui kwa nchi za kiingereza, kijerumani na nyungnezo. Muendelezo huo unaendelea hadi sasa ndio sababu watu wamefanya kuinekana kigoma kama mkoa wa kiukimbizi. Wilaya ya ngara imekuzwa na watu kutoka rwanda, hakuna anaeongea lakini kwakua ni moja kati ya watu wenye nguvu za kimaamuzi serkalini
@petroezekiel90974 ай бұрын
Naungana na ww kaka ni upumbavu wa hali ya juu sana
@2pacFreeStyle964 ай бұрын
We unasema hauna cha kumlipa mama samiha kwa sababu ya hiyo station hujui kwamba hiyo imejengwa kwa kodi zetu au unafikir mama samiha katoa pesa zake mfukoni
@BakariIssa-nx3yf4 ай бұрын
Magu hoyooooo
@promotemax41624 ай бұрын
Mambo mazuri kama haya huwezi ona comments za Wakenya coz wanajua station ya reli yao ilivyo kama ukumbi
@SmilingCorgi-pr9bn4 ай бұрын
😂😂😂😂 exactly 💯 👏 🙌 👌 🤣
@emmanuelchiza77334 ай бұрын
Kweli kabisa wakenya wanawivu mchafu sana dhidi ya Tz😂😂😂😂😊
@victorwiketye24614 ай бұрын
Hivi kwa nini Waafrika tunachukiana wenyewe kwa wenyewe?
@GodfreyOsward3 күн бұрын
@@promotemax4162 Amini umependeza, usibiri uambiwe na na jamaa au dugu wa karibu. La sivyo utaishi kwa tabu sana. Tunajenga kwetu kwa nini usubiri kusifiwa na jirani?. Tatizo la kusubiri watu wa nnje wanasemaje. Lilivuruga uchumi wa Africa. Magofu ya viwanda ni jibu la kusikiliza wa nje wanasemaje. Reli hiyo hatukudhubutu tulisubiri wanasemaje. Lugha ikawa kasungura kadogo sababu huko nyuma wanasemaje. Utakumbuka JPM alivyo dhubutu, walikuwa wanasemaje. Tumekuwa na juhudi za kuchimba magadi , tulipowasikiliza wanasemaje. Kila kitu kibaki kama kilivyo. Kwa ushindani wa uchumi wa kimataifa ukiona sifa zinakuwa nyingi Jitazame. Unakuwepo uwezekano mkubwa kiporo cha wanao umewapa watoto wa jirani. Kipindi hicho tulipojaribu kutaka kuuza mazao kwa faida. Ulisikia kwamba mahindi ya tz yanasumu yalizuhiliwa mpakani. Tulipowasikiliza hiyo wanasemaje kelele kwisha. Laiti tungekaza Buti bila kujali wanasemaje. Mkubwa wao akisema mbele ya macho yetu alisema biashara Kati ya Tz na wao ilishakufa siku nyingi labda tuwauzie mahindi. Kutakazama na maisha yanaendelea. Wote tunashukuru mola kwa kutupa fursa angalau. Kwa kuwambia wakina Musa wetu nyimbo za shangwe na furaha.
@swaloweddingcollection4 ай бұрын
Kak umetisha katik ukaguz upo vzr 😂
@lameckbalekere19624 ай бұрын
Magufuli oyee
@user-bq7gx1jh9s4 ай бұрын
R.i.p JPM haya ni matunda uliyoyaanzisha japo hayajakamilika Kwa wakati
@starjay30524 ай бұрын
kigoma 😂😂 ila kiukweli wamuah sio watanzania ila basi tu
@vincentmushi12474 ай бұрын
Dunia hii kila mtu ni muhamiaji...cha muhimu ni kufuata sheria za nchi tuu Familia ya kiingereza ...Queen elizabeth na mumewe ...sio waingereza halisi...lkn walikubalika Sembuse ss kajamba nani...africa inatakiwa iwe free movement...soon inakuja Kenya na Rwanda wameanza...watu wanazuiana wakati sote tu masikini😂
@abdullahpongwa15372 ай бұрын
Kweli kwa watu mashughuri hata kuingia umeshindwa umeishia kuangalia kwa mbali na kusifia tuu😂😂😂
@slowclimbertothetop45724 ай бұрын
Hivyo vyoo sasa vitachafuka balaa
@Ibrahim-ne3in4 ай бұрын
😂😂😂na wabongo tulivyo wachafu
@jumalihumbo53144 ай бұрын
Me naona miradi mingi kaacha jpm tu😂😂😂
@Omix_production4 ай бұрын
1:33 snash hii content imepigwa kwa smartphone S24 ama camera
@AgredaMoyo4 ай бұрын
Iko wap station na nauli sh ngap Moro??
@stevoovlogs86454 ай бұрын
iko wapi?
@emmanuelchiza77334 ай бұрын
Kenya watu wa kidheri onyesha yenyu😅😅😅
@user-pp1tn2mu7h4 ай бұрын
Mama samia mingine 5
@jenyyusuph49733 ай бұрын
Rest in happy daddy jhoni we will not forget you our love
@fredyjunior696126 күн бұрын
UTAMU UTAMU
@eligiusedmund31874 ай бұрын
Kwani na uko umeme unakata viuno kama huku
@selemanmaganga-le4zg4 ай бұрын
Wakenya mje muone station ya kisasa siyo nje mnapanga mabenchi ya kukalia watu!.
@Max9_captain4 ай бұрын
kama mbele yan
@catherinejohon12824 ай бұрын
Spati pcha magufuli angekuwepo
@husseinmwinyi68334 ай бұрын
Nauli ipoje ?
@thamani58424 ай бұрын
Ahsante Mama, wewe ni jembe
@mohamedihamisi2924 ай бұрын
😂😂😂 Ingekuwa ipo Kenya hii station tusingelala nawakumbusha wakenya ipo kama hii nyingine Dodoma halafu boraa zaidi sasa zipo Mwanza mbili kaliii mbona tutaelewana tu Safari hii
@abubakarishariff84894 ай бұрын
Sio mama Samia ni magufuli jamani da!
@zikirination67694 ай бұрын
Sisi tunajua ni JPm sasa izo story zingine zakuchangamsha uchaguz
@user-em7db3pv7d4 ай бұрын
J p m💪🇹🇿
@user-fv3if7wv6j4 ай бұрын
Restin peace Magufuli
@lameckbalekere19624 ай бұрын
Magufuli
@josephmalale48604 ай бұрын
PROJECT ZA MJOMBA MAGU IZI
@grahamnangi18174 ай бұрын
EMBU AJITOKEZE MTU APIGE SHOTS APO , KUNA VIEW FLANI NIMEONA KAMA UNACHUNGULIA TWIN TOWERS NI NOMA😂
@williamruto31034 ай бұрын
R I P ,, J P M😢
@user-mz2wx5dt9v4 ай бұрын
Msituchanganye magufur ndo Kaz yake
@jaberalyafei2744 ай бұрын
Huyu jamaa anaroho ya hasad hataki😢tuendelee mbona Aiir port ya JK nzuri
@MusaMkembela-ex6evАй бұрын
Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa
@chrithicksambo22874 ай бұрын
Sio mama samia ni Magufuli
@AsdDsa-fi5qk4 ай бұрын
Kamanimtu amemuuwa magu bsa mungu ndie mwenye hukumu