DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO JUMA LOKOLE ,AWEKA WAZI TABIA ZAKE “ATATUHARIBIA WATOTO“

  Рет қаралды 84,332

Truth Media

Truth Media

Күн бұрын

DOTTO MAGARI AWAVAA ICU “ WALE WOTE NI UPINDE“ NKIPATA CHEO WATAPATA TABU | WANANIOMBA HELA SANA
Hakika ni za kweli
#simba #yanga #simbayanga #mpira #sport #kombeladunia #worldcup

Пікірлер: 222
@shambashareef7316
@shambashareef7316 10 ай бұрын
Dotto anajua alipotoka mwacheni ajiachie ,sema mwana hugeki maisha big up dotto
@OmarKipanyakhamis-pe2qx
@OmarKipanyakhamis-pe2qx 10 ай бұрын
Semaaa kkaa nmkuelewa sanaaaa point yko sem allh bless 🇹🇿🇹🇿❤️💯💯
@dignakanje4508
@dignakanje4508 10 ай бұрын
Kaka doto unanifuraisha kweli kweli,Yani nakusikiliza nacheka mpka naugua.Juma nikiherehere kma ngoma yamdundiko
@LtkMfs-hd5zf
@LtkMfs-hd5zf 10 ай бұрын
Uyu jamaa anaakili sana naanapambana na ipo sku atafika mbali saba doto magari saluti
@SophiaMsindo
@SophiaMsindo 10 ай бұрын
nakubali broo kimsingi wa bongo tunafeki sana maisha binafsi najifuza sana
@amosimussa3360
@amosimussa3360 6 ай бұрын
Dotto magari unajua bro nini unajua ni hayo tu na wish kukuona live hivyo tu♥️♥️♥️
@saidharith5643
@saidharith5643 9 ай бұрын
Doto hapa kaongea kwa hisia kali sana ukimuelewa cz yeye ni mpambanaji kwanini wanamfatilia maisha yake ya undani hakupenda ndio maana yeye anawajua undani na hakuwasemea mbele za watu leo katoboa Yao pia
@jerryjackson3464
@jerryjackson3464 10 ай бұрын
Original wenyewe hawaja pinda😂😂😂 daaah kiswahili na WA Swahili kinanoga sana
@andreamtitunathan9644
@andreamtitunathan9644 10 ай бұрын
Wamekupaisha tu Mtu wangu Maisha ya wengi ni ulio nayo ww ndio haijasumbua jamii
@kitovasaidi6753
@kitovasaidi6753 10 ай бұрын
Masaki kabisa apatimenti😂😂😂😂 Safi sana nimekukubali sana ukweli utakuweka huru.
@abdishakurhassan7651
@abdishakurhassan7651 4 ай бұрын
Dotto magari self made keep it up the sky is the limit
@WaziriRamadhan-ML
@WaziriRamadhan-ML 10 ай бұрын
Daaah nimecheka leooo😂😂😂 walahi hii hata samia km kaiona naye atakuwa kacheka had kajamba😂😂
@amosimussa3360
@amosimussa3360 6 ай бұрын
Unajua nn unafanya kaka mzaramo og big up
@suleimankitango
@suleimankitango 10 ай бұрын
Kk dotto upo vizuri
@neemaberny3598
@neemaberny3598 10 ай бұрын
Wenye akili timamu Ndio atamuelewa huyu jamaa...Dotto kapitia magumu mengi,na hata hapo alipo Bado anaendelea kujitafuta...uwezi kisa umeanza kupokea rizki wakati unajitafuta uhame nyumba ya 50000 ukahamie nyumba ya millioni kwa mwezi!!Huyu anatambua kwamba Huwa wanapata madili..hayo madili yanamsimu awezi akajitoa kwenye uhalisia na kujitoa amani kwa maisha ya kuwqfurahisha watu wa mitandaoni alafu aje adhalilike mara hana Kodi ..tunawaona mastar kibao yanawakuta..
@msouthqualitymabati4657
@msouthqualitymabati4657 10 ай бұрын
Ni kweli
@kivuswahilitv6833
@kivuswahilitv6833 10 ай бұрын
Jamaa huyu kapitia mengi n'a Pia anaweza tajirika kama utani maaana alikotoka huyu bwana sio hapa wenzio wengi wamekufa tayari na madawa ila doto katumia mesadon hadi Leo anajitafuta
@muuminsaid-bd6cm
@muuminsaid-bd6cm 10 ай бұрын
Doto mm nakukbali kicha wangu
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 10 ай бұрын
Kweli tunakuangalia mimi nikiwa dubai wale kweli mashoga
@OmarKipanyakhamis-pe2qx
@OmarKipanyakhamis-pe2qx 10 ай бұрын
🇹🇿🙏💯💯
@koffilove2796
@koffilove2796 10 ай бұрын
Ndoto katika siku leo nimekupa saluti umeongea ukweli mimi niko Europe ila unaongea ukweli wa senge hao
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 10 ай бұрын
Wewe doto eti wanapinda migongo huku wanapiga miruzi😂😂😂😂😂😂😂😂
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 10 ай бұрын
Hehehe na mpenda sana Doto ❤❤❤ nani Mgonjwa?
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 10 ай бұрын
Maimatha
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 10 ай бұрын
@@elizajoseph7209 Ohh
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 10 ай бұрын
@@elizajoseph7209 hope ata letewa shika kwaku sema ivyo
@PatrickAmidos-b2i
@PatrickAmidos-b2i 10 ай бұрын
Hahahhahahahahahahaa Dotto una mdomo sana ww duuuuuuh niatari Sana juma njoo huku uruke kichura chura tuone na ndooo juu bro
@tatukarume6140
@tatukarume6140 10 ай бұрын
Wape vidonge vyao hakuezi tunakuoenda mpka bas yani mtu ukiwa na stress zako mtu akikuskiliza tu anaenjoy
@amoonatnzani9834
@amoonatnzani9834 10 ай бұрын
Haya wambea wa I C U kula chuma iyo 😂😂😂😂😂😂😂
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 10 ай бұрын
Team Doto magari gonga like
@ellymzera2457
@ellymzera2457 9 ай бұрын
Hata kwetu wapo.🇰🇪 🇹🇿
@madinakitemo8902
@madinakitemo8902 10 ай бұрын
Doto magari nakupenda bureeee umemkomesha uyo shoga juma lokole na wenzie
@benjo_brighter
@benjo_brighter 10 ай бұрын
Duh 🤔 na umewanyea sana kaka
@DeborahChristopher-th6nl
@DeborahChristopher-th6nl 9 ай бұрын
Nakupenda Bure Dotto❤❤❤❤
@partickkessy5997
@partickkessy5997 10 ай бұрын
😂😂😂ila Doto Leo nimecheka sana
@michaelcharles49
@michaelcharles49 9 ай бұрын
Hawali mpaka wapinde mgongo duu
@neemammbaga227
@neemammbaga227 10 ай бұрын
Lakin dotto kipindi anaanza anza kujulikana alifanyiw interview kwake anapokaa na palikua palepale icu walipoenda sema tu wambea hawajalitilia maanani kuitafuta hiyo interview dotto alisema kabsa hapa ndo kwangu na ni zamani sana kama miaka miwili
@kismarthashvan
@kismarthashvan 10 ай бұрын
Wazalamo atufeki maisha doto aowa2 wanapenda kitonga awali mbaka wapinde mgogo
@malikzegega3179
@malikzegega3179 10 ай бұрын
Nakubali kaka wazaramo akuna machoko
@JibrilBanga
@JibrilBanga Ай бұрын
Ndoto magari na furaï sana ku sikia mahongezi yako kwa ivi ni tumie number zako of cause na itaji ku huza gari toka Congo
@moseskulola6913
@moseskulola6913 10 ай бұрын
Tanzania in inchi ya comedy watu wote
@neitherherenorthere8367
@neitherherenorthere8367 10 ай бұрын
Yaani i love tzanian's confidence. Their mouths runs faster than their wallets!
@RachelRichard-l3h
@RachelRichard-l3h 10 ай бұрын
😂😂😂you ehh
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 10 ай бұрын
We ni mkenya?
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 10 ай бұрын
Eti kw sisi waislamu😢 na shingoni ana libonge la msalaba dah!!! Uislamu wa kibingo bana😂
@mpozenzidavid4801
@mpozenzidavid4801 10 ай бұрын
Niko nawewe kaka
@MoriceKendrick
@MoriceKendrick 10 ай бұрын
Doto kwanz mjini imeingia juzi mbuzi wew
@Kidotii
@Kidotii 10 ай бұрын
Doto Wa kizimkazi😂😂😂😂 anewawezaa ,JUMA HUYU NDO KIBOKO YAKO
@AlexJohn-gp6bu
@AlexJohn-gp6bu 10 ай бұрын
Kweli apo umeongea fact mashoga wauliwe wote
@OmaryKaniki-hs5mz
@OmaryKaniki-hs5mz 9 ай бұрын
Sema mzaramo mwenzangu
@moseskulola6913
@moseskulola6913 10 ай бұрын
Waadishi hawa wanasoma wapi jamani
@jamesking9891
@jamesking9891 10 ай бұрын
Kumbe kuna watu wameleft group la wanaume tz 😂😂😂😂
@awadhally1052
@awadhally1052 9 ай бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣
@mohammedkombo9798
@mohammedkombo9798 9 ай бұрын
Wazaramo acha tu watu wa Dar balalaa @!Dotto from MK @uk
@wilfredmwakatwila6295
@wilfredmwakatwila6295 10 ай бұрын
Umeongea vizuri
@allybobsaith
@allybobsaith 10 ай бұрын
Doto magari umewaweza ICU, umewajibu kisomi sana
@firereal001
@firereal001 10 ай бұрын
Eti hawal kabla hawajapinda mgongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@HappyGreenTea-fo8lz
@HappyGreenTea-fo8lz 7 ай бұрын
Kweliii kabisa wasanii wanafeki sana maishaaa😅😅😅😢
@hansmsangi9828
@hansmsangi9828 9 ай бұрын
Nakukubali sana dotto asante sana unatubeba sana sisi watu kawaida tumezaliwa tuishi hapa duniani dhamira ya Molla sio kuwa tuwe matajiri km wao hapa ni vile Muumba kapendezwa atupe pumzi tuishi maisha ss km wao wamepata basi washkuru tu lkn sio kutuona ss km wakukosa tu hapana tuna haki ya kuishi maisha ya kawaida na katika mazingira yyte... Dotto asante kwa kutetea mazingira yetu km mabaya ndio Mungu katupa... Mwambie huyo mshamba wa dunia atakuelewa tu ss ndio mkazi wa mama Samia....😂
@SeeMe-t9j
@SeeMe-t9j 9 ай бұрын
Mh huyu jamaa noma
@wamburaneema-w7r
@wamburaneema-w7r 9 ай бұрын
leo umeongea point sana
@badmanno.1650
@badmanno.1650 8 ай бұрын
Muislamu Ila umevaa msalaba ili iweje??
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 10 ай бұрын
😂😂😂 ila dotto kawaweza kwa majibuu daaah anajua
@michaelkonga2975
@michaelkonga2975 10 ай бұрын
Hela nyingi mpaka balabendi haitoshi😂😂
@victorjems1865
@victorjems1865 10 ай бұрын
eti rangi kama afkeki michilizi kama tango😂😂
@filemonniariraahadieleliam3275
@filemonniariraahadieleliam3275 9 ай бұрын
@joharyMussa-kc5vs
@joharyMussa-kc5vs 7 ай бұрын
doto magar ww hua msema ukweli hukosegi anae kuchukia wivu unasumbua
@arafatkasu
@arafatkasu 4 ай бұрын
😂😂 mtungi mirefu 😂😂😂
@sofitanzanian955
@sofitanzanian955 10 ай бұрын
😂😂wakijamba tu sema
@edithhassan4196
@edithhassan4196 9 ай бұрын
😂😂😂😂 huyu ni balaaah!!
@jacklineanthony5191
@jacklineanthony5191 10 ай бұрын
Kweli 😅kabisaa mji wameukuta na watauwacha😂😂chezea wazaramo wwe😂😂😂
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 10 ай бұрын
❤❤❤ hapo hapo Dotto wala usinyamaze😂😂😂
@awadhally1052
@awadhally1052 9 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@WaziriJuma-m2p
@WaziriJuma-m2p 4 ай бұрын
Mpaka wapinde migongo😂😂😂
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 10 ай бұрын
Wanapinda mgongo afu mwingine ni mgonjwa Doto wewe😂😂😂😂
@awadhally1052
@awadhally1052 9 ай бұрын
Kwel 😂😂
@FrancoisElesambo
@FrancoisElesambo 9 ай бұрын
Congo tunamuelewa
@bakariomari8758
@bakariomari8758 10 ай бұрын
Doto nomaa wameleft group
@ayshazambia6509
@ayshazambia6509 10 ай бұрын
Msema kweli kipenz cha mungu umeongea ukweli kabisa
@fortunatah
@fortunatah 6 ай бұрын
visokolokwinyo 😂😂😂😂😂😂ila Dotto
@suleimanikimwagas-tk1zq
@suleimanikimwagas-tk1zq 10 ай бұрын
Yaani Leo umeongea mawe tupo, kufeki maisha 😂😂 Ila hahaha kitengo utapata nawachukia Sana hao wapiga miruzi
@BlessingTambatamba
@BlessingTambatamba 8 ай бұрын
Wemukweli sana😅😅😅😅
@mohamedrajabu2734
@mohamedrajabu2734 10 ай бұрын
Dotto magari😂😂😂
@mpozenzidavid4801
@mpozenzidavid4801 10 ай бұрын
Mbona baba levo hajawahi kujibu??😂😂😂
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm 10 ай бұрын
haya juma piga pushap km za doto kisha upost ili tujirizishe 😅😅😅😅😅😅
@NeymarJunior-m3h
@NeymarJunior-m3h 10 ай бұрын
Dotto umeomgea ukweli uyoo juma lokole hamna kitu jumba bovu anatuabosha Sana wanaume wenzake hongera Sana kumwambia ukweli uyoo abadilike tabiya yake sio mzuri ya kupinda mgongo
@GodfreyMoshi-mk7fn
@GodfreyMoshi-mk7fn 10 ай бұрын
Kaka Dotto yani umenifurahisha sana leo sioni sababu yaku fake maisha kabisa yani kama wew ni mkubwa utakua mkubwa tuuu
@HappyGreenTea-fo8lz
@HappyGreenTea-fo8lz 7 ай бұрын
Mitungi yao kama nguzo za tanesco😅😅😅😅😂
@MussaNassoro-vj9li
@MussaNassoro-vj9li 8 ай бұрын
Mama kizimkazi na hapa ipo
@sleyumomar3637
@sleyumomar3637 10 ай бұрын
Weeeh dotto apo umepigajee, huyu ndo dotto keto tajiri wa maneno 😂😂
@malikzegega3179
@malikzegega3179 10 ай бұрын
Kaka Doto watoto wamjin tunakuelewa nini usema😂😂😂
@bakariomari8758
@bakariomari8758 10 ай бұрын
Doto magari mara hii unampoteza mwijaku
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 10 ай бұрын
Kweli mwijaku nababa levo wanapotea
@davidtz4595
@davidtz4595 10 ай бұрын
😂😂😂😂Et eti waluke kichula😂😂
@HassaniMganga-j1j
@HassaniMganga-j1j 10 ай бұрын
Dotto bhana et mludhi 😅😅😅
@issaswalehe200
@issaswalehe200 10 ай бұрын
👍👍👍👍👍👍👍
@SeeMe-t9j
@SeeMe-t9j 9 ай бұрын
Vilama wa migongo 😅😅😅😅😅 una michili mingi Kama tango
@ndayisengaamissi6102
@ndayisengaamissi6102 10 ай бұрын
Watu walio Left Draft😂😂😂😂
@marcominja8850
@marcominja8850 10 ай бұрын
Infolensa
@CAN.164
@CAN.164 10 ай бұрын
Doto doto kubali dana
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 10 ай бұрын
Na hapa Ipo
@ramadhandengera3377
@ramadhandengera3377 2 ай бұрын
Ataopiga mluz TU 😂
@NeymarJunior-m3h
@NeymarJunior-m3h 10 ай бұрын
Kaka doto Niko zanzibar jumapili nakuja dar umenifurahisha Sana juma lokole kumwambia ukweli tabiya yake aache anatuabosha Sana wanaume wenzake juzi kavaa chupi doto hongera milioni Yako iko😂
@AishaTarimo
@AishaTarimo 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka jmn
@jacklineanthony5191
@jacklineanthony5191 10 ай бұрын
Dotto magari mzaramo wa kizzy mkazi 😂😂😂😂😂
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka kwenye miluzi
@PeterMwamanda
@PeterMwamanda 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@ashurasaid1315
@ashurasaid1315 10 ай бұрын
Hatakae piga mruzi apite huku😂😂😂😂
@titongholo6261
@titongholo6261 10 ай бұрын
Doto nakubaliana na wewe , Watanzania wengi ni malimbukeni sana sana akipata kidogo anataka kujionesha . Wewe una tabia kama za Hayati Mwl Nyerere ambaye aliishi maisha yake halisi pale Msasani na kule Mwitongo licha ya kuwa Rais wa nchi kwa miaka 25 Hongera Dito Magari hata hao watangazaji nao ni ovyo kabisa awanafuatilia mambo y ovyo ovyo
@BenjaPas
@BenjaPas 10 ай бұрын
Usifananishe Mwalimu Nyerere na vitu vya kipumbavu wewe
@rehemamillasi2858
@rehemamillasi2858 10 ай бұрын
Twenye jiji letu Dar
@mohdmbarouk8116
@mohdmbarouk8116 10 ай бұрын
Hhhhhhh yani huyu jmaa anaburdisha
@johnkitwima6963
@johnkitwima6963 10 ай бұрын
Mwite Olamide😂😂
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 9 ай бұрын
Dotto; barabend haitoshi; mwandishi; rababend haitoshi
@husseinrashidi5828
@husseinrashidi5828 10 ай бұрын
Inforensa
@JosephTibu
@JosephTibu 8 ай бұрын
mganga wako yupo vizuri kama mganga wa John bocco
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 10 ай бұрын
Foto umenikosha
@digoMastar-zf4ji
@digoMastar-zf4ji 9 ай бұрын
doto magari Leo umenichekesha sana 😂😂
@mohammedhassan4588
@mohammedhassan4588 10 ай бұрын
Mluzi ni nini
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 227 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 48 МЛН
pumpkins #shorts
00:39
Mr DegrEE
Рет қаралды 82 МЛН
HIZI NI MATCH ZA KUTAFUTA ALAMA SIO ZA USHINDI - MCHOME.
7:27
Digitaltvtz
Рет қаралды 1,4 М.
小天使和小丑太会演了!#小丑#天使#家庭#搞笑
00:25
家庭搞笑日记
Рет қаралды 48 МЛН