DOTTO MAGARI AWAVAA ICU “ WALE WOTE NI UPINDE“ NKIPATA CHEO WATAPATA TABU | WANANIOMBA HELA SANA Hakika ni za kweli #simba #yanga #simbayanga #mpira #sport #kombeladunia #worldcup
Пікірлер: 222
@shambashareef731610 ай бұрын
Dotto anajua alipotoka mwacheni ajiachie ,sema mwana hugeki maisha big up dotto
@OmarKipanyakhamis-pe2qx10 ай бұрын
Semaaa kkaa nmkuelewa sanaaaa point yko sem allh bless 🇹🇿🇹🇿❤️💯💯
Uyu jamaa anaakili sana naanapambana na ipo sku atafika mbali saba doto magari saluti
@SophiaMsindo10 ай бұрын
nakubali broo kimsingi wa bongo tunafeki sana maisha binafsi najifuza sana
@amosimussa33606 ай бұрын
Dotto magari unajua bro nini unajua ni hayo tu na wish kukuona live hivyo tu♥️♥️♥️
@saidharith56439 ай бұрын
Doto hapa kaongea kwa hisia kali sana ukimuelewa cz yeye ni mpambanaji kwanini wanamfatilia maisha yake ya undani hakupenda ndio maana yeye anawajua undani na hakuwasemea mbele za watu leo katoboa Yao pia
@jerryjackson346410 ай бұрын
Original wenyewe hawaja pinda😂😂😂 daaah kiswahili na WA Swahili kinanoga sana
@andreamtitunathan964410 ай бұрын
Wamekupaisha tu Mtu wangu Maisha ya wengi ni ulio nayo ww ndio haijasumbua jamii
@kitovasaidi675310 ай бұрын
Masaki kabisa apatimenti😂😂😂😂 Safi sana nimekukubali sana ukweli utakuweka huru.
@abdishakurhassan76514 ай бұрын
Dotto magari self made keep it up the sky is the limit
@WaziriRamadhan-ML10 ай бұрын
Daaah nimecheka leooo😂😂😂 walahi hii hata samia km kaiona naye atakuwa kacheka had kajamba😂😂
@amosimussa33606 ай бұрын
Unajua nn unafanya kaka mzaramo og big up
@suleimankitango10 ай бұрын
Kk dotto upo vizuri
@neemaberny359810 ай бұрын
Wenye akili timamu Ndio atamuelewa huyu jamaa...Dotto kapitia magumu mengi,na hata hapo alipo Bado anaendelea kujitafuta...uwezi kisa umeanza kupokea rizki wakati unajitafuta uhame nyumba ya 50000 ukahamie nyumba ya millioni kwa mwezi!!Huyu anatambua kwamba Huwa wanapata madili..hayo madili yanamsimu awezi akajitoa kwenye uhalisia na kujitoa amani kwa maisha ya kuwqfurahisha watu wa mitandaoni alafu aje adhalilike mara hana Kodi ..tunawaona mastar kibao yanawakuta..
@msouthqualitymabati465710 ай бұрын
Ni kweli
@kivuswahilitv683310 ай бұрын
Jamaa huyu kapitia mengi n'a Pia anaweza tajirika kama utani maaana alikotoka huyu bwana sio hapa wenzio wengi wamekufa tayari na madawa ila doto katumia mesadon hadi Leo anajitafuta
Ndoto katika siku leo nimekupa saluti umeongea ukweli mimi niko Europe ila unaongea ukweli wa senge hao
@elizajoseph720910 ай бұрын
Wewe doto eti wanapinda migongo huku wanapiga miruzi😂😂😂😂😂😂😂😂
@ireneimbuhira775910 ай бұрын
Hehehe na mpenda sana Doto ❤❤❤ nani Mgonjwa?
@elizajoseph720910 ай бұрын
Maimatha
@ireneimbuhira775910 ай бұрын
@@elizajoseph7209 Ohh
@ireneimbuhira775910 ай бұрын
@@elizajoseph7209 hope ata letewa shika kwaku sema ivyo
@PatrickAmidos-b2i10 ай бұрын
Hahahhahahahahahahaa Dotto una mdomo sana ww duuuuuuh niatari Sana juma njoo huku uruke kichura chura tuone na ndooo juu bro
@tatukarume614010 ай бұрын
Wape vidonge vyao hakuezi tunakuoenda mpka bas yani mtu ukiwa na stress zako mtu akikuskiliza tu anaenjoy
@amoonatnzani983410 ай бұрын
Haya wambea wa I C U kula chuma iyo 😂😂😂😂😂😂😂
@hezronsanga519710 ай бұрын
Team Doto magari gonga like
@ellymzera24579 ай бұрын
Hata kwetu wapo.🇰🇪 🇹🇿
@madinakitemo890210 ай бұрын
Doto magari nakupenda bureeee umemkomesha uyo shoga juma lokole na wenzie
@benjo_brighter10 ай бұрын
Duh 🤔 na umewanyea sana kaka
@DeborahChristopher-th6nl9 ай бұрын
Nakupenda Bure Dotto❤❤❤❤
@partickkessy599710 ай бұрын
😂😂😂ila Doto Leo nimecheka sana
@michaelcharles499 ай бұрын
Hawali mpaka wapinde mgongo duu
@neemammbaga22710 ай бұрын
Lakin dotto kipindi anaanza anza kujulikana alifanyiw interview kwake anapokaa na palikua palepale icu walipoenda sema tu wambea hawajalitilia maanani kuitafuta hiyo interview dotto alisema kabsa hapa ndo kwangu na ni zamani sana kama miaka miwili
@kismarthashvan10 ай бұрын
Wazalamo atufeki maisha doto aowa2 wanapenda kitonga awali mbaka wapinde mgogo
@malikzegega317910 ай бұрын
Nakubali kaka wazaramo akuna machoko
@JibrilBangaАй бұрын
Ndoto magari na furaï sana ku sikia mahongezi yako kwa ivi ni tumie number zako of cause na itaji ku huza gari toka Congo
@moseskulola691310 ай бұрын
Tanzania in inchi ya comedy watu wote
@neitherherenorthere836710 ай бұрын
Yaani i love tzanian's confidence. Their mouths runs faster than their wallets!
@RachelRichard-l3h10 ай бұрын
😂😂😂you ehh
@hajimnubi458110 ай бұрын
We ni mkenya?
@abdulmohd688010 ай бұрын
Eti kw sisi waislamu😢 na shingoni ana libonge la msalaba dah!!! Uislamu wa kibingo bana😂
@mpozenzidavid480110 ай бұрын
Niko nawewe kaka
@MoriceKendrick10 ай бұрын
Doto kwanz mjini imeingia juzi mbuzi wew
@Kidotii10 ай бұрын
Doto Wa kizimkazi😂😂😂😂 anewawezaa ,JUMA HUYU NDO KIBOKO YAKO
@AlexJohn-gp6bu10 ай бұрын
Kweli apo umeongea fact mashoga wauliwe wote
@OmaryKaniki-hs5mz9 ай бұрын
Sema mzaramo mwenzangu
@moseskulola691310 ай бұрын
Waadishi hawa wanasoma wapi jamani
@jamesking989110 ай бұрын
Kumbe kuna watu wameleft group la wanaume tz 😂😂😂😂
@awadhally10529 ай бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣
@mohammedkombo97989 ай бұрын
Wazaramo acha tu watu wa Dar balalaa @!Dotto from MK @uk
@wilfredmwakatwila629510 ай бұрын
Umeongea vizuri
@allybobsaith10 ай бұрын
Doto magari umewaweza ICU, umewajibu kisomi sana
@firereal00110 ай бұрын
Eti hawal kabla hawajapinda mgongo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@HappyGreenTea-fo8lz7 ай бұрын
Kweliii kabisa wasanii wanafeki sana maishaaa😅😅😅😢
@hansmsangi98289 ай бұрын
Nakukubali sana dotto asante sana unatubeba sana sisi watu kawaida tumezaliwa tuishi hapa duniani dhamira ya Molla sio kuwa tuwe matajiri km wao hapa ni vile Muumba kapendezwa atupe pumzi tuishi maisha ss km wao wamepata basi washkuru tu lkn sio kutuona ss km wakukosa tu hapana tuna haki ya kuishi maisha ya kawaida na katika mazingira yyte... Dotto asante kwa kutetea mazingira yetu km mabaya ndio Mungu katupa... Mwambie huyo mshamba wa dunia atakuelewa tu ss ndio mkazi wa mama Samia....😂
Kweli 😅kabisaa mji wameukuta na watauwacha😂😂chezea wazaramo wwe😂😂😂
@gilliardgodfriend574510 ай бұрын
❤❤❤ hapo hapo Dotto wala usinyamaze😂😂😂
@awadhally10529 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@WaziriJuma-m2p4 ай бұрын
Mpaka wapinde migongo😂😂😂
@elizajoseph720910 ай бұрын
Wanapinda mgongo afu mwingine ni mgonjwa Doto wewe😂😂😂😂
@awadhally10529 ай бұрын
Kwel 😂😂
@FrancoisElesambo9 ай бұрын
Congo tunamuelewa
@bakariomari875810 ай бұрын
Doto nomaa wameleft group
@ayshazambia650910 ай бұрын
Msema kweli kipenz cha mungu umeongea ukweli kabisa
@fortunatah6 ай бұрын
visokolokwinyo 😂😂😂😂😂😂ila Dotto
@suleimanikimwagas-tk1zq10 ай бұрын
Yaani Leo umeongea mawe tupo, kufeki maisha 😂😂 Ila hahaha kitengo utapata nawachukia Sana hao wapiga miruzi
@BlessingTambatamba8 ай бұрын
Wemukweli sana😅😅😅😅
@mohamedrajabu273410 ай бұрын
Dotto magari😂😂😂
@mpozenzidavid480110 ай бұрын
Mbona baba levo hajawahi kujibu??😂😂😂
@AbdulkareemaliyseifSeif-ob1lm10 ай бұрын
haya juma piga pushap km za doto kisha upost ili tujirizishe 😅😅😅😅😅😅
@NeymarJunior-m3h10 ай бұрын
Dotto umeomgea ukweli uyoo juma lokole hamna kitu jumba bovu anatuabosha Sana wanaume wenzake hongera Sana kumwambia ukweli uyoo abadilike tabiya yake sio mzuri ya kupinda mgongo
@GodfreyMoshi-mk7fn10 ай бұрын
Kaka Dotto yani umenifurahisha sana leo sioni sababu yaku fake maisha kabisa yani kama wew ni mkubwa utakua mkubwa tuuu
@HappyGreenTea-fo8lz7 ай бұрын
Mitungi yao kama nguzo za tanesco😅😅😅😅😂
@MussaNassoro-vj9li8 ай бұрын
Mama kizimkazi na hapa ipo
@sleyumomar363710 ай бұрын
Weeeh dotto apo umepigajee, huyu ndo dotto keto tajiri wa maneno 😂😂
@malikzegega317910 ай бұрын
Kaka Doto watoto wamjin tunakuelewa nini usema😂😂😂
@bakariomari875810 ай бұрын
Doto magari mara hii unampoteza mwijaku
@JumaJuma-fu7ji10 ай бұрын
Kweli mwijaku nababa levo wanapotea
@davidtz459510 ай бұрын
😂😂😂😂Et eti waluke kichula😂😂
@HassaniMganga-j1j10 ай бұрын
Dotto bhana et mludhi 😅😅😅
@issaswalehe20010 ай бұрын
👍👍👍👍👍👍👍
@SeeMe-t9j9 ай бұрын
Vilama wa migongo 😅😅😅😅😅 una michili mingi Kama tango
@ndayisengaamissi610210 ай бұрын
Watu walio Left Draft😂😂😂😂
@marcominja885010 ай бұрын
Infolensa
@CAN.16410 ай бұрын
Doto doto kubali dana
@abisaimuhanji368710 ай бұрын
Na hapa Ipo
@ramadhandengera33772 ай бұрын
Ataopiga mluz TU 😂
@NeymarJunior-m3h10 ай бұрын
Kaka doto Niko zanzibar jumapili nakuja dar umenifurahisha Sana juma lokole kumwambia ukweli tabiya yake aache anatuabosha Sana wanaume wenzake juzi kavaa chupi doto hongera milioni Yako iko😂
@AishaTarimo10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka jmn
@jacklineanthony519110 ай бұрын
Dotto magari mzaramo wa kizzy mkazi 😂😂😂😂😂
@agnesjohn938210 ай бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka kwenye miluzi
@PeterMwamanda10 ай бұрын
😂😂😂😂
@ashurasaid131510 ай бұрын
Hatakae piga mruzi apite huku😂😂😂😂
@titongholo626110 ай бұрын
Doto nakubaliana na wewe , Watanzania wengi ni malimbukeni sana sana akipata kidogo anataka kujionesha . Wewe una tabia kama za Hayati Mwl Nyerere ambaye aliishi maisha yake halisi pale Msasani na kule Mwitongo licha ya kuwa Rais wa nchi kwa miaka 25 Hongera Dito Magari hata hao watangazaji nao ni ovyo kabisa awanafuatilia mambo y ovyo ovyo
@BenjaPas10 ай бұрын
Usifananishe Mwalimu Nyerere na vitu vya kipumbavu wewe