Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always
@AldoMan-ex6mi7 ай бұрын
Nakubal
@humphreyleodgar94347 ай бұрын
Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤
@user-sj8ck1bk1d8 ай бұрын
Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi
@frankmganda24248 ай бұрын
Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli
@ASALABOY8 ай бұрын
Mzee wanondo Dotto maca
@salehkejje87868 ай бұрын
Doto ni mtu Wa kufurahisha watu Tunajiskia faragha sana uwepo wako
@haroldkayanda70928 ай бұрын
Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!
@katsuvakamatedaniel78938 ай бұрын
Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅
@eldaddyofficial7 ай бұрын
Tto kakaa nao chuoni Uganda
@udizungwahimalaya52138 ай бұрын
Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂
@bonabonala55598 ай бұрын
doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo
@SharifuAlbughul-ls4mw8 ай бұрын
Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂
@elizajoseph72098 ай бұрын
Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂
@PrinceBonnyTz88 ай бұрын
Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅
@SelinaMdoe-jv1pu8 ай бұрын
Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana
@HappyGreenTea-fo8lz5 ай бұрын
Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅
@angedizzle18 ай бұрын
Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂
@danreckgodfrey46638 ай бұрын
Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊
@bugabyarugaba37718 ай бұрын
Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi
@eldaddyofficial7 ай бұрын
Mburundiii babalevoo
@sorwasoudy62568 ай бұрын
Doto unaongea Sana
@jeremiahcharles60278 ай бұрын
Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara
@arafatkasu2 ай бұрын
Vibunju 😅😅😅😅😅
@mathewungani97248 ай бұрын
Matako ya Nyani.....Mapua
@roberttagaya90988 ай бұрын
Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅
@eldaddyofficial7 ай бұрын
😂😂😂
@user-lq1yg9mk1i4 ай бұрын
Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
@user-lq1yg9mk1i4 ай бұрын
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
@user-lq1yg9mk1i4 ай бұрын
Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu
@user-lq1yg9mk1i4 ай бұрын
Acheni ushamba wa magari nyie
@josephmihayo62368 ай бұрын
Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.
@abisaimuhanji36878 ай бұрын
Eti hapa ipo😊
@user-fp9su6vp9y8 ай бұрын
🎉
@asmarajabu57868 ай бұрын
bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏
@gadafsalum80428 ай бұрын
Inatakiwa uanze kuripa kofi
@Josephkp6298 ай бұрын
Tqngazo la biashara hili
@fanitofaustino41088 ай бұрын
Kkkkk
@user-vw7te4fu9h8 ай бұрын
😂😂😂
@user-fg1gg3ec2o8 ай бұрын
Kenya waoga wanaogapa kuuawa
@user-el6mm4lh4m8 ай бұрын
Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉
Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana
@Kimanzi0018 ай бұрын
DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?
@user-rw9kc2wg4f8 ай бұрын
Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki
@nasibuahmedy24388 ай бұрын
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
@Baron_Kigume8 ай бұрын
Acha makasiriko. Tafuta Hela
@nasibuahmedy24388 ай бұрын
@@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie
@Baron_Kigume8 ай бұрын
@@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji
@salehkejje87868 ай бұрын
Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha Cha mama kipo apo 😂😂
@laurentmupira12808 ай бұрын
Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Ila zakwakweeeeee
@NgengeMkeni-uo5hq8 ай бұрын
We unazooo😂
@fatmafatu11288 ай бұрын
Mtumwa wa mayahudi
@davcodavid86518 ай бұрын
Acha bwana wewe zake lkn
@laurentmupira12808 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
@KIPUDA20238 ай бұрын
😂😂❤❤
@roseannandambo86958 ай бұрын
Utani utani tupinge utani na doto magari?
@mkanulamajid5008 ай бұрын
Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?
@westcijosh8 ай бұрын
Ukifungua macho utaona
@KingSillah-gx5nv8 ай бұрын
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
@wilsonthomas91768 ай бұрын
Nchi yenu c haina aman
@nasibuahmedy24388 ай бұрын
Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela
@MCNgakungaJunior8 ай бұрын
Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.
@zakariadesha27078 ай бұрын
Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu
@allendaniel31728 ай бұрын
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu