DOTTO MAGARI AMUWASHIA MOTO BABA LEVO, USO KWA USO, CHANZO GARI

  Рет қаралды 77,133

Mbengo Tv

Mbengo Tv

8 ай бұрын

Пікірлер: 96
@user-wp3xr8gr8u
@user-wp3xr8gr8u 8 ай бұрын
Doto Acha Tu unatisha mzazi unatufanya tujiskie good Always
@AldoMan-ex6mi
@AldoMan-ex6mi 7 ай бұрын
Nakubal
@humphreyleodgar9434
@humphreyleodgar9434 7 ай бұрын
Doto ni halisi halisia hakuna kufake ❤❤❤
@user-sj8ck1bk1d
@user-sj8ck1bk1d 8 ай бұрын
Pesa haitaki kelele broo piga kazi mdomo achia Mke Wako boi
@frankmganda2424
@frankmganda2424 8 ай бұрын
Broo Dotto nakukubali sana unaongea ukweli
@ASALABOY
@ASALABOY 8 ай бұрын
Mzee wanondo Dotto maca
@salehkejje8786
@salehkejje8786 8 ай бұрын
Doto ni mtu Wa kufurahisha watu Tunajiskia faragha sana uwepo wako
@haroldkayanda7092
@haroldkayanda7092 8 ай бұрын
Hupendi maendeleo ya wenzio kazi kuwaponda, hivi wewe unauza magari au kazi kukashifu wenzio? Hiyo ndo kazi unaisha familia yako? 😂 pole!
@katsuvakamatedaniel7893
@katsuvakamatedaniel7893 8 ай бұрын
Hapo kwa juma nime cheka eti Kama musabato 😅😅😅
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 7 ай бұрын
Tto kakaa nao chuoni Uganda
@udizungwahimalaya5213
@udizungwahimalaya5213 8 ай бұрын
Dotto eeeeeeeh sijawahi kucomment leo acha nicheke2😂😂😂😂
@bonabonala5559
@bonabonala5559 8 ай бұрын
doto mwamba upo juu kuriko mapua au mama levo
@SharifuAlbughul-ls4mw
@SharifuAlbughul-ls4mw 8 ай бұрын
Yan mpk waandishi wanashindwa kumhoji wajikuta wanachekaaaa to na kuskiliza😂😂😂😂😂
@elizajoseph7209
@elizajoseph7209 8 ай бұрын
Anaendesha juma mosi na juma pili kama msabat0😂😂😂😂😂😂
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 8 ай бұрын
Doto acha uongo mbona hiyo gari haina namba kama kweli ni yako😅
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 8 ай бұрын
Mbona doto unakaa banda la uani misifa yote hiyo uliyonayo jamani mnaishi mai sha yakuigiza sana
@HappyGreenTea-fo8lz
@HappyGreenTea-fo8lz 5 ай бұрын
Anaendesha kila jumapili kama msabato😅😅😅😅😅
@angedizzle1
@angedizzle1 8 ай бұрын
Kwa sisi watu wenye elimu.....😂😂
@danreckgodfrey4663
@danreckgodfrey4663 8 ай бұрын
Kwani dotto una gari yaina gan? Maana unaponda wakati lakwako hatulioni na pikipiki huna😊😊
@bugabyarugaba3771
@bugabyarugaba3771 8 ай бұрын
Baba levo kwa doto tulia wenye jj lao huwawezi
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 7 ай бұрын
Mburundiii babalevoo
@sorwasoudy6256
@sorwasoudy6256 8 ай бұрын
Doto unaongea Sana
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 8 ай бұрын
Yawezekana,kanunuliwa ,Ila wanakata kwenye mshahara
@arafatkasu
@arafatkasu 2 ай бұрын
Vibunju 😅😅😅😅😅
@mathewungani9724
@mathewungani9724 8 ай бұрын
Matako ya Nyani.....Mapua
@roberttagaya9098
@roberttagaya9098 8 ай бұрын
Dotto. Sasa sisi Wasabato tumeingiaje apo? Mbona ivyo?😅😅
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 7 ай бұрын
😂😂😂
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 4 ай бұрын
Gari ni Chombo cha usafiri sio cha starehe...ukipata ajali ndio utajua.... Zaidi ni comfortability tu ya Gari kwa kutegemea umbali wa safari na ndio maana raisi ana magari ya town caravans' cars na gari za masafa ya mbali
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 4 ай бұрын
Dotto Kwa sababu yeye Ni dalali wa magari Sio ajabu....Ila Hao wengine wamezidi ulimbukeni na ushamba ....mzungu hana ujinga wa kumiliki magari mengi akiwa hata ana Pesa vipi na wasanii wa ulaya wao wanakua na magari mengi ili baadae iwe kama vintage Yard
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 4 ай бұрын
Achani kuiga maigo yasiyo ya msingi Kuna mambo kibao yakufanyia hizo Pesa ukaweleza na kufahidika ....acheni kua na mindsets za ajabu
@user-lq1yg9mk1i
@user-lq1yg9mk1i 4 ай бұрын
Acheni ushamba wa magari nyie
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 8 ай бұрын
Mbwembwe nyingi, majigambo mengi kumbe anakaa chooni.
@abisaimuhanji3687
@abisaimuhanji3687 8 ай бұрын
Eti hapa ipo😊
@user-fp9su6vp9y
@user-fp9su6vp9y 8 ай бұрын
🎉
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 8 ай бұрын
bora umewakomoa mana wambea hao 😏😏
@gadafsalum8042
@gadafsalum8042 8 ай бұрын
Inatakiwa uanze kuripa kofi
@Josephkp629
@Josephkp629 8 ай бұрын
Tqngazo la biashara hili
@fanitofaustino4108
@fanitofaustino4108 8 ай бұрын
Kkkkk
@user-vw7te4fu9h
@user-vw7te4fu9h 8 ай бұрын
😂😂😂
@user-fg1gg3ec2o
@user-fg1gg3ec2o 8 ай бұрын
Kenya waoga wanaogapa kuuawa
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 8 ай бұрын
Dotto njaaa2 uyoooo na sofa zimemjaaaa daimond hnaaa hiana na m2 bba levo chapa kazi🎉🎉🎉🎉
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 8 ай бұрын
Duuu
@sorwasoudy6256
@sorwasoudy6256 8 ай бұрын
Doto ndo kboko w machawa
@eldaddyofficial
@eldaddyofficial 7 ай бұрын
Umeonaaa ehhhhhh hawavumiiiii tenaa wala hatuwaogopi tenaa
@ReginaJoseph-cm3cx
@ReginaJoseph-cm3cx 8 ай бұрын
Kodi unalipa?
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@user-uo8ce5wp9x
@user-uo8ce5wp9x 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@salumDion3175
@salumDion3175 8 ай бұрын
Kwan namba yagar inasemaje niileile au imebadirka
@user-uo8ce5wp9x
@user-uo8ce5wp9x 8 ай бұрын
duu huyu mwamba hatar
@benitokibwaa4251
@benitokibwaa4251 8 ай бұрын
Humuwez baba levo ww
@nurdinkisaria9476
@nurdinkisaria9476 8 ай бұрын
Wee takataka fiche vihela vyako mshenzi nini
@westcijosh
@westcijosh 8 ай бұрын
Matako ya nyani yamekua matako ya sungura😂😂 dotto kenge sana
@Kimanzi001
@Kimanzi001 8 ай бұрын
DOTO MAGARI NDO NAANI MBONA ANA KELELE SANA?
@user-rw9kc2wg4f
@user-rw9kc2wg4f 8 ай бұрын
Sema mnazingua nyie midia yenu jau iyo uso uso kwa uso baba levo yupo wapi ss acheni mamb ya kiwaki
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 8 ай бұрын
Tatizo Doto watu wanampendea uongo wake tu na kujisifu hela lkn hamna chochote maigizo tu hayo ukimaliza interview unarudisha hela za watu hizo daaaah. Unasema Mazda gari lako lkn hakuna hata plate number mamyake
@Baron_Kigume
@Baron_Kigume 8 ай бұрын
Acha makasiriko. Tafuta Hela
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 8 ай бұрын
@@Baron_Kigume Sema unataka shingap nikutumie
@Baron_Kigume
@Baron_Kigume 8 ай бұрын
@@nasibuahmedy2438 Ninajitosheleza. Silalamiki hovyo na kuanza Ku-Diss hustle za wanaume wenzangu. Ninaheshimu wapambanaji
@salehkejje8786
@salehkejje8786 8 ай бұрын
Doto achana na watu utajiharibia CV endelea kutufurahisha Cha mama kipo apo 😂😂
@laurentmupira1280
@laurentmupira1280 8 ай бұрын
Tukizichange kwenye dollars za Marekani, hamna kitu!!!! Ni ugari tu, na mboga za majani.
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 8 ай бұрын
Ila zakwakweeeeee
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 8 ай бұрын
We unazooo😂
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 8 ай бұрын
Mtumwa wa mayahudi
@davcodavid8651
@davcodavid8651 8 ай бұрын
Acha bwana wewe zake lkn
@laurentmupira1280
@laurentmupira1280 8 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq, More, than him!!! For eg: Kila asubuhi nikiwa kaunta, nalazimika kutoa pesa taslimu zaidi ya milioni mia mbili ili kuwalipa wasafirishaji wa malori ya trela. Ni lazima iwe siri kubwa, iliyotunzwa vizuri na sio hiyo.
@KIPUDA2023
@KIPUDA2023 8 ай бұрын
😂😂❤❤
@roseannandambo8695
@roseannandambo8695 8 ай бұрын
Utani utani tupinge utani na doto magari?
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 8 ай бұрын
Mbona sijaona sehemu ambayo b levo anamchana doto ?
@westcijosh
@westcijosh 8 ай бұрын
Ukifungua macho utaona
@KingSillah-gx5nv
@KingSillah-gx5nv 8 ай бұрын
Wanaume watanzania wanaongea sana kuliko wanawake, hapa Kenya huwezi ongea vile huyu jamaa anajisifia utapigwa risasi mapema sanaa💔💔💔. Tajiri haonekani mtandaoni ama kwenye media , matajiri wanaogopa kuonekana, nashangaa vile watanzania wanapenda kujionesha wakijisifu vile wanavyo hela. Njoo hapa Nairobi uone matajiri, utajidharau kaka.
@wilsonthomas9176
@wilsonthomas9176 8 ай бұрын
Nchi yenu c haina aman
@nasibuahmedy2438
@nasibuahmedy2438 8 ай бұрын
Ushasema huko kwenu Kenya ila tambua huku ni Tanzania nchi huru. Alafu huyu Doto magari wala sio tajiri au umepagawa na hicho kibunda kidogo cha hela
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 8 ай бұрын
Million moja siyo utajiri.Hao unaowaona wanaongea sana riziki yao iko mdomoni.Hivyo lazima waongee sana.
@zakariadesha2707
@zakariadesha2707 8 ай бұрын
Kenya wanaumehawana pesa Tanzania tulishazoeya kutumiya pesa mtanzania wahaliyachini hakosikumiliki MILIONI kwanziya 5 kwahio kwetu tunaona kwawaidatu
@allendaniel3172
@allendaniel3172 8 ай бұрын
Asa nyi si mnatamaa Tz watafutaji ukiwa na pesa Yako ni Yako hakuna MTU ataitamani kikubwa kupambana Kila mtu awe na chake nyi Kenya piganen io mibunduki Kwa tamaa zenu
@user-hi1xf3je6l
@user-hi1xf3je6l 8 ай бұрын
Mmezingua kwa mzawa mwenye dar yke
@oyay2821
@oyay2821 8 ай бұрын
@babalevo waitwa huku
@andrewmmbaga1665
@andrewmmbaga1665 8 ай бұрын
😂😂😂
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 68 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 210 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 9 МЛН
DAY BREAK | Why youth are unsatisfied with vetting of cabinet nominees
57:43
MAKAMPUNI 7 KUJENGA NYUMBA YA BABA LEVO KIGOMA
2:30
SEVEN MEDIA
Рет қаралды 1,7 М.
MAPYA KUHUSU SAKATA LA MAKONDA, DUDU BAYA AWASHA MOTO
9:49
Mbengo Tv
Рет қаралды 27 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 68 МЛН