Tundu Lissu alivyotinga Polisi kuchukua GARI lake; afunguka MAZITO kushambuliwa kwake

  Рет қаралды 244,021

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Жыл бұрын

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lisu amefika kwenye ofisi ya Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma RPC Martin otieno akitaka kuliangalia gari lake ambalo anadai alishambuliwa akiwa kwenye gari hilo.
Lissu amefika leo Alhamisi, Februari 9, 2023, huku akisema kuwa alikuwa amewasiliana na RPC kwaajili ya kwenda kuliona gari lake hilo ambalo hata hiivyo bado hajafanikiwa kuliona akielekezwa kurudi wakati mwingine kutokana na RPC kuwa kwenye shughuli nyingine.

Пікірлер: 418
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Жыл бұрын
Waandishi wanalazimisha ajibu tofauti.Kumbe mwenzao msomi na yuko makini sana.
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Umeona eeeee
@dassustephen731
@dassustephen731 Жыл бұрын
Maswali ya waandishi hayaukizwi kitaalamu kabisa Swali utafikiri anahubiri badala ya kwenda straight to the point
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Жыл бұрын
Ukweli hata mm niliumia sana ulipopigwa risasi,ukionekana TANZANIA ccm wanapata tabu sana
@mkijilukali2010
@mkijilukali2010 Жыл бұрын
Mungu ataendelea kua nawewe
@fadhilikombe3338
@fadhilikombe3338 Жыл бұрын
Safi sana Mhe lissu. Umeongea vyema kabisa. We keep going ✌️✌️✌️
@stelajoramu5298
@stelajoramu5298 Жыл бұрын
Apewe urais huyu ndugu ameteswa mno
@razakrazak7169
@razakrazak7169 Жыл бұрын
Mwamba hyuu apa✌
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Mwandishi uriovaaa miwani na tai nyekundu unaakiri Sana maswali mazuri
@abbynimel-kindy5107
@abbynimel-kindy5107 Жыл бұрын
Walinzii Wa Lissu Wapewe Silaha sasa lissu never Give Up.. mama Samia suluu sisi watanzania tunaumia tunauwawawa😢😢😢
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 Жыл бұрын
Ujinga kabisa! Yaan huyu mbwa anadharau Sana!
@bigbrothermwita1971
@bigbrothermwita1971 Жыл бұрын
peleka makumbusho
@gulionigulioni3234
@gulionigulioni3234 Жыл бұрын
Muuwaji na yeye si ameshakufa sasa wasi wasi wa nini?
@ajsmainde5138
@ajsmainde5138 Жыл бұрын
@@gulionigulioni3234 nani qlitaka kumuua...?
@gulionigulioni3234
@gulionigulioni3234 Жыл бұрын
@@ajsmainde5138 kwani kuna mwingine zaidi ya mwendazake dikteta jiwe na kundi lake la sukuma gang.
@mussamohammed6023
@mussamohammed6023 Жыл бұрын
Nakubali sana lisu uko vyema baba ishi miaka mingi...
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Kabsaaa
@petsmore9955
@petsmore9955 5 ай бұрын
Lisu,anafaa sana kuwa kiongozi mkuu was nchi hii. Mungu ambariki sana. Watz tumwombee sana!
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Roho ya paka kidume wa kweli , mungu akutie nguvu zaidi tunataka Raisi kama wewe usio na woga na hawa madhalimu washenzi
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
Muda wake haukufika tu wala hakuna roho ya paka mungu akikuita
@paiwanjara3502
@paiwanjara3502 Жыл бұрын
ila huyu mwamba anajua hadi anakera ndiyo maana Mungu ameruhusu aendelee kuwepo atupatie madini
@expert5898
@expert5898 Жыл бұрын
Mtu muhimu sana kwa Tanzania... Ni mtu muhimu mno.
@edithamutagulwa1484
@edithamutagulwa1484 Жыл бұрын
Umepitia mengi Sana dady kwakel Mungu yupo Tanzania nlihamin kupitia wew na Mungu amejidhihilisha kupitia wew apa Tanzania
@sambiaj
@sambiaj Жыл бұрын
Love u Lissu my neighbor at Tegeta’s
@mashannapapaaa9582
@mashannapapaaa9582 Жыл бұрын
Hongela laisi tundulisu
@justinesalivatory7226
@justinesalivatory7226 Жыл бұрын
Mwamba kardi miaka 100000
@landisyloishiye933
@landisyloishiye933 Жыл бұрын
Kweli lissu umeiva kisiasa
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Ukimpinga tundu lissu utakufa Kama jpm amina
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Waandishi wa habari wa tz bhana,mnapenda unafki na maswali local sana!
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Tanzania HAKUNA Wandishi kila mtu anatafuta watu wa kumshabikia.
@polycarpykavishe9001
@polycarpykavishe9001 Жыл бұрын
Hahaaaa kabisaa uchonganishi ni mwingi
@lionofjudahtv8796
@lionofjudahtv8796 Жыл бұрын
Ungekuwa wewe ungeulizaje?
@jesuinababili2280
@jesuinababili2280 Жыл бұрын
Kabisaaa ... tooo locally
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
@@lionofjudahtv8796 Mtu umempa lift, lunch, posho. Unampangia cha kukuuliza na baadae ufanye editing ndio HABARI gani. Habari ni kile usichopenda kukisikia.
@lemausontz3513
@lemausontz3513 Жыл бұрын
2025 Nakuona Ikulu Mh T L Mghwai Home boy
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Hili ni tatizo kubwa sana watanzania take care yajayo yanafurahisha maana hiyo gari inatakiwa ikafanyiwe uchunguzi wa kina sana na hao polisi mm naimani hiyo gari apo haipo mm mwenyewe binafsi apo kituoni sijawahi kuiona kazi ipo kama ni picha hii ndio inaanza naimani picha likiisha kubwa la madui atafia kwenye bustani ya maua.
@georgegerald4153
@georgegerald4153 Жыл бұрын
Point yako ni kubwa sana ulicho kidhania na mimi nadhani ipo hivyo
@alphascaona576
@alphascaona576 Жыл бұрын
Nimekuelewa picha inaanza kujionyesha
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Hahahah aiseee weulishawah kwenda kituon hukuiona
@emmapaul1766
@emmapaul1766 Жыл бұрын
The giant politician in Tanzania
@dassustephen731
@dassustephen731 Жыл бұрын
He is very courageous,that is he a master of fear and not absent of fear
@christophertz
@christophertz Жыл бұрын
VIVA TUNDU ANTIPHAS LISSU ✌🏿
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 Жыл бұрын
Ameolewa Belgium 🇧🇪 huyo
@abdallahkiduli1451
@abdallahkiduli1451 Жыл бұрын
Asant mungu kukupa nguvu yakuteteya wanyonge unaongeya kwaajili yetu kwa uwezo wa Allah atakupa maisha marefu
@V24hrs
@V24hrs Жыл бұрын
NIMEKUELEWA SANA Kwamba Tumehuru ya Uchaguzi ni lazima kwanza na mambo mengine yaendelee kutekelezwa
@imakitori399
@imakitori399 Жыл бұрын
Sio TUME HURU ni KATIBA MPYA lazima ndio inafuata TUME HURU
@Wamoyothenumberone
@Wamoyothenumberone Жыл бұрын
Anaongea poa saana
@frankfrancis5736
@frankfrancis5736 Жыл бұрын
Raisi Tundu lisu
@clemenceparokola
@clemenceparokola Жыл бұрын
Lisu nakukubali sanaaaa
@furahianyambo791
@furahianyambo791 Жыл бұрын
Huyu ndie kiongozi ajae
@jumamakuri9176
@jumamakuri9176 Жыл бұрын
Bado sana Hadi CCM tuamue kuwapa
@josephpaul885
@josephpaul885 Жыл бұрын
Kiukweli huyu Lisu ni mzalendo wa kweli
@hermanmazuri1619
@hermanmazuri1619 Жыл бұрын
mwamba kabsa tundu lissu one of the best a man politics
@josephmwalah8202
@josephmwalah8202 Жыл бұрын
Mungu akujalie maono mema
@warrenmgode1837
@warrenmgode1837 Жыл бұрын
Kamanda lissu mwanasheliya
@kibwetere1418
@kibwetere1418 Жыл бұрын
Mzee wa unanifahamu!!
@abbynimel-kindy5107
@abbynimel-kindy5107 Жыл бұрын
Jeshi La Police LA Tanzania Mguseni sasa Raia yetu Lissu
@hijafadhili4956
@hijafadhili4956 Жыл бұрын
Kwani kipindi alipokimbia mlikuwa amjazaliwa
@bonifacemwanga3115
@bonifacemwanga3115 Жыл бұрын
HILO GARI LIHIFADHIWE KWENYE KUMBUKUMBU ZA (TAIFA) maana tukio hili ni kubwa sana, Asije kufanyiwa MTANZANIA MWINGINE,
@mandaruukali2374
@mandaruukali2374 Жыл бұрын
Safisana lissu mwambie nalema alejee nyumbani
@csato9415
@csato9415 Жыл бұрын
Lema ameshatangaza anarejea March 1, 2023.
@charlesmurimi765
@charlesmurimi765 Жыл бұрын
Trh 01/03/2023 pale KIA airport,karibu tumpokee
@mwlpaulnghumbujanila6264
@mwlpaulnghumbujanila6264 Жыл бұрын
Good
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Жыл бұрын
Waliotaka kumuua mtoto washakufa
@zurufamzava7042
@zurufamzava7042 Жыл бұрын
Nakupenda baba angu Allah akupe hitaji la moyo wako ✌️✌️✌️✌️✌️
@meshackkazungu1948
@meshackkazungu1948 Жыл бұрын
Nakupenda sana MWAMBA nahitaji kuwa wakala wakusajili watu kidigitali namimi pia nahitaji kadi ya kidigital
@mtaanionlinetv9200
@mtaanionlinetv9200 Жыл бұрын
upo wapi?
@jaymandy8136
@jaymandy8136 Жыл бұрын
Kweli huyu mwamba ni tishio kwenye serikali ya CCM 😂😆😆😆 Batakoyola Dagaa 😂
@omaryramadhani290
@omaryramadhani290 Жыл бұрын
Mtu wa haki kweli kweli
@yudaseleman8320
@yudaseleman8320 Жыл бұрын
Kwa tundu lissu mb zang zitaisha mno darasa tosha
@dicksonexavery726
@dicksonexavery726 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni kimbunga anatisha ni zaid ya Mbappe!!
@yudaseleman8320
@yudaseleman8320 Жыл бұрын
@@dicksonexavery726 hehee saf mno
@RashidAli-rn3ro
@RashidAli-rn3ro Жыл бұрын
Kwa wanaomuelewa huyu jamaa kumckiluza hawachoki mm nataman kila cku afanye interview na waandishi, chakushangaza suali gumu yy analijibu rahic tena kwa hoja na sio porojo
@loshirotatekoriosoombe2187
@loshirotatekoriosoombe2187 Жыл бұрын
Huyo ndiye Rais mtarajiwa✌️✌️
@avitusmichael5
@avitusmichael5 Жыл бұрын
Raisi wanyoko
@edwinmandela5658
@edwinmandela5658 Жыл бұрын
Raisi ajae
@jalalkhalid8499
@jalalkhalid8499 Жыл бұрын
Mywen number ya tundu lissu naomba anitumie pls. .. l love this guy ..sana huyu mtu Kweli kutoka moyoni....????
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
Waandishi mchwara mnaboa sana aisee maswali hayana miguu wa kichwa et watachukua viti vyote sasaivi wanashindana na chama gan?
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
@mwanamkeshujaabongoflavama7180 Жыл бұрын
Hiyo mzee lisu muda mwengine niki mtazama sura yake yajileta kama Ray kigosi vp anavo ongea tofauti tu Lissu anongea kwa busara sana diplomatic
@mwanamkeshujaabongoflavama7180
@mwanamkeshujaabongoflavama7180 Жыл бұрын
Subhana'Allah Mungu ni kubwa Huwezi kuchukua roho ya mtu hadi Mola atake
@ssalimsalim3864
@ssalimsalim3864 Жыл бұрын
Kwani yy huyo boss akiwa hayupo yy inakua hamna assistant wake?mbona bongo mna visa!hata raisi akisafiri hua anabaki msaidizi wake.
@johngibson3089
@johngibson3089 Жыл бұрын
Nakukubali sana Lissu. MUNGU akutangulie
@jonasg5630
@jonasg5630 Жыл бұрын
Ukianza kumsikiliza, hutamani amalize. Kila swali analijibu kwa ufasaha kabisa
@alirashid3813
@alirashid3813 Жыл бұрын
Hongra kamanda lisu
@gangan3359
@gangan3359 Жыл бұрын
Pamoja, kamanda Lissu. VIVA mh Lissu viva
@dassustephen731
@dassustephen731 Жыл бұрын
Duuuuh.Huyu Jamaa ana ujasiri wa kuzaliwa "courage is not the absence of fear,it is a mastery of fear"TWAIN
@livingstonempuso4200
@livingstonempuso4200 Жыл бұрын
Exactly 💯💯
@christophertarimo3044
@christophertarimo3044 Жыл бұрын
Ase naona Lissu akifanya makubwa tz
@JoseoneTv
@JoseoneTv Жыл бұрын
Huwezi kumng'oa Samia , usitake kuhurumiwa na wananchi Bali pigania nchi, mambo ya risasi mshukuru Mungu, angalia maisha ya watz
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 Жыл бұрын
LENGO SIYO KUMNG'OA SAMIA BALI KATIBA IWE HURU BILA KUKOSA NGUVU KTK KUSIMAMIA JAMBO. TUSIWE NA MATAMKO KANDAMIZI BALI SOTE TUWE CHINI YA KATIBA.
@nemamalovilinjo4919
@nemamalovilinjo4919 Жыл бұрын
Nimekuelewa
@vaskosamweli3556
@vaskosamweli3556 Жыл бұрын
Kweer kabisa walipta bila kuchaguliwa na hofu yao kubwa ni 225
@marymremi1051
@marymremi1051 Жыл бұрын
Nimempenda sana mheshimiwa samia raisi wetu Mungu akulinde akupe maisha marefu sana.una ubinadam na hiyo ndiyo thamani yako
@ezekielemanuel2910
@ezekielemanuel2910 Жыл бұрын
Mwandishi uliyevaa miwani haujui namna ya kuuliza maswali. Unaelezea sana. Question must be brief and clear. Zingatia haupo peke yako hapo, wapo na wenzako.
@frejascompany6094
@frejascompany6094 Жыл бұрын
Uko vizuri sana lisu
@kherihamad472
@kherihamad472 Жыл бұрын
.ni kweli walitaka kumuuwa lkn ndo ivyo mungu ajapanga we unapigwa risasi zaid ya mbili alf ni mjini tuseme police walishindwa kuwakamata wausika mbona hamza alijisalimisha na akauliwa na hao hao police
@selemanishabani126
@selemanishabani126 Жыл бұрын
Nchi yetu sote tunahitaji katiba mpya, tufumue huo ujagili unaondelea
@ibnhassan9980
@ibnhassan9980 Жыл бұрын
Katiba inawafaidisha wachache
@edsonmakarai9496
@edsonmakarai9496 Жыл бұрын
This car shd be an interesting musium piece
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Жыл бұрын
Mwambaaa huyu hapaaaaa
@allymohamed2724
@allymohamed2724 Жыл бұрын
Kwani zipo za pesa pesa
@FestusJchunya-hc3hv
@FestusJchunya-hc3hv Жыл бұрын
Sio ambalo anadai Bali gari ambayo ndio alishambuliwa nalo!!
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 Жыл бұрын
Siku hizi hata waandishi ni machawa
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 Жыл бұрын
When Tundu Lissu speaks, you listen. What a briliant man!
@joesimba
@joesimba Жыл бұрын
Ongea kiswahili wewe, acheni kushoboka na phrases za kingereza
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Жыл бұрын
This Man is very bright
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 Жыл бұрын
@@joesimba vipi wewe hili neno la "phrases" ni la kiswahili KIONGOZI!
@joesimba
@joesimba Жыл бұрын
@@issackchalahani1235 nimeleweka kuweka msisitizo waache kushobokea kingereza, tumia akili.
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 Жыл бұрын
@@joesimba kumbe hata Mimi kuliza sijatumia akili! Sawa ahsante.
@brother_majesty
@brother_majesty Жыл бұрын
Well done Comander
@bbccaa4156
@bbccaa4156 Жыл бұрын
Jamani mlinzi anakitambi bongo!!
@csato9415
@csato9415 Жыл бұрын
🤣🤣 polisi wenyewe wa vitambi, itakuwa huyo mlinzi tu.
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Жыл бұрын
Kuna mjeshi nimewahi muona ni kibongeeeee
@thehunter5920
@thehunter5920 Жыл бұрын
Kwani bunduki inahitaji uwe mwembamba?
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 Жыл бұрын
Siyo wanamwita ndivyo alivyo jamani!
@mohamedmabruki7866
@mohamedmabruki7866 Жыл бұрын
Binafsi nimefurahi sana haki kutamalaki tumpe muda Rais Samia atafanya mengi mazuri
@joshualeonard1375
@joshualeonard1375 Жыл бұрын
Kabisa. Samia ana hekima tofauti na magu
@blockchain1203
@blockchain1203 Жыл бұрын
@@joshualeonard1375 That Guy was a Devil
@severinlouis
@severinlouis Жыл бұрын
Very humble this man appreciate you Sana
@irenembise6004
@irenembise6004 Жыл бұрын
✌️✌️
@JoseoneTv
@JoseoneTv Жыл бұрын
Hii michezo ya siasa inawaacha wananchi wateseke
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
Daah jembe ni jembe tu
@consolatamangera8796
@consolatamangera8796 Жыл бұрын
Lissu ni Raila wa Tanzania Mungu akubariki sana naakupe maisha malefu uwasaidie watanzania...
@marceljohnkimaty4986
@marceljohnkimaty4986 Жыл бұрын
Waandishi dhaifu kabisa!
@reginaldsimon8699
@reginaldsimon8699 Жыл бұрын
LISSU...BIG BRAIN
@user-mz4ry1sl8l
@user-mz4ry1sl8l 11 ай бұрын
Hv Magu alijikutka nan haswaa hapa Dunian!😢
@bonabonaza5066
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Huyo mwandishi anahakiri upinzani upo juu zaidi mawingu
@saidiaballhhamadi
@saidiaballhhamadi Жыл бұрын
Mungu akulinde na watu wabayaa lisu
@rogersiddy
@rogersiddy Жыл бұрын
Yaan waandishi hatuna kbs bali tunawachukua matukio kwa camera tu
@beatusmchau1556
@beatusmchau1556 Жыл бұрын
Mimi binafs ninamkubali sana Rais Samia anaongoza nchi kweli kweli Mungu ampe miaka mingi ili aweze kutuongoza vema miaka kumi na tano ya Urais mimi ninampa kura yangu
@speriuskainamula5960
@speriuskainamula5960 Жыл бұрын
Tatizo LA Tanzania Ni mifumo Wa kuongoza nchi Ni mbovu na hasa viongozi kutengeneza miradi kwa manufaa yao kwa hiyo tunahitaji katiba mpya tu.
@princeteu973
@princeteu973 Жыл бұрын
Ccm, mna kazi, ni Pole2, nduo amemuweza huyo
@chrissg4026
@chrissg4026 Жыл бұрын
Etu kuwasalimia! Anakuja kuwasalimia kwa lipi zuri mlilomsaidia baada ya kupigwa risasi? Mliweza kuwatia hatiani waliompiga risasi?
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 Жыл бұрын
Mungu akulinde sana Raisi wetu mtarajiwa. Hiki kichwa walitaka kukizima jamani Mungu awasamehe .
@meshackkazungu1948
@meshackkazungu1948 Жыл бұрын
Mungu asiwasamehe Mbwa hao waliompangia kifo awamalize
@user-mz4ry1sl8l
@user-mz4ry1sl8l 11 ай бұрын
Mwamba anadunda alyejiona Mungu mtu kalala zke huko!😅
@dostovan5142
@dostovan5142 Жыл бұрын
Yes the the top leader has to much power to a point that they're idolized
@shahidalialibhai794
@shahidalialibhai794 Жыл бұрын
Mtanikumbuka kwa vyema kumbuka hilo
@michaelaroon8558
@michaelaroon8558 Жыл бұрын
Freedom of speech...
@alphadreammedia
@alphadreammedia Жыл бұрын
Mbona plate namba za zanzibar??
@mathayoyohana479
@mathayoyohana479 Жыл бұрын
Lissu mpaka siwezi kusema lakini kwa vile ume vuvuka tunashukuru Mungu t, yupo
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 Жыл бұрын
Kazi kwenu
@goodlucksway1456
@goodlucksway1456 Жыл бұрын
Jamaa anajielewa aisee huyu
@edwinkimambo7592
@edwinkimambo7592 Жыл бұрын
Sio chama Cha makondoo Bali kitakuwa Cha Cha mambuz
@jonathanmwakabuku4714
@jonathanmwakabuku4714 Жыл бұрын
Magufuli nae alikuta utaratibu wa tume huko hivyo. Acha kumuandama Jemedari wetu na mzalendo wa kweli.
@samwelmkilya9236
@samwelmkilya9236 Жыл бұрын
Unafel
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 Жыл бұрын
Maana ya uzalendo ni nini???
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 Жыл бұрын
Hahaha... Atasemwa kwa mabaya yake
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 Жыл бұрын
Hata mimi nahitaji ulinzi nikirudi Tanzania
@JanethJanuary-fz3vk
@JanethJanuary-fz3vk Жыл бұрын
Mwandishi ulie na miwani tathimin tahaluma yako naona uelewa wako una taflani kiongoz anajaribu kukuelewesha ila mguuuuumu kuelewa
@saidimkurago6893
@saidimkurago6893 Жыл бұрын
Siasa kweli mchezo mchafu akiwafuatilia wanasiasa imekula kwako
@christophertz
@christophertz Жыл бұрын
Siasa ni maisha na huwezi kumtenganisha mwanadamu na siasa!
@saidimkurago6893
@saidimkurago6893 Жыл бұрын
Hukunielewa simaanishi tusifatilie siasa ninamaanisha wanasiasa hawa uchwara vibaraka wakubwa wa Wazungu
@rucaserasto8154
@rucaserasto8154 Жыл бұрын
itakua unamimba wewe mana sio kwa hasila hiyo mako
@frankfrancis5736
@frankfrancis5736 Жыл бұрын
Wazungu Hawana Mpango na Tanzania Yako Acha Kuvuta bangi
@abelianraphili5150
@abelianraphili5150 Жыл бұрын
Na ww...unawaza ujinga..lisu alienda Ulaya kwa Matibabu
Mwanzo mwisho jinsi Tundu Lissu alivyokabidhiwa gari lake na Polisi Dodoma
11:12
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 62 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 583 М.
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
7:05
SIMU. Tv
Рет қаралды 1 МЛН
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
WATCH: Trump speaks at Turning Point USA event summit | LiveNOW from FOX
58:18
Ronaldo & Ronaldinho will never forget Zidane's performance in this match
12:54
VSP7 FOOTBALL EXTRA
Рет қаралды 6 МЛН
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23
Millard Ayo
Рет қаралды 302 М.