Hata hvyo wengine tunafurah ujumbe umefika big up afande sele over 🔥🔥
@abdullahjuma39262 жыл бұрын
Ni sahihi kabisa marekani ni Taifa kubwa na linatimia ukubwa wake kwa maamuzi ambayo wengi hawayapendi na kudai hua anafanya kwa faida yake ila huaingizia either NATO au UGAIDI, mifano ipo mingi haihitaji hata tochi ni kweupe. Hatupendi kusema sababu hayatuhusu lkn wajue watu wanaelewa ila hakuna la kufanya au wa kumwambia. Kwetu ni rahisi wao kuja na kuamua lkn kwao kwenda tu mtihani. Lisemwalo lipo na linaonekana ndani ya Africa na nje pia.
@thulanimashaba84912 жыл бұрын
Truth always pains.kila kitu kwenye nyimbo hiyo ni Kuntu.Paza sauti juu Afande,Tell them true those Beast
@wilsonnzowa36202 жыл бұрын
Salute Afande sele
@malugukushaha67642 жыл бұрын
Big up Afande Sele, The truth always pain. Let me say again Big up Afande Sele.
@hawaomary27822 жыл бұрын
Unaitwaje
@allympota82742 жыл бұрын
Truth ya nini wewe ucha Uzwazwa na Ufinyu wa akili sisi hao jamaa tunawajegemea kwa Mambo mengi sana yani hata Mwanao akiugua Malaria ujue anatibiwa kwa Msaada wa watu wa Marekani sasa unapo mnunia mtoa Misaada wa Nchi yako unaonekana Bogus...! Hii Nchi Matahira mko wengi sana.. 🙄🙄
@sadickkunambi76752 жыл бұрын
@@allympota8274 ww ndio lobo kabisa ndio tunapata misaada si kwa taamaa zetu tu haya mbona wao wanaua imekaaje hapo
@malugukushaha67642 жыл бұрын
@@allympota8274 we utakuwa hamnazo kabisa, kwani utegemezi si umeutaka we mwenyewe kwa sababu ya upeo wenu mdogo wa kufikiri. Bakini vivyo hivyo watumwa nyie kwa sababu mmekaririshwa wanawasaidia misaada ili hali wakipatacho kwetu ni kikubwa kuliko wanachokupa dorobo wewe.
@afterx31722 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba afande kapiga kwenye mshono
@neemazee18642 жыл бұрын
😂😂😂😂
@florameza10282 жыл бұрын
Mwacheni ninyi mmezidi kuingilia mambo ya nchi nyingine
@angiringalyimo3652 жыл бұрын
fikiria mwanamume ambaye anakipato kidogo kuliko mkewe, u adhani huyo mwanamume atakuwa huru!!??? c utakuwa anatukanwa kama mtoto wa darasa la pili!!!!
@angiringalyimo3652 жыл бұрын
ndivyo zilivyo nchi zetu za kiafrika, nchi zote za afrika zinategemea msaada kutoka marekani! mtu anayekupa msaada anaweza kukuamru lolote na ukatii make usipotii utanyimwa msaada!!
@victorjames37302 жыл бұрын
Aliyekosolewa hana shida ila linch letu sasa
@yahyamkone56012 жыл бұрын
Message send ndiyo waache hizi mambo za kuingilia mambo ya nchi za wenzake
@richardmasanja61632 жыл бұрын
Kaka hongera sana kaka
@paulmushi24282 жыл бұрын
Eeh!! anatakiwa awe na tahadhali sana hao watu ni wajanja sana wanaweza wakaonyesha kwa hadhala kuwa wanakubaliana na wewe kuwakosoa halafu wakakushughulikia kwa njia za siri wanazoziju wao🤭🤭🤭
@kennyrogers47342 жыл бұрын
Kbs hawashindwi ilo dk 0 tu mda mwingine ukijiona huna nguvu zozote kama serikal yake ipo kimyaaa haijasema kitu juu ya kinachoendelea sembuse wewe kula yako ya shida acha mengine yapite tu
@ahz69072 жыл бұрын
Tena wachawi sana hao 🤓
@daimavlog2 жыл бұрын
Wana mambo mengi ya maana zaidi ya upuuzi huu.
@NtanunuraWillsonBaru2 жыл бұрын
Hao wanafuatilia kila kitu ktk nch ya Africa na kwengine hawajalala sio sisi watu wanahujumu wanaangalia tu
@philemonmartine73172 жыл бұрын
Safi kamanda unewakilisha vizur platoon Yetu✊
@mtaftajtzrsd74662 жыл бұрын
yupo sahih anapoongeRea ukwer hakuna ambacho hajasema cha kwer
@Dantaata2 жыл бұрын
nyimbo nimeidaownload mapema kabla hawajaifuta ,, Marekani ni mizinguo kweli
@JeronimoSimon652 жыл бұрын
Bado ipo KZbin
@saimonijonas43562 жыл бұрын
Inaitwaje?
@JeronimoSimon652 жыл бұрын
@@saimonijonas4356 BILA MAREKANI
@ibrahimabdullah18872 жыл бұрын
Ikiwezekana muungu apige pigo marekani wabKi raiya u mali za kijeshi zipotee watutesa sana allah yupamoja nasi
@lugelosanga57982 жыл бұрын
Watanzania tutakua wajinga Kama utamuzuia huyu jamaaa wamarekani wabaya sana
@j.c.maxima8162 жыл бұрын
Lazima kuzuia! Jamaa mmoja hawezi kuchafua diplomatic relations!
@deusrobart81812 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 unakatwa naiyo diplomasia yako😚😚😚
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
sasa hiyo democracy iliyo kuja na samia ipo wapo ?
@sanisani52662 жыл бұрын
Nchi zawatu zinausiana vipi kwanza muanze kwenu jamani vitu vingine vya kujitakia
@zahirurumidis43012 жыл бұрын
Wimbo ni nzur sana
@fednandnews22402 жыл бұрын
Afande yupo sawa Acheni kutetea shetan
@roviykamage54232 жыл бұрын
limewakuna afante yuko sahihi marekani ni adui wa dunia hasa africa
@Allystor2 жыл бұрын
Ukweli mtupu let the Beast cry
@king-size81142 жыл бұрын
Mmmhh
@pesangwasalim52582 жыл бұрын
Sasa hawataki nini??kwani ni uongo??
@georgekessy23432 жыл бұрын
Uhuru wa kujieleza mchungu ukweli unaposemwaaa
@annakisiga8892 жыл бұрын
Hangaya naye ndo kaenda marekan mama anatuuza kabisa Waz wazi ila mwisho wake upo jom pumzika Kwa Aman baba
@aloyceiluminata36502 жыл бұрын
😅😅😅😅🤣🤣🤣🤣ukweli mchungu lakini pia
@malelabmalela50162 жыл бұрын
Jaman
@manilabonalumanula10142 жыл бұрын
Mtunzi aliyebobea angetumia neno linalowakilisha nchi bila kuitaja. Kuna msanii alinifurahisha alipoulizwa swali kwa nini anamchora Raisi? Yeye alijibu kuwa hamchori raisi lakini yeye anachora Uraisi
@daudmaikomwakapoma2132 жыл бұрын
Ili kufikisha ujumbe na ukawa na uhakika kwamba umefika basi nenda moja kwa moja saizi kupitia wimbo huo hata mtoto wa darasa la nne ataelewa bila wasiwasi uoga ndo unafanya kupindisha maneno ukaonekana et mwanafasihi
@siloomar76992 жыл бұрын
Kweli marekani wanazngua
@casablancastudioarusha7752 жыл бұрын
Naona wameingilia hadi wimbo wa Afande Sele halafu wanakataa wanachoambiwa
@youtub83202 жыл бұрын
Wanao ona jambo hili sio poa kwa sele tujuane
@boblatino38992 жыл бұрын
Africa tumechelewa sana
@MWAKIPESA2 жыл бұрын
Ukweli bado utaishi tu
@zuleikhakhamis33032 жыл бұрын
kaombeni VISA sasa kama hamtopigwa na chini kwa vitu kama hivi
@ibrahimbabangida27962 жыл бұрын
Watu kweli tumerugwaaaa
@aginessmgaza98992 жыл бұрын
Duh
@ramazecha28772 жыл бұрын
Ukweli unauma afande sele alisema ukweli
@ikulunimahalipatakatifu76422 жыл бұрын
Uhuru wa maoni
@kingmwaxoh64202 жыл бұрын
anadhani akiimba ivyoo ndo marekani watabadilika, its impossible
@shugakombo96832 жыл бұрын
Kwani niuongo ?
@rubensaitoti68392 жыл бұрын
Polen sana
@hajichazy26432 жыл бұрын
Go sele
@TALLUBOY2 жыл бұрын
BROH AFANDE SELE YUPO FACT
@kissirymaroah35472 жыл бұрын
Yupo fact ndo nini??🤔
@rashidkambi45842 жыл бұрын
Yan mepelekea mpk niutafute huo wimbo japo sikuwa na mudi
@saliminyusuph61222 жыл бұрын
Watakupa kesi ya Ugaidi au wa madawa ya kulevya.
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Go selee😂😂😂
@mussalameck21662 жыл бұрын
Duuh jamaha amekiki kwa kasi kweli mana adi nje watamfatilia sasa
@inocentlema55747 ай бұрын
Wanajua kiswahili kumbe
@hajiramadhanihaji3552 жыл бұрын
Kweli marekani Ni tatizo duniani
@emmanuelnjelekela62992 жыл бұрын
Wayafanyayo wa america ni nafuu kuliko yaliofanywa na waajemi wajeruman warumi na waotman dunian so hata America ikiondoka jua lazma Dola jingine litawale dunia haiwez kuwa sawa hata skumoja nyie mnajisumbua tu
@yusramadhani1492 жыл бұрын
Nauza mashuka ya kigoma nipo dar mbezi ya kimara
@matridachatila68392 жыл бұрын
Namwisho wao unakalibia Russiaaaaaaa
@khadijaabdallah16492 жыл бұрын
Afande sele
@rashidyally87152 жыл бұрын
Ukweli unauma ila ujumbe umefika
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
Mbabe hatishiwi nyau. Achaneni na mbabe
@ericksagara17192 жыл бұрын
Huo wimbo ndo wameubust ili usikilizwe zaidi
@denisimaliyaweni91832 жыл бұрын
Huyu anapotea sasa zama hiz unapuliziwa sumu ya hewa Kwisha unatajaje jina la inchi nyingne hivyo ww
@shaibusalim83482 жыл бұрын
Kaka kuna watu hawana hofu ya kifo wanajua dunio mapito tu
@silverman69302 жыл бұрын
Free democracy not in Tanzania 🇬🇧
@whatisthetruth.87932 жыл бұрын
na ndio tunaambiwa hivi democracy imerudi chini ya anae itwa mama samia , sasa hiki ni nini 🤣🤣🤣
@immamwandolela68512 жыл бұрын
Ao mashoga lazima waukatae wimbo wa afande sere sikawachana mwacheni afande sere awachane
Nakumbuka digidigi ya daimond wakaz alisema anaonekana ampendi mondi
@bugybuster57882 жыл бұрын
Bado umtetee muafrika mwezako kweli wew juha
@khaalidcheo53832 жыл бұрын
Imepenya iyo
@petermlundwa63992 жыл бұрын
Mpaka embassy wanapenda kiki
@ntegrity2772 жыл бұрын
HII NA TAKATAKA BHANGI NA AKILI NDIGO
@fredylomayani8376 Жыл бұрын
Avande sele nikiumbe kidogo mno lakini anakili kubwa kuliko matembo makubwa lini tutajitegemea 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@charleskaozya99242 жыл бұрын
Mbona wao wasanii wa kwao wanatukana mpaka maraisi wao
@saydusaydu982 жыл бұрын
Ujumbe umefika kaka
@lucamatiku15322 жыл бұрын
Ingekuwa bongo tayar angekuwa kituo Cha polisi Kwa kesi ya uchochezi au kuvuruga amani
@ziyandamhlana87762 жыл бұрын
Ndio msana wa 2kutoka Africa numb lack dube
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
Mbona mimi sijausikia huo wimbo wake
@opiyowilson36402 жыл бұрын
Sb is playing with live wire.
@modestwenceslaus92 жыл бұрын
Naenda kuishi Iran,Korea kaskazini na Cuba vinara wa kupambana na Marekan
@lovegodmaurice26012 жыл бұрын
Nenda north korea uone wanavyoishi am sure one day ukiona bendera ya tanzania utalia na kusema tanzania ni heaven
@modestwenceslaus92 жыл бұрын
@@lovegodmaurice2601 Nakushukuru kwa Elimu uliyoitoa maana wengine hutujuhi vizuri changamoto za kimataifa michango mingine ni bora liende, Mungu akubariki kwa Elimu uliyoitoa.
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Hao wa ubalozi kila mtu jasusi wanachokisema huwa hawamaanishi kabisaaa, ni Putin na Taliban wajua nini Marekani wanazungumza
@petercostakisoka2 жыл бұрын
Imefika kwa wakuu
@hasanipoy39762 жыл бұрын
Acha utoto marekani ndo hijisumbuwe na uyo utoto
@enezermwafrica74432 жыл бұрын
Afande Sele tafadhali usije kuiingiza Tanzania kwenye matatizo, Acha Ujinga, Usichokeze America ni mambo ingine ile.
@ujimansylivanus9442 жыл бұрын
Unaishi arafu unaogopa kifo
@abdullahjuma39262 жыл бұрын
Wacha woga wewe Amerika ni watu kama sisi waambiwe ukweli wapunguze. Putin ameeleza kila kitu na imesambaa dunia nzima yote anayoyafanya Amerika. Au mkubwa hakosei na tajiri habishwi?
@winterkasela90332 жыл бұрын
Wakati wa trump viongozi wetu walikua salama lakini baada ya yeye kuondolewa marekani akaingia mwingine katuulia Wagufuli Wetu
@fjafrica622 жыл бұрын
hili jamaa sijui lilivuta nini
@jumanassoro15522 жыл бұрын
Si ndio uhuru wa kujieleza sasa wanalalamikia nini ukionaivyo afande sele amewagusa papaya mashoga hao yaan kapiga pale pale pamoja afande sele mzalendo
@benisobenjamin13732 жыл бұрын
Kama ni uhuru wa kujieleza kwaio wao wasitumie uhuru kuongea muongee nyinyi tu ?
@yohanalukanga62632 жыл бұрын
Wachokozeni hao watu kwani wamekuja kukuingilia ww kwenye nchi yako
@Baba-JJ2 жыл бұрын
Yaani unatumia mtandao wa Wamarekani (KZbin) kuachia ngoma "BILA MAREKANI" halafu unashangaa Marekani kuingilia mambo ya nchi nyingine. Kwahiyo anashindwa kujua ni kwasababu nchi zimeruhusu Marekani kuwa sehemu ya maisha yao kama yeye alivyoruhusu kutumia mtandao wa Wamarekani KZbin kuwa sehemu ya maisha yake na kuachia ngoma zake huko. Serikali zinajihusisha na Marekani kwa ukubwa wake (LARGE SCALE), na yeye kama Afande Sele anajihusisha na Marekani kwa kwa udogo wake (SMALL SCALE) lakini kwa uhalisia hakuna tofauti.
@RommyCareMovies2 жыл бұрын
Non sense
@muktazimbuyu65692 жыл бұрын
Huyu jamaa awe makini huo mziki ni mwningine
@saidhassan77792 жыл бұрын
Sikupend Mimi wewe,ktk Wasanii ambao siwapendi wewe ni Mmoja wapo kwa hakika nakuchukia sana,Mimi kwa hakika Nipo Wete Pemba
@stevenlugojeremia23232 жыл бұрын
Kwani Amekwambia yeye Anakupenda? Kwanini unahangaika na mtu Ambae hakujui na Wala Hamjuani?? Wewe Una Maisha Yako na Yeye Ana Maisha Yake.....Chunga Sana Ndugu Na Jaribu kukemea km wewe ni Mkristo au Kufanya ibada ya swala 5 ili Mwenyezi Mungu Akuondolee hii Roho Ya keshetani Zidi Ya kuwachukia Watu Usio Wajuwa...Na Ukisikia Dalili Za Uchawi basi ujue ndio hizi sasa
@silvertv80832 жыл бұрын
We nawe mse*ge
@mamboshepea88882 жыл бұрын
Said Hassan hata ukimchukia haikusaidii chochote...tunawajua sana chiki ni jadi yenu!!!
@elizabethmwafongo78292 жыл бұрын
Akimpenda mama yake tu inatosha
@mamboshepea88882 жыл бұрын
@@elizabethmwafongo7829 uyo anaesema anamchukia mtu amemuumba yeye??? We mpemba chuki ni jadi yenu wala sishangai
@charlzlomo92192 жыл бұрын
Bangi mbaya sana,kwa wakati wa Vita ya ukrene na urusi unatoa ujumbe Kama huu duniani maana yake ukrene andelee kuangamizwa,
@nzogelamussa25852 жыл бұрын
viongozi wa Tanzania wajinga marekani kakubali wao kwani waufungie wimbo unasema ukweli
@davidcurtis85562 жыл бұрын
Uwoga tu kwasababu tumehalalisha kuwa omba omba lakin angekuwa mwamba wetu naona angeupongeza na angetoa hela ya video.
@zuberimohamedi2552 жыл бұрын
Afande ujumbe umefika,weka mashairi mengine
@batashqiraa99362 жыл бұрын
Moja ya taifa ambalo litakuja kusambaratika na kuwa dhalili duniani ni marekani ni muda tu haujafika lkn marekani itasambaratika tu
@josephmuchiri31802 жыл бұрын
Tutaishije bila marekani?Taifa kubwa ilo
@ahz69072 жыл бұрын
@@josephmuchiri3180 akili ya kitumwa hii 😇
@georgekimasaofficial16292 жыл бұрын
ikisambaratika na mwisho wa kiama utakuwa umetasha taradadi kwani hata taifa litakalo inuka zidi ya marekani halitatawala kwa mda mrefu Kama ilivyo tawala marekani.
@josephmuchiri31802 жыл бұрын
@@georgekimasaofficial1629 Israel taifa la mungu lipo
@georgekimasaofficial16292 жыл бұрын
@@josephmuchiri3180 lipo ndiyo na linalindwa na marekani maana ukiligusa taifa Hilo umemgusa mmarekani pia utambuwe wataalam wa kutengeneza silaa hapo marekani niwa yahudi.so marekani ndiye anatawala dunia mpaka Sasa ila badae litainuka taifa lingine ambalo litakuja kuipiku marekani na taifa Hilo litaanza Vita na Israel na mziki huu utakuwa mkubwa kwani mataifa yote likiwemo Hilo taifa kubwa yataungana na mataifa mengine duniani kuipiga Israeli hapo ndipo isaraeli watakimbilia ktk bonde la halimagedoni hapo Yesu atashuka kuwa okoa baada ya kichapo.
@khadijahali48372 жыл бұрын
😁😁
@charlzlomo92192 жыл бұрын
kusingekuwa na vita tungekuelewa kwa sasa bangi zimekutuma asilimia100% lengo lako kuigombanisha afrika mashariki na marekani ,wakati unajua dunia inazuni kwa Vita inaoendelea,
@machaggechacha34222 жыл бұрын
Upumbavu wa mtu mweusi.
@mangashajunior2422 жыл бұрын
Bang bang tupu.
@abdallhmohd22592 жыл бұрын
Koplo sele Sasa unataka kuamsha walolala kuwa Malkini na hao watu
@psuccess96242 жыл бұрын
Tazama Diamond Platnumz alichokisema juu ya Afande Sele na nyimbo yake iliyo trend sanaa Ulimwenguni kote👉🏻👉🏻👉🏻👉🏻👉🏻👉🏻👉🏻👉🏻👉🏻 kzbin.info/www/bejne/aKOupZqgrdmXodE
@saimonfelix73802 жыл бұрын
Hata hivyo ajiandae kisaikolojia siku za usoni kuanza kupewa vikesi vya kijinga kijinga aongeze umakini
@jumaabdallah34952 жыл бұрын
Afande tulia! Utatusababishia matatizo si vnaona maafande wenzio huko ukraine