Hii simba ipo siku itakuja kumfanya mtu vibaya mnoo
@babuDingi3 сағат бұрын
Nazani uyo mwalabu wa temeke asha anza kusema tuli juwa uta sema na sasa una sema ubaya ubwela simba nguvu moja
@yokoi-u3g3 сағат бұрын
Badoo hamjasema
@ip_headerСағат бұрын
Kawaida Wachambuzi wa Bongo wanakwenda na matokeo
@anithawidambe75433 сағат бұрын
SIMBA NI BORA SANA. TUNAMSHUKURU SANA MUNGU. ASANTE MUNGU.
@AbdalaMohamedi-jk2ycСағат бұрын
Yaani simba ikishinda kuna wapumbavu wananza kutafuta makosa na madhaifu ya wachezaji wetu chambuzi wengine jinga kabifi
@mlembamo2 сағат бұрын
Why always negativity. Mabeki makosa, mawinga makosa, kila kitu makosa yanaongewa 80% utadhani tulikuwa na cheza na daraja la 4. Yaani hizi media😂😂
@KarisBaya2 сағат бұрын
Kwa simba hii tukikutana na timu yeyote tutatoboa tu, hii sio ile juzi na jana
@JohnJoseph-qq7ow2 сағат бұрын
ASANTE MUNGU ULIEUMBA MBINGU NA NCHI UMETUSAIDIA TUMEFUZU HIVYO HIVYO ULIVYOTUSAIDIA TUKAFUZU HIVYO HIVYO TUNAOMBA UTUSAIDIE KUMTOA SAMIA MADARAKANI TUSAIDIE MUNGU BABA
@mlembamo2 сағат бұрын
Mnahangaika mlisena somba bado, kiwango kiko chini. Eti haina muunganiko, maneno ya chini ya kiwango sana kwa wachambuzi hawa wa bahasha😂
@raymondsekabigwa59073 сағат бұрын
Acha ushamba Timu ikishinda hamnga mkosa
@HusseinHussein-f7n2 сағат бұрын
hamja sema bd nyiny si ndo mulikuwa munatubeza
@HusseinHussein-f7n2 сағат бұрын
umeweka asilimia 60 kwa unafiki wako
@mlembamo2 сағат бұрын
Unafiki ni mbaya sana, Mtu anaanza na madhaifu ya simba😂 yaani Wachambuzi mlilipwa shingapi kuchambua madhaifu ya simba?
@emmaDNA9859 минут бұрын
mata😂😂😂 nyie wachambuzi uchwara
@kefangendwa33362 сағат бұрын
Yaan simba inafany kaz ya kuw prove wrong wachambuziiii😅😅
@mlembamo2 сағат бұрын
Yaani simba imekosea, irudi kuangalia ilipokosea😂😂😂😂
@alexchikoko9369Сағат бұрын
😂😂
@johnsmwandu7338Сағат бұрын
Acheni uchwara nyie kujichanganya kupo hata ulaya
@HemedMjema40 минут бұрын
huyo shoga anaongea mambo ya kijinga sana
@mlembamo2 сағат бұрын
Eti Paten ya timu haija kaa sawa,😂 uliangalia mpira au uchambuzi kwa nguvu ya bagasha
@AbdallahOmary-e9z2 сағат бұрын
Binafs yangu debora mnavyomzngumzia kuna namna mnambeba anapaswa ajiangalie sana n mtu anayevurunda mnoo n vile uvundo wa akina budo unambeba ngoja nafas ya budo ifanyiwe kaz atakayefwata n debora
@FahadAbubakari2 сағат бұрын
Daah umewahi cheza hata gombania goli ?
@islamIbrahimmussa2 сағат бұрын
Utopolo huyo
@IsmailMrisho-v1n2 сағат бұрын
😂😂😂@@FahadAbubakari
@IsmailMrisho-v1n2 сағат бұрын
Aisee... Mpira waachie wengine, huenda mchezo wako ni Kombolela
@clementmdoe22112 сағат бұрын
Hivi ww unamuongelea Deborah yupi.? Huyu huyu Mavambo au kuna mwingine?. Wewe si mpira tu wa miguu ambao utakuwa hujacheza inawezekana hataa lede hujacheza bro