Niombee pahala walipokuhojia ujengewe mnara hapo hapooo🎉🎉🎉
@evaristgaspa607420 сағат бұрын
Jastin hawa Simba wanadagaywa na kisugu kwasababu anaimani za uchawi sasa wameshidwa kumroga maxi zegeri kwasababu ameokoka
@raphaelkessy73605 сағат бұрын
Wape Darasa wasome😂😂🇹🇿💛💚💛💚👍
@paulomollel166616 сағат бұрын
justin kesy kweliii unajuwa mpira
@stanslausbereghe38198 сағат бұрын
Yanga anastaili kumtwanga Makolo. Ana kiwango cha juu
@kelvinstephano80895 сағат бұрын
Jaman mbna pitch hamuiongeleiii mvua kidogo tu unajaa maji sasa wameifunga ili uchezewe na timu gan asa maana ulkuwa na maji
@lucymsheshi587119 сағат бұрын
Yani kiukweli tunalalamika ila hili analoongea kuhusu refa ni sawa kabisa
@stanslausbereghe38198 сағат бұрын
TFF wanajua midomo ya Makolo mirefu. Wajiuzulu wasubiri mwakani. cc twalaaa.
@annambele7897 сағат бұрын
Pongezi sana Justin uko sahihi sana.
@MasoyaGaspal8 сағат бұрын
simba bado sana uo mpila wanaocheza kwasababu Wana cheza na yangu wakicheza na timu zingine awajitumi
@ismailmasoud600116 сағат бұрын
MAKOLO wanatafutaga pa kujifichia, Tumeshawaambia hata tucheze mechi 100 itakua YANGA 100 , SIMBA 0
@JafetiKanyala15 сағат бұрын
Uyu nae anaongea Nini kichwa kikubwa lakini maji tu
@errydeo886518 сағат бұрын
Wanaochambua haya mambo ya marefa hasa wachambuzi,ndo wanayavalia njuga! Kama simba wanaamini wana kikosi cha BILLION 7,wanalalamikia refa? Fungeni magoli clean tuone! Kama bro anavyo sema bro, refereeing is a global problem hata kwa walio na high tech! Unakuta watu wanaojiita wachambuzi talking Nosense! Ref INABIDI APONGEZWE THE WAY HE HUNDLED THE DERBY
@SaidMbua-b2u15 сағат бұрын
waambie ukwel hawana chakusema
@oscarsanga32932 сағат бұрын
Kocha akukubali,wewe ni mkweli na unaujua mpira
@lemamolelilemamoleli774017 сағат бұрын
naww niyangann mpunzi kumbe naww ongea ukweli achakuongea porojo bc
@chiengwalu631210 сағат бұрын
Unataka ukweli gani, jamaa yupo sahihi hajaegemea upande wowote. huyu ndiye mchambuzi wa kumsikiliza.