HAJI MANARA amezungumza kitaalam mno safi Mr.Haji Manara umeendelea kuonesha ukomavu katika maojiano.
@hirstndisa71482 ай бұрын
Big up sana Master Haji Sunday Manara. Man of people.
@muzneali47472 ай бұрын
Ahsante Sana Kaka Haji UMESEMA SAHIHI umewakomoa mahasidi
@hanifamziray2772 ай бұрын
Safiii sn huo ndio uanaume manara kikubwa mkono uende kinywani big up
@BayonaNgaiza2 ай бұрын
Kaka Hadji uko vizuri sana,na viongozi wa Yanga tunamhitaji sana Hadji Manara apewe kitengo make ni mtu muhimu sana kwa team yetu
@fatmaally72522 ай бұрын
Safi kaka upo vizuri
@saidilindukwa2 ай бұрын
Huyu Manara ana kipaji Sana Na anavutia ananogesha Sana,kamwe angekua msaidizi wa meneja then Haji kuwa msemaji nadhani Inge fit vizuri
@Neema-vh6mp2 ай бұрын
Watu walitarajia Haji ataanza kuongea vibaya kuhusu yanga😂😂😂 safi sana Haji umejibu kwa akili zaidi
@giftkalenge4182 ай бұрын
Eng.rudi elezea Kwa uzito wa idara ya wanachama kuwa ni idara kubwa kuliko zingine na Manara ndo mkurugenzi wake na atakuwa na vitengo chini yake.na habari na ni kitengo tu katika idara ya utawala ambapo habari no kitengo tu chini ya idara ya utawalana idara ya wanahabari ni idara inayo jitegemea na itakiwa na vitengo
@AndersonMokiwa-is5ch2 ай бұрын
Haji ni mtu bana sema fitina tu za ally tumsamehe pia anafanya vizuri ally pia
@geofreyjosephat80312 ай бұрын
Ni suala la muda tu, hata alipopigwa chini Simba alianza kwa kujiliza mitandaoni kuwa kaonewa, sijui siwezi kuisaliti Simba .....kilichofuata baada ya kuona watu wamemkazia si ndo akaenda utopolo na kuanza kutukana?? Sasa subiri aone kapuuzwa au apate deal jingine....!!! Hadji ni chawa promax
@why-ir8zl2 ай бұрын
😂😂😂 laana ya Mamedi😅😅😅
@subralugege70192 ай бұрын
Anaweza kuishi hapo kwa muda gani😂😂😂
@noorbazaar90632 ай бұрын
NINASHAURI APANGIWE KUSIMAMIA WAPISHI WA SUPU YA VIBUDU.
@djumakonki19642 ай бұрын
Pole sana Mheshimiwa Bwana Haji Manara. sasa ifike wakati Bwana Manara usiwe kama Mshumaa unawamulikia watu njia wakati wewe mwenyewe unateketea na wala hawajali maumivu yako. Kuna watu walikuwa hawajulikani ndani na nje wewe ndiyo umewapandisha hapo walipo na sasa ni maarufu wameisha kusahau. MwenyeziMungu atakulipa inshaallah. tatizo lako Haji Manara unatisha ! uliporudi huku ukishindikizwa na Popat Kitwana Manara na computer sundey Manara watu wengi walipata mshtuko wakiwemo viongozi wa Yanga. wazee wao walikuwa radhi kurudi kwako. MwenyeziMungu mbariki Haji Manara pamoja na Yanga. 3:11
@deokibona28352 ай бұрын
Mbona nyie Mgunda amekuwa kama mshumaa wa Simba lakini hujamshauri aache kuwa mshumaa?
@MaulidAyubu-x5m2 ай бұрын
Kuna makubwa yangetokea labda yanga wameyastukia na ninaimani bado yatatokeatu na hapo ndio tutamjua manara kua ninani na wameshasema kua ss kila simba watakachotapika kwetu nichakula kitamu lkn kwamanara tusubiri siomda kitatupata
@harithsaid87622 ай бұрын
Kurujuani ya mzee magoma inaanza kufanya kazi yake😂😂
Anajikaza tu ataongea vibaya tu anadukuduku kocha mkuu😂
@mwashamleo99962 ай бұрын
Safi sana umejibu kiweled
@fazo-kl9fu2 ай бұрын
Ali kamwe ndo mtu sahihi kwa sasa
@MohamedAbdallaBadbess2 ай бұрын
APEWE KAZI YA KUFUWA JEZI.
@giftkalenge4182 ай бұрын
nimefurahi Manara Kwa maple Zi na yanga
@sulemanmagesa21812 ай бұрын
Kafurushwa. Alifikiria ni vyeo vya kudumu Huyo.
@KanjokaHashim2 ай бұрын
Huo ndiyo UKUBWA WA MANARA.YANGA Oyee!!
@vascombembela36322 ай бұрын
Ulishayatimba Msimbazi huku nako umemuonesha umwamba dogo club imeshituka na kuamua kusimama na kijana. Ni vizuri uwe na hekima maana unajifyatua sana wewe.
@vaxminja90532 ай бұрын
Manara umewajibu ki hekima hadi wamebaki midomo wazi😮😮😮😮 sasa Umbea fc
@matronamushi70212 ай бұрын
Mbona kama sio manara
@DanyEnto2 ай бұрын
Kitu ambacho hajagundua haji wala sio umri kinamasau wanafanya vizur sana tu ila haji ni simba yanga hajafanya makubwa na aliwahi kuitukana yanga sana kubadili kitu ulicho kisema mwenyewe tuena kwa watu wazima sio jambo dogo, yanga toka ametoka jerry yanga hawajapata msemaji wakwao mwenye uwezo wa kuisemea yanga mpaka alipokuja ally kamwe ningumu kulinganisha maneno ya haji akiwa simba na mapenzi ya ally kwa wananchi angeweza kurudi kwenye ubora wake akiwa simba lakini kutusalini pia ni tatizo jingine Ahmed anaonekana bora mara miaka kwasababu ya usaliti wa haji ilo tu ndio tatizo wakati wachangamoto yake na bosa B angetulia saizi angekuwa bora kuliko wote hawa wawili niamini
@JohnKapalamula-z9j2 ай бұрын
Haji umewakomowa sana makolo wewemtu mkubwa sana
@HamzaChitanda2 ай бұрын
Engineer kaongea ovyo sana kwa haji.Duuuh.
@kichefuchefu23822 ай бұрын
Huyu jamaaaa anakpaji kikubwa kulkoni Ally Kamwe na huwa anajaza uwanja kulkoni Alkamwe
@MohamedAbdallaBadbess2 ай бұрын
SIMBA MSIMKUBALI MNAFIK HUYU.
@saimonntani68312 ай бұрын
HAJI MANARA PAMOJA NA KUTOWA KAFARA NA KUWANUNULIA WAZEE CHAKULA KAPIGWA CHINI? DUHUU SASAHIVI ANATIYATIYA DHAMBI . MANARA ALIKUWA MLEVI MPAKA ANADONDOKA CHINI.
@samsonmwaipaja52312 ай бұрын
makolo mnafrahi
@JaphetAndondile2 ай бұрын
Kitengo Cha kugawa supu ndo kizuri kwake
@PetroMpunga-rt7hv2 ай бұрын
Manara mkorofi, analeta chuki kwenye soka, bora awekwe kando, afue hata jezi 😅😅😅😅
@eddsonjeremiah66692 ай бұрын
Manara tunae na tunatamba nae
@makamelila2 ай бұрын
Huyu jamaa hatakiwi yanga anajipendekeza tu bwege matusi mengi usaliti unamuhukumu sasa nahiyo ni adhabu ya kuisaliti Simba nyooooooooo
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg2 ай бұрын
Binadamu
@hassanabdala73832 ай бұрын
Manara hana uamuzi mbadala lazima anyamze sababu alijtamba sanaa ndio maana alivo funguliwa 2 akaitisha press akajiita retarn of King
@SaidRajhi-ev3hm2 ай бұрын
Pyeeeehh😂 domo koma
@MohamedAbdallaBadbess2 ай бұрын
HAJI ALIINGIWA NS KIBURI ALIPOKUWA SIMBA. ALIAJISAHAU AKAJIONA YEYE NI YEYE. SUBHANA. LEO AMEKUWA YUKO TAYARI KUFANYA USAFI? AMEWAKOSEA SIMBA NA AKAJISAHAU NA AKAWAKOSEA UONGOZI NA WAPENZI WA SIMBA. MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI .
@HusnaKibwana-t2e2 ай бұрын
Akomeamezidi kijifalagua
@jankenkasambala76872 ай бұрын
Watu wasichanganye mambo! Ali Kamwe ni Afisa Habari wa Yanga. Haji Manara ni Mhamasishaji wa Yanga. Mbona tulionaga kipindi kile Antonio Nugaz alifajya kazi pamoja na Hassan Bumburi au wakati huo nyie wachambuzi mlikua bado mpo shule
@BonifaceKisusange-or9fp2 ай бұрын
Hapo sasa nashangaaa tena bumbuli alikuwa hana makuu
@SalvatoryMtunga2 ай бұрын
Kinachowafurahisha nyie makolo ni nini?.
@jumashedafa2 ай бұрын
Wampe usimamiz wa Radio yanga
@yasminmohamed6042 ай бұрын
Kasafishe ofisi za yanga😅😅😅😅
@KhamisShekifu2 ай бұрын
Alikamwe anatumia akili huyu anajenga chuki anadhani kutoa matusi na maneno makali ndo atakubalika zaidi namabosi kumbe ndo anazidi kuharibu.
@NasibuAlban2 ай бұрын
Awe anauza supu
@peacecook14922 ай бұрын
Manara anamchango mkubwa Sana Yanga. Engenear amejisahau sana