tulienda nusunusu kwa fitna za yule mnafiki mfitinishaji na mwenye tama Chama,ila asaivi hayupo kila kitu kitaenda sawa kwa uwezo wake Allah Subhana llahtaala Insha Allah.simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@emanuelpasikali93102 ай бұрын
Hamna wachambuzi wasafi ni mashabiki kama sisi tu yaani waandishi wa miaka hii ni mashabiki tu kama mashabiki wengine tu
@jacksonmarwa33632 ай бұрын
Uchambuzi mzuri unauzingatie taarifa kutoka kwa msemaji mwenye na sio kumwekea maneno mdomoni
@bakarisahede95322 ай бұрын
Hawa jamaa kama wanawake yani hawonekani kuwa niwachambuzi ila wapo kama chawa wenginetu
@PeterHamim2 ай бұрын
Wasafi acheni ushabiki kuweni neutral
@hamadiayossy2 ай бұрын
Ila huyo job simpendagi,
@EvodiusAndrewClemens-vt8kl2 ай бұрын
Man united wamesema kocha hatasajili mojakwamoja Mbona hamjawasema sina iman na uchambuzi wenu
@christianrukurugu43412 ай бұрын
Kwani wew ukikataa kama kocha kahusika inasaidia nini, wew unaambiwa hutakaki, uyanga ndiyo unawasumbua
@ephraimkingdom82952 ай бұрын
Ndio maana hizi club haziwapi taarifa za waandishi na wachambuzi wa Bongo kwa sabb wanapenda kuamini badala ya kuchukua kwenye taasisi,ndo waandishi wa Ghana na nchi zingine wanapewa taarifa za kweli kutoka kwenye vilabu vikubwa
@MuammaryAbdalla2 ай бұрын
km sio kwel nyiny ndo munaujuwa ukwel
@nasseraljahwri63102 ай бұрын
😂😂 Hivi mnawafahamu wasafi? Hawa jmaa ni genge la vijiweni km magenge mengine, ukiwasikia vzr kiumakini Wana kejeri fln hiv especial wakiiongelea Simba... Crown is the best TV in town
@GustafuGustafu2 ай бұрын
Duniyaiiyaleobado tomasowapowengi acheniushabik
@drallan68792 ай бұрын
kuweni civilized wasafi;mko so negative na Simba ,,
@YohanaCharles-kq7tf2 ай бұрын
Sema wasafi mnakuaga kama wajinga we umeambiwa kocha kahusika we unasema apana bas ww ndo umehusika
@yahayahussein7892 ай бұрын
Ww unauwezo wakufikir wachezaj na kocha nan ameanza kusajiliw mpaka hausike